Тёмный
No video :(

"NILIMPENDA SANA MKE WANGU NILIKUWA SIMSIKILIZI MTU, AMEIOMBA TALAKA"-RICARDO MOMO 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 154 тыс.
50% 1

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

6 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 221   
@abdourazakndeze4157
@abdourazakndeze4157 Год назад
Dr Mwaka sikiliza vile kijana mdogo kwako anakufunza hekima...jifunze kutoropokwa ropokwa hovio... big up Momo na Allah akusimamie kwenye amali zako
@fatumayussuf2961
@fatumayussuf2961 Год назад
Kweli
@irenesilvesta7609
@irenesilvesta7609 Год назад
Hi
@zamzanimakundi2546
@zamzanimakundi2546 Год назад
Una hekima sana momo hongera sana umeongea kama mwanaume alie ingizwa jando la asili👏
@1stladyafrica402
@1stladyafrica402 Год назад
Kamwite Mwaka aje aangalie ajifunze maana yule naye zwazwazwa
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 Год назад
Huyu kaka mimi namkubali sana Ila namuomba akasikilize nyimbo ya Harmonize-tz ya I'm single inamfaa. Pole momo kuachana kupo utapata wa maisha yako tatizo mnapenda sana muonekano kuliko utulivu.
@anixtra7887
@anixtra7887 Год назад
Habarini hapo studio. Hongera sana sana kijana wangu Momo. Kwa kauli zako hakika wewe ni bonge la mwanaume wa ukweli. Una akili sana. Nimekua nikifuatilia sana kauli zako. Wewe ni mume bora ila mke ulikua huna. Mungu akujaalie umpate mke mwema inshalaaa! Mwisho lbisa unafanana sana na mtoto wa Nasibu aliyezaa na Tanasha mkenya.😁
@peaceelisha
@peaceelisha Год назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂afu wewe eti mke alikuwa Hana ko alikuwa aña nn
@queenchuwa1383
@queenchuwa1383 Год назад
L0ķ88
@halimamnavi3208
@halimamnavi3208 Год назад
Ndugu yangu usimpe kichwa siku zote ndoa ya watu wawili tu sisi wengine wasikilizaji tu huyo akimrudia mke wake hawezi kusema mtandaoni humu mtata mwenyewe huyo mwanaume
@reginajames4434
@reginajames4434 Год назад
Sauti kidogo Kama ya mondi,ila una akili sanaaaa Kaka very smart
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Год назад
Momo umekonda siku chache, kuanzia Mwili mpk sauti..!.…pole Sana
@lilianbrighton1539
@lilianbrighton1539 Год назад
Hahahaha
@aishahasan7722
@aishahasan7722 Год назад
Huyo mke wala hukuendan nae kwaulivyo mtu wa din nahyo mwanamke tofaut, tatixo mnafuataga Shep ndomana.ila sawasawa Tu kumbe unapenda wavaa vichup hya
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si Год назад
Pole sana ila hongera kwa maamuzi ya kiume Iwe fundisho kwa dr mwaka Mungu akupe alo mwema nae apate alo wake
@hanifamziray277
@hanifamziray277 Год назад
Sauti km ya mond kbs pole.mungu atakufanyia wepes broo utapata mke wa stara yk
@mwanahawaomarimashaka197
@mwanahawaomarimashaka197 Год назад
Mwenyewe hataki mke mstaarabu
@janifajani8875
@janifajani8875 Год назад
Pole kaka yangu mwenyenzi Mungu amekuepusha na kitukikubwa
@timoliiisaya3824
@timoliiisaya3824 Год назад
Kaupushwa na k2 kikubwa vp wew ameachwa tu kuachwaHow was the meeting n kuachwa tu 😆
@janifajani8875
@janifajani8875 Год назад
Kwajisi huyo mwanamke anavo vaa nahuyu mwanaume nasio mwanaume huyu tu kwamwanaume yoyote kwa kitanzania hawezi kuowa huyu mwanamke yani viungo yandani unavionesha dunia zima nimke au nipepo hili
@habibamaguru2722
@habibamaguru2722 Год назад
Mungu amekuepushia mengi Momo tafuta mwanamke anaendana na ww umuoe
@jumakassim8718
@jumakassim8718 Год назад
Swadakta
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 Год назад
Sahihi.
@hannanommy302
@hannanommy302 Год назад
Alhamdulillah ulikuwa unaambiwa ila anyway Mmshazaha kikubwa jipange utafute mke bora mwenye maadili ya Dini
@hawaramadhani8430
@hawaramadhani8430 Год назад
Ni kweli km hakutaki achana nae siyo kulazimishana
@husseinnkuna6401
@husseinnkuna6401 Год назад
Mwanamke hata umpe dunia yote na bado ataondoka tu baadhi yao hawanaga shuklani walio wengi
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 Год назад
Ahsante kijana umejibu vyema umemsitiri mwenzio.
@cosmascastory9193
@cosmascastory9193 Год назад
Likadomo Anafanana na Diamond
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Ata Santos wanafanana sana
@raelnjare6036
@raelnjare6036 Год назад
Anafanana na mtoto wa tanasha pia
@rahmasalim5252
@rahmasalim5252 Год назад
Walah kuna wengine watafuta waume kama hawa n hawapati
@halimamnavi3208
@halimamnavi3208 Год назад
Mambo ya ngosa muachie ngosa mwenyewe kweli naamini siku zote ndoa hazipotei kinachopotea maelewano. Kazi kwako sisi wengine wasikilizaji tu
@sharonnemartins2798
@sharonnemartins2798 Год назад
Mwenyezi Mungu akusaidie Momo
@jacquelinerayamu3187
@jacquelinerayamu3187 Год назад
Haya Bismillah njoo nioe mm momo nataka stara... jamani huku nje jua kali..🙈
@allyrashid3732
@allyrashid3732 Год назад
Safi sana
@senseiamani4684
@senseiamani4684 Год назад
Haaaaahaaaaa
@dullahtechtz3422
@dullahtechtz3422 Год назад
Njoo kwangu
@dullahtechtz3422
@dullahtechtz3422 Год назад
Njoo kwangu
@kaizachief4912
@kaizachief4912 Год назад
Ricardo momo tamaa zimekuzid uyo mwanamk alikuwa akionekana ni wa kisasa sana. Phylosophy zenu ni tofaut 😁😁😁😁.
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 Год назад
Kuachwa na mwanamke mrembo kunauma sana.Sio peke yako haji manara na mwaka juma mwaka yamewakuta.
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 Год назад
Hii comment 😂😂😂😂😂uuwii nimecheka 😂😂 ila ni ukwel nacheka kama Mazur vile
@uwasesifa7563
@uwasesifa7563 Год назад
Unasema kiukweli wake wa tz hawana mchezo kuomba Talaka mwanaume inamuuma sana.bibi mzuri namuona instagram na momo ni Haji atafute Hajati mwenzake wanikabu sio Malaika.
@pmall8867
@pmall8867 Год назад
Wame pigwa na Vitu Vizittooo😂😂
@eshasozy69
@eshasozy69 Год назад
Awo wte wanateseka atr
@seiphomary834
@seiphomary834 Год назад
Hapa momo ndio tunaona Allah akisema oewen wenye dini
@jumakassim8718
@jumakassim8718 Год назад
Swadakta
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Год назад
Maskini Ricardo alimpenda sana uyu dada mwee
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 Год назад
Sn alimoenda ila yule Dada ajatulia
@uwasesifa7563
@uwasesifa7563 Год назад
Jina la instagram aitwa nani?
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Год назад
@@uwasesifa7563 @ricardomomo na uyo mkewe @malaika
@hyratebaayun
@hyratebaayun Год назад
@@uwasesifa7563 malaika cute
@uwasesifa7563
@uwasesifa7563 Год назад
@@hyratebaayun asante
@mohamedjeizan5929
@mohamedjeizan5929 Год назад
Tatizo unapenda za ndanaaaaaanii sana. Mwanaume unajisifu Kwa umbeya. Punguzeni mapenzi ya mitandao. Mrundio mola wako ommba tobba hayo mambo unayongea mitandaoni kama muislam ni haramu tupu
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 Год назад
Hiyo bahari ilikuwa kubwa kwako kaka RICARDO MOMO! Tafuta mwanmke mwenye Dini.
@ashobozakabalimu9212
@ashobozakabalimu9212 Год назад
Atafute bwawa. Hiyo ilikuwa Atlantic
@dostovan5142
@dostovan5142 Год назад
Kuna kuku wakufuga na kuna kuku wa kula tu 🤔 so usijichanganye
@julianapeason6254
@julianapeason6254 Год назад
Ni kweli anampenda mkewe amrudie maisha yaendelee
@mariamswalehe3312
@mariamswalehe3312 Год назад
Uko vizuri kaka yaani nimefurahishwa namajibu yako
@hannanommy302
@hannanommy302 Год назад
Mwambie Mwenzako doctor Mwaka kinganganizi,
@kaizachief4912
@kaizachief4912 Год назад
Huu mwaka litakufa jitu vjana tunaangaika na mapenz 😊😊😊
@prosmacharius7074
@prosmacharius7074 Год назад
😂😂😂
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Год назад
Kuachwa kuachwa 🎵kuachwa ni shughuli peevu 🎶 mbaya zaidi🎶🎶🎼📻
@lydi791
@lydi791 Год назад
Momo unaongeya point very interview 👌👌
@fatmakombo9793
@fatmakombo9793 Год назад
Jamani kuna wanawake wanapendwa na wanaume zao lakini wanakuwa hawajielewi
@deusdeodavid5360
@deusdeodavid5360 Год назад
Ukipewa sana unakinahi ila ukikikosa utakikumbuka
@abdourazakndeze4157
@abdourazakndeze4157 Год назад
Dr Mwaka ingekuwa vizuri aje akajifunze kitu hapa...sio tu ma ubishi asiokuwa na mashiko.
@joharyjohary581
@joharyjohary581 Год назад
Jmn c unipend mm mbn nakupend sana tu mzee wa zandaaaaaan am here for yuh
@allymwinyi970
@allymwinyi970 Год назад
una manen yeny faraj sn.
@cosmascastory9193
@cosmascastory9193 Год назад
Ricardo Momo anaumia kimoyomoyo hapo bado unampenda mkeo
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Saaana
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 Год назад
Tena ukitaka kujua zaidi mtizame ongea yk mtizame anauma midomo
@zanzibarspice8686
@zanzibarspice8686 Год назад
Hpana Kwa sisi tulio wahi Kuwacha si kama unampenda hapana Kuna Joto la nafsi Linakukereketa Kila wakat unahisi Kuongea au kuongea kwa Hisia ila si kama Mapenzi kunachukizo la ndani ndio maana wataalam wa mahusiano wanasema hakuna urafiki kwa waliotalikiana kuna chuki ndani mwao
@finiaskalist747
@finiaskalist747 Год назад
Watu wasaikolojia mmeanza sasa hapo tu ndio ninapowapenda wabongo😆😆🙌
@zanzibarspice8686
@zanzibarspice8686 Год назад
@@finiaskalist747 ukifatilia asilimia Kubwa yetu waTz tunapeda Kufatilia mambo ya mahusiano ktk Maswala mazima Ya Tabia za Kibanaadam Kuna Jambo 1 kubwa La kimahusiano kuna upande wapo tyr kuumia sasa ili waheshimike baadae na hil ndio kwa Momo mitazamo inajenga Tabia
@mariamswalehe3312
@mariamswalehe3312 Год назад
Katika wanaume wewe ni mwanaume unayemaanisha.
@sasamama7934
@sasamama7934 Год назад
Jamani talaka ikiwa ni mara ya kwanza hata useme nenda nimekupa talaka 3 basi inaesabika ni moja ki dini ukiachika mara ya kwanza ukarudi uka achika ya 2 ukarudi ukiachika ya 3 ndio basi tena huwezi kurudiana na mke au mume wako mpaka uolewe na mume mwingine mkiachana unaweza kurudiana na mume wako wa mwanzo ndio dini inavo sema
@sophiamvungi1425
@sophiamvungi1425 Год назад
Jaman kwa mavaz hayo hafai kuwa mke wa shehe
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 Год назад
Kama ni shekhe umemsikia anasema kuwa anapenda wanawake mchepuko. Vipi asimtafute mwenye dini
@jombadulla
@jombadulla 4 месяца назад
kwani we umesikia shehe huyo,
@suleimanrodriguez9484
@suleimanrodriguez9484 Год назад
Nimeelewa kitu kaka Momo, naona yote niwewe uliyatengeneza tangu zamani. Kweli wewe unaonekana mtu wa dini, lakini hauku tembelea misingi ya dini unapotaka chagua mke wa kuowa. Basi usifanye tena kama zamani na Allah akutangulie.
@sadickrajabu8980
@sadickrajabu8980 Год назад
Pole likado mwanamke apendwi bal anaeshimiwa tu ukipenda utajuta mwisho wa siku tuishi nao kwa makini kk
@allyringe2813
@allyringe2813 Год назад
Pole sana najua umeumia sana nikikutazama machoni inaonyesha bado unampenda kaza moyo
@gwamakangwala6468
@gwamakangwala6468 Год назад
TRUE
@lulually5209
@lulually5209 Год назад
Momo ww muislamu usiweke kila kitu hadharani baba mama zako hatujiskii vizuri tunahuzunika
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Год назад
Umesema kweli @LULU😢
@khadracilmi8929
@khadracilmi8929 Год назад
Ur star!!!!!!
@kijakazinyalinga7003
@kijakazinyalinga7003 Год назад
Eti hupend mwana mke mstaarabu 😊😊
@yunyun799
@yunyun799 Год назад
Ana jitetea 😂😂😂
@frizzy6766
@frizzy6766 Год назад
Pole sana utapata mwema uko sawa tu 🥰
@alantonio855
@alantonio855 Год назад
Eti maisha ya ki sheikh...my Foot !
@ashurahaji4794
@ashurahaji4794 Год назад
Kwanza yule mwanamke alikuwa mzuri sana wewe tafuta kama mimi
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 Год назад
😀😃😀😃
@senseiamani4684
@senseiamani4684 Год назад
Haaaaahaaaaa
@zubedamagambo8139
@zubedamagambo8139 Год назад
Unapenda wanawake ambao sio wastaarabu. Kaka kazi unayo. Mtashindwana Kila siku
@shamzone388
@shamzone388 Год назад
Mwenye macho haambiwi tazama na mwenye masikio haambiwi sikiza ....kama Limekuhusu ...
@farhannahkulishwaburekunam5360
Haya yamekushinda mpaka umeachwa mwanamke malaya bado unamtetea tu
@babyjohn2712
@babyjohn2712 Год назад
Kimbembe kinakuja wanaigeria wanajua kuhonga halaf wanajua kukusifia ,muda wote wanavaa brand,hotel /magari makali weee!😂😂😂 huchomoi
@hhhhhhhgbhnnhn
@hhhhhhhgbhnnhn Год назад
kaachwa manara na hela zake , kaachwa dr mwaka na dawa zake za nguvu za kiume ukiwaelewa wanawake umeyaelewa maisha
@hildamwabeya
@hildamwabeya Год назад
😆😆😆
@agreysteven
@agreysteven Год назад
Duuh Ricard dude lote hilo analiachage kaka,,ohoo alambaaa
@sikandarsuleimanTV
@sikandarsuleimanTV 4 месяца назад
Hata mie nimedaiwa talaka, Kaka wa Brazil kadaiwa talaka Kwa hio ishakua fashion siku hizi
@dianamsuya4854
@dianamsuya4854 Год назад
Yule mwanamke sio level yako Acha kulalama
@sashahauke2032
@sashahauke2032 Год назад
Mimi nimemwelewa momo sana
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Saaana
@wardadanda6322
@wardadanda6322 Год назад
Uongeaji wake km Nasibu
@user-lx1hk8ek1k
@user-lx1hk8ek1k 7 месяцев назад
😢😢
@rahimnurumohamed7439
@rahimnurumohamed7439 Год назад
Hayomajinahayo momo nimagumukweri
@pendochimammy5013
@pendochimammy5013 Год назад
Dada momo ashamtaja Dr mwaka 😂😂😂
@samsonezekiel5239
@samsonezekiel5239 Год назад
Yeyoooooo wenginee wako wapi msijifichee
@iddikhamis8454
@iddikhamis8454 Год назад
Wanawake hao sio watu wa kuwawekea dhamana. Hawatabiriki hata kidogo. Wala usiwaamini hata kidogo. Wote jora 1 kasoro mshono tu.
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 Год назад
😂😂😂😂 jamani mbona hivyo lakini
@bahatisaid5435
@bahatisaid5435 Год назад
Juma wangu nimekuwa nimewakubuka kweli
@andrewjulius6796
@andrewjulius6796 Год назад
Tafadhari jmn mpeni maji kidogo anywe anaongea akiwa kapanic sanaaa...muangalie mdomo wake
@saeedamour9939
@saeedamour9939 Год назад
Upendo
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free Год назад
Patamu hapo kwenye Talaka 😜😜😜
@mlapikauma7660
@mlapikauma7660 Год назад
Mnaowa micharuko ndo mana.
@john-cg9qu
@john-cg9qu Год назад
Unakaa ki chehe chehe ivo kisha unatamani kuishi namdada kama huyo 😅 ebo mujijuwe first
@shamsakiobia6421
@shamsakiobia6421 Год назад
Mbona mke kama changudoa jamani
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Uwa ndiyo anavaa hivyo
@ramayonline2281
@ramayonline2281 Год назад
Mtag jina la huyo mwanamke nikamuangalie Instagram
@frankakuno.9511
@frankakuno.9511 Год назад
@Malaikacute55
@asiamerey9081
@asiamerey9081 Год назад
@Malaikacute55 ni mrembo sana Mashaallah Mungu kamuumba
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
@@asiamerey9081 saaana ni mrembo mno
@ramayonline2281
@ramayonline2281 Год назад
@@frankakuno.9511 ahsante ngoja nikamuangalie
@abdallahabdu8194
@abdallahabdu8194 Год назад
Niliwaambia wanawake hamuwajui ?je ya mwaka ? Bado ya wengine? Mmoja baada ya mmoja?hata viongozi na wakuu wa dini! Hatari
@sirajmmbugi8162
@sirajmmbugi8162 Год назад
Ishini maisha yenu ya uhalisia
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 Год назад
Manara, Mwaka na sasa Momo
@florampayo6593
@florampayo6593 Год назад
Za ndaaaaaaaaaniii😂😂😂
@chichimushi1044
@chichimushi1044 Год назад
Akome, alipenda kushadadia sana mambo ya zari, muone sura yake, akome
@uwimana6533
@uwimana6533 Год назад
Kwani daimond alikua naniya yakumuoa zari , walikua kibiasha sio mapenzi, zari ndie alietaka ndoa
@kefasonmahenga2917
@kefasonmahenga2917 Год назад
kuna Wanaume wanaowa wanawake kisa shepu 😀😀😀😀 kinachowakutaga ni balaaa
@stn4873
@stn4873 Год назад
Moyo Mmooooyaaaaa
@mkundukunuks
@mkundukunuks Год назад
Alafu uyu mshikaji msenge wewe dada wako esma si alikwambia au nyege zilikuzidi
@kinotasontravel3883
@kinotasontravel3883 Год назад
Ikifikia mwisho mwache aende
@rahmasalim5252
@rahmasalim5252 Год назад
Huyo mke akukupenda
@pmall8867
@pmall8867 Год назад
Za kichwa
@florencemulunda9191
@florencemulunda9191 Год назад
Kama Simba
@beatricejoseph2347
@beatricejoseph2347 Год назад
😂😂😂😂Juma !!Dida Yule pale!
@Legends_Interviews
@Legends_Interviews Год назад
Doh
@babyjohn2712
@babyjohn2712 Год назад
Halaf huyo dada mbona ni malaya wa miaka mingi labda kaona surgery aliyofanya haifanani na bwana anaeishi nae😂😂 kuchanwa na visu kila kona kwa ajili ya shep then unakuja kuzeekea kwa bwnaa kama huyu haipo hiyo🤣🤣
@nassrahemed9564
@nassrahemed9564 Год назад
Wanaume mujifunze kuoa wanawake size zenu... ukijiangalia bodaboda ya kijijini ukaoe uba ya daresalama?? 🤣🤣🤣🤣🤣
@allykigatta7564
@allykigatta7564 Год назад
....alaa...kumbe ULIOA JANAMKE HUNI BHANA......kwa hiyo anavaa nusu uchi na kupiga picha za hovyo??
@stn4873
@stn4873 Год назад
Uyo demu atarudi sura ipo chini kumamake.
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 Год назад
Kiukweli momo alikuwa anampenda sn mkewe ila mkewe alikuwq hn adabu na hp anaongea kbs kwa usirias I naonekana imentachi sn
@greysonkipanga8004
@greysonkipanga8004 Год назад
da huyo dada mie ndie niliyemleta dar tukaishi hajui ila kilichokuja tokea
@saxinajoseph4289
@saxinajoseph4289 Год назад
Kilitokea nini😂
@oliverpius2948
@oliverpius2948 Год назад
Ujui kutomba ngoja aende kwa konde
@sophierseyyd1162
@sophierseyyd1162 Год назад
Dada alikuwa anajistiri huyu lkn sijuh NN kimembadilisha 😒
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Год назад
Yuko soko now
@stevewanga957
@stevewanga957 Год назад
ww mwenyewe si yasemekana ni kuchu ....
@mwanaishasilima8039
@mwanaishasilima8039 Год назад
Jamani dida wewe hhhhhhh dokta mwaka Salam zake izooo
@raibinasuleyman7081
@raibinasuleyman7081 Год назад
Hovyoo, na hayo mavazi hufanan na unayoonge😏
@mariamumaliki6980
@mariamumaliki6980 Год назад
Wewe nimpumbavu tafuta Mkee mwenye stara
@aishahasan7722
@aishahasan7722 Год назад
Haswaa yaan
@raibinasuleyman7081
@raibinasuleyman7081 Год назад
@@mariamumaliki6980 yaan anasupport bakisa upuuzi km huo nakujiita sheikh looh!
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Год назад
Daah hivi Kwa nini wanawake wa bongo sasa hivi wanaomba talaka Sana? Wamekisikia nini huko Nje?
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Год назад
Wanazani sisi tulioko nje tunafaidi saana pia wakaka wengi sikuizi hawana nguvu za kiume dear. Ni janga la ulimwengu mzima
@cosmascastory9193
@cosmascastory9193 Год назад
Juma Lokole nae kama mwanamke aiseee
@juvenalschristopherkalewa1819
Yeye ajazimia kama bwana msemaji??
@muminshekha521
@muminshekha521 Год назад
Unaongea vzri bro
@dorcasaloyce2787
@dorcasaloyce2787 Год назад
Huo mdomo Sasa anapeleka wapi🤣🤣🤣
@Gody360
@Gody360 Год назад
Sawa
Далее
Linkin Park: FROM ZERO (Livestream)
1:21:01
Просмотров 5 млн
3d printed demon core vs real
00:24
Просмотров 7 млн
WAWILI WATIWA MBARONI KWA MAUAJI SINGIDA.
4:47
Просмотров 2,2 тыс.
RICARDO MOMO na H BABA wagoma kumsamehe HARMONIZE
10:05
Linkin Park: FROM ZERO (Livestream)
1:21:01
Просмотров 5 млн