Ila duniani kweli tunapita, yani ambavo hata magufuri hawamkumbuki inatufundisha hii dunia kila tukifanyacho basi iwe ni kwa ajili ya MWENYEZI MUNGU, yeye ndo wakukulipa fadhila, binadamu hana shukran, anaangalia kilichombele yake. Watu wameipambania na saivi wamelala kwenye udongo, wala hata hawana habari walichokipambania
Sisi wa Moro tunafurahi sana unafanya kazi Dar unalala Morogoro tunaomba mtuwekee usafiri wa kutoka Kihonda kufika mjini zipo Bajaji na Bodaboda mngeweka na Magari
ALLAH AILAZE PEMA ROHO YA MH.MAGUFULI,,NIKI KUMBUKA PALE PUGU SIKU YA KUWEKA JIWE LASINGI NA KUWEKA MAJINA YA WOTE WALIO HUSIKA NAKUAMBIWA ZAIDI YA MIAKA 100 IJAYO YALE MAJINA YATAKUWEPO PALE YAKIHIFADHIWA NA KUTUNZWA NA KUJITUNZA TULIAMBIWA TUNAWEZA NA TUSIWE NASHAKA TUNA WEZA ALLAH AMPE PEPO,,,PILI.HONGERA RAIS MH.SAMIA NA PILI NIMAMA HAPO UMEMTUA MAMA NA WATANZANIA WOTE MIZIGO KICHWANI KWENYE USAFILI MIMI NAJUA NIKAZ KUBWA IMEFANYWA WEWE NA TIMU YAKO,,SIMA SIWEZ KUKUFIKIA NA KUKU PONGEZA ILA MSG ITAFIKA... KADOGOSA NAKUPENDA SANA KWA KAZI KUBWA UNAYOFANYA YA KUTEKELEZA MAAGIZO....TRC nawakubali Sana,,