Duh ngoja niwape kisa kimoja kulikuwa na mfarisayo na mtodhaushuru watu haaa waliingia kanisani kumuimba Mungu yule mfarisayo halijitapa ehh Mungu nafunga kwa Juma Mara 1 sikama mtodhaushuru natoa sadaka na Dhaka kwa ukamilifu lakini mtodhaushuru alijipiga kifuani mwake na kumwambia Mungu Mimi ni mwenye dhambi ivyo Mungu alimsikia sala yake tusijitape jamani kwa maana kila mtu mbona hanatenda dhambi Mandy halisha omba msamaha mbona bado mnayakuza kwanini bhana wabongo mnaboha sana bhana
Mambo mazito yanayoathiri maisha ya mtu ya sasa na yajayo but mtu anachukulia rahisi rahisi utafikiri maisha yake yanaisha kesho ...Nandi tafuta watu wakuku"guide" vema.
wacha nikuelimishe Nabdy Googlephoto ni site mbaya sana na hicho ndo kilitokea..hata ubadili simu..zinaenda saved kwa google photo..na mtu akifanikiwa ku track pw yako tu kwishaa..ukue na strong PW
Daaaaaa bado anadanganya duuh...tatizo ni kurecord.. Ili kuepusha haya maswala ya kurushiana mipira ya ooo sio mimi ni yule nivema vjana wooote wakaacha maswala ya kurecord wanapo fanya maswala private baac ..bilaa hivyo video za aina hizo tutazid kuzishuhudia kila siku ........
Nandy nakushauri usiongelee tena habari ya video yako iliyovuja tulishaisahau sisi..na ninyi waandishi Wa habari mnauliza kitu kilishapita na kilimuumiza Mtoto Wa watu eboooo