Hakuna anae kejeli msiba ila tatizo Dini yenu imeka ki mchongo mchoko tuna sema ivi mbona amu mfufui mtt wa Nabii mkuu nyie simna dai mna fufua wafu 😂Acheni uwongo
@@ramadhanjuma610 som kwanza Jin langu ndio utajua,afu kingine mwenyez Mungu pekee ndiye wakuhukum hata we hujakamilika unamapungufu yako so usije ukajihesabia haki ata kdg
@@maishayetufilm KBS tusijihesabie haki ,pia msiba usikiage kwingin lkn kufiwa na baba mama kaka dada MTT ndugu yangu Dah inauma kuliko yaani nashindwa ata nisemej ila mwenyezi Mungu atupe mwisho mwema 😥🙏
Huyo ni Mtumishi wa Mungu hilo ni jaribu usifikiri haumii anaumia saana ila hana jinsi anamjua Mungu wake anaemtumikia. Na anajua lazima ujaribiwe kwa ajili ya Utukufu wa Mungu. Hakuna atakaeishi bila majaribu. Mungu akupe ujasiri Baba kwa haya magumu unayopitia.
Nyie acheni mzaha na Mungu, hata kifo nacho kikikuta mpendwa wetu hatuachi kumshukuru Yesu Kristo kwa makofi na vigelegele maana hakuna tumaini jingine zaidi ya upendo wake kwa wanadamu. Biblia inatuambia tumshukuru Bwana kwa kila jambo, pia furahini katika BWANA, sasa nyie mnaotaka tulie kwa kuwa huwa mnalia ni chaguo lenu kulia. Tumejifunza kumsherehekea Mungu kila tuwapo ktk uwepo wake.
Mungu anawaona mnavyokejeli lakini mjue hii ni dunia leo kwa mwenzio kesho kwako. Lakini mkumbuke kwamba kila jaribu lina mlango wa kutokea Mungu wa mbinguni akutie nguvu baba.
Yaaan hata mim nawashangaa Sana wakifa matajiri wametoa kafara,kwahiyo kifo kaumbiwa mtu mwenye kipato Cha chini.Pumzika Kwa amani Nic pole Kwa familia pia
Jamani jamani nakumbuka siku kijana wetu alipoondoka, nikamuuliza mume wangu mbona umesahau muda mfupi akaniambia hajasahau ila hakuna wakumsaidia majukumu na nilazima aendelee kupambana na kumshukuru Mungu amtunzie hawa waliobaki duuu,,,, Najua Joe Davie na yeye anajitia moyo katika Mungu tuuu hawa wanadamu asilimia ndogo ni kijeli ila kubwa wanaojielewa wanajua maumivu ya msiba
Ni rahisi sana kucomment unachojisikia lakini uhalisia utabaki kuwa uhalisia tu.tujitahidi kuheshimu nafasi ya Mungu kutokana na matokeo yaliyokuwa nje ya mwanadamu.
Hakuna dini ya kweli ndugu usijidanganye, wala Mungu hajui dini ya mtu maana hakuleta dini, dini ni kama vyama vya siasa tu Yeye anaangalia ibada ya mtu ambayo ni matendo mema, hivyo elewa uisilamu hautakupeleka mbinguni bali matendo yako!!!
Hakuna matendo yanayompeleka mtu mbinguni, utaenda mbinguni kama tu ulimkiri Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yako na uliishi maisha ya toba na utakatifu na ulikufa katika Kristo, unaweza ukawa mtenda mazuri sana na jamii inakutambua lakini Yesu Kristo haishi ndani yako
Kazi ya Mungu haina makosa Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la Bwana lihimidiwe🙏 Polee sana wana familia Mwenyez Mungu awatie nguvu katk wakat mgumu mnaopitia
Zamani nilikuwa nikiona msiba nalia sana, kuna siku nimeona live mbibi kafariki hata sikuhisi chozi, Naona amelala tu, Eee Mungu nisamehe kama nawaza vibaya, Hata video zakuoneaha sana marehemu online zinanifanya niwe sugu
Tutakufa na atutaishi akuna mwanadamu mwenye uwezo wa kufufua binadamu kwanza kunakitu kimoja ambacho tuji funze kwani unaugonjwa unaenda hspitali wanakwambia utapona lkn. Nabiii mtoto wake kafia hospitali hiii imekaeje apo kwani alishundwa kumtibia yeye ?
Hapo ndipo naamini kuwa katitika dini zetu kuna mazingzhoong mnatuaminisha mnawafufua watoto wawenzio wakwako unamfukia sasa mbona hukutuambia kuwa imani yako inakuwa inatenda kazi kwawingine ila kwako haifanyi kazi 😢😢😢😢
Kifo ni fumbo zito ..majina ya duniani hayana nafasi ,, mali wala vipaji ,, nachotaka kusema ... vliio kwa msiba ni kuondoa uwezo wa Mungu kwa wanadamu ... binadamu mwisho wake ni kifo ...ni sifa ya Mungu nyakati wa mavuno..yake..
Baba na waumini na familia jueni kuwa mko duniani penge wanyama wakila aina spirit za kila aina huyu Baba Yuko kwajili ya watu wote familia ni ndugu pigo Lazma likupate Mzee wako au mama atafunga mlango wake anapokutana na jambazi atasepa kivyake nawe haupo na kumu yako syo ya Baba au mama, Mfalme Joe amekua akionya mengi bila kubagua mtoto au mumini kwahiyo wacheni huwa wa zazi Baba Joe na Mama Anie wamtukuze Mungu.mtoto Akisha kua nikumshauri tu kwahiyo Mimi na wewe VIP na kina monie na Kaka... VIP pata mema popote ulipo jeuka sikia ya Baba na Mama ulipo hakuna mkubwa kwa wazazi au Yesu, ni funzo syo kitu yakukenulia Meno na domo mamba. Mama na Baba muwe na afya Tele na ulinzi wa malaika bila kusita mbeleee! Mfalme koresh!