Тёмный

Ndoto ya Mwizi na maana zake Skh: Jafari Mtavassy mfasiri bingwa wa ndoto Afrika 

MTAVASSY TV TANZANIA
Подписаться 38 тыс.
Просмотров 19 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

8 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 135   
@AbuubakarAbdaalla
@AbuubakarAbdaalla 5 месяцев назад
Mie nimeota naibiwa baskeli na mwiz mie sikumuona illa watu wangu wakaribu wamemuwona na tukawa tunamtafuta illa sikumpata
@kichechemtundu4061
@kichechemtundu4061 3 года назад
Maashaallaah yaani nakupendea hapo habiiby Skh Jafari Mtavassy Allahu akupe kila la kheri hapa duniani na akhera amina
@esharodah9856
@esharodah9856 Год назад
Ahsante.shukran kaka
@zohoraramadan4540
@zohoraramadan4540 3 года назад
Waleykumusalamu warahmatuLLAHI wabarakatuh, shukrani ya shekhe ALLAH iateki ghafya
@nyllamnshimirimana2996
@nyllamnshimirimana2996 Год назад
Shukrn Shukran
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Год назад
Wa alykum salam shekh wetu Allah akulipe kheri, subhana llah mara mbili mfululizo naota mwizi mara vibaka maeneo ya nyumbani, na nikawa napita sehem vibaka wananiangalia na kunifatilia nikawa natembea haraka kwenda sehem waliokaa watu na mara likatokea bas nikapanda nikamsikia mama mmoja akisema hawa watu sio wazuri kuna mtoto wa darasa wa kike kafanyiwa ukatili nikastuka, kesho yake nikaota mwizi kaingia ndani Kwangu anataka kuiba hakuna aliemuona mi ndo nikaanza kuita mwizi mwizi , badae nikajisemea mume wangu kaenda wap au kuoa nikaanza kupiga SIM mara nikastuka lakin Niko mbali na familia yangu, nini maana ya hii ndoto shekh
@alihassanjuma5445
@alihassanjuma5445 Год назад
Asalam alekum shehe ukiota mwizi kaingia nda ya fensi ya nyumba yako akavunja kusima akaiba pampu yakuvitia maji hii manaeke Nini mwizi hamjui na mara kwa mara hii ndoto inajitokeza
@JafarNshimirimana
@JafarNshimirimana 9 месяцев назад
Asalam'alaykum warahmatullah wabarakatuh mim nimeota kua nilikua sipo bikakata mwizi kaingiya ila hakuweza kuvunja mlango ili zingine ndani akawa amerudi nyuma
@mrnawanda3893
@mrnawanda3893 3 года назад
Sheikh mimi huwa mara nyingi sana naota kua kunavita ndege zakivita zinapita juu
@AlicesalmaMashakad
@AlicesalmaMashakad 2 месяца назад
Asalam alaikum sheikh nime muota mfanyakazi wangu wa kiume ame bomowa mlango na aka muibiya pesa zoote mme wangu na akarudisha kufunga mlango ila ame ugeuza ndio nik gunduwa kama n yey baada ya kumuona na mashaka mashaka kwenye uso wake nini maana yake ?
@florategete3631
@florategete3631 3 года назад
Allah akupe maisha malefu
@khadijaangore4408
@khadijaangore4408 3 года назад
Ameen yaraab alamiin
@wazirially2104
@wazirially2104 2 года назад
Ustadhi Mimi niliota mwizi ananyata anataka kuingia nikagundua nikawa nazomea mwiz
@fatumarajabu9332
@fatumarajabu9332 2 года назад
Asalam aley kum warahmatullah wabarakatu, shekh naomba utafsiri na upande wa pili coz mm nimeota naiba hela ndani ya kabati zilikua hela nyingi lakini nilichukua 2000 tu nn Mama yake
@abdallahkiliaki3744
@abdallahkiliaki3744 2 года назад
Aslm Alaykum. Nimemwota mwizi akichungulia kutoka dirishani kwangu na baada ya kumwona nikataka kupiga kelele lkn sauti haikutoka. Mara ya pili pia haikutoka. Hatimaye sauti ilitoka kwa nguvu sana mara ya 3 kiasi cha mwenza wangu kuzinduka usingizini na mm mwenyewe pia. Hata wale waliolala chumba cha jirani walisikia makelele ya "mwizi huyo"!! Ndoto hii ilitokea usiku wa tarehe 25 kuamkia tarehe 26 Novemba 2021. Nn maana yake?
@muragizinourah1042
@muragizinourah1042 Год назад
Assalam alaikum,nimeota nakamata mwizi
@khadijaangore4408
@khadijaangore4408 3 года назад
Waalykum.msaalam waramatulah wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah. Shukran jazakallab kheir.💕💕
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 3 года назад
wa ent kadhaalik
@aminambodze7046
@aminambodze7046 2 года назад
@@MTAVASSYTv aslm alkm ,mmi nimeota mwizi akifukuzwaa kutoka kwa jirani ,Kisha akisema yeye hajaiba ili asipigwe baada ya dakika kdogo akafikia nyumba nilio kua huku ikipigwa,akapanda kupitia ukuta karibu na mlango akaingia kwa paaa na mm nilikua ndani lakin hakunidhuru Wala kuchukua kitu
@aminambodze7046
@aminambodze7046 2 года назад
@@MTAVASSYTv baada ya kuingia kujitetea alikua juu ya paa hakushuka chini Kisha katafuta mahali kwa kutokea juu ya paa kabsa yaan kw mabati lakin alipokua anataka kutokea kulikua na walinzi wangu alivyojaribu kutoo kichwa kwenda inje walinzi wakamzuia ,na mim ndo nikamka,na wale waliokua wanafukuza hawakumpata
@G.r.e.a.t.I.Q
@G.r.e.a.t.I.Q 2 года назад
Salaam, Maalim! Je kuota namuona rafiki yangu anaiba kitu kutoka kwa mfanya biashara ambaye tumetoka kununua kitu kwake.. maana yake nini? Tafadhal..
@ShazraOmary
@ShazraOmary 3 месяца назад
Asalm alykm shekh nimeota nimeibiwa ila mwizi nimemkamata akanipa vitu vyang nikampiga kidg nikamwachia aende nin maana yake shekh
@MadamSaid-f2b
@MadamSaid-f2b 9 месяцев назад
Assalam aleykum shekh, mm nimeota nimeibiwa mkoba wenye vifaa vya kazini na dishi ila yule mwizi nilimuona na nikamfuata hadi kwake nikachukua baiskel yake je hii ina maana gani?
@nasraabdallah
@nasraabdallah Год назад
Nimeota wezi wameingia ndani nikawa napambana nao nikawa nawapiga lakini wakaiba tv miongoni mwao
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv Год назад
Utaishi maisha ya msoto kidogo fanya subira
@magneticofficialtz
@magneticofficialtz 11 месяцев назад
Tunapata tabu sana kukusikia sisi watazamaji
@kibeginiblue7188
@kibeginiblue7188 3 года назад
Assalamualaikum Nimeota mwizi ameiba kuku watatu wa mtu ninae mjua mwizi mwenyewe mukota machupa nikamfata mwenyewe kumwambia nikamwambia tumfate lakn alishia kulalamika hakufanya chochote Inamaana gan
@khadijaangore4408
@khadijaangore4408 3 года назад
Insha Allah
@ghinaathman6681
@ghinaathman6681 5 месяцев назад
Nimeota mwizi ameingia kwangu akatoka na kijana wangu mkubwa na nikawa na hofu kubwa sana
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 4 месяца назад
Allah aepushe maana hujulishaga kifo cha huyo aliyechukuliwa kama tu hujamuona akirudi, au neema kukuondoka. Allaah awe nanyi
@selemanmngereza6285
@selemanmngereza6285 Год назад
Assalam aleykum shekh mm nimeota nimeazima pikipiki ya rafiki yangu Kisha nimetoka nayo nimefika sehemu nimeingia hotelini kupata chai baada ya kumaliza kutoka nje nakuta pikipiki haipo. Nini maana yake
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv Год назад
Wa,salaamu aarahmatullah wabarakaatuh Mkague mwenza wako huenda anamchepuko, au laa basi kafanyiwe dua umehusudiwa, kwa lugha fupi utakuwa mtu wa kutikwa na neema mara nyingi allaah akuepushe
@dorissimfukwe4857
@dorissimfukwe4857 4 месяца назад
Nimeota nilipo rudi nyumbani nimekuta milango imevunjwa tv, radio, shokesi vimeibiwa na mwizi simjui Alf chumba cha nje yupo baba mkwe wangu kalala ni mgonjwa hakuona wala kusikia kitu...lkn pia ni mgonjwa kweli
@MwajumaSebe-zo9ob
@MwajumaSebe-zo9ob Год назад
Mm nimeota nimemshika mwizi
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv Год назад
Fumanizi au mgonjwa atapona
@AsiaSaid-iv4pn
@AsiaSaid-iv4pn 10 месяцев назад
Shekhe mimi naota sana mama yangu amekufa kwa sababu mbalimbali inamaanisha nini
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 10 месяцев назад
Nimelisema hili kwenye video yenye maudhui hayo tafadhali
@AsiaSaid-iv4pn
@AsiaSaid-iv4pn 10 месяцев назад
@MTAVASSYTv ulielezea ndio shekhe lakini sikuelewa maana uliongelea kwa mtu mwenye mimba na kwa mtoto wa kiume tuu kama sikosei maana nakufatilia sana mimi lkn sikuelewa shekhe
@khadijaabdu6532
@khadijaabdu6532 2 года назад
Asalam alaykum shehe mm nimeota Jana nimemuomba mwizi anavuta pazia anAtak kulichukua hakulipat akaja dirisha jenqine nikaenda Huku naita mwizi ila sauti haitoki mpak AK Mara tatu saut ikatoka nikamuanqalia nilipahatik nikawa namjua huyo nikamwambia nishakujua ww Nanihii ndoto nimeota alhamisi Kama kesho skuu ya eidy Al adha ijumaaa tarehe 9
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 2 года назад
Wa,salaam warahmatullaah, hii chunga ni ishara ya mwenza wako kutka kuchepuka
@KautharAmour20
@KautharAmour20 Месяц назад
Sheikh mimi nimeota mwizi nyumban hakuiba ndan ya nyumba ni vitu vya nje ya nyumba ila nilimfukuza had nikamkamata inamaana gani na siku ya pili kuliibiwa kweli
@murtazangayega1422
@murtazangayega1422 2 года назад
Safii
@hadijahussein6302
@hadijahussein6302 2 года назад
As salamu alaikumu wa rahmatulah wabarakatu barkalah barkalah fika, mimi nimesha ota mara 3 na ibiwa mukebe wangu wa mikufu mara ya 1 mwizi ali shikwa na mtu mwengine nikakuta amenihifadhia mu kebe wangu,mara2 niliota nime ibiwa Pete zangu za zahabu 2,mara ya ta3 niliota nime ibiwa ,nilipo toka madrasa nika kutana na huyo mwizi ame niibia capeti ya chumbani kwangu nikawa nime mukimbiza akawa ame kimbilia kwenye kichaka fulani,nilipo rudi nikakuta naule mkebe wa mikufu yangu ume tupwa Pembina nika uokota ,hafula nika ona sehemu Kuna mafia 3 na majivu yake ndipo nilipo kwenda kuokota hiyo mikufu yangu na maherini,pita napete zangu ,yani vina rangi ya njano sana nilikuwa na mama yangu muzazi akanisaidia kuvikusanya hadi kulikuwepo mikufu ambayo nisiyo I fahamu mizuri nikarudi nyumbani kwangu na vile vitu vyangu nikawa nime shituka
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 2 года назад
Je huwa unapata matatizo ya mahusiano mara kwa mara?
@swaphiatysaid5332
@swaphiatysaid5332 3 года назад
A/alaykum. Sheikh ndoto za kuota upo chini Kidogo ya umri ulionao lkn si mtoto na unaowaota katika ndoto hiyo pia wapo chini kidogo ya umri wao hii inamaana gani. Yaani 2po madrasa lakini katika umri ule ambao kipindi kile nasoma madrasa kwasasa nmeolew
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 Год назад
Asalam alley kum mm nimeota mwizi nafungua mlango lkn wezi walitaka kuingia nikaufunga mlango nilirudi chumbani badae nilipo fungua mlango tena walifanikiwa kuingia ndani walibeba vitus na kuondoka navy nilipiga kelele lakini sikupata msaada
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv Год назад
Wa,salaamu warahmatullaahi wabarakaatuj Muonye mwenza wako anachepuka.
@user-xt4mc2ff8b
@user-xt4mc2ff8b 4 месяца назад
Sheikh niliota nilimuibia mtu akaninadia lakini watu hawakuniona ila yeye akanifukuza ila akanikosa ila nikakimbilia mpaka mskitini halafu apo mskitini nikamuibia rafiki yangu viatu lakini mdogo wake akaniona halafu akamuita kaka yake ambae ni uyo rafiki yangu akaja ila pembeni kuna mtu akamuambia ivo viatu muashie kwasabab ilikua sina kitu nimevaa nguo kama taulo nimejifunika sehemu za siri maana yake nin?
@cwifatyhassan397
@cwifatyhassan397 Год назад
Asallaam alleykhum shekh miye naitwa sifa nipo Pemba nimeota mwizi ameniibiya simu zangu nyumbani lakin nimemkamata tarehe ya ndoto 14/2/23nilipoamka tu ilikuwa saa Tano kamili asubuh nn maana yake
@MaryKimwaga-h2b
@MaryKimwaga-h2b Год назад
Habari nimeota nilikuwa na nyumba sehemu.wakati matoka kwenye ibada nikakuta nyumba imevunjwa nimeibiwa vitu vyote vya ndani vimebaki viatu tu.hlf wakati natembea kuelekea huko nilimuona mbaya wangu yaani snaenichukulia.mume wangu akiwa nyuma yangu.ninj maana yake?
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv Год назад
Pole sana nitafute whatsap na upige picha screen shot haya majibu unatumie na suali lako nitakupa siri inshaallaah
@aminamukantabana8241
@aminamukantabana8241 3 года назад
Aslm alaikum w w! Shekh naomba ni tafusirie iyi ndoto! Napenda kuota nakosa mototo wangu wa kiume! Iyi ndoto inajirudia Rudia! Shekh inamana gani?
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 3 года назад
wa,salaam wa,wa. sijaelewa tafadhali
@allykhan3477
@allykhan3477 3 года назад
Mashaallah
@HamidakomboKombo-xs2ju
@HamidakomboKombo-xs2ju 7 месяцев назад
Mimi nimeota nimeibiwa mfuko ndani yake mna pesa na vitu vyengine, na mwizi nilimuhisi Nini maana yake?
@ChidyMfululu
@ChidyMfululu 2 месяца назад
Jama alie iba na mfaham alipo kimbia nikamsaidia kumwambia njia ili asikamatwe.
@AbdulKipanga
@AbdulKipanga Месяц назад
Je ukijiota ww mwenyew ndio umeiba zimu 2 hii inamaana gani
@bintimbuto5740
@bintimbuto5740 2 года назад
Jambo mimi nimeota na ambiwa na mtu kuwa nimeibibiwa nguo yangu na nilikuwa nasikiya sauti ila mwizi sikumwona na rangi yanguo yangu nili iyona nikaaza kujiuliza kuwa nitavaa nini sikuelewa mwosho iyo ndoto ina mana ngani?
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-kWhZqWw9zYI.html
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 2 года назад
Mwambie mwenza wako kwamba nguo ni stara sasa kama inaibiwa wazi kwamba stara ya mwanamke ni mume sasa yeye ndiye inae mlenga hii anakamchepuko na kama haupo ndani ya hayo basi utapoteza kazi Allaah akulinde
@Christina-h5s
@Christina-h5s 5 месяцев назад
Nmeota mwizi kafika nyumbani ila aoaeleweki kama ni kwangu au siyo kwangu kaiba wakati anatoka nikamuitia mwizi lakini hakupigwa wala hakukimbia aliiba nguo na alidimama nazo mlangoni pangu uku ananiangalia tafadhali inamaana gani
@tamimasaloon8547
@tamimasaloon8547 2 года назад
Asalam alaykum mimi nimeota namuibia diarmond platnam ikesha pesa nikaenda kumpa mamaangu pesa zote niloiba maana yake ninini
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 2 года назад
Acha tabia ya kuangalia mambo ya watu, au ndoto inakuambia kuwa achana na uzinifu
@tamimasaloon8547
@tamimasaloon8547 2 года назад
@@MTAVASSYTv Asante
@nasrakal
@nasrakal 2 года назад
Kaka je , nimeota napeleka watoto wangu kuandikisha madrassa mana yake nn?
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv Год назад
Wanaweza kupitia katika hali ngumu
@qudrahfelix6015
@qudrahfelix6015 Год назад
Waleikum msalan sheikh mm Jana kuamkia leo nimeota mwizi kapigwa kwa bahati mbaya yule mwizi kafa lakini huyo mwizi ninaemjua pia nimeolewa hii humaanisha nn Haina maana mbaya
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv Год назад
huyo ni mchepuko wa mtu wako kaachana nae au wewe umeachana na mchepuko, lakini huyo mchepuko bado anawaza kuwa kwenye hayo mahusiano, lakini pia hujulishaga kwamba malaika wa mauti kapita kukagua mtu yaani mktu kiaumwa au kupata ajali na kapona salama
@fatmaismail13
@fatmaismail13 3 года назад
Mie niliota nataka kuoga lkn hakuna maji nikachukua ndoo kwnda mtoni kuchota maji. kabla sijafika nikaona mbele yangu kidogo shamba la mahindi kuna mtu na kidibwi kinamaji ndani kulikua na samaki mkunwa mmoja na engine vidogoo tena nikaona kitu ka nyoka mdogo ila anageuka njiwa nn maana yake?
@ZahraKaijage-kl2dv
@ZahraKaijage-kl2dv Год назад
Shekhe Mimi nimeota mwanaume tuliechana anamtuma MTU aniibie ndani ya nyumba yangu then Mimi nikakimbia mpka police
@shifamakame4622
@shifamakame4622 3 года назад
Shekhe jaribu kutowa tafsiri tofauti mn kuna kuibiwa na kuna ht mtu binafsi huona unaiba sasa jee
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 3 года назад
Jibu lipo humu humu wewe tu ila inshaallaah nitawasaidia
@kanisiamkoko7051
@kanisiamkoko7051 3 года назад
Shekhe nimeots nimeona swala natwiga wazuri sana wanacheza cheza na askari police wanacheza cheza maana yake nini?
@khadijaabdu6532
@khadijaabdu6532 2 года назад
Iyo ndot yanqu inamanisha nn
@jumahagai9013
@jumahagai9013 3 года назад
Je ukiota umeiba
@MonicaNgando-io7km
@MonicaNgando-io7km 5 месяцев назад
Mwizi umemuona humjui afu unamkimbiza kakupotea
@florentinamichael2782
@florentinamichael2782 3 года назад
Nimeota nimeibiwa vitu vyandani lkn mlango wanyuma yanyumba ulikuwa wazi nandiko aliko pitia lkn mimi sikumuona isipo kuwa nimekuta tu nimeibiwa namlango uko wazi
@nasrakal
@nasrakal 2 года назад
Niliota aliekua mwanaume wangu amerudi Tanzania mana naishi marekan nae anaishi huku tuliachana nikamuota karudi nyumban kawa jambazi na nikawa naonyeshwa video alikua anaiba na mama yangu mdogo .
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv Год назад
Huyo mwanaume kuwa nae mbali kabisa mlaghai tu
@ezraadam5433
@ezraadam5433 19 дней назад
Kuota mwizi anakuibia Hela sio ndan et nn maana yake
@shgalhaa8442
@shgalhaa8442 3 года назад
Kuota mwizi kachomw mwoto niishala ghani
@neemakibona3605
@neemakibona3605 9 месяцев назад
Nimeota mwiz kakamatwa maeneo ya jiran na kazin lkn namjua amekamatwa maan yake nn shekh
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 8 месяцев назад
Kama hatokamatwa kweli hapo mwizi, basi ndoto yako inakuambia atafumaniwa mtu
@Ramlakimaro
@Ramlakimaro 5 месяцев назад
Nmeta naibiwa dukan kwangu na nikamkamata mwizi ila ckuina alichoniibia
@nancynkya4462
@nancynkya4462 Год назад
Mimi nimeota tumeibiwa wapangani wote mmoja tu ndo ajaibiwa tukaanza kumgombeza kwanini yeye ajaibiwa
@EvariniJumanne
@EvariniJumanne 11 месяцев назад
Nimeota nilienda kuiba kwa mdada ninae mtafaham kabisa nimeiba pesa nishiligi elf 40000 nasim yatashi kubwa kablayahapo niliwakuta wtt wadogo wawili nikaibiya dirishan et kunawa dada wawili walikuwa wananifata wakanambiya ww umeiba nikakataa kabisa badae nikampa cmtu wapeleke. Sijawapa pesa
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 10 месяцев назад
linaweza likatokea jambo la fedheha kwako au ukapata dosari katika tabia zako, na ndoto hii hii ywezaikaashiria kwamba unapeleleza maneno yake na kuyasema mengine na mengine unaficha husemi badilika
@agnesjosephdev503
@agnesjosephdev503 3 года назад
Nimeota mwiz anaiba nondo za hapa nyumban lakn nilivyomuona nikapiga kelele akarudisha
@rahimuramadhani1781
@rahimuramadhani1781 3 года назад
Duuh! Mimi juzi nimeota nimemkamata mwizi ofisini kwangu ameiba vtu dukani nani jirani nini maana yake
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 3 года назад
angalia vizuri utapata jawabu hapo ndugu
@latifachilala2015
@latifachilala2015 3 года назад
Umenishinda baba🤣
@Desire-wn9iv
@Desire-wn9iv 3 месяца назад
Shk nimeota mwizi anapigwa alakini namjuwa nini maana tafadhali
@luciasoko9026
@luciasoko9026 Год назад
Kuota umetok sehemu kurudi nyumbni unakuta mlango upo wazi,unapoingia ndani unkuta vitu vimetawanywa. Mwizi alikuwa anatafafuta Hela,halafu kuna sehem uliweka Hela kaiba kabakisha kidogo sana,pia unaangalia unamuona Huyo mwizi kalala chini kama hana akili vizur unamkamata unawaita watu mwizi mwizi lakin watu kama wanakuzarau hiv. Maana yake nn Huyo ndoto?
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 8 месяцев назад
0656606014
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 8 месяцев назад
njoo whatsapp
@AngelOllomy
@AngelOllomy Год назад
Nimemuona mwizi ananiibia tv nikawa napiga kelele haisikii maana yake nini
@elihurumamugesha735
@elihurumamugesha735 Год назад
Shehe habari ya uzima nimeota nimeibiwa samani za ndani baadae ya muda nikakuta vipo nje vimeharibiwa tu mfano sofa wamechuku magoro yake na kuacha mbao nje na vingine Ina maanisha nn nsaidie kutafsiri hii shehe
@MwajumaSebe-zo9ob
@MwajumaSebe-zo9ob Год назад
Ukiota umemshika mwizi
@florentinamichael2782
@florentinamichael2782 3 года назад
Mimi nimeota nimeletewa maiti lkn inafunza wengi Sana
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 3 года назад
kama hautajulisha kuwa unapenda sana basi ni halali utapata M/Mungu ajaalie
@florentinamichael2782
@florentinamichael2782 3 года назад
Nimeota panzi wawili lkn wameungana wachini amekufa lkn wajuu mzima naanacheza cheza lkn katoa macho Sana baada nikaona km wote Tena wamekufa
@florentinamichael2782
@florentinamichael2782 3 года назад
@@MTAVASSYTv cjaelewa nitapata nini
@popod177
@popod177 Год назад
Sheikh nimeota nimetoka na wanangu sijui tulienda wapi,nikaachia mtu funguo lkn niliporudi nakuta mlango wazi,.tukiingia ndani vyombo vyote vya moto na gas vimeibwa..nikampigia huyo jirani simu kumuuliza mbona hakunifungia mlango,akawa ananipa habari ya kakangu ambae nimgonjwa,lkn sikumuelewa,.kukawa kuna kijana namjua vizuri tu anasema niachane na hao wezi,mm nikawa namshuku kimoyomoyo..nikamwambia hao wezi nitawaroga wote,akawa na wasi wasi..nikashtuka.
@florentinamichael2782
@florentinamichael2782 3 года назад
Pia nimeota baba yangu amekufu
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 3 года назад
utapata kheri
@jumahagai9013
@jumahagai9013 3 года назад
Mim nimeota naiba kwa mwanangu nikakimbizwa lakini awakunipata mbele nikaokota simu
@sasa-py8jz
@sasa-py8jz 3 года назад
Na ukiota umeona jeneza leupe limebebwa juju na watu wanalia kwa uchungu hii inamaanisha nn ndoto hii imenikosesha amani kweli
@maryammakata7849
@maryammakata7849 2 года назад
Sheikh nimeota nawakimbia wezi walitaka kuniibia
@aishatwaarabu8859
@aishatwaarabu8859 2 года назад
Mimi nimeota nimeibiwa lakini mwizi sijamuona
@aishatwaarabu8859
@aishatwaarabu8859 2 года назад
Hii ndoto naota mara ya nne 4 lakini sijamuona mwizi nakuta tu nguo yang aipo
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 2 года назад
Unasalitiwa kuwa makini mchunguze mwenza wake je hana mchepuko, chunguza marafiki zako je hakuna mtu anatoa khabari zako kwa watu na kukusema vibaya au je hakuna mtu anakuchunguza, LAKINI pia chunguza je baada ya ndoto hii haitokei mtu anafariki? Maana hayo ndio husemwa hasa kwa haki hiyo
@aishatwaarabu8859
@aishatwaarabu8859 2 года назад
@@MTAVASSYTv nikweli Leo nimeamini kunamtu nikonae hapa nyumbani ananiongea vibaya kwa watu Leo nimeletewa hapa huko vizur saanaaaaa
@dorissimfukwe4857
@dorissimfukwe4857 4 месяца назад
Mim nimeota nimerudi nyumbani nimekuta milango imevunjwa tv, radio na shokesi vimeibiwa hata sielewi
@tumainikiwuyo3441
@tumainikiwuyo3441 2 года назад
Nimeota nimemkamata mwizi nimempiga kweli yan ila wezi wenye walikuwa ni watoto watatu ila nimemkamata mmoja naomba maana yake bas
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 2 года назад
Kama nimesema ukimkamata mwizi na maana zake hebu rejea kuangalia ikiwa sijasema niambie
@rizikahmad6930
@rizikahmad6930 11 месяцев назад
mm uwa nikiota naibiwa uwa naibiwa kweli
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 11 месяцев назад
Pole sana nitatoa somo la kuzuia wezi inshallaah
@mariamsemwa226
@mariamsemwa226 4 месяца назад
Niliota mwizi amefariki natukamzika
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 4 месяца назад
muamini sana mwenzako wako kipindi hiki hana mchepuko
@merhatyup9479
@merhatyup9479 2 года назад
Nimeota dada yangu anaiba maeembe mm naokota yaliyoko chini tukakutwa na wenyewe mimi nikawaambia anayeiba ni dada
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv Год назад
poleni acha kushiriki na mtu wa watu uzinifu. na kama hauambiwi hivi basi munatabaia ya utesi hasa huyo nduguyo
@daudikasherente3484
@daudikasherente3484 3 года назад
Ukiot umeiba alafu unawenzio wezanko wakakamatwa wewe akakuacha akakuona huna ulicho iba
@esthernyambura9277
@esthernyambura9277 3 года назад
Na ukiota Mwizi amekuimbia na ukamuona and then akarundisha vitu zako
@elastonchacha3040
@elastonchacha3040 3 года назад
Skh nimeota Tena mala ya pili nakula asali Nini Mana yake
@hubbyemmanuel3267
@hubbyemmanuel3267 3 года назад
Nimeota mtu aliekuwa mgeni alivoondoka nligundua aliniibia ef kumi
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 3 года назад
Kuwa makini kuna mtu anakuchota na kusema kwa watu vibaya
@mamsmariam6670
@mamsmariam6670 3 года назад
Nataka kuja she h
@ahmadiadamu6843
@ahmadiadamu6843 2 года назад
Ukiota wewe unaiba
@AbuubakarAbdaalla
@AbuubakarAbdaalla 5 месяцев назад
Mie nimeota naibiwa baskeli na mwiz mie sikumuona illa watu wangu wakaribu wamemuwona na tukawa tunamtafuta illa sikumpata
@Raya-em8wz
@Raya-em8wz 3 года назад
Je ukiota umeiba
@AbuubakarAbdaalla
@AbuubakarAbdaalla 5 месяцев назад
Mie nimeota naibiwa baskeli na mwiz mie sikumuona illa watu wangu wakaribu wamemuwona na tukawa tunamtafuta illa sikumpata
@AbuubakarAbdaalla
@AbuubakarAbdaalla 5 месяцев назад
Mie nimeota naibiwa baskeli na mwiz mie sikumuona illa watu wangu wakaribu wamemuwona na tukawa tunamtafuta illa sikumpata
@AbuubakarAbdaalla
@AbuubakarAbdaalla 5 месяцев назад
Mie nimeota naibiwa baskeli na mwiz mie sikumuona illa watu wangu wakaribu wamemuwona na tukawa tunamtafuta illa sikumpata
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 4 месяца назад
muonye mke wako muambie asikubali kushawishiwa au muonyeshe ujumbe wangu kwani tafsiri ya kuibiwa huanzia hapo ukaguzi wake hasa ikiwa hivi uonavyo na pia hujulisha ndoto ya kuibiwa kipando kupatwa na hasadi
@AbuubakarAbdaalla
@AbuubakarAbdaalla 5 месяцев назад
Mie nimeota naibiwa baskeli na mwiz mie sikumuona illa watu wangu wakaribu wamemuwona na tukawa tunamtafuta illa sikumpata
Далее
Million jamoasi - O'zbekcha UFC
17:55
Просмотров 365 тыс.
Aliyeona nguo /mavazi Ndotoni Skh :Jafari Mtavassy
30:17
Ndoto za Mbwa na maana yake (@MTAVASSY TV TANZANIA )
6:35
UKIOTA NDOTO HIZI UJUE DUA ZAKO ZISHAJIBIWA
13:07
Просмотров 11 тыс.