Тёмный
No video :(

Ngowi TV-NILIANZA NA KUKU 13 TU, SASA HIVI NINA TENGENEZA MILIONI MBILI KILA WIKI 

Ngowi TV
Подписаться 25 тыс.
Просмотров 529 тыс.
50% 1

Makala ya mjasiriamali inayoonyesha jinsi mjasiriamali alivyotajirika kwa ufugaji wa kuku wa kienyeji. Tafadhali subuscribe chanel hii kwa kubofya kutufye chekundu kama bado haujafanya hivyo ili uendelee kupata elimu na chambuzi za kiuchumi zitakazo kusaidia kupiga hatua

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 373   
@bantuvoicemuchaikinuthia2536
@bantuvoicemuchaikinuthia2536 5 лет назад
My guy.... kweli kabisa.... ajira so kazi....Best quote...Love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇹🇿
@liannsambu7264
@liannsambu7264 5 лет назад
Kumbe na wewe umesikia ee
@bantuvoicemuchaikinuthia2536
@bantuvoicemuchaikinuthia2536 5 лет назад
@@liannsambu7264 kabisa
@njeshkaris8957
@njeshkaris8957 5 лет назад
Kabisa bora uheshimu kazi ni kazi
@victormpandula4446
@victormpandula4446 5 лет назад
Kweli ajira sio kazi,ila pia ufahamu kuwa huku changamoto lukuki
@mackjr5291
@mackjr5291 Месяц назад
Hahahahaaa inategemea ajira ipi na umeajiriwa wapi???😮😮😮
@ibrahimmungure7493
@ibrahimmungure7493 5 лет назад
Niliwahi kukutana na changamoto ya vifo ila sijakata tamaa nimeanza upya,kaka hongera
@alikiba9960
@alikiba9960 5 лет назад
Tumia dawa Kaka na pia angalia nyumba ulivyozieka
@lucyshedrack7751
@lucyshedrack7751 5 лет назад
@@alikiba9960 nyumba inatakiwa ielekee upande UPI?
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 4 года назад
@@lucyshedrack7751 ikinzane na upepo isielekee upepo unapotokea
@musomimukama3308
@musomimukama3308 3 года назад
@@muhammedwakif6216 hapa sawa
@patrickkiboma6744
@patrickkiboma6744 5 лет назад
Hii ni Elimu inayohitajika hapa kwetu Tanzania. Asante mtangazaji na mfugaji.
@marydaniel9145
@marydaniel9145 4 года назад
Hii kazi naipenda na sichoki kufuatilia ufungaji wa kuku
@krizofrancisco1287
@krizofrancisco1287 2 года назад
Usiwe mtu wa kufuatilia tu nawe Fanya Kwa vitento
@evodyalexander7094
@evodyalexander7094 Год назад
Naomba namba zako
@irenelyamuya5466
@irenelyamuya5466 11 месяцев назад
I think from now we will be motivated kufuga Hawa viumbe .😊
@dr.godwinmaimu-mchumi8432
@dr.godwinmaimu-mchumi8432 3 года назад
Kazini nzuri sana Nimefuatilia na kumsikiliza Mr Augustine Shitindi wa Shitindi Poultry farm mfugaji bora wa kuku wa kienyeji nimejifunza sana. Naomba mawasiliano yake tafadhali
@theomakolo7022
@theomakolo7022 2 года назад
Mambo uliipata no yake unisaidie
@ulimwenguwamitimifupi5113
@ulimwenguwamitimifupi5113 5 лет назад
Hongera sana Kaka! kwa juhudi zako zenye mafanikio.Wewe ni wa mfano mzuri wa kuigwa.Asante brother Daud.Asante NGOWI TV
@mariyamzuheir6255
@mariyamzuheir6255 5 лет назад
Bin Islaam : AGOSTINO SHITINDI hongera sana Mungu akuzidishie
@mariyamzuheir6255
@mariyamzuheir6255 5 лет назад
Ndg.AGOSTINO tunaomba namba yako ya simu ili TUWASILIANE VIZURI brother. sisi tukoZANZIBAR.
@daudiaidani3860
@daudiaidani3860 5 лет назад
Karibu Ulimwengu asante sana
@givenngoko4528
@givenngoko4528 5 лет назад
Pongezi sana....inspiration za muhimu sana hizi hasa katika zama hizi
@mwijaakhaleed8080
@mwijaakhaleed8080 5 лет назад
Mashallah. Mungu akuzidishie inshallah. PIA Mimi nilifuga lakini nilikata tamaa kwa sababu ya husda.
@hidayaally6341
@hidayaally6341 4 года назад
Husda baba husdaaaa
@josephmkindi4633
@josephmkindi4633 5 лет назад
Saf sana channel zote zingekua kama hii dunia ingebadilika
@michealseleman8013
@michealseleman8013 5 лет назад
Saw bro
@jumaayubu
@jumaayubu 5 лет назад
Sana
@bonge1865
@bonge1865 5 лет назад
Simpa
@getrudauledi2423
@getrudauledi2423 5 лет назад
Joseph Mkindi naomba namba ya hyu mfugaj
@erastojb865
@erastojb865 5 лет назад
Mtangazaji uko vizuri! viwango vyao ni vya DW
@daudiaidani3860
@daudiaidani3860 5 лет назад
Asante Erasto,
@marthabalakilula2812
@marthabalakilula2812 Год назад
@@daudiaidani3860 hongera sana!Naomba namba ya mfugaji niwasiliane.
@samateryussuf5938
@samateryussuf5938 5 лет назад
hongera sana kaka , kweli yako hakuna nchi yenye fursa nyingi kama TZ
@franciscowilliam2575
@franciscowilliam2575 5 лет назад
Nakubaliana na wewe asilimia mia mimi nimepata bahati ya kuzunguka zunguka nchi tofauti za bara la ulaya , America na Asia ,lakini asikuambie mtu bwana Tanzania zipo fursa nyingi za kupata utajiri, ulaya utakula ,utavaa lakini maendeleo ya kweli hakuna utaishia kufa na madeni tu. Wabongo tupige kazi Mungu ametuweka pahala pazuri sana , ni sisi tu hatujitambui
@corrolesscps
@corrolesscps 5 лет назад
Francisco William . Ni kweli sis Wafrica hawa hatuoni fursa makwetu, ila kukazana kuona fursa kwa manchi ya wenzetu Ulaya. Wakati kwetu kuna fursa nyingi na tena tuko na uhuru mwingi, huko ulaya kwa sasa mpka mama ntirie, baba ntiirie wapo mitaani,
@shidakali5893
@shidakali5893 5 лет назад
Samater Yussuf hongera san
@mesalimrashid6312
@mesalimrashid6312 5 лет назад
Masha allah .Mola akulinde ukuzidishie na ziada...Akili ni nywele kila mtu ana zake tumieni zenu eti kuku chotara wivu huo .Asante sana kala mm niko mombasa ntaanza kesho kujenga banda nifuge kuku inshaalah.
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 5 лет назад
Mwenyezi mungu akufanyie wepes
@samwellaiser8421
@samwellaiser8421 2 года назад
Ngowi Tv tupe namba cm
@praxedachenya4101
@praxedachenya4101 19 дней назад
Nahitaji vifaranga je ntapataje
@HumanBeing-pj4hm
@HumanBeing-pj4hm 4 года назад
I like the narration the narrator is well talentend,calm, with a well scripted story,thick voice and ofcourse well filtered sound...nice content beautiful visuals etc congrats and keep up the good work
@AdamMohamedi
@AdamMohamedi 4 месяца назад
Napenda sana kazi ya ufugaji wa kuku ahsante kaka kwa ushauri na elimu nzuri mola akubarik
@user-dc5dk3ql2c
@user-dc5dk3ql2c 9 дней назад
Ahsante Kwa kutufungua Naomba nikutembelee Naomba Namba Yako Niwe mteja wako
@GILGALI
@GILGALI 6 месяцев назад
what God bless you for this knowledge for Us.
@geja8708
@geja8708 5 лет назад
Dah 2002 nilikuwa darasa la kwanza, sasa ni ni AFO (agricultural field officer) , ila hao ni chotara sio wa kienyeji pure
@brianmasinga
@brianmasinga 5 лет назад
Kwanini unawaita chotara? Hao ni kuku wakienyeji wanapandishwa jogoo kawaida ila wanalishwa saa 24 ili wakue haraka
@alexchungu9505
@alexchungu9505 4 года назад
Ge Ja , ila bado anakupita kimshahara
@mujunierick4388
@mujunierick4388 2 года назад
Ila kweli hao sio pure kienyeji hata muonekano wao na mayai Yao sio ya pure kienyeji
@ambwenemwamwimbe153
@ambwenemwamwimbe153 10 месяцев назад
​@@mujunierick4388sio pure lakini kwa wiki anaingiza milioni mbili
@nyanzalakaporo2504
@nyanzalakaporo2504 5 лет назад
Hongera sana kaka, Umenitia moyo sana nilikuwa mfugaji mzuri tuu wa kuku, waliumwa wakafa nika kata tamaa, Sasa kupitia wewe , Naimani ntanyanyuka tena kwenye ufugaji.
@ayuniomary8198
@ayuniomary8198 5 лет назад
kukua anachukua miezi migapi hadi kufikia hatua ya kuuzwa
@nyanzalakaporo2504
@nyanzalakaporo2504 5 лет назад
Atu za kuuzwa mbona sija kuelewa Mpendwa.
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 5 лет назад
Pambana tu utafanikiwa tu
@shodristvtv6121
@shodristvtv6121 4 года назад
Nimejifunza kitu hapa mimi nikijana mdogo ambae ninauwezo wakuingiza milioni 1 to milioni 3 kwa mwezi ila nimekosa ubunifu 😭😭😭
@issamuhsin4308
@issamuhsin4308 3 года назад
Mambo
@deviselisaria5488
@deviselisaria5488 Год назад
mambo njoo tufanye biashara
@Jumaa553
@Jumaa553 11 месяцев назад
​@@deviselisaria5488 mii naonba namba yako kaka angu ninashida juu yahio biashara 😊
@joshuambwile2938
@joshuambwile2938 5 лет назад
Aisee Mr. Shitindi wewe ni kiboko Kaka Mkubwa! Hakika umefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana. Naomba nafasi ya kuja kujifunza kwa vitendo kwenye shamba lako la Kuku.
@abdullahsmtiwe3794
@abdullahsmtiwe3794 5 лет назад
Umeajili watu au unafanya kifamilly?
@abubakariabdallah9347
@abubakariabdallah9347 5 лет назад
Joshua Mbwile 🤔🤔
@sponsor7882
@sponsor7882 5 лет назад
HONGERA,UR A GUD EXAMPLE TO FOLLOW.
@user-dc5dk3ql2c
@user-dc5dk3ql2c 9 дней назад
Naanza Kuona Utajiri mbele yangu Ahsante Mungu
@abdulramlaali9985
@abdulramlaali9985 4 года назад
Yani we kaka unaweza tena sana kwa maisha hayo utafanikiwa tu omba mungu
@agnesmngazija4568
@agnesmngazija4568 5 лет назад
Asante sanA ngoi tv Nimepata kitu hapa Kwa y huyu jamaa agustino
@rahmaselemani1140
@rahmaselemani1140 3 года назад
Amin
@user-oy3pp1lb4d
@user-oy3pp1lb4d Месяц назад
Ngoja niamke sasa nikaanze kazi saivi nina miaka 22 mpaka nikiwa na 30 tutajua
@ahadiaugustino133
@ahadiaugustino133 4 года назад
Naomba @ngowi tv ubadilishe taarifa, watu wengi sana wanashindwa kufika mahali husika, SIO SUKA, NI KIMARA TEMBONI
@ngowitv2169
@ngowitv2169 2 года назад
Sawa kiongozi asante kwa marekebisho, tunalifanyia kazi
@manyaramrema6531
@manyaramrema6531 5 лет назад
Hongera kaka sasa ukiwa nyumba ya kupanga ni mtihani
@PrincePaulIowa
@PrincePaulIowa 5 лет назад
hongera kaka.. ubarikiwe na upate Zaidi!
@abasiomary9609
@abasiomary9609 5 лет назад
Kweli nakubaliana na mawazo yako pia Tanzania ina fursa nyingi kuliko nchi yoyote
@francismwagu1994
@francismwagu1994 4 года назад
Brother, nimefurahishwa sana, Kuajiliwa ni utumwa ni "Ukolon mamboleo" Nina miaka 25 baada ya miaka kadhaa mbele nitaajiar mim mwenyewe. Ahsant... Barikiwa.
@joyceraphael207
@joyceraphael207 2 года назад
Asante sana kwa somo zuri unapatikanaje na wapi?
@angelinamsemwa5592
@angelinamsemwa5592 5 лет назад
I a m so excited for sure ngoja niamue
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 5 лет назад
Wakat ni sasa dadangu jikomboe
@azamansur7086
@azamansur7086 5 лет назад
Hongera kaka mkubwa me .mwenyewe ndo ndotoyangu iyo
@lamazaniomali6513
@lamazaniomali6513 2 года назад
Chifu hongera ntumie namba. Yako mi Babu kaju wa tyre bamaga
@violatekituyl1432
@violatekituyl1432 3 года назад
Thank you so much for good advice
@yahabibiyahayatiyahayuni7339
@yahabibiyahayatiyahayuni7339 5 лет назад
Kazi nzuri hata mimi nataka nianze ufugaji
@modestamedard8901
@modestamedard8901 2 года назад
Wonderful
@farryluck9659
@farryluck9659 5 лет назад
Hongera sana kakaang Mwenyez Mungu aendelee kukufungulia milango'
@VictoriaEmmanuel-fy9kr
@VictoriaEmmanuel-fy9kr 9 месяцев назад
Nimependa.somo.nzuri.sana
@wastonmusic4384
@wastonmusic4384 4 года назад
Daaah anko mungu akusaidie sanaa,naamiji nimejifunzakitu
@gloriamichael3698
@gloriamichael3698 5 лет назад
Ngowi TV ahasanteni sana Kwa taarifa hii
@wambaamwambaje1272
@wambaamwambaje1272 5 лет назад
Masha Allah kwakwel kazi mzur
@user-ik4wu5hm8b
@user-ik4wu5hm8b 11 месяцев назад
Hongera sana tupatie mawasiliano
@evarlynkavaya1604
@evarlynkavaya1604 5 лет назад
Akili ni mali big up bro good job
@yasinikateula6605
@yasinikateula6605 5 лет назад
Thank u
@johnngowi2992
@johnngowi2992 4 года назад
Kazi nzuri hongera.❤
@ernestwenje2842
@ernestwenje2842 4 года назад
Brother nimependa sana uvumilivu wako hii ni ya kuigwa......
@kapendalubowa534
@kapendalubowa534 5 лет назад
Hongera Sana ila hao kuku sio wa kienyeji Ni machotara.
@erastomnyavanu8680
@erastomnyavanu8680 5 лет назад
Tuoneshe wako wa kienyeji
@lameckmathias1188
@lameckmathias1188 4 года назад
Elimu nzuri. Tunaomba mtu akitaka kuja kujifunza mlipo mtoe muongozo mlipo jaman
@filamuzetu2841
@filamuzetu2841 4 года назад
tuko kimara temboni 0713 071 701. piga hiyo namba kufika kwenye semina za bure kila jumamosi
@eliasilwimba187
@eliasilwimba187 Месяц назад
Hongera bwana kaka,mawasiliano tafadhari.
@awadhbakar627
@awadhbakar627 Год назад
Hongra mzee na mm nahtaj kujip moyo mn na mm pia mfugaji
@ngowitv2169
@ngowitv2169 5 лет назад
Watazamaji wetu mnaweza kuwasiliana moja kwa moja na mjasiriamali Shitindi, kwa namba +255715467423/+255739467423
@feezyjrtv2973
@feezyjrtv2973 5 лет назад
mngejaribu kutupatia namba za wasap, au mngeandaa kabisa hata group la wasap ili iwe rahisi na sisi wengine kujifunza,
@barakarobert9516
@barakarobert9516 5 лет назад
Me nahitaji sana ushaur jamn ni mfugaji mchanga
@gatetemustafa3170
@gatetemustafa3170 5 лет назад
Thanks please can you send me nambr
@tirasteras106
@tirasteras106 5 лет назад
Sawa kaka apa umenipa somo
@wellosmhina3464
@wellosmhina3464 4 года назад
hongera ngowi namimi napambana na changamoto za kuku ila sijawaza kukata tamaaaaaa
@gwakisaezekiel2576
@gwakisaezekiel2576 5 лет назад
Nice
@StephenKalenzi-fg3km
@StephenKalenzi-fg3km 10 месяцев назад
Mungu akwinue zaidi kakaamgu
@hassanjr5318
@hassanjr5318 5 лет назад
Inashaangaza kuna watu wamegonga dislike kwenye hii video ...kweli tunatofautiana kufikiri
@majalagolli7021
@majalagolli7021 5 лет назад
Kabisa yani binadamu tu wa tofauti sana
@mordekaiswai3044
@mordekaiswai3044 5 лет назад
Hassan Jr Ni Kweli kabisa baadhi ya watu wako wivu
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 5 лет назад
Kaa mbali na hopeless people
@lucyshedrack7751
@lucyshedrack7751 5 лет назад
Kabisa ata me nimeshangàa sana kwakweli
@abuuhamzaalmanyoniyyuh8854
@abuuhamzaalmanyoniyyuh8854 5 лет назад
Walidhani Kuna picha za uchi walivyokosa wakaumia
@Bensonfrank25
@Bensonfrank25 5 лет назад
Dahh nimepata fundisho kubwa sana hapa yan big up mkubwa
@gospelfiretv9667
@gospelfiretv9667 4 года назад
Ahsante sana Professor
@praxedachenya4101
@praxedachenya4101 19 дней назад
Naomba uniamie mchanganyiko wa chakula vizuri
@user-ss4lx5en7z
@user-ss4lx5en7z 7 месяцев назад
Jamani kaka mi vifarang wangu nawapa stata ya vifaranga wadogo na wana wk mbili sasa wanalemaa na wanakufa sana sana jaman niwape nini nisaidieni.
@khadijakamus2850
@khadijakamus2850 3 года назад
Amenihamasisha sana na mimi ni mfugaji ila ndio nimeanza ntampataje huyu mfugaji namba yake ya simu nikamtembelee naomba mawasiliano tafadhali sana
@zizou9959
@zizou9959 5 лет назад
Hello! samahani nataka kujuwa unaweza kuuza mayayi kiyasi ya alfu? To export outside?
@eliudbuberwa7692
@eliudbuberwa7692 5 лет назад
Safi sana..fursa ziko nyingi sana....
@totoa694
@totoa694 Год назад
Nina tamaa ya kuanza kufuka kuku ningependa nipate number yako unipe mwelekeo nitashukur kazi nzur sana
@ahmedstza2900
@ahmedstza2900 5 лет назад
Sawaaa always you win
@mwanamisaomar346
@mwanamisaomar346 5 лет назад
Mashaallah mungu akuzidishie zaidi ya hapo...hata mm napenda xana ufugaji
@livinndege960
@livinndege960 4 года назад
Napenda sana ufugaji wa kuku
@torokauje1764
@torokauje1764 3 года назад
2021 i still watch
@sharifamohammad4686
@sharifamohammad4686 4 года назад
Naomba msaada kuku wangu anainamisha shingo mpaka chini uku anasinsia
@muniraahmed624
@muniraahmed624 2 года назад
Kideri hichoo 😥😥😥
@ndarojuma5128
@ndarojuma5128 5 лет назад
Naitaji kuingia Kwenye ufugaji naombeni msaada wenu wa kimawazo
@chumatzchumatz3026
@chumatzchumatz3026 4 года назад
0712567009 Kama uposerious kweli nichek kwenye namba hiyo
@egmegm6202
@egmegm6202 2 года назад
Dah hongera vp io mashine inauzwa shingap ya kutotoresha
@judithsamwel6942
@judithsamwel6942 Месяц назад
Hongera sana
@muniraahmed624
@muniraahmed624 3 года назад
Am so inspared😍
@charitytv6972
@charitytv6972 2 года назад
Munira kila mahali upo khaaah!
@saudanoah945
@saudanoah945 4 года назад
No kweli channel zote zingekuwa kama hii dunia ingebadilika
@edinamwansyange3742
@edinamwansyange3742 5 лет назад
Asante kwa somo zuri!ntafuga!
@shemsahafidh3234
@shemsahafidh3234 5 лет назад
Safi sanaaaaa nina moyo kama wako ila ipo siku nitaona mafanikiyo
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 5 лет назад
Keep it up
@kingandreemmanuel7908
@kingandreemmanuel7908 5 лет назад
I will focus you as ma real model to i
@khamismohammed899
@khamismohammed899 5 лет назад
Hongera kaka mimi naomba namba yako kwa ajili ya mawasiliano.
@gloriamichael3698
@gloriamichael3698 5 лет назад
Asante kaka kwa elimu
@veronikahau2935
@veronikahau2935 5 лет назад
Najiuliza n kwann nmekata tamaa ya kufaga ngoja nianze upya,upyaaaaa kbsa
@chambothedon3554
@chambothedon3554 4 года назад
😂😂😂
@DivaVine
@DivaVine 6 дней назад
Kaza yako ni nzuri
@phocuskarumuna1140
@phocuskarumuna1140 Год назад
Aisee asante sana yaana kaka umenihamasisha sana
@philipolwena5873
@philipolwena5873 Год назад
Asante Mr ngowi
@sazahassan2353
@sazahassan2353 5 лет назад
Great inspiration.....
@JeniphaAnthony-cw9dm
@JeniphaAnthony-cw9dm 2 месяца назад
Nice kaka, hongera sana
@Voxmediatz
@Voxmediatz Месяц назад
Anza na Ulichonacho 📌
@estherwaringer4664
@estherwaringer4664 4 года назад
Wawooo 👏👏👏👏God bless you
@martinchawala4471
@martinchawala4471 5 лет назад
I like it... keep it up @mr ngowi
@dicksonbenedict9005
@dicksonbenedict9005 5 лет назад
Hv najiuliza hao n wa kienyeji pure au ni machotara!!
@emmaflavor8086
@emmaflavor8086 5 лет назад
machotara haoo
@ismailjohn6108
@ismailjohn6108 10 месяцев назад
Aisee h vdeo naiangalia sahvi Sio chini YA Mara 2 mpka 3 kila mwezi
@edinamutakyawa6872
@edinamutakyawa6872 5 лет назад
hongera sana
@anafisuleimani7083
@anafisuleimani7083 5 лет назад
Safi sana kaka
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 5 лет назад
Karibuni kwenye chaneli hii kujua magonjwa ya Figo, ya Moyo, ukuaji wa Mtoto tumboni, dawa za asili ya tiba ya Pressure shinikizo la juu la damu!!! Tafadhali bonyeza picha kushoto,
@mercymbilinyi9233
@mercymbilinyi9233 5 лет назад
Sabina Online nitakupataje
@catherinebayo4490
@catherinebayo4490 3 года назад
Nimefunza jamanj,duuh Mungu anisaidie maana nimeanza na kuku chotara 18
@joyceishengoma6074
@joyceishengoma6074 5 лет назад
Mimi nataka mitetea ya kienyeji
@indigenoussurvivor9948
@indigenoussurvivor9948 5 лет назад
Utajiri pia si elimu pekee
@bizimanaismail809
@bizimanaismail809 4 года назад
Vizuri sana
@saidkamtande837
@saidkamtande837 5 лет назад
Asante sana kaka kwaelimu
@magdalenedaniel26
@magdalenedaniel26 5 лет назад
Naishi temboni kaka naweza kukutembelea nipate mafunzo ufugaji
@dicksonrwemela1229
@dicksonrwemela1229 5 лет назад
Siri nzuri sana bwana mkubwa. Ubarikiwe sana.
@aisaakamnde342
@aisaakamnde342 2 года назад
Baba nahitaji vifaranga nitapataje
@jumaabdala8379
@jumaabdala8379 4 года назад
umenipa matumaini nimeshukuru MUNGU akubaliki baba Niko njiani
Далее
💀СЛОМАЛ Айфон за 5 СЕКУНД😱
00:26
UFUGAJI WA KISASA WA SAMAKI KWENYE MABWAWA
9:36
Просмотров 10 тыс.
MAMBO 4 YANAYOATHIRI NGUVU ZA KIUME | Deo Sukambi
46:36
DAWA YA KUKU WASIFE OVYO HII HAPA! USIFANYE KOSA!
8:26
💀СЛОМАЛ Айфон за 5 СЕКУНД😱
00:26