Тёмный
No video :(

NILIFANYA APPLICATION 300 ZA KAZI MAREKANI NIKABAHATIKA MOJA |KAZI YA KUOSHA VYOMBO ILI NIPATE KULA 

Official Dating Assistance
Подписаться 42 тыс.
Просмотров 28 тыс.
50% 1

‪@blacksingapore‬ ameeleza Safari yake ya maisha kutoka Singida vijijini mpaka kufika Dar es salaam kwa lengo la kutafuta maisha mazuri na kukuza kipaji chake cha muziki
Changamoto za maisha, mpaka kufikia kuosha Vyombo kwenye mgahawa wa kuuza kitimoto mpaka kufanya kazi ya kuuza Vyombo
Na kufikia kuingia kwenye Hotel Business na kua chef.
Namna alivyopambana kuhakikisha anafikia malengo yake ya kua na maisha mazuri anayoyataka.
Changamoto za muziki Bongo na mpaka kufika Marekani akiwa kama mwanafunzi
Please subscribe to his RU-vid channel ‪@blacksingapore‬ kujifunza mengi kuhusu Marekani
Thank you Black Singapore for allowing this to be online
www.oda.international

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 211   
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 6 месяцев назад
This guy is a story teller na mpambanaji haswa. Big Up sana kijana. The sky is not even a limit
@nicholassimon3054
@nicholassimon3054 5 месяцев назад
Imenikumbusha mbali sana…kipindi nimemaliza form 6,na hasira zangu za kwenda mbele…chochote kinawezekana nilifanikisha kwenda UK,nimesoma na ndoto yangu ilikuwa shule na kurudi,nilifanikiwa nikapata vyeti vya mama Eliza nikarudi bongo,na sasa maisha sio yale ya zamani..Ashukuriwe mwenyezi Mungu ila kila kitu kinawezekana
@user-rc6ww6rx7n
@user-rc6ww6rx7n 5 месяцев назад
Oya tupambane wanangu lla bongo watu wachawi sn especially mitaa yt tuliokulia mamae zao ss hv wanatumiss
@iddimnyau9029
@iddimnyau9029 3 месяца назад
Msikate tamaa hadi kieleweke
@eliwajajacob8569
@eliwajajacob8569 2 месяца назад
Wow nndg yangu wa singida hongera sana
@bobboris4859
@bobboris4859 6 месяцев назад
Big inspiration;keep trying as much as possible
@linkreuben3108
@linkreuben3108 6 месяцев назад
Nice interview, wasingida Mwenzangu, karibu Frankfurt Germany!!
@zaudatmakula3454
@zaudatmakula3454 5 месяцев назад
Tu nafrahi kuwaona wanasingida wenzetu mpo mbali mbarikiwe umsaidie na wengine
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 2 месяца назад
Wajefya
@stellaprotazibashaijaban-gq4mb
@stellaprotazibashaijaban-gq4mb 6 месяцев назад
Asante sana Dada kwa kipindi hiki,asante sana kaka umejieleza vizuri sana hongera kwa kupambana.na mimi nipo uku U.S.A
@protasfidel
@protasfidel 6 месяцев назад
Upo mjigan dada yangu
@user-rc6ww6rx7n
@user-rc6ww6rx7n 5 месяцев назад
Yeah mwana kupambana sn aisee
@henrymbogo6569
@henrymbogo6569 6 месяцев назад
Big up mwanangu. Kukata tamaa ni dhambi. Umemheshimisha Mungu kwa ajili ya kuitafuta furaha ya kesho yako
@user-ns3hd1cp2l
@user-ns3hd1cp2l 6 месяцев назад
Allah akishakadiria jambo lake katu binadamu hawezi panguaa
@user-rc6ww6rx7n
@user-rc6ww6rx7n 5 месяцев назад
4 sure mwanangu
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d 6 месяцев назад
Kwel kabisa yaan tunashukuru sana kwa Elimu hii nimejifunza kitu leo🎉🎉🎉
@joycehagman3086
@joycehagman3086 6 месяцев назад
Karibu mdogo wangu Karibu Miami,Karibu sana wasingidababa hongera sana
@OmanOman-pf9ut
@OmanOman-pf9ut 6 месяцев назад
❤❤
@BibianTz
@BibianTz 6 месяцев назад
Waooo Story yakutufanya tuamke sasa. shukuran sana Sheina 🙏
@mshanatheblacksmith
@mshanatheblacksmith 6 месяцев назад
Marekani watu wanatamani kufika kwa maneno Ila kk umeipambania ndoto kwakweli watu wasitume DM tu kuomba kufika🇺🇸pia wajitume binafsi Marekani is home of opportunity 🇺🇸💪🏻
@michaelmichael1931
@michaelmichael1931 6 месяцев назад
📌
@user-cd2np5by6g
@user-cd2np5by6g 6 месяцев назад
Noma san
@carterjordan4216
@carterjordan4216 5 месяцев назад
Mwamba anastahili Nyota mabegani.
@samsonsamwel8782
@samsonsamwel8782 5 месяцев назад
oi n Aje #AfandeMshana umemuna #Blackmwenze2
@user-kr2yk6gn4q
@user-kr2yk6gn4q 6 месяцев назад
Hii nzuri sana jamani, kupambana ndo msingi was maisha, naomba mawasiliano yake mnyiramba wa Ome kwetu jamani da shena🎉🎉🎉❤❤❤
@user-rc6ww6rx7n
@user-rc6ww6rx7n 5 месяцев назад
Watu ulaya hatutowagi no kirahis hv km unavozani maana wabongo mnapendaga watu wakiwa na kitu tu
@zainab8251
@zainab8251 6 месяцев назад
Wa mkoa tupo pamoja napenda mtu wa kujiongeza cio mtu unazaliwa iramba unazekea hapo hapo fanya kazi kakaangu utafika mbali sana kwa mapito yako uliopitia mimi niko oman 🇴🇲 na tupambane watu wa singida❤❤❤
@user-kr2yk6gn4q
@user-kr2yk6gn4q 6 месяцев назад
Niko Tanzania naomba mawasiliano Yako da zainabu, natamani sana kufanya kazi njee ila Sina connection na watu. Zaid ya kufuatilia interview za shena.
@Joyceisaka
@Joyceisaka 4 месяца назад
Jamani jamani wilaya moja na mm mkalaa aiseee ndugu yangu wa mkoaa
@hedayamohammed2781
@hedayamohammed2781 3 месяца назад
Nitafute nitakuonyesha njia za kupita ila uwe unamaanisha uchokisema​@@user-kr2yk6gn4q
@NassraMasoud-Oort
@NassraMasoud-Oort 5 месяцев назад
I like your confidence, I proud of you
@blacksingapore
@blacksingapore 6 месяцев назад
Thanks for this opportunity. It was so amazing to me, and I'm glad to be the person to interview with you. God bless you 🫶🏾
@linkreuben3108
@linkreuben3108 6 месяцев назад
Hongera, nice interview wasingida mwenzangu,, karibu Frankfurt, Germany!
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 6 месяцев назад
Thanks for coming brother 🙏
@liliankimaro3428
@liliankimaro3428 6 месяцев назад
Hello brother yani umeni inspire saaana blessing to you uko vizuri sana mpambanaji na hakuna kizuri bila ku harsal Ndoto yangu kupitia wewe naona itatimia na naamini Mungu ataniwezesha.
@halimahassan3031
@halimahassan3031 6 месяцев назад
Watu wengi Sana wanarudishwa JK international airport, big up sana brother
@mwammymoody5771
@mwammymoody5771 5 месяцев назад
JF?
@user-rc6ww6rx7n
@user-rc6ww6rx7n 5 месяцев назад
Wasenge sn pl mamae zao
@zainab8251
@zainab8251 6 месяцев назад
Hongera sana mdogo wangu kwa kupambana ALLAH AKUPE SUBRA Kwa kila mtihani maana mafanikio nilizima ukutane na mtihani kila kheri
@margaretkaranja2963
@margaretkaranja2963 5 месяцев назад
Karibu sana New York ndugu yangu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-lp5kd5cu8n
@user-lp5kd5cu8n 6 месяцев назад
Congrats 👏 I like your openness and for being courageous 🎉 Keep going never give up because of people talking.
@kapeljjkapeljj5407
@kapeljjkapeljj5407 6 месяцев назад
From baltimore maryland here nacheka unavyojieleza kupigwa nakitu kizito hahah wabongo nishiidaa kua msiri mambo yako yanaenda bien
@blandinamanongi8818
@blandinamanongi8818 25 дней назад
yupo vizuri sana
@_proches
@_proches 6 месяцев назад
Inspiring :)
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 6 месяцев назад
Aisee jamaa umepambana kweli kweli bro kikubwa nimependa uliamin kwenye kila kitu chako iman iyo iyo imekufikisha hapo na itakufikisha mbali sana
@PureSoul-rf4xd
@PureSoul-rf4xd 6 месяцев назад
It's marvellous
@MadinaMalk-yd6kp
@MadinaMalk-yd6kp 6 месяцев назад
Napendaga Sana hizi interview jomn 7bu zinanifunza mambo mengi mnooo
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 6 месяцев назад
Glad to hear
@kakamkuu5383
@kakamkuu5383 6 месяцев назад
Dada umemleta mtu mhimu kwangu ananipa nguvu ya kusonga mbele pamoja najuwa sina elimu alafu umri wangu makubwa Ila safari yangu ya USA CANADA au ulaya IPO jirani ubarikiwe sana mpaka watu washangae
@mkingageorge2641
@mkingageorge2641 6 месяцев назад
Kakamkuu hata mim safar ipo jilan
@charlesmbaga6088
@charlesmbaga6088 6 месяцев назад
I need to your email address pls or namba yako nipo California tuna program hapa ya sports Exchange Program kama utakuwa na muda nataka tuongee sema bado kidogo ila ukinipa email nitakutext pls
@charlesmbaga6088
@charlesmbaga6088 6 месяцев назад
@@OfficialDatingAssistance Mambo sister pls nitumie email yako
@christianchristianwella4910
@christianchristianwella4910 6 месяцев назад
Black singapole safi sana
@user-tl9mx6sw4o
@user-tl9mx6sw4o 6 месяцев назад
Hongera sana Shena kwa kazi zako nzuri Sana. Nakutuletea interview nzuri, hongera kaka wewe ni mpambanaji kwa unajiamini hicho ndicho kilichokusaidia. Hongera sana ubarikiwe unakichwa chepesi chenye kupambanua mambo.
@jesuspower2390
@jesuspower2390 4 месяца назад
Hiyo kazi ya kuosha vyombo ni ya maana sana kulikoni usingekuwa unaingiza chochote.. very proud of u bro
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 15 дней назад
Hongera sana
@jocktanchristopherokinyi
@jocktanchristopherokinyi 6 месяцев назад
Much appreciation dada. Tunaomba next time tuletee D Nyota kama itawezekana 🙏
@dayana5513story
@dayana5513story 6 месяцев назад
Miami boy nimependa story yako Mungu akufanyie wepesi ufike Marengo yako
@vailethtitus6462
@vailethtitus6462 5 месяцев назад
Hii interview ni nzuri sana
@kasimramadhani1502
@kasimramadhani1502 6 месяцев назад
Dah .jamaa wa gumanga mm nipo ndugut mkalama..hongera
@habibamura5255
@habibamura5255 5 месяцев назад
Safi sana kaka
@AbduliThimosi-mr2iu
@AbduliThimosi-mr2iu 8 дней назад
Broo appreciate San
@fatmahussein1238
@fatmahussein1238 3 месяца назад
Huyu kaka MashaAllah mjasiri sana big up Black Singapore
@marthakimia4075
@marthakimia4075 6 месяцев назад
Kwa kweli mimi nafikiri wilaya nzima wewe ndiye wa kwanza. Kama nimekosea nisameheni. Vijaa sana
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 6 месяцев назад
Mdogo wangu wa kwetu GUMAMGA wewe ni mpambanaji. Wanyiramba tunajivunia kuwa na watu jasiri kama wewe.
@zainalukale1857
@zainalukale1857 6 месяцев назад
Umeyawezea maisha kaka hongera
@mshanatheblacksmith
@mshanatheblacksmith 6 месяцев назад
Madini mengi hii interview 🙏🏻🙏🏻
@salumsalum8866
@salumsalum8866 6 месяцев назад
mbona ulet ma content upo kimya Awadh
@sophiarwehumbiza209
@sophiarwehumbiza209 6 месяцев назад
yaan story ya kusisimua kweli asante kaka
@alloycemillinga1673
@alloycemillinga1673 12 дней назад
This bro made my day😂😂,
@rehemadaudi4390
@rehemadaudi4390 6 месяцев назад
Pole mwanetu , kweli tunatoka mbali
@bernadethamlundebartlett387
@bernadethamlundebartlett387 6 месяцев назад
Nimejifunza kitu kikubwa jamaa anajua kujieleza sana
@ZeeLaVyeti4.8
@ZeeLaVyeti4.8 6 месяцев назад
Jamaa namkubali sana. Kwenye cm yangu Nina videos zake za tik tok km zoteee
@eliasbiya9367
@eliasbiya9367 6 месяцев назад
Black Singapore is one of my favorite RU-vidr. I lobe this interview
@savutu
@savutu 6 месяцев назад
Nikienda na Uber nikarudi na bajaji….Duhhh, hiyo imenigusa. Bigup sana Blacky for your determination, efforts and a go to work mentality.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 6 месяцев назад
Hatari sana
@nicholousadriano8478
@nicholousadriano8478 5 месяцев назад
hongera sana Kijana
@fletchamuhalia9103
@fletchamuhalia9103 5 месяцев назад
KAZI nzuri bro kusaidia eatazania
@ruuhbakary
@ruuhbakary 6 месяцев назад
Hii interview mzur jmn mashaallah
@fletchamuhalia9103
@fletchamuhalia9103 5 месяцев назад
Kip going bro
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 месяцев назад
Big up
@johndottomakwaya3540
@johndottomakwaya3540 Месяц назад
Black Singapore noma sana babu
@suleimanbalemba3348
@suleimanbalemba3348 6 месяцев назад
Leo safi sana umetuletea kidume wadada story zao zilikuwa zinafanana
@agnesgodsaviour5968
@agnesgodsaviour5968 5 месяцев назад
Hongera sana Shena Story ya brother inatia wengi moyo.
@bakarimwabua1663
@bakarimwabua1663 6 месяцев назад
Nice
@haroldmally261
@haroldmally261 5 месяцев назад
Hongera sana Blacksingapore!
@user-hb8ph8fk5s
@user-hb8ph8fk5s 13 дней назад
Wasingida tujuane hapa jmn ila hii ndoto ya kwenda ma mbele inatusumbua weng sana mng atunyanyue na atutunuku tuzitimize😊
@michaelnyandindi8461
@michaelnyandindi8461 5 месяцев назад
Respect kwako kaka
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 5 месяцев назад
Kwa kweli we kinganganizi kweli wa maisha
@ashumohd2192
@ashumohd2192 5 месяцев назад
😂😂😂😂 nmeifurahia saana hii story sheena ❤❤❤❤
@hassankhamis344
@hassankhamis344 5 месяцев назад
Pole sana kaka lakini kuweni making sana na security wa Airport wanakuwa hawana haki ya kukuzuwiya wao siyo kazi yao
@tradamus4158
@tradamus4158 6 месяцев назад
Tanzania 🇹🇿 airport banna wanakera na wanawivu wakisenge sana wanauliza uliza maswali ya kipuuzi sana kiukweli wanakera mno wanatakiwa waajili watu wenye akili timamu na wanaopenda watanzania wenzao kusafili kusiwe na roho mbaya
@MichaelAbdallah-xj8vr
@MichaelAbdallah-xj8vr Месяц назад
Ck nikisafiri ntawapiga makofi
@esterkivaria8986
@esterkivaria8986 6 месяцев назад
Da shena interview zako ni nzuri mnoo
@heritier5119
@heritier5119 5 месяцев назад
Umepambana sana kutimiza ndoto
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 6 месяцев назад
Jovial man he is
@jmwaka9316
@jmwaka9316 6 месяцев назад
Dig, hi ya kuzuiwa airport ilishanikuta, nimezuiliwa eti sina cheti cha kuzaliwa
@sundayndabaga9837
@sundayndabaga9837 4 месяца назад
Yaan Airport ya Tz ni kingese sana mim nimewapa passport wanataka eti kitambulisho cha kazin kwangu niliwajibu tu passport ina contains all details hadi NIDA hipo humo
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 5 месяцев назад
Wabongo wa airport ni mahasidi sana, ndio wanao rudisha maendeleo ya wengine,
@ismailahmed8728
@ismailahmed8728 3 месяца назад
Kama una talent ya music USA si ndo kwake usiache utatisia hapo hapo inshallah kheri watafute wakina roma wezako uweke madude kwenye platform utatisuwa tu
@deejeydaev
@deejeydaev 3 месяца назад
Nimeangalia mwanzo mwisho. Good
@nicholassimon3054
@nicholassimon3054 5 месяцев назад
Manager wa snura anaitwa HK (Hemedy Kavu)
@KadilJumma-lo3cz
@KadilJumma-lo3cz 5 месяцев назад
Hyper man HK
@huludaemmanuel8803
@huludaemmanuel8803 5 месяцев назад
Interview nzuri sana hii bro keep goin up
@emmiemmi3861
@emmiemmi3861 6 месяцев назад
Hii entiview ndio ya kwanza kuona mtu anajieleza ukweli huyu anajieleza vizuri
@MadinaMalk-yd6kp
@MadinaMalk-yd6kp 6 месяцев назад
Da shena Yan mimi haipiti siku Bila kupitia hii account yako inamadini mengi ❤️
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 6 месяцев назад
Shukran kaka
@MadinaMalk-yd6kp
@MadinaMalk-yd6kp 6 месяцев назад
😂😂Mm ni dada mpenzi
@josephinejosephat
@josephinejosephat 5 месяцев назад
❤❤
@kazigembeleke5958
@kazigembeleke5958 6 месяцев назад
Upo wapi Harlem, Queens, Jamaica,.... etc?.Mimi nilikuwa bowery (China Town) Manhattan NYC the big apple 🍎
@user-dq4ts8ns9l
@user-dq4ts8ns9l 6 месяцев назад
Airport ya bongo washenzi sana sijui ni roho mbaya but all in all kama imeandikwa hakuna wakuzuia 🙏
@user-ul8xh7dk5p
@user-ul8xh7dk5p 6 месяцев назад
Wacha matusi.bwege nn
@user-tt5rn7kc6l
@user-tt5rn7kc6l 6 месяцев назад
Upo sawa mzee wa Singapore,unatuwakilisha wa singda abroad
@rosemunisi818
@rosemunisi818 6 месяцев назад
Uyu kaka nimempenda yan ananichekesha interview nzima
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 6 месяцев назад
I always love your interview, Sis Shena❤🇹🇿
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 6 месяцев назад
Thanks so much
@hillyoman
@hillyoman 5 месяцев назад
​@@OfficialDatingAssistance❤
@loner_wolf
@loner_wolf 5 месяцев назад
Hapo kwa mistimu ya umeme nilikutananazo hzo ajira , nikutembeza mabeseni au mahotpot tu ukikosa hapo sabuni za aloe vera
@selemanikhalfani7251
@selemanikhalfani7251 6 месяцев назад
Nimeipenda sn kka
@bobboris4859
@bobboris4859 6 месяцев назад
Brother alimove na sisi inshallah tutamove😂😂
@AgredaMoyo
@AgredaMoyo 5 месяцев назад
Black unitafte Singapore pls nitafuteee pls
@shearyshabani4308
@shearyshabani4308 4 месяца назад
Ooo pamoja kaka m mwenyewe wa mkalama ikungu
@user-xk3wo6cc9r
@user-xk3wo6cc9r 3 месяца назад
Hii amesema kweli kabisa, Airport za Tz wana makusudi sana.
@user-ir5ec5jn3w
@user-ir5ec5jn3w 2 месяца назад
Sister Shena kuna Mtanzania alievuka boda la Mexico akaingia Marekani aliefanyiwa interview kidogo na huyu jamaa Anastory ya kusisimua sana please mtafute
@christianchristianwella4910
@christianchristianwella4910 6 месяцев назад
Mimi nimependa sana nampataje sasa
@shamimhayat7637
@shamimhayat7637 6 месяцев назад
Interview nzuri sana never give up
@MAISHAYACROATIA
@MAISHAYACROATIA 3 месяца назад
Karibu Florida Miami ndugu
@vero57
@vero57 6 месяцев назад
VIJANA WADONGO HUWA WANACHEKIWA SANA KWASABABU YA DRUGS,
@rehemadaudi4390
@rehemadaudi4390 6 месяцев назад
Mtoto wetu wa unakuhudi utafika bali sana
@user-vj2mg5ng1v
@user-vj2mg5ng1v 4 месяца назад
Shena Mungu akubariki sana.. Yaani mimi ndo nawaza kuwa itawezekana na lugha ina babaisha? Ila ngoja niende shule.
@user-yy7rp3sx8y
@user-yy7rp3sx8y 6 месяцев назад
Asante
@ahmedalfan8075
@ahmedalfan8075 4 месяца назад
Airport ya nyerere wanazingua sana sana sana wanazingua kinoma
@successmbio878
@successmbio878 4 месяца назад
Haaaa! Kazi ya supermarket kiboko man
@marychacha7084
@marychacha7084 6 месяцев назад
Mbona huko marekani tunaambiwa kazi kibao why aombe nyingi hivo kabla hajapata..mpaka kapata ya kuosha vyombo...ila yote maisha big up
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 6 месяцев назад
Mmh Umesikiliza vizuri kweli ?
@mkingageorge2641
@mkingageorge2641 6 месяцев назад
Hyooo anafikili USA hakuna watu
@omanhuawei8980
@omanhuawei8980 6 месяцев назад
Hii ya leo ime nifundisha sana
@annatemu4488
@annatemu4488 6 месяцев назад
😂😂😂😂kaka anaonekana ni mcheshi sanaa
@maggydiary
@maggydiary Месяц назад
Interview Nzuri 😅
@madukakisinza2680
@madukakisinza2680 6 месяцев назад
💪💪💪
Далее
MILLION JAMOASI 2024 4K
2:17:51
Просмотров 12 млн
La Tierra Robó El Anillo De Saturno #planetballs
00:14
ПРИКОЛЫ НАД БРАТОМ #shorts
00:23
Просмотров 760 тыс.
MILLION JAMOASI 2024 4K
2:17:51
Просмотров 12 млн