Pole sana mama,pole sana mkuu wa nchi.Pole sana mhe Rais wangu.Ndo dunia mama napia ndio wanadamu.Huwezi kumfurahisha kila mtu or kila mwanadamu.Piga kazi mama napia songa mbele.Mkuu
Uchumi umepanda juu ya mti au umepanda kwenye ndege inayoelekea Dubai maana kilio Cha ajira umasikini gharama za matibabu sioni labda Kuna anaeona anioneshe ivi walisema raisi hapingwi ni kweli uchumi umepanda nilisahau
Mama yangu laisi nakukubali lakini tupe katiba nzuli pili mahama ya mafisadi tatu ondoa machinga barabarani mama ntiliye balabalani hao wote wanao kupigia makofi wote chawa sijawahi kuona Kila laisi ni makofi hao ni chumia tumbo ispo kua jeerry silaa na makonda na bitko na bashungwa wengine watafutie kazi hotelin
Sikuwahi kusikia mifano ya vyura mara sijui nini kwa marais wa nchi zingine. Haya utayasikia tu Tanzania nchi ya vijembe ,uchumi ni wa watanzania nchi ni ya watanzania sio mali binafsi Rais ni msimamizi tu na mwajiriwa wa watanzania
dah hii ndio tz ya mwigulu nchemba sasa kapewa lungu jipya kukusanya kodi sio tatizo shida Nikwamba izo hera zinaenda wapi miradi inacherewa kuliko maelezo miladi mikubwa mipya hakuna inayomaliziwa Ndio ile ya mtetezi wawa nyonge kukopa tunakopa kodi utitili izo pesa zinaenda wap
Inchi ngumu sna hii. Bora kungelikuwa na mfumo endelevu wa viongoz lakini hivi . Mmoja anatengeneza harafu mwingne anakuja kuharibu 2. Hili niku2hangaisha wananchi katka mifumo yao ya kipuuz
😂mama huna misingi ya kulinda rasirimali za hili taifa kwani maneno hayo hakuna raisi hajawahi kuyasema lazima ufahamu kuwa umekuta ufa katika yale yalio anziswa na watangurizi wako hii. yakukopa ilianza tangia nyerere .nchi inadaiwa kila kukicha bila ukomo huku tukiomba misamaha ya madeni na hizo fedha kwaajiri ya nini hapa kilimo ziro elimu ziro uvuvi ziro madini ziro ajira ziro teknoroji ziro. afya ziro. siasa ziro utawala bora ziro ufundi stadi sayansi ubunifu sanaa ziro michezo ziro mbinu za kijahasusi za kimataifa kuiba ujuzi kiiviwanda na teknoroji ziro kuweka ulahisi wananchi kutoka nje ya taifa na kuweka hamasa kuchuma nnje kuleta ndani hiyo pia ziro kuzitumia rasilimali. z etu kama aridhi maji hewa watu na solo kubwa duniani la. chakula ambalo .linakabiri ma kutoa tishio duniani hilo pia ziro eti hakuna ajira tunao ujuzi wa kukopa na kuomba misamaha hii aibu itaisha lini kwani huwa hamtafakari kuomba ni fezea nchi nzima hii ni madalari tangia vijijini kata wilaya mikoa huu ndio mtindo wa. maisha ya watanganyika tulinyimwa kila fursa mdawote. huo leo hii raisi samia unaa anzia wapi kwa mikopo huna hata msingi wako .katika. hiyo ulio ikuta mama samia hizo ni lawama tuu huzikwepi hao mchwa wana chekelea chini chini kuupiga. mwingi kwa kila stairi sasa mama) sikia. hii. kama huna hizi siraha usitegemee kuona jipya katika misingi ya wenzio ilio..ingiza hili taifa katika ujinga umasikini nmardhi asomae na afamu