wasimamizi wa mirathi wa mahakama ni janga jipya katika jamii yetu , wanafosi mazingira wale mali za warithi wakati wao mali haxiwahusu ,.....wanafosi kuweka mazingira mali ziuzwe kwa matajiri hata kama warithi hawakotayari kuuziwa mali zao , wasimamizi ni watu hatari sana hasa kweny nyumba zilixo katika maeneo ya biashara
Msimamizi tapeli na Mama Lwakare alipojua kuna mzozo hapo akauza chap .Sasa wanunuzi nyinyi imekula kwenu kununua kitu special Ardhi bila kukagua hiyo ardhi inamgogoro wa kifamilia au laa ndio madhara yake ni hayo .
@@syliviakente9460 Ni kweli kazi ya msimamizi ni kukusanya mali za marehemu kulipa madeni ya marehemu na kuhakikisha amewagaiya wahusika wote ipasavyo kwa kupitia form number 5-6 ya Mahakama. Baada ya kugawa kwa kila mmoja alafu anafunga mirathi hivyo. Shida mara nyingi mpaka inatokea msimamizi kuwageuka warithi unakuta ndugu wamemchagua ndugu yao mmoja kwa kumuamini awe msimamizi wa mirathi, sasa tamaa ikimuingia anawazunguka wenzake na kuvunja mwiko wa kiapo cha kuwa msimamizi mzuri. Na kila mara wanunuzi wao hununua upesi upesi bila kukagua uhakika wa je ni nani haswa mhusika na kwa kawaida njia nzuri kabla ya kununua ni kwenda Wizara ya Ardhi kucheki umiliki ni wa nani je kuna mgogoro .Baada ya hapo kujiridhisha kwa kuwatafuta wahusika.
Kariakoo kumekuwa chimbo la migogoro hakueleweki selikali tafuteni sehemu nyingine iwe katiakoo kuliko siko kuu lite sehemu ya makazi ya watu familia zinagombana kwa tamaa za pesa jamani.