Asante MH. Makala CPA (T) kutoa kauli yenye ufafanuzi mzuri na ya kisomi, muda huu wasijitokeze watu wa kutaka kumchafulia Mama na chama tawala. Watu wanaotoa kauli kama hizo wakemewe wazi wazi kama ulivyofanya na ikiwezekana msiwapitishe kugombea nafasi kabisa. Ulimi ni kiungo kidogo sana utumike kuendeleza amani na upendo wa nchi yetu.
tunashindwa kuwaelewa hawa machawa wanapiga makofi kwa kila kitu wakati Nape anaongea wanapga wakofi huyo naye kaongea yake wanapga makofi upuuzi mtu tu
Wote mko kama Nauye. Hayupo msafi. Wote mani a kura, na wote tunawaelewa hivyo. Hamtoi ushindani wowote, hata mwenye kiti wenu alisema hivi hivi naye ndiye ng’ombe a Uraisi wa kafa yenu. Kakataa tüme huru na katiba mpya akiogopa itamtia kapuni. Kama mnajiamini hivi ruhusuni tüme huru na katiba mpya kabla ya uchaguzi tu one.