Nikweli mheshimiwa nazani milad ndio maana amekuwa mkuubwa kwani hafanyi huo ujinga na imefika hatua watu wenyewe wanasema km kapost millad ni kweli hivyo ni chombo kina aminika ktk jamii
Hasa haw wanaoandika vichwa vya habari vya uongo halavu ndani unakutana na maudhui ya kipuuzi au haviendani na kivhwa cha habari NAPE EMBU KUWA MKALI HATUTAKI KUISHI KWENYE ULIMWENGU WA UONGO UONGO
Huyu dada lazima akamatwe ahojiwe vizuri kama ingelikuwa kwa mfano ni kweli basi atueleze huyo nyoka wake pesa anaiba kutoka wapi anaibia mabenk au anazitengeneza kwa njia ya haram yaani sio hela ya kweli akipewa mwenye duka zinabadilika sio hela tena, kwa hiyo ni wizi mkubwa hakuna njia nyoka anakiwanda halali cha kutengeneza hela
Hahaaaaaaaaaaàa, maumbwa haya hayatoki ndugu. Yanaishi kusoma saikolojia za watanzania kwa kuwadanganya kila leo. Yanatumia NGUVU kutangaza ushindi pasipo ushindi.
Fanya kazi hakuna chama cha upinzani au kilichopo kitakuja kumaliza matatizo katika taifa hili ndio maana hata marekani watu wanaandamana kila kukicha uweza kuwa hawana tatizo kama ya kwetu ila pia sisi kwenye hayo wanayoandamana nao uenda na sisi hatuna, inchi ya kuisha matatizo haipo kwenye huu ulimwengu
Nape hebu simameni kudete kwa walawiti na wabakaji wa watoto wetu hilo ni jambo baya linalo aibisha na kudidimiza kizazi hiki na kijacho kuliko hilo swala la huyo anaejitangaza kufanya mapenzi na nyoka,
Watz wengi ni watu wajinga na wenye kudanganywa sana yule Dada aliposema ni Tajiri mijitu mingi ilienda kwenye comments kuomba mawasiliano ya huyo Dada awasaidie, Kuna hutu tu TV uchwara tunafata matapeli na kurusha kutangaza kutoa promo.
Hiyo Hadith ya panzi yupo hai au kafa sio hadithi ya mfalme Suleiman, aliyetufundisha hadithi hiyo ni muinjilist Reinhard Bonkey, a great Germany preacher who had been prepared gospel in the continental of Africa, by the brand of CFAN, Christ for all nations,
Utashi wa Rais badala ya matakwa ya Katiba na sheria? Uhuru wa vyombo vya habari bila habari? Magazeti huru na kiuchunguzi hayapo mitaani.Habari ni zile za kusifia kiongozi na mbwembwe za kisichostahili kupewa sifa.Redio zimebaki kuchezesha kamari na propaganda za michezo na miziki inayochusha masikio ya watu wanaojistahi.
Mh. Nape nadhani waliopost picha yako ya ajali feki walitaka kufikisha ujumbe kwa serikali kwa ujumla Blogs nyingi isipokuwa Millard Ayo zinatoa Headings feki sasa kwa mfano wa kwako TCRA ione namna ya kutulinda walaji, Headings na content ni tofauti. Unasililiza hadi mwisho lakini hipati hiyo habari. Tusaidie
kama kweli muheshimiwa nape unayosema kwa nini anaye post video za kijinga asichukuliwe hatuwa, na dada alosema ana lala na nyoka aka matwe na kufunguliwa mashtaka ili video za kijinga kama izo zisitokee tena, mimi naishi Mayotte kisiwa kina tawaliwa na wafaransa , baadhi ya watu wameena video ya huyo dada wana fikiri ni kweli icho anachosema, uyo dada anali aybisha taifa kwa ujumla.