Wa alykum salam shekh wetu Allah akulipe kheri, subhana llah mara mbili mfululizo naota mwizi mara vibaka maeneo ya nyumbani, na nikawa napita sehem vibaka wananiangalia na kunifatilia nikawa natembea haraka kwenda sehem waliokaa watu na mara likatokea bas nikapanda nikamsikia mama mmoja akisema hawa watu sio wazuri kuna mtoto wa darasa wa kike kafanyiwa ukatili nikastuka, kesho yake nikaota mwizi kaingia ndani Kwangu anataka kuiba hakuna aliemuona mi ndo nikaanza kuita mwizi mwizi , badae nikajisemea mume wangu kaenda wap au kuoa nikaanza kupiga SIM mara nikastuka lakin Niko mbali na familia yangu, nini maana ya hii ndoto shekh
Asalam alekum shehe ukiota mwizi kaingia nda ya fensi ya nyumba yako akavunja kusima akaiba pampu yakuvitia maji hii manaeke Nini mwizi hamjui na mara kwa mara hii ndoto inajitokeza
Asalam alaikum sheikh nime muota mfanyakazi wangu wa kiume ame bomowa mlango na aka muibiya pesa zoote mme wangu na akarudisha kufunga mlango ila ame ugeuza ndio nik gunduwa kama n yey baada ya kumuona na mashaka mashaka kwenye uso wake nini maana yake ?
Asalam aley kum warahmatullah wabarakatu, shekh naomba utafsiri na upande wa pili coz mm nimeota naiba hela ndani ya kabati zilikua hela nyingi lakini nilichukua 2000 tu nn Mama yake
Aslm Alaykum. Nimemwota mwizi akichungulia kutoka dirishani kwangu na baada ya kumwona nikataka kupiga kelele lkn sauti haikutoka. Mara ya pili pia haikutoka. Hatimaye sauti ilitoka kwa nguvu sana mara ya 3 kiasi cha mwenza wangu kuzinduka usingizini na mm mwenyewe pia. Hata wale waliolala chumba cha jirani walisikia makelele ya "mwizi huyo"!! Ndoto hii ilitokea usiku wa tarehe 25 kuamkia tarehe 26 Novemba 2021. Nn maana yake?
@@MTAVASSYTv aslm alkm ,mmi nimeota mwizi akifukuzwaa kutoka kwa jirani ,Kisha akisema yeye hajaiba ili asipigwe baada ya dakika kdogo akafikia nyumba nilio kua huku ikipigwa,akapanda kupitia ukuta karibu na mlango akaingia kwa paaa na mm nilikua ndani lakin hakunidhuru Wala kuchukua kitu
@@MTAVASSYTv baada ya kuingia kujitetea alikua juu ya paa hakushuka chini Kisha katafuta mahali kwa kutokea juu ya paa kabsa yaan kw mabati lakin alipokua anataka kutokea kulikua na walinzi wangu alivyojaribu kutoo kichwa kwenda inje walinzi wakamzuia ,na mim ndo nikamka,na wale waliokua wanafukuza hawakumpata
Assalam aleykum shekh, mm nimeota nimeibiwa mkoba wenye vifaa vya kazini na dishi ila yule mwizi nilimuona na nikamfuata hadi kwake nikachukua baiskel yake je hii ina maana gani?
Assalam aleykum shekh mm nimeota nimeazima pikipiki ya rafiki yangu Kisha nimetoka nayo nimefika sehemu nimeingia hotelini kupata chai baada ya kumaliza kutoka nje nakuta pikipiki haipo. Nini maana yake
Wa,salaamu aarahmatullah wabarakaatuh Mkague mwenza wako huenda anamchepuko, au laa basi kafanyiwe dua umehusudiwa, kwa lugha fupi utakuwa mtu wa kutikwa na neema mara nyingi allaah akuepushe
Nimeota nilipo rudi nyumbani nimekuta milango imevunjwa tv, radio, shokesi vimeibiwa na mwizi simjui Alf chumba cha nje yupo baba mkwe wangu kalala ni mgonjwa hakuona wala kusikia kitu...lkn pia ni mgonjwa kweli
@MTAVASSYTv ulielezea ndio shekhe lakini sikuelewa maana uliongelea kwa mtu mwenye mimba na kwa mtoto wa kiume tuu kama sikosei maana nakufatilia sana mimi lkn sikuelewa shekhe
Asalam alaykum shehe mm nimeota Jana nimemuomba mwizi anavuta pazia anAtak kulichukua hakulipat akaja dirisha jenqine nikaenda Huku naita mwizi ila sauti haitoki mpak AK Mara tatu saut ikatoka nikamuanqalia nilipahatik nikawa namjua huyo nikamwambia nishakujua ww Nanihii ndoto nimeota alhamisi Kama kesho skuu ya eidy Al adha ijumaaa tarehe 9
Sheikh mimi nimeota mwizi nyumban hakuiba ndan ya nyumba ni vitu vya nje ya nyumba ila nilimfukuza had nikamkamata inamaana gani na siku ya pili kuliibiwa kweli
As salamu alaikumu wa rahmatulah wabarakatu barkalah barkalah fika, mimi nimesha ota mara 3 na ibiwa mukebe wangu wa mikufu mara ya 1 mwizi ali shikwa na mtu mwengine nikakuta amenihifadhia mu kebe wangu,mara2 niliota nime ibiwa Pete zangu za zahabu 2,mara ya ta3 niliota nime ibiwa ,nilipo toka madrasa nika kutana na huyo mwizi ame niibia capeti ya chumbani kwangu nikawa nime mukimbiza akawa ame kimbilia kwenye kichaka fulani,nilipo rudi nikakuta naule mkebe wa mikufu yangu ume tupwa Pembina nika uokota ,hafula nika ona sehemu Kuna mafia 3 na majivu yake ndipo nilipo kwenda kuokota hiyo mikufu yangu na maherini,pita napete zangu ,yani vina rangi ya njano sana nilikuwa na mama yangu muzazi akanisaidia kuvikusanya hadi kulikuwepo mikufu ambayo nisiyo I fahamu mizuri nikarudi nyumbani kwangu na vile vitu vyangu nikawa nime shituka
A/alaykum. Sheikh ndoto za kuota upo chini Kidogo ya umri ulionao lkn si mtoto na unaowaota katika ndoto hiyo pia wapo chini kidogo ya umri wao hii inamaana gani. Yaani 2po madrasa lakini katika umri ule ambao kipindi kile nasoma madrasa kwasasa nmeolew
Sheikh niliota nilimuibia mtu akaninadia lakini watu hawakuniona ila yeye akanifukuza ila akanikosa ila nikakimbilia mpaka mskitini halafu apo mskitini nikamuibia rafiki yangu viatu lakini mdogo wake akaniona halafu akamuita kaka yake ambae ni uyo rafiki yangu akaja ila pembeni kuna mtu akamuambia ivo viatu muashie kwasabab ilikua sina kitu nimevaa nguo kama taulo nimejifunika sehemu za siri maana yake nin?
Asallaam alleykhum shekh miye naitwa sifa nipo Pemba nimeota mwizi ameniibiya simu zangu nyumbani lakin nimemkamata tarehe ya ndoto 14/2/23nilipoamka tu ilikuwa saa Tano kamili asubuh nn maana yake
Habari nimeota nilikuwa na nyumba sehemu.wakati matoka kwenye ibada nikakuta nyumba imevunjwa nimeibiwa vitu vyote vya ndani vimebaki viatu tu.hlf wakati natembea kuelekea huko nilimuona mbaya wangu yaani snaenichukulia.mume wangu akiwa nyuma yangu.ninj maana yake?
Jambo mimi nimeota na ambiwa na mtu kuwa nimeibibiwa nguo yangu na nilikuwa nasikiya sauti ila mwizi sikumwona na rangi yanguo yangu nili iyona nikaaza kujiuliza kuwa nitavaa nini sikuelewa mwosho iyo ndoto ina mana ngani?
Mwambie mwenza wako kwamba nguo ni stara sasa kama inaibiwa wazi kwamba stara ya mwanamke ni mume sasa yeye ndiye inae mlenga hii anakamchepuko na kama haupo ndani ya hayo basi utapoteza kazi Allaah akulinde
Nmeota mwizi kafika nyumbani ila aoaeleweki kama ni kwangu au siyo kwangu kaiba wakati anatoka nikamuitia mwizi lakini hakupigwa wala hakukimbia aliiba nguo na alidimama nazo mlangoni pangu uku ananiangalia tafadhali inamaana gani
Waleikum msalan sheikh mm Jana kuamkia leo nimeota mwizi kapigwa kwa bahati mbaya yule mwizi kafa lakini huyo mwizi ninaemjua pia nimeolewa hii humaanisha nn Haina maana mbaya
huyo ni mchepuko wa mtu wako kaachana nae au wewe umeachana na mchepuko, lakini huyo mchepuko bado anawaza kuwa kwenye hayo mahusiano, lakini pia hujulishaga kwamba malaika wa mauti kapita kukagua mtu yaani mktu kiaumwa au kupata ajali na kapona salama
Mie niliota nataka kuoga lkn hakuna maji nikachukua ndoo kwnda mtoni kuchota maji. kabla sijafika nikaona mbele yangu kidogo shamba la mahindi kuna mtu na kidibwi kinamaji ndani kulikua na samaki mkunwa mmoja na engine vidogoo tena nikaona kitu ka nyoka mdogo ila anageuka njiwa nn maana yake?
Niliota aliekua mwanaume wangu amerudi Tanzania mana naishi marekan nae anaishi huku tuliachana nikamuota karudi nyumban kawa jambazi na nikawa naonyeshwa video alikua anaiba na mama yangu mdogo .
Nimeota nilienda kuiba kwa mdada ninae mtafaham kabisa nimeiba pesa nishiligi elf 40000 nasim yatashi kubwa kablayahapo niliwakuta wtt wadogo wawili nikaibiya dirishan et kunawa dada wawili walikuwa wananifata wakanambiya ww umeiba nikakataa kabisa badae nikampa cmtu wapeleke. Sijawapa pesa
linaweza likatokea jambo la fedheha kwako au ukapata dosari katika tabia zako, na ndoto hii hii ywezaikaashiria kwamba unapeleleza maneno yake na kuyasema mengine na mengine unaficha husemi badilika
Kuota umetok sehemu kurudi nyumbni unakuta mlango upo wazi,unapoingia ndani unkuta vitu vimetawanywa. Mwizi alikuwa anatafafuta Hela,halafu kuna sehem uliweka Hela kaiba kabakisha kidogo sana,pia unaangalia unamuona Huyo mwizi kalala chini kama hana akili vizur unamkamata unawaita watu mwizi mwizi lakin watu kama wanakuzarau hiv. Maana yake nn Huyo ndoto?
Shehe habari ya uzima nimeota nimeibiwa samani za ndani baadae ya muda nikakuta vipo nje vimeharibiwa tu mfano sofa wamechuku magoro yake na kuacha mbao nje na vingine Ina maanisha nn nsaidie kutafsiri hii shehe
Sheikh nimeota nimetoka na wanangu sijui tulienda wapi,nikaachia mtu funguo lkn niliporudi nakuta mlango wazi,.tukiingia ndani vyombo vyote vya moto na gas vimeibwa..nikampigia huyo jirani simu kumuuliza mbona hakunifungia mlango,akawa ananipa habari ya kakangu ambae nimgonjwa,lkn sikumuelewa,.kukawa kuna kijana namjua vizuri tu anasema niachane na hao wezi,mm nikawa namshuku kimoyomoyo..nikamwambia hao wezi nitawaroga wote,akawa na wasi wasi..nikashtuka.
Unasalitiwa kuwa makini mchunguze mwenza wake je hana mchepuko, chunguza marafiki zako je hakuna mtu anatoa khabari zako kwa watu na kukusema vibaya au je hakuna mtu anakuchunguza, LAKINI pia chunguza je baada ya ndoto hii haitokei mtu anafariki? Maana hayo ndio husemwa hasa kwa haki hiyo
muonye mke wako muambie asikubali kushawishiwa au muonyeshe ujumbe wangu kwani tafsiri ya kuibiwa huanzia hapo ukaguzi wake hasa ikiwa hivi uonavyo na pia hujulisha ndoto ya kuibiwa kipando kupatwa na hasadi