Тёмный
No video :(

NI SAWA MKE KUOMBA TALAKA KWA MUMEWE? WANAWAKE WENGI HAWAJUI, UKWELI NI HUU | HARD TALK 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 46 тыс.
50% 1

NI SAWA KUOMBA TALAKA KWA MUMEO? WANAWAKE WENGI HAWAJUI, UKWELI NI HUU | HARD TALK
HII ni sehemu ya kwanza ya mahojiano ya Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha na Mshauri na Mwanasaikolojia Dkt Ellie ambapo wamezungumza maisha ya ndoa na mahusiano ndani ya kipindi cha Hard Talk, swali kubwa likiwa ni sawa mke kuomba talaka kwa mumewe?
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 105   
@eyabdimaha3698
@eyabdimaha3698 Год назад
Dr ana madini huyu sijawahi kujutia kumsikiliza na pia sichoki mashallah
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 Год назад
Wanawake sisi ni waaminifu na tunapenda sana na tunajitoa mno kwa wanaume lakini wanatuumiza mioyo yetu.
@newbornhaule1635
@newbornhaule1635 Год назад
Sio wote na wanaume sio wote kinachofanya msikike hamfichi hisia zenu
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Год назад
Kweli kabisa. Yani ni uwatimizie wao tu na hawajali. Hii topic haiko sawa
@bakarininga4100
@bakarininga4100 Год назад
Kuna wanaume waumizwa daily that is reality sio wanawake tu
@daud405
@daud405 Год назад
wanawake wanalenga sana mali
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Год назад
Sanaaa aisee
@deborahrehema5819
@deborahrehema5819 Год назад
Huyu baba ndie pekee nae maelewa maana anayo neno la Mungu kwanza na ana heshimu amri ya Mungu pili ni big role models kwa wanaume wenye knowledge na wisdom like ya Nabii Daniel na wenzake watatu . God bless you mam of God we are learning from you sana 🙏
@leahchallod3912
@leahchallod3912 Год назад
♥️♥️♥️♥️♥️Hapo umenikoshaaaa mwanamke anayeteswa na Mume hajitambui yeye ni nani?
@jacklinezebedayo2923
@jacklinezebedayo2923 Год назад
Jmni nampenda huyu baba🥰, I get new things everytime I listen to him
@upendowakwelinaamani1060
@upendowakwelinaamani1060 Год назад
Huyu Dr Elie uwa namuelewa sana yaan ananifungua sana akili yangu yaan kuna vitu akiongea namuelewa sana na vinaniingia sana ubarkiwe sana Dr.
@anethd1319
@anethd1319 Год назад
HUYU DOCTOR ANATUFUNDISHA SANA LOVE FROM ITALY.
@sheikhaomar1026
@sheikhaomar1026 Год назад
Namshukuru Dr Elie mm nimejifunza mengi sanaa
@leahchallod3912
@leahchallod3912 Год назад
Huyu mtu kama huna akili huwezi muelewa
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Год назад
Aaaah kweli,
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 Год назад
Tusichoshane bwana unakutana na jitu ambalo lina a lot of issues growing up,yaani wazazi wake wameliharibu , lilikua abandoned and bullied au limekulia sehemu mamake,shangazi zake wanapigwa mpaka wanazimia,liko na insecurities, alafu ukae eti unammudu how? Utaishia kukonda na kupauka because you are dealing na a broken man ambae hata hayuko tayari kukubali ana issues. Sasa uking'ang'ania si utauawa?
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Год назад
Umeongea point dear
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 Год назад
Yani hawa viumbe sijui…
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 Год назад
Hapo kwenye kitengoo sasa
@aureliayuktankabebwa5066
@aureliayuktankabebwa5066 Год назад
Watu wangu pendwa🙏🏾,napenda sana kuwasikiliza 🙏🏾
@Bwenge-minecraft
@Bwenge-minecraft Год назад
mubarikiwe sana da lilian na kaka.
@user-xv5yy6mv6i
@user-xv5yy6mv6i 7 месяцев назад
Hongera maneno Docter niyamsingi sana iwapo dadaangu kakaangu tutayasikiliza.
@mariamjoseph3530
@mariamjoseph3530 Год назад
Doctor aendelee na episode nyingine tuna maswali mengi sana
@tatutumbi4640
@tatutumbi4640 Год назад
Dr. Hongera sana. Mungu Akulinde.
@naombaelsamwel7226
@naombaelsamwel7226 Год назад
Big salute kwa Dr.
@floramlowe7078
@floramlowe7078 Год назад
Dr umesema kweli kabisa mungu atusaidie
@juliennekibatcha2958
@juliennekibatcha2958 2 месяца назад
❤❤❤❤❤ this is a very important good point interesting , be blessed
@yuathmtenzi2114
@yuathmtenzi2114 Год назад
Shukrani saana kwa madini dr& lilian
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 Год назад
Mwanaume wangu nitampa sumu tu maana sikwausaliti uo 🤣🤣
@neemawayesu1771
@neemawayesu1771 Год назад
Hapana dear jipende tu mwenyewe,alafu umuache na dhambi zake
@vickyitenyo.
@vickyitenyo. Год назад
Lillian Mwasha I love you and thank you for obeying God's call over your life to shepherd His people! Good job girl! Onwards and Upwards! How can I reach this Dr Ellie? I'm your loyal fan from Kenya!
@reisezone4574
@reisezone4574 Год назад
tuletee dr MWAKA tena
@memeniyonzima9343
@memeniyonzima9343 Год назад
Nimejifunza kitu,asanteni Sana
@adyaalawy8764
@adyaalawy8764 Год назад
Communication ni kila kitu
@tatutumbi4640
@tatutumbi4640 Год назад
Dr. Ellie unafundisha vizuri saaana.
@edwarddaud6785
@edwarddaud6785 Год назад
Tusipo kuwa makini ipo siku tutafundishwa na kazi about love maana mafundisho yamekua mengi af hatuoni kuwa ni uongo but Dr u a right
@daud405
@daud405 Год назад
Dr upo saw kabisa.wanawake ndo wanatunza ndoa ama wanavunja ndoa kwa mikono yao.lazima mwanamke amuheshimu mume wake
@ynyynyyny
@ynyynyyny Год назад
Ni kweli lakini sio kwa wanaume wa Leo,Ni hero kuishi bila mume
@silverman6930
@silverman6930 Год назад
What an absolutely Gem 💎… Dr your a genius and thanks so much for sharing what God gave you 🇬🇧🇬🇧🙏🙏🙏❤️❤️❤️
@bindawood978
@bindawood978 Год назад
Mnapotaka kuelimisha jamii tafadhalini muwe mnatafsiri mnapotumia lugha ya kigeni sio watu wote wanaofahamu kiingereza
@Bwenge-minecraft
@Bwenge-minecraft Год назад
da lilian tuna naomba kaka aje tena ahendeleze hili somo tafadhali.
@faudhiatmasoud4025
@faudhiatmasoud4025 Год назад
This man..
@damsonwilson5202
@damsonwilson5202 Год назад
Huyu doctor Ana ufahamu Mkubwa sana
@Ahmadilauma
@Ahmadilauma 9 месяцев назад
Tena ni binadam hatar sana
@Ahmadilauma
@Ahmadilauma 9 месяцев назад
Sjawah ona uyu doctor
@johnsonmariam3824
@johnsonmariam3824 Год назад
So many thanks to you Dr. Allie
@mkaliwafashion3116
@mkaliwafashion3116 Год назад
Napenda mwasha anavyopiga makofi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nayo ni raha 😂😂😂😂
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 Год назад
Hiyo ni ndoa ya mke mmoja, je kwa ndoa za wake wengi ikoje?
@dayana5513story
@dayana5513story Год назад
Doctor asante kwa kuwajulisha madada wengi wao wakiolewa wanajisaau ndo maana wanaume wana Chet
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Год назад
Ndo mseme tunajisahau na nn
@richardboaz-mashagospel2346
Naomba mawasiliano ya Doctor
@fikiriseleman3460
@fikiriseleman3460 Год назад
Kumuelewa huyu Dr. Uwezo mkubwa unaitajka
@rittaaziz4470
@rittaaziz4470 Год назад
SOMO LA HII CLIP...GREAT SN. SO MANY GREAT POINTS "YES .. UTAYARI IS A TWO WAY STREET"
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 Год назад
Huwa nampendaga sana uyu baba ongea yake tu
@nelsonludovick3360
@nelsonludovick3360 Год назад
Nimejifunza kitu kikubwa sana
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 Год назад
Doctor unakosea fanya style zote, atatoka tu awatosheki wanaume wametugeuza show yaani anataka kufunua kila design.
@jamillazamir3358
@jamillazamir3358 Год назад
😂😂😂😂😂
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Год назад
Kabsa dada
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 Год назад
Huyu Dkt. anasahau kuwa kuna wanaume mamilioni na hawa wote ni watu tofauti kuanzia makuzi yao,mambo waliyopitia na mambo chungunzima. Yupo mwanaume ambae kutokana na majanga aliyopitia kulala na wanawake tofauti ndo anajiona kakamilika,sasa huyu utamfanyaje?Mwengine lazima akukashifu na kukupiga ndio ajisikie ye ni mume,utammudu vipi? Mahusiano mengine ni sumu tu jamani,wakati mwengine ni bora hata kuwa pekeyako kuliko mahusiano yasiyo na afya. Na si kila kitu alichofanya mwingine kwenye mahusiano yake kitaaply kwingine.
@scolasticamtui1685
@scolasticamtui1685 Год назад
Part two please
@adyaalawy8764
@adyaalawy8764 Год назад
Msikimbie waumme zenu, hakuna mwanamme asie cheat, ni heshima tuu.
@christinelihavi4068
@christinelihavi4068 Год назад
Vipi kwa wanaume wanao tukimbia SS wanawake?
@adyaalawy8764
@adyaalawy8764 Год назад
@@christinelihavi4068 Wanaumme pia wasikimbie, kuzungumza na kuwa wazi, kipi kirekebishe. Sivyo wanaweza kumkimbia mwanamke ambae 80% yuko ok, wakampata mwanamke ambae 20 % yuko ok
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 Год назад
Doctor uko vizul sanaaa
@sheikhaomar1026
@sheikhaomar1026 Год назад
Sanaaaa
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Год назад
Ongereeni,
@user-yy8sd9ib5b
@user-yy8sd9ib5b 5 месяцев назад
Nimejfunza kitu mke wangu alinifos tuachane lakin baadae alikuja kuniomba turudiane.
@fikiriseleman3460
@fikiriseleman3460 Год назад
Extra mind, Lilian unaongea na akili kubwa Sina hakika kama unamuelewa vizuri
@eliminachristopher2662
@eliminachristopher2662 Год назад
Dr anajua kazi yake.naomba namba ya simu
@ministerlight114
@ministerlight114 Год назад
Jamani asante
@user-tc9rw8rd1b
@user-tc9rw8rd1b 8 месяцев назад
Mwasha anatafuta hoja za kuonesha kuwa divorce yake ilikuwa sahihi 😅
@rittaaziz4470
@rittaaziz4470 Год назад
RAAHAAAA😍
@r14kgroup68
@r14kgroup68 Год назад
Doctor uishi milele
@user-gk2qc8ds7w
@user-gk2qc8ds7w Год назад
how can a talk to him
@gracedismas1108
@gracedismas1108 Год назад
Dooo.... I gt smthng
@magynzioka1122
@magynzioka1122 Год назад
Uyu sio mume walilan faya uchuguzi vizuri kabla unaleta habari utaumbuka
@homeandaway2811
@homeandaway2811 Год назад
Huyo ni mwanasaikojia anayetoa ushauri, sikiliza kabla hujakosoa
@scholamodestus9386
@scholamodestus9386 Год назад
Hapo haongei kama mume anaongea kama mwana saikolojia
@clementinamalaki7796
@clementinamalaki7796 Год назад
Unaniponya mnoo 😶😶ninaving vyakunipona
@ashakhamisi8771
@ashakhamisi8771 Год назад
Umalaya nikutumiya sehemu zote jee nisawa
@peterkichochi7510
@peterkichochi7510 Год назад
KAMA WEWE NI MWANAMKE ULIACHIKA KABLA HAUJASIKILIZA NONDO ZA HUYU MZEE,BASI UTALIA NA KUSAGA MENO..
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Год назад
Huu ni utumwa...,wanawake tafuteni pesa.,wachaneni kukimbilia kufua jeans
@beatricewmussa4049
@beatricewmussa4049 Год назад
Me me me me
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Год назад
Umeonaee?? It's all about men's.. maaan better to be single especially for women. This is slavery
@victoryngilangwa4574
@victoryngilangwa4574 Год назад
Nimependa hicho kipengere cha kushikilia ndoa
@hassanmtitu1687
@hassanmtitu1687 Год назад
@@victoryngilangwa4574 k
@hassanmtitu1687
@hassanmtitu1687 Год назад
Kfjh
@kytv8780
@kytv8780 Год назад
Oya uyu Dkt nimemvulia kofia ana madini ya hatari sana..hichi kipaji maalumu aisee..yan kumsikiliza ili umuelewe dkt ellie unahitaj usikae hata sehem ya upepo ukae kulipotulia ndo utaelewa
@sabinibra3513
@sabinibra3513 Год назад
Yan dada Lilian maswali yako ban😂 anyway sio mbaya unawawakilsha wanawake najua wengi wana maswali kama hayo
@kipigapasilisungu2581
@kipigapasilisungu2581 Год назад
.
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Год назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍
@christinelihavi4068
@christinelihavi4068 Год назад
I don't agree with you Doctor,mm nilifanya yote hayo,akawa ananiambia niondoke nikagomaa😂 mwisho wa siku yeye akaondoka akaniacha na watoto... Wanaume Wana tabia za kutamani tamani
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Год назад
Wanaume wote siku ya kufa uwa wanalia machozi,
@christinelihavi4068
@christinelihavi4068 Год назад
@@happynescostat7420 Aaah!Kabisa,Wana laana sana
@seifazizz4160
@seifazizz4160 Год назад
Ni ngum kuelew kam hauta taka kuelew ama kujifunza n somo gum Kwa season yetu hii
@joycembelwa6427
@joycembelwa6427 Год назад
Mumeo alikuwa hasi na alishapata chanya huyo wakapata raha....
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 Год назад
Mwanaume wangu nitampa sumu tu maana sikwausaliti uo 🤣🤣
Далее
A Minecraft Movie | Teaser
01:20
Просмотров 20 млн
Somo "Akili" Sehemu Ya 1. Dr.Elie V.D Waminian
38:02
Просмотров 73 тыс.