mimi naamini kilichotokea kenya muda si mrefu kitatokea Tanzania najua Tanzania kupigwa risasi ni kitu cha kawaida lakini hawawezi kutuua wote ipo siku kitawaka nchi hii kwasababu watanzania tumeanza kujielewa na uoga umeshaanza kupotea
Viongozi jamani msijisahau kumbukeni Taifa hili limetokea wapi.Jitihada ni kubwa sana anazofanya Mweshimiwa Rais kwa ajili ya Watanzania Hawa wanyonge msaidieni kwa Tija ya hali ya juu ili malengo ya serikali yetu pendwa tufikie.Kumbukeni cheo ni dhamana.Tendeni haki.
Chalamila hana sifa ya kuwa kiongozi, hasa kuongoza mkoa mkubwa kama Dar, Mh. Rais ikimpendeza ni bora amuhamishie mkoa wa Pwani akaendeleze mikwara yake!
Chalamila, Nape Nnauye na 3 others are favorites main ingredients of CCM, there is no way mama can let them go. They cause a huge damage but Tz are easy to forgive, forget and let it go.
INASIKITISHA NDUGU ZANGU YEYE MUNGU KAMJALIA NDO MANA ANASEMA MNAZEEKEA UMACHINGA DAA!! TUSIMUOMBEE MABAYA ILA TUMSHUKURU TU KWANI MUNGU ANAWEZA KUMFUNDISHA MTU ANGALI BADO YUKO DUNIANI HAPA HAPA INSHALLAH.
Kama bijana wanakaa kwenye media kumkosoa mkuu wa mkoa sasa tunaelekea kwengine..viongozi jitahminini kauli zenu ni hatar kwa taifa kuweni viongozi msiwe watawala..kwahi Rc umewakosea wananvhiko kuwa mpole waombe radhi na ubadilishe maamuzi..Mkubwa akivuliwa nguo huchutama...!!
Yani nduguyangu unaemzungumzia inshi yamkuu wamkoa nakupa big up sana kwani mbona hatoi mitaji kwahaowatu anaewaambia wastaafu baada miaka miwili ameshalewa madaraka huyo
Huyo mkuu wa mkowa huwa hana adabu sana hafai kuwa kiongozi hata kidogo tena mjinga sana ni mpuuuzi namuomba mama samia amtoe huyo ndie anaalibu kaz yake
Yani kama anawazo la kuwasaidia wajasiliamali mjasiliaamali yoyote akimalijamiaka mitatu wamwangalie na mtaji alio jiwekeza nakumpa sapoti nakuangalia wapi anakwama alafu wawasapoti wafike mbali kibiashara
Wakuu wa mikoa na wilaya wawe wanachaguliwa sio kuteuliwa watakuwa na heshima chalamila anatumia mabavu kwenye uongozi wake hana heshima kabisa mh.rahisi muangalie huyu atakuchafua