Тёмный

Namna hotuba ya Mzee Mwinyi ilivyoleta faraja kwa wafiwa 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 485 тыс.
50% 1

“Mwanamke aliyekuzidi kwa shughuli…hata kwa kimo…ni mama huyo...” - Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Mzee Ally Hassan Mwinyi akitoa salamu za pole wakati wa maziko ya Hayati John Magufuli.
#BurianiMagufuli #RIPMagufuli #BurianiJPM
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Опубликовано:

 

26 мар 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 162   
@gracejohn4256
@gracejohn4256 3 года назад
Kama Bado unairudia hotuba ya Mzee wetu gonga like😂😂😂
@housnayousif780
@housnayousif780 3 года назад
Tupo mamy
@sumashunda9711
@sumashunda9711 3 года назад
Hongera Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan kwa kufanya kazi kwa vitendo. Umemtumbua Waziri wa TAMIISEMI kwasababu ya kutoajibika ipasavyo. Wote Wanaofanya rushwa waondolewe. Tunahitaji serikali yakutekeleza Kazi zilizopangwa.
@matagilimbigili3018
@matagilimbigili3018 3 года назад
Mungu mjalie maisha marefu mzee wetu Ally Hassan Mwinyi aendelee kuwepo kwa Faraja na maliwazo sisi wajukuu zake waTz
@isackkamondo7042
@isackkamondo7042 3 года назад
Amewainua wamachinga, kamemsumbua kutamka mzee wetu. Like kwa mzee wetu...
@linuscharles964
@linuscharles964 3 года назад
Tanzania yangu nchi yangu. I love you Tanzania
@samsonjudith3425
@samsonjudith3425 3 года назад
Tunakupenda Sana doctor Ally Hassan Mwinyi Rais WA pili WA Tanzania mwenyezi Mungu akupe Maisha marefu
@furahabeatrice2057
@furahabeatrice2057 3 года назад
Kweli tuna uzuni sana, lakini nimemfurahiya huyu mzee🤩 kwa ku mchekesha kidogo mama yetu mjane Janeti Magufuli. Mama ujipe moyo MUNGU anaweza yote, faraja pia ni kwake👏👏👏
@officer1208
@officer1208 3 года назад
Sawa Furaha Beatrice
@happinesskebaso8911
@happinesskebaso8911 3 года назад
@@officer1208 a
@issamohammednassor8688
@issamohammednassor8688 3 года назад
Mwinyiiiiiiiiii dah Allah akupe kheri kwa kusuuza nafsi za watu Allah akupe afyanjema na umri mrefu wa baraja
@zainababdulrahman9246
@zainababdulrahman9246 3 года назад
Mashallah tabarakallah Allah akujalie afya njema mzee bodyguard ana kazi hadi ya kumsaidia kuongea maneno mazuri babu Muheshimiwa Rais usimchoke msikilize😊
@leoniammasi6634
@leoniammasi6634 3 года назад
Nimefurahi sana mzee wetu mwinyi umejua kutufuta machoz. Mungu akupe baraka na maisha marefu
@nyirigirajbosco3250
@nyirigirajbosco3250 3 года назад
Mzee Mwinyi ni Mzee kijana kabisa hapa🇷🇼🇷🇼 tunampenda sanaaaa👍🏻👍🏻
@adelen9937
@adelen9937 3 года назад
Mzee Mwinyi 🙏🙏🙏kwa humri huu atumie miwani???✌✌✌shikamoo mzee mungu hakujali.
@ibrahimjoseph2789
@ibrahimjoseph2789 3 года назад
Umeona mimi mwenyewe nimekoma iki chuma hakina gongo wala mawani na anasoma kaaaaa🇹🇿✋✋🕋
@kilalaurio9922
@kilalaurio9922 3 года назад
Mungu akupe maisha marefu Rais wate, mzee wetu tunakuhitaji uweze kukemea tunapopotoka.
@georgerichard9590
@georgerichard9590 3 года назад
Kiswahili cha mzee kizuri sana..kinavutia kusikiliza
@abubakarshoka3799
@abubakarshoka3799 3 года назад
Unguja mjina ndiyo.kunako.ongewa kiswahiki fasaha
@shamzone388
@shamzone388 3 года назад
@@abubakarshoka3799 kiswahili fasaha kipo kwa watu wa pwani sio zanzibar tanga dares salaam tuna kiswahili sahihi
@mbandedenis575
@mbandedenis575 3 года назад
Uzee wote huu bado anasoma bila miwan hongera yako.
@TarimoTarimo-pf5lo
@TarimoTarimo-pf5lo 6 месяцев назад
Ni wewe uliumia mzee lakini watu wengine walifurahi,😭😭😭😭😭
@zaydelabay9776
@zaydelabay9776 3 года назад
Mzee wa ruksaaaaaaa. Stay safe n healthy mr president Mwinyi😅🥰😍🤩😛❤❤❤❤💕💕💕💞💓💗💖❣❣
@japharjuma3504
@japharjuma3504 3 года назад
Mashaa Allah mzee wetu Allah akupe maisha marefu Inshaa Allah
@kassabilahmakalala3121
@kassabilahmakalala3121 3 года назад
Mungu amlaze pema rais wetu
@issakawaya8315
@issakawaya8315 3 года назад
Hadhina ya taifa tutakuenze Allah akupe mwisho mwema
@user-gy8no9js2u
@user-gy8no9js2u 4 месяца назад
Tunaongalia 2024 tujuane
@JumaMvungi-ot4ef
@JumaMvungi-ot4ef 3 месяца назад
Kabisa
@omarimzora5640
@omarimzora5640 3 года назад
Musikilize mzee Mwinyi yani pamoja na msiba, utacheka utafurahi! Mungu azidi kumpa maisha marefu babu wetu wa faraja
@browskymuba6923
@browskymuba6923 3 года назад
Mungu akulinde rais mama weye amin ya rabi 😭
@marympemba1829
@marympemba1829 3 года назад
Asante baba kwa kuwafariji wafiwa na watanzania wote 🙏🙏
@matagilimbigili3018
@matagilimbigili3018 3 года назад
Hongera mzee kwa kuwa na afya njema hasa macho yenye uwezo wa kuona bila miwani
@ClemenceMwenda
@ClemenceMwenda Год назад
Mungu ibariki tanzania uwabariki na viongozi wake🙏🙏🙏
@mutomubaya
@mutomubaya 3 года назад
Alisimama kidete kuimarisha na kutetea uzalendo wa kiafrika ki siasa, ki jamii na ki uchumi na kupelekea Kiswahili kupendwa na kutukuzwa kiasi cha kupelekea kufanywa kuwa ndio lugha rasmi ya nchi nyingi za Africa.
@daudiangolwisye8473
@daudiangolwisye8473 3 года назад
Mungu akujarie maisha marefu Babu
@nuruhashimu7675
@nuruhashimu7675 Год назад
Panaitwaje APA Aaah chato mzee Wa ruksa maisha marefu
@juliusmushi6428
@juliusmushi6428 3 года назад
Man of the match msibani
@amit77
@amit77 3 года назад
Hahaha
@samuelalushula3364
@samuelalushula3364 3 года назад
A graceful old man, still strong!
@fredrickkibuba4627
@fredrickkibuba4627 3 года назад
Wajukuu wakikaa na Mababu zao ua wanafurahia kwa maneno ya Babu Yao. ONGERA Mzee Mwinyi Mungu akupe miaka mingi.
@rukiaali9183
@rukiaali9183 3 года назад
Allah akupe umri mrefu mzee wetu
@abuukhubeyb2763
@abuukhubeyb2763 3 года назад
Wenye kheri na yeye sio mrefu tu
@gamgangweesechota3589
@gamgangweesechota3589 3 года назад
Nataman sana mzee mwinyi hata ungekua babu yangu tuwe tunacheka tuu jaman Mungu akuweke
@simondangote3245
@simondangote3245 3 года назад
Panaitwaje hivi hapa🤣🤣 asante babu
@Directorjax55
@Directorjax55 3 года назад
Asante BABA YETU KIONGOZ WETU MZEE WETU MSTAAFU n kweli tumepotewa na Kiongoz Bora Rais wawanyonge ama kweli inauma sn Ila bas tumwachie MUNGU WATANZANIA tuzdn kujipa pole na kujipa Moyo wa huruma
@luberengaerisa7437
@luberengaerisa7437 3 года назад
Thanks fomer presidol of tz
@MihayoMageta
@MihayoMageta 4 месяца назад
Mzee alitoa ya moyoni hasa. Na alimkubali sana Magufuli. Sasa wewe unayeponda kazi za Magufuli unataka kubishana na huyu mzee aliyeshika uraisi pande zote mbili za muungano.
@farajibuteta6258
@farajibuteta6258 3 года назад
Mzee fundi sana huyu
@fatmamashua4789
@fatmamashua4789 3 года назад
Hongera bwana bodyguard inabidi aisome hotuba na awe makini kumsikiliza mzee wetu
@Aidansimwanza
@Aidansimwanza 3 года назад
Love you Mwinyi
@gracejohn4256
@gracejohn4256 3 года назад
Alli Hassan mwinyi oyeeee
@mahabsaid5324
@mahabsaid5324 3 года назад
Mzee who transformed Tanzania for the late to stabilize the government to serve it's citizens.Hongera Mzee Mwinyi
@geemushy1714
@geemushy1714 3 года назад
Mwiny tunakutakia Kila la kher mung akulinde umemfarij mjane janeth magfuli
@VictorChesaro
@VictorChesaro 4 месяца назад
Great speech. Rest in peace great man ❤
@dizzobnoor8609
@dizzobnoor8609 3 года назад
maisha marefu kwake
@godelivamuswahili2988
@godelivamuswahili2988 3 года назад
👏👏👏👏👏👏
@mwajumaomari4383
@mwajumaomari4383 3 года назад
Allah akbar Mzee umeleta faraja mungu akuongezee umri
@ameedamilja7992
@ameedamilja7992 3 года назад
Kweli Jungu kuu halikosi ukoko. Yaani katika hotuba zote watu hawakutabasamu kwa takribam week, ni vilio tuu vilikuwa. Ila wewe umekuja watu tumeona meno yao kwa mara ya kwanza hata ya mama mfiwa. Daah! Kweli uzee si mvi ni akili.
@riccohtiller8999
@riccohtiller8999 3 года назад
tet
@daudiangolwisye8473
@daudiangolwisye8473 3 года назад
Miongoni mwa viongozi na wazee bora na hawatumii miwani kwa umri huu mzee mwinyi in bora sana
@mussakidangi5510
@mussakidangi5510 4 месяца назад
Pumzika kwa amani mzee wetu mwinyi.comrade
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 4 месяца назад
Mwinyi alikuwa muungwana sana,Mungu amrehemu huko alipo
@husseinsalimmaula4254
@husseinsalimmaula4254 3 года назад
Babu yetu mwinyi
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 4 месяца назад
RIP, GOOD SPEECH
@ziadayasin711
@ziadayasin711 4 месяца назад
Innalillah waina lillah rajuuni Allah amsamehe makosa yake baba aitu wa taifa Allah anhehemu amlahemu
@ybmtaakwamtaaofficial3415
@ybmtaakwamtaaofficial3415 3 года назад
Mji bila wazee haiwezekani
@rosemaryw2b
@rosemaryw2b 3 года назад
Safi sana Mzee wetu Mwinyi 👏👏👏... Wazee ni hazina ya Taifa
@harunabdallah1
@harunabdallah1 3 года назад
Allah awalinde viongozi wetu hawa
@mariammmbaga976
@mariammmbaga976 4 месяца назад
Alhamdulillah
@anochrisskatabazirwe3861
@anochrisskatabazirwe3861 3 года назад
Nice mzeee
@danieldafaa981
@danieldafaa981 3 года назад
Huyu mwenetu anaitwaje vilee?
@victorkabingo888
@victorkabingo888 3 года назад
Babu yuko poaaa mzee ruksa uyooo
@majutojackson5718
@majutojackson5718 3 года назад
kumchekesha mjane aliefiwa na mumewe!tena rais
@user-yy9ob9dg6l
@user-yy9ob9dg6l 4 месяца назад
Good memories and is strikes 7:27
@felicianbwinyende4884
@felicianbwinyende4884 3 года назад
Mwinyi mi5 tena
@samwellwiza1098
@samwellwiza1098 3 года назад
Wee!! Acha kumtania babu yetu bhana...alishakuambia siku hizi anasahau..tukimpa mitano atakuja kujisahau kuwa yeye ni rais..halafu unatarajia nini 🤝🤣🤣🤣🤣
@bahathnyoni6994
@bahathnyoni6994 3 года назад
Kenge
@josiahkessy6660
@josiahkessy6660 3 года назад
Good
@saimonmolel7089
@saimonmolel7089 3 года назад
Uzee mwema ni hazina njema.
@majutojackson5718
@majutojackson5718 3 года назад
Mzee amejua kutupunguzia huzuni, kucheka kwenye majonzi makubwa mzee ulitusahaulisha kwa muda
@daudmaganga5719
@daudmaganga5719 3 года назад
Daaah
@leonardfabian4584
@leonardfabian4584 3 года назад
Buriani Baba Magufuli
@mkaligreen1875
@mkaligreen1875 3 года назад
Ilike that thank you azam tv
@mkaligreen1875
@mkaligreen1875 3 года назад
Good nice to here you
@mkaligreen1875
@mkaligreen1875 3 года назад
Good nice to here you
@abdulabdy6822
@abdulabdy6822 4 месяца назад
Pumzika Kwa amani Mzee Ali Hassan Mwinyi..tumekupenda sana..mtu mwema na muungwana sana.. Allah akupe kauli thabiti insha Allah
@tanzanite9944
@tanzanite9944 2 года назад
Kicheko cha kwanza baada ya week nzima ya majonzi. Kweli wazee ni dawa.
@TarimoTarimo-pf5lo
@TarimoTarimo-pf5lo 6 месяцев назад
Mzee anatambua lakini wajanja hawatambui, pole baba
@joshuakalinga344
@joshuakalinga344 3 года назад
Alie sikia kwamba sisi tulikua nakaubairi aweke like hapa👇
@joshuakalinga344
@joshuakalinga344 3 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mwinyi nikiboko yao tulikua nakaubairi
@khalekichambo1131
@khalekichambo1131 Год назад
😂😂😂😂😂😂
@jumamkongowe2272
@jumamkongowe2272 3 года назад
Fulaha kwenye huzuni Asante nzee wetu kwakutufaliji msibani🙏🙏
@faridahalwaily85
@faridahalwaily85 4 месяца назад
Kenyaaa chukuweeeni mfano wa mzee mwinyii kwa kuitangamanishhaa nchi kwa upend woo na Amani na imani….nchi ipateee kuendeleyaaaa….
@johnkakui7255
@johnkakui7255 3 года назад
God bless you guys
@bahaliasimango3034
@bahaliasimango3034 3 года назад
Ukitenda mema hapa duniani utaishi marefu kama mzee mwinyi.
@jacklinekanunu4667
@jacklinekanunu4667 3 года назад
🤣🤣🤣🤣 babu yetu umejua kutufurahisha hata kama tunamajonzi yamepungua kupitia hotuba yako mungu akuongezee umri mrefu zaidi.
@makamejuma2061
@makamejuma2061 3 года назад
I hi
@sasamama7934
@sasamama7934 3 года назад
Ata sisi pia tumeemewa kwa huzni moaka leo 🇴🇲
@annageorge9725
@annageorge9725 3 года назад
Jina lake liimidiwe.
@SamuelChege-rt4vl
@SamuelChege-rt4vl 4 месяца назад
.mzee anaye ongea kwa ukakamavu mwingi sana
@glennmajanga57
@glennmajanga57 4 месяца назад
Great Man. May his soul rest in erternal peace.
@rashidhassan6899
@rashidhassan6899 3 года назад
Somo
@joshuaalsel5828
@joshuaalsel5828 3 года назад
Pamoja na kwamba mimi si mtanzania, ila nashangaa kuamini ma rais watanzania wenye agenda ya africa ni wakristo na nasikitika tanzania kubaki mikononi mwa viongozi wastafu wote wa islam, kwanini iwe ivo, naweza nikaeleweka kuwa mbaguzi ila sielewi kwanini fikra kama hizi zinijie. Que Dieu me pardone
@shafiijafari3680
@shafiijafari3680 2 года назад
Unawaza mini mbona majibu unayooo
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 2 года назад
We nguruwe acha usenge na ubaguz
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 2 года назад
Joshua Alsel, nimekuelewa Sana Ila ukitaka kuishi umri mrefu nakushauri mfuate na kumuabudu Mungu wa kweli.
@samwelipmbise3877
@samwelipmbise3877 2 года назад
@@wazirisaid8326 Mungu wa kweli ni yupi?
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 2 года назад
@@samwelipmbise3877 Ni yuke alieumba mbingu na Ardhi pamoja na vitu vyote vilivyomo kati yake wakiwemo viumbe vyote vinavyoishi au vilivyo wahi kuishi ulimwenguni. Mungu wa kweli hajazaa Wala kuzaliwa na Hakuna mfano wake Bali ameumba vitu vingi kwa mfano wake autakao!Na hapa ndipo watu wanapojichanganya na kuhusu kuwa wao wanafanana na Mungu.Mungu Huyu hawahi kuka,kunywa,kwenda chooni, kushindwa, kuomba msaada Wala kulia machozi.
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 4 месяца назад
Mama Siti yuko pale panaitwaje vile hapa? (Chato)
@zamhatjuma5015
@zamhatjuma5015 3 года назад
Ama kweli ishi uzomewe kufa usifiwe.
@ramahamis5793
@ramahamis5793 3 года назад
Kweri kbs siku zote ukifa ndo unasifiwa
@nelsonimtaturu8115
@nelsonimtaturu8115 3 года назад
kweli kabsa yaani
@alhaji6094
@alhaji6094 3 года назад
Babu wetu wa Taifa❤️
@mwengatv3058
@mwengatv3058 3 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂hii ni zaid ya comedy
@bornthagylife3802
@bornthagylife3802 3 года назад
Malkiaasamiaa unafaaa kutuongozatz
@ashafundi2941
@ashafundi2941 3 года назад
Mungu akulinde mzee wetu
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 3 года назад
Uzee dawa
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 3 года назад
Mtu mzima dawa
@edgaribrahim3931
@edgaribrahim3931 3 года назад
Mmezingua sijaona inatosha apo
@ntuzuboy7342
@ntuzuboy7342 3 года назад
Mzee wa busara
@marckocharless4682
@marckocharless4682 3 года назад
. .
@jasmnjoseph6331
@jasmnjoseph6331 2 года назад
Mitindo nywe
@muminually2846
@muminually2846 3 года назад
O
@gracepatrick6389
@gracepatrick6389 3 года назад
😂😂
@ommyakili552
@ommyakili552 3 года назад
Board guard wa Hussein Mwinyi hana mbavu
@roberttyeflo6316
@roberttyeflo6316 3 года назад
Hahaa
@user-kw3qv6uo3x
@user-kw3qv6uo3x 4 месяца назад
Mazishi yamwiny
@user-kw3qv6uo3x
@user-kw3qv6uo3x 4 месяца назад
Mazishi yamwiny I
Далее
Maneno ya Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa rais Magufuli
13:03
World Record Tunnel Glide 🪂
00:19
Просмотров 20 млн
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57