Pia namshauri huyu Sule. Akasome Yohana 3: 16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe wa pekee ili mtu kila amwaminiye amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele. Hapo Mungu hakutaja muisrael wala mtu wa taifa fulani bali ni ulimwengu wote.Bwana Yesu atusaidie sana.
Ww mwenyewe huna elimu kila siku wachungaji wanawadanganya wanekutana na mungu kila mmoja atatoa uongo wake na ww hujamfata pesaro umemfata Paulo Paulo aisha kuambia kua atawapotosha na bee isa yesu alikua muislam wala hakuwahi kuingia kanisani la Paulo na pia yesu alisali ktk misikitinalbagsa leo lipo ktk ardhi ya palestina na pia mmungu ndio mitume wake wote uliwahi kusikia muislam anachana bible kwa kuna kuna meneno mengine ni ya injili ya kale sio ya wazungu na mzungu hana na bee na uislam ulianza kwa mitume woote na ukakamilika kwa myume wa mwisho Muhammad saw ) leo nyiyi yesu mnamsingizia uongo mwingi wachungaji na mawigi.mnachapwa mnaganyagwa na uongoooo mwingi
Nyiyi ndio mnatenda mabaya mana wachungaji wa kila aina mpaka wamawigi na maiss kupigwa viboko na kusema wamenda kwa mungu ili mradi wawadanganye kondooo kwa kua hajui kitu mpaka viuno wanakata ndio kanisani jamani muogopeni mmungu hata yesu atashangaaa
Nikuulize unisaidie jibu,yesu kabla hajaja alitabiriwa atakuja kwa njia ya mimba kwa bikra maria,Sasa ameondoka na tumeambiwa atarudi tena, jee kurudi kwake kutakuwa kwa njia gani? 1.njia ya mimba au atateremka tuu 2.atapokuja ikiwa atakuja kwa mimba jee mimba hio atabeba yule yule mariamu atamzaa tena au kutakuwa na mwanamke mwengine? 3.
Hapana maana ya mchungaji ni Yule mtu aliyenusulu kundi la watu ambao hawakuwa naufahamu juu ya uzima wa milele.hivyo mchungaji ni YESU CHRISTO .na Kondoo ni Wafuasi waliokuwa wakimsikiliza Yesu
Hakuna muislamu anaejifunza kwa makafiri ukiona mtu kazaliwa katika uislam na nafanya Mambo kikafiri nayy kafiri kwaiyo jijue ww kafiri na kafiri mafikioyake ni moto.
Hichi si kipindi Cha agano la kale hich ni kipindi cha agano jipya maana yake vitu hufanyika rohoni Kwa Imani Sasa huyu sule analitazama neno la Mungu ktk mwili wa damu na nyama wakati huko hatupo Tena maana vita vyetu sisi ni katika ulimwengu wa rohoo na si ktk mwili wa damu na nyama
Huyu sule ni muongo haijui haki na hafuati haki kwakuwa ukweli uliopo kwa Yesu kristo kuwa ni Mungu Ila anachokifanya no kupotosha watu kwakuwa anamkataba na shetani na anafanya kazi za shetani
Yesu kristo akiwa ni Mungu hivi Mungu alitahiriwa alizaliwa? Mungu hakuzaliwa wala kufa wala hakua na mshirika. Yesu kama ni Mungu siku ile alipokesha kuomba alikua akimuomba nani? Hujasikia Yesu akisema baba mbona unaniacha wasamehe hawajui watendalo kesho tutakua sote katika ufalme wa baba yangu. Kama yeye ni Mungu hayo yote amwambie nani kama yeye ndie Mungu