Тёмный

WAINJILISTI WATOKWA NA MAJASHO NA VIKOHOZI BAADA YA KUULIZWA SWALI ZITO NA DR SULE AYA KTK BIBLIA 

Adil TV
Подписаться 166 тыс.
Просмотров 45 тыс.
50% 1

#AdilTV #drsule

Опубликовано:

 

8 ноя 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 82   
@mwambakibucheche1119
@mwambakibucheche1119 9 дней назад
Pia namshauri huyu Sule. Akasome Yohana 3: 16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe wa pekee ili mtu kila amwaminiye amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele. Hapo Mungu hakutaja muisrael wala mtu wa taifa fulani bali ni ulimwengu wote.Bwana Yesu atusaidie sana.
@IbrahimuKapelula
@IbrahimuKapelula Месяц назад
Sule unatisha sana, mungu akupe maisha marefu xaba waislam tunaamani xana
@mr_voiceeyounghustler149
@mr_voiceeyounghustler149 27 дней назад
Dr SULLE UNATUKINGA NYOYO SISI WAISILAMU MUNGU AKUPE UHAYI MLEFU PAMOJA NAMASHEKHE WOTE WALIOKUEPO HAPO
@kobylwaho3191
@kobylwaho3191 Месяц назад
kipindi kizuri sana @dr sule 😂😂😂😂hicho kichwa alooo !hatari❤
@NadiaJuma-en8sr
@NadiaJuma-en8sr 8 месяцев назад
Docta sulle unanipaga rahasana wafunze ao Allah akuzidishie umri sheih
@user13375
@user13375 Месяц назад
Ila majini ndo anatuchanganya
@user-ey9vf2xo6l
@user-ey9vf2xo6l Месяц назад
Asante sana doctor sule
@HassanJaphari-rx7jy
@HassanJaphari-rx7jy 8 месяцев назад
MashaAllah
@muhammadmuaswara8087
@muhammadmuaswara8087 8 месяцев назад
Maashallah mabruuk
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats Месяц назад
Wachungaji wako vzr sana Sule anahitaji elim sana inaonekana ameponza sana waislam kwa kuwapotosha ujinga wake. Tafuteni elimu Mchague.
@woah.africa99
@woah.africa99 Месяц назад
Ww mwenyewe huna elimu kila siku wachungaji wanawadanganya wanekutana na mungu kila mmoja atatoa uongo wake na ww hujamfata pesaro umemfata Paulo Paulo aisha kuambia kua atawapotosha na bee isa yesu alikua muislam wala hakuwahi kuingia kanisani la Paulo na pia yesu alisali ktk misikitinalbagsa leo lipo ktk ardhi ya palestina na pia mmungu ndio mitume wake wote uliwahi kusikia muislam anachana bible kwa kuna kuna meneno mengine ni ya injili ya kale sio ya wazungu na mzungu hana na bee na uislam ulianza kwa mitume woote na ukakamilika kwa myume wa mwisho Muhammad saw ) leo nyiyi yesu mnamsingizia uongo mwingi wachungaji na mawigi.mnachapwa mnaganyagwa na uongoooo mwingi
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 Месяц назад
Masha Allah
@BBm-re6oj
@BBm-re6oj Месяц назад
uislam ama ukristo hautatufikisha mbinguni mhimu imani na matendo
@hafidhhemed1514
@hafidhhemed1514 23 дня назад
Sisi wa islam tunaamini dini yetu, nyinyi msiamini dini yenu sababu hamuijui na ni wavivu wa kujifunza
@user-tr9wd5kf7i
@user-tr9wd5kf7i 2 месяца назад
Doctor surely kiboko
@GodfreyMolel
@GodfreyMolel Месяц назад
Waislam najua mna🎉shindwa tu iusarenda na kujiunga na ukristo msiaibike karibuni tunawapenda
@user-ve3wu5jn1l
@user-ve3wu5jn1l Месяц назад
Wewe utakuwa umepagawa kwanza molel wengi hawana dini. Allah awapandishe darja mashehe wetu mzidi kuwatoa hao Gizan
@mwambakibucheche1119
@mwambakibucheche1119 9 дней назад
Msisahau kusoma 2petro 2:23 Lakini uyakatae maswali kipumbavu....
@mr_voiceeyounghustler149
@mr_voiceeyounghustler149 27 дней назад
Dr sule ana PHD
@user-ve3wu5jn1l
@user-ve3wu5jn1l Месяц назад
Huyo ndacha mwenyewe hana mda mrefu anawaacha
@obestone1188
@obestone1188 Месяц назад
Mchungaji ni mtu, yesu ni mchungaji , yesu ni mungu . Ina maan mungu ni mtu . Hatar hii
@michaelkenga9150
@michaelkenga9150 Месяц назад
Hata Allah ni mchungaji UPO?
@mulewakatana2518
@mulewakatana2518 Месяц назад
Ndacha nde kiboko yao
@woah.africa99
@woah.africa99 Месяц назад
Nyiyi ndio mnatenda mabaya mana wachungaji wa kila aina mpaka wamawigi na maiss kupigwa viboko na kusema wamenda kwa mungu ili mradi wawadanganye kondooo kwa kua hajui kitu mpaka viuno wanakata ndio kanisani jamani muogopeni mmungu hata yesu atashangaaa
@user-qg7el6gc5j
@user-qg7el6gc5j 2 месяца назад
this is the end..... Watu wanabishania Dini Uuuuuuwih. Mungu nipe mwisho mwema
@khamisally5788
@khamisally5788 Месяц назад
Mara nyingi mtu asio na dini Moja kwa moja anakua kafiri
@allykhamis8751
@allykhamis8751 8 месяцев назад
Huyoo ndio mtalam wa bibliaa hawachomokii haoo
@martinmkoba361
@martinmkoba361 2 месяца назад
Alipokutana na ndacha ilikuaje?? Hahaha
@hidayambarka6514
@hidayambarka6514 Месяц назад
Doctor sule karbu pemba nimemss raha zako na ss
@hamisimwagarashi9501
@hamisimwagarashi9501 Месяц назад
Mmejua fika kwamba mko kidogo na maajabu ya MUNGU mwaeza pungua zaidi
@CrispusKadenge
@CrispusKadenge 23 дня назад
Swala si ukali wa Dr sule..swala ni ukweli ndani ya vitabu..uislamu wapendwa ni ukafiri bila isa
@julesngama2508
@julesngama2508 Месяц назад
Uyu jama anadiri na majini , siwezi kubishana naye . Yesu Njo njia na uzima wa milele.
@khamisally5788
@khamisally5788 Месяц назад
Jibu hoja sio kuleta vioja
@yassinhamza1969
@yassinhamza1969 Месяц назад
Hivi majini yamejiumba yenyewe au mungu kayaumba
@user-gu9zp7jt8k
@user-gu9zp7jt8k 7 месяцев назад
Naaam
@godisgreat1845
@godisgreat1845 Месяц назад
Swali halijakuelea vizuri sasa roho mtakatifu hajaamka kuja kuwapa majibu
@ElberthBambara
@ElberthBambara Месяц назад
Zizi ni Jamii iliyokuwepo enzi za ufuasi wa Yesu .
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 Месяц назад
Nikuulize unisaidie jibu,yesu kabla hajaja alitabiriwa atakuja kwa njia ya mimba kwa bikra maria,Sasa ameondoka na tumeambiwa atarudi tena, jee kurudi kwake kutakuwa kwa njia gani? 1.njia ya mimba au atateremka tuu 2.atapokuja ikiwa atakuja kwa mimba jee mimba hio atabeba yule yule mariamu atamzaa tena au kutakuwa na mwanamke mwengine? 3.
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 Месяц назад
3.na ikiwa atarudi kwa njia ya mimba jee atarudi akiwa na umbule gani la uungu au mwanadamu
@rashidbusanya5843
@rashidbusanya5843 Месяц назад
Dokta sule ni fimbo ya makafiri wote
@AbduSumwa
@AbduSumwa Месяц назад
WAISLAMU MSIPOTUBU MNAKWENDA MOTONI, KIKUBWA TUBUNI DHAMBI UISLAMU HAUTA KUPELEKA MGINGUNI.
@mr_voiceeyounghustler149
@mr_voiceeyounghustler149 27 дней назад
Hao wakilisto wameingia chakike
@user-zi9dn8xh8n
@user-zi9dn8xh8n Месяц назад
Ndacha yupo wapi?
@user-fy4op1sw2f
@user-fy4op1sw2f 2 месяца назад
Kumbe nyie wachungaji ni wa mshahara 😂😂😂😂
@user-oo3kc2cj8n
@user-oo3kc2cj8n Месяц назад
Watumishi wamesikia tumenawa kazi kwao wakimbie kabla maji hayajazidi unga
@CrispusKadenge
@CrispusKadenge 23 дня назад
Swali mboga tu..
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 Месяц назад
l wish ndacha angekuwa huku
@japhetndoro6533
@japhetndoro6533 Месяц назад
Dr sule Hana hoja
@mohamedmtahiyatu9113
@mohamedmtahiyatu9113 Месяц назад
Sule unatisha
@ElberthBambara
@ElberthBambara Месяц назад
Hapana maana ya mchungaji ni Yule mtu aliyenusulu kundi la watu ambao hawakuwa naufahamu juu ya uzima wa milele.hivyo mchungaji ni YESU CHRISTO .na Kondoo ni Wafuasi waliokuwa wakimsikiliza Yesu
@user-ve3wu5jn1l
@user-ve3wu5jn1l Месяц назад
😅😅😅😅
@mussakamando2678
@mussakamando2678 Месяц назад
Tehetehe😂😂
@michaelkenga9150
@michaelkenga9150 Месяц назад
Kondoo ni kina nani? Zaburi 100:3 - Jueni kwamba BWANA ndiye Mungu, Ndiye aliyetuumba na sisi tu watu wake, tu watu wake na kondoo wa malisho yake
@jekoniarubeni4609
@jekoniarubeni4609 Месяц назад
Hamna ustaaaraabu kuzidi mkristo nyie ni fuujo tu
@ramadhanjuma610
@ramadhanjuma610 Месяц назад
Ukristo tobo tu
@qassimislam5291
@qassimislam5291 Месяц назад
Mmh ila sule kweli wewe ni shule watasoma tu halafu mchungaji kajiuwa et mchungaj ni Yesu wengine wauwongo daah na yeye kajisahau hahhh😂 hawa jamaa
@abasingaruka1872
@abasingaruka1872 Месяц назад
Ndacha ndio kibomo wà waislamu vinginevo Ni ubishi tu wà waislamu, mm Ni mwislamu najifunza kutoka kwa Wakristo,
@mwinjumaissa4434
@mwinjumaissa4434 Месяц назад
Wewe sio muislam hakuna muislam anaejifunza dini kwa makafiri. Basi wew ni mmoja wao polee shetani
@AshaOmar-vk7kg
@AshaOmar-vk7kg Месяц назад
Hakuna muislamu anaejifunza kwa makafiri ukiona mtu kazaliwa katika uislam na nafanya Mambo kikafiri nayy kafiri kwaiyo jijue ww kafiri na kafiri mafikioyake ni moto.
@binrashid1638
@binrashid1638 Месяц назад
Huuamini uislam wako
@DuliBrillant-mr8er
@DuliBrillant-mr8er Месяц назад
Ww sio muislam ww ni mjinga tu wa africa mashariki ya kati
@user-sk1hm7mf2t
@user-sk1hm7mf2t Месяц назад
Kweli hakili hana angekua naakili asinge ongea utopolo mwislam anaamini mungu mmojatu wewe una amini myungu wala siomungu wewe nikafiri miongoni mwamakafiri
@user-qg7el6gc5j
@user-qg7el6gc5j 2 месяца назад
sasa israel wa leo ni nani kama sio mimi na wewe
@thobiaspaul8247
@thobiaspaul8247 Месяц назад
Hichi si kipindi Cha agano la kale hich ni kipindi cha agano jipya maana yake vitu hufanyika rohoni Kwa Imani Sasa huyu sule analitazama neno la Mungu ktk mwili wa damu na nyama wakati huko hatupo Tena maana vita vyetu sisi ni katika ulimwengu wa rohoo na si ktk mwili wa damu na nyama
@FatmaMohammed-ry8yo
@FatmaMohammed-ry8yo Месяц назад
Ushapotea
@machindafadhili3186
@machindafadhili3186 2 месяца назад
FRANCIS NDACHA ndo fimbo ya waislamu wote duniani 😁😁😁
@DuliBrillant-mr8er
@DuliBrillant-mr8er Месяц назад
Uyo ndacha ndo hana hoja kabsa mkaid tu lakin hana lolote
@lukmanabdi2015
@lukmanabdi2015 Месяц назад
Wwe na ndacha sbirini mufe ndio mutajua
@ImaniKinyansi
@ImaniKinyansi 2 месяца назад
Huyu sule ni muongo haijui haki na hafuati haki kwakuwa ukweli uliopo kwa Yesu kristo kuwa ni Mungu Ila anachokifanya no kupotosha watu kwakuwa anamkataba na shetani na anafanya kazi za shetani
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 2 месяца назад
Soma bibilia yako vzry utajua yesu ni nani.
@MwijakaSwalehe-dg4hw
@MwijakaSwalehe-dg4hw 2 месяца назад
We kama wajua itisha mjadala usitukane watu
@GodfreyPantaleo-po9mk
@GodfreyPantaleo-po9mk 2 месяца назад
Elewa mdaa mpendwa!! Si ujibu kwa upendavyo ww ujumbe uko ubaoni weng wanatak kujifunza elimu ya mashetani au watu mashetani unawajua!!
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 Месяц назад
Yesu kristo akiwa ni Mungu hivi Mungu alitahiriwa alizaliwa? Mungu hakuzaliwa wala kufa wala hakua na mshirika. Yesu kama ni Mungu siku ile alipokesha kuomba alikua akimuomba nani? Hujasikia Yesu akisema baba mbona unaniacha wasamehe hawajui watendalo kesho tutakua sote katika ufalme wa baba yangu. Kama yeye ni Mungu hayo yote amwambie nani kama yeye ndie Mungu
@KhamisSuleimanAbasi
@KhamisSuleimanAbasi Месяц назад
Soma marko 12:28-30 ili ujue ww unabishana na yesu mwenyewe
Далее
ПОЮ ЛЕТНИЕ ПЕСНИ🌞
3:16:55
Просмотров 1,7 млн
İranda azərbaycanlı prezident seçilib
00:32
Просмотров 243 тыс.
DEBATE Dr SUL, MAZINGE AND SHAFII
2:16:21
Просмотров 124 тыс.
ПОЮ ЛЕТНИЕ ПЕСНИ🌞
3:16:55
Просмотров 1,7 млн