nakupenda Diana Kimaro Dah Mungu akusaidie Sana na akulinde Daima akupe wepes katika maisha yako kipenzi miaka buku uishi kipenzi. 💖💖💖💖💖 Thea mama uko vizuri Sana mom angu ila men mie sitaki hata kuwaskia bora ntafute pesa tu looooh wakuchezee mwisho wa siku wakukane looooh nikifkiria mapenzi Nawachukia Sana boys yn.
Unishindi mim ferista wajina wa best yangu yani tangu Mgeni mgeni anaanza kuigiza tulimpenda hata marehem mama mkubwa alikuwa anasemaga huyu dada nampenda Thea nikawa na mwambia hata mim. Kwanza rangi yake nzur kama ya Mona mwanzo nilikuwa kipindi simjuwi nilikuwa nampendaga Mona akajaga tea nikawa nampenda naye hadi sauti yake anavyoongea yani anajuwa hekti na bila kumsahau Maya naye noma alivumaga gafla tu Kwa Jinsi anavyojuwa hekti
Thea hadi mumewe yule msanii mzuri. Nina best yangu yani kama mapacha jinsi anavyofanana na Thea nikamwambia ungekuwa unaigiza wangejuwa ndugu yake ni kama mtoto wa ant yangu anavyofanana na monalisa yani dunian wawili wawili yule anayefanana na Thea nilivyomwambiaga wanafanana akasema hata Kuna kaka alimwambiaga uyo kaka ni msanii pia alitakaga amchukuwevampeleke kwenye Sanaa yani watu wanafanana ni wengi Kuna rafiki yangu mwingine yeye anafanana na koleta anasema kweli hata wengi wanamwambia hivyo