Тёмный

RICARDO MOMO afunguka SABABU ZA KUACHANA NA MALAIKA "SIKUSHINDWA KUMTUNZA, MAPENZI YALIISHA" 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 49 тыс.
50% 1

www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

24 апр 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 124   
@Official83640
@Official83640 2 месяца назад
Kwa vile alivyo sasa hivi shukuru Mungu maana sio wakuwa nae mtu kafikia kuvaa uchi vile Astaghafilullah 😢
@umfahad2609
@umfahad2609 2 месяца назад
Nakuombea kwa Mungu upate mke mwengine mwema na mwenye heri na wewe Momo.❤
@mwanjumajongette8187
@mwanjumajongette8187 2 месяца назад
Momo Allah akupe ungine mke mwema inshallah
@kbjr1115
@kbjr1115 2 месяца назад
Jamaa linajua dini ila maisha ya kidunia yanemfanya aingie ktk mambo yaliyo nje ya misingi ya dini ktk masuala ya kubeti na kujiingiza ktk masuala ya miziki na mastarehe, ALLAH amuongoe IN SHAA ALLAH
@meyuuabdallah4674
@meyuuabdallah4674 2 месяца назад
Fact
@JOHNJOHN-pu7wb
@JOHNJOHN-pu7wb 2 месяца назад
Asa hapo linajua kwan yeye ni tembo gurudumu flani?
@aminaabasi2146
@aminaabasi2146 2 месяца назад
Me pia namkubali sana ricaldoh
@imamuhamisi4421
@imamuhamisi4421 2 месяца назад
Nj​@@JOHNJOHN-pu7wb ametumia ninjia yakusifia kitu , nd maan unawez kitu mfano jamaa linajua hili
@ahmedmakkuka9348
@ahmedmakkuka9348 2 месяца назад
Mziki uko juu unaathiri maongezi
@BibieMakame
@BibieMakame 2 месяца назад
Kaka momo mstaarabu sana
@HusseinSeif-wi2st
@HusseinSeif-wi2st 2 месяца назад
Unajua kuongea momo 👏
@rosehaule6765
@rosehaule6765 2 месяца назад
Nampendaga tu licado yupo na busara ti brother mm nakuelewa sana na yupo na heshima kwa mwenza x wke wote awajadhalilishana safi sanaMungu awafanyoe wepesi ndoa ni rehema na barasa na ndoa nyingi zina changamoto nyingi hakika umeongea hasaa na sote tuna mapungufu mkamilifu ni Mungu tusinyoosheane vidole❤
@malietamalieta9658
@malietamalieta9658 2 месяца назад
😂😂Mzee wa kudelee za ndaaaaaaniiiiii kabisaaaaa linapenda kulamba mdomo wake wajuu uyu momo big up to you bro Mimi shabiki Ako Niko hapa
@Shadia544
@Shadia544 2 месяца назад
Inshaallah allah atajalia mke mwema na mwenye kujistiri pia inshaallah 🤲🤲🤲🤲
@aminahomary2532
@aminahomary2532 2 месяца назад
Ricardo anafanana na caleb wa malkia karen ❤
@toyikudratullah1466
@toyikudratullah1466 2 месяца назад
Recardo momo soon i,m coming to bongo taku check apo unyamani from burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@emmajuma896
@emmajuma896 2 месяца назад
Ricardo ana ngozi nyororo. Handsome boy
@nancyg8664
@nancyg8664 2 месяца назад
😂
@moudrickmouh3569
@moudrickmouh3569 2 месяца назад
Shwaaah🌈😂
@umfahad2609
@umfahad2609 2 месяца назад
Ricard unaonekana ni mtu wa dini saana. Namuomba ALLAH akuzidishie na ucbadilike mdogo wng.
@user-td8bp9kz8d
@user-td8bp9kz8d 2 месяца назад
Kwa sasa anapiga mixa 😂😂the ushekhe umekua wamchongo
@user-gz4fb6if7u
@user-gz4fb6if7u 2 месяца назад
Hiii interview nimeipenda sanaa cjui kama itatokea
@toyikudratullah1466
@toyikudratullah1466 2 месяца назад
Me my self from burundi mola akuwekey wepes recardo momo ex wif wako alipo kuwa anahojiwa na sns dada yule amekuw namaneno machach san san yahekima hiyo itoshe kusema nimisingi bora y recardo momo amerithi kwake pesa majumba nivitu vikubwa mnoo
@KhalilaTi-vw6vt
@KhalilaTi-vw6vt 2 месяца назад
Kiukweli ukweli ulichoongea ni sahihi masha Allah Allah atuongoze biidhnillah
@HusinaKarama-ti9jm
@HusinaKarama-ti9jm 2 месяца назад
Mashaallah momo mi nakupenda Sana ❤❤❤
@user-dh3cb5iv2f
@user-dh3cb5iv2f 2 месяца назад
@toyikudratullah1466
@toyikudratullah1466 2 месяца назад
Nimeyipenda san bro uko vizuri san kiyasi cha dini kipo i,m talking as ustadh
@MinskBelarus-il2tl
@MinskBelarus-il2tl 2 месяца назад
Ustadh,samahani saaaana kama nitakukwaza. Nini maana ya USTADH
@mhabimina4023
@mhabimina4023 2 месяца назад
True that 👌
@shadiwaigwa9230
@shadiwaigwa9230 2 месяца назад
Malaika amekuwa shapeless
@umfahad2609
@umfahad2609 2 месяца назад
Kwa kweli mimi namkubali saana Momo. Cmjui sana, ila kwa mtazamo wng namuhic ni kijana mstaarabu saana.
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 2 месяца назад
Momo Kwan ni msanii
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 Месяц назад
KWAKWELI WANAWAKE WENGI HAWAJIELEWI SANA, WAKIPATA BASI WANASAHAU SANA NINI DUNIA. NDIO MAANA WENGI WANAWAKE WATAINGIA MOTONI. MAMBO MWENGINE YANASIKITISHA SANA NA YANAUMIZA NI MTIHANI KWELI
@husseinrashidi5828
@husseinrashidi5828 2 месяца назад
Jamaa anajua kujibu kabisa majibu safi sana
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 2 месяца назад
Studio Pambe Sanaa Maua Yako Mbunifu
@toyikudratullah1466
@toyikudratullah1466 2 месяца назад
Nikupem tena mauwa yako bro wng from burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 before one year nimekuj usafini umekuwepo hapo injee ila skuweza kukusabayi ila next time i,will come back to you kwa mimi binafsi ex wife wako malikiya misimamo ya uchache wamaneno pia kaathirika n hekma zako n busara zako my bro call me Abdoul ntaku check one day apo usafini bro umenyook san mola akupe faraja badala n Allah atuongezeye malikiya wetu frm burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 2 месяца назад
Majibu mazuli momo acha dunia imunyooshe maana sio kwa shape ile eee m/mungu naomba nijalie mwisho mwema vijana tunapotea snaa na ujana wallah😢
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 2 месяца назад
Nikweli
@ahnafaykhan698
@ahnafaykhan698 2 месяца назад
yani bro ukiaondokatu katika tasnia ya muziki pepo unaiona. mungu akuongoe zaidi
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 2 месяца назад
Yaani broo momo memo unakubalije kuhojiwa na bachela anajua chang a moto za kuishi na mwanamke
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 2 месяца назад
onekanwaaa eeeh sawa sawa
@adijaniyonkuru9731
@adijaniyonkuru9731 2 месяца назад
Inshallah atapata mwingine❤
@hassannyale6901
@hassannyale6901 2 месяца назад
Bro ulifanya sawa kuwachana naye...huo ulikuwa ni Moto..Fitna..urembo likuwa niwewe Tu uone... lakini malaika alitaka kuonesha kila kitu Kwa waume wa inje... ALLAH akusimamie.. Brother Momo
@itso.f.f.i.c.i.a.l
@itso.f.f.i.c.i.a.l 2 месяца назад
dogo mchaga amemshikilia sana mzee wa kudere humu ndani 😂
@nguyekorajabu1592
@nguyekorajabu1592 2 месяца назад
17:21 hadi 17:40 Momo Umeongea Madini sana . Superb.NAZINI HADI NAKUFA . SIKU UKIFA UNAMJIBU NINI MOLA WAKO.
@user-jy4pm3hh9s
@user-jy4pm3hh9s 2 месяца назад
Mzee wa kudele nakukubar sana hawa wanawake hawana shukuran kaka tena ata mawasiliano ungekataa mazima tunaumia sana kupenda watu wasiotupenda
@erickdanielkasindi564
@erickdanielkasindi564 2 месяца назад
Hallow
@user-mt3cg6iv6d
@user-mt3cg6iv6d 2 месяца назад
Mchaga anamaswali ya kukera ningekua Mimi kashakula mikono mingi hapohapo 😂😂
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 2 месяца назад
Hahahaaa dah, jamaa amemkamia momo balaaa
@rubbymusa1971
@rubbymusa1971 2 месяца назад
Mwanamke alifika hatua hakuwa anamuheshimu tena mumewe, Pole dada hana hofu na chochote yupo busy na urembo
@RizikiPonsiano
@RizikiPonsiano 2 месяца назад
Huyu mtangazaji Bado ni mtoto,hajaoa Bado,hajui challenges za ndoa especially ndoa ikiwa na mtoto.Wanawake wakiwa kwenye ndoa baadhi ni mwiba, especially wakiwa au kupata umaarufu.
@queenbibisha1961
@queenbibisha1961 2 месяца назад
Ila momo alimpenda sana malaika , yani inavyoonekana malaiki akimwambia turudi pamoja yupo tayari 😂😂😂🙆🏼‍♀️🙆🏼‍♀️🙆🏼‍♀️
@tinotyno679
@tinotyno679 2 месяца назад
Ndo maana mnaambiwa redio ya ndugu
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 2 месяца назад
Mtaka mbele mpishe bora umempisha kaka utapata mke mwema mke mkeo
@NM-yl2uw
@NM-yl2uw Месяц назад
eti mtoto wa kslamu, kwan wakristo ndo wanaruhusu
@samchris1914
@samchris1914 2 месяца назад
Watoto wazuri wote ni malaika muulize Ricardo momo😂
@user-zw4tf5os8b
@user-zw4tf5os8b 2 месяца назад
Li momo dini linajua lkn dogo lake linampoteza Allah atuongoze sote
@gloryassey3962
@gloryassey3962 2 месяца назад
Mapenzi peke yake hayatoshi kuishikilia ndoa kuna sacrifice uvumilivu nk
@Zenny89
@Zenny89 2 месяца назад
Masheheee!!! Huwa wanakwama pabaya…usichezeee misambwanda🤣
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 2 месяца назад
Jibu sahihi umejibu,ndomana nmemuacha finish😂😂😂
@Maryam-vj1rb
@Maryam-vj1rb 2 месяца назад
😂😂😂 amekukomesha kwa majibu yake Rigal Naam
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 2 месяца назад
4:59 pumbavu😂😂
@khamisisuedi1056
@khamisisuedi1056 2 месяца назад
Umpe ushauri nduguyo ni mzinifu mkubwa na kuzalisha kila aina ya wanawake nje ya ndoa
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 2 месяца назад
Huyo malaika sijui shetani surgery ikijakubuma ndia atajua hajui
@MichaelLukindo-ix4qz
@MichaelLukindo-ix4qz 2 месяца назад
Hizi ndio kero za kuweka mahusiano Public..
@EvaWaziri-so3gi
@EvaWaziri-so3gi 2 месяца назад
Wadada wa mjini wana mambo yao na wanaume wa mjini wana mambo yao
@malikamohammed6641
@malikamohammed6641 2 месяца назад
Hii family ya kina diamond ukiwachana nao tu lazima wakuseme vibaya kama wao niwakamilifu ili hali wao ndio Wanaongoza kwa skendo siwapendi
@wardawarda6535
@wardawarda6535 2 месяца назад
Momo ukitaka mke mwengne miye nipo mwaya@Warda wa Momo 😂😂
@husnathabiti4114
@husnathabiti4114 2 месяца назад
😅😅😅
@wardawarda6535
@wardawarda6535 2 месяца назад
@@husnathabiti4114 nipo Hapa Bi Warda wa Momo akee
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 2 месяца назад
huyu nae siasa nyingi malaika kakuacha wew ulipambana sanaa kurekebisha ukashindwa
@jut1161
@jut1161 2 месяца назад
Sasa kwani kuna shida gani. Si kakubali kushindwa ndio akaamua kumpa talaka ili Aishi Maisha anayoyapenda
@Igauf3
@Igauf3 2 месяца назад
Let’s see what are you going to do with that “one” next to you. Africa is watching.
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 2 месяца назад
Bora mumeachana mwanamke anathamini makalio kuliko ndoa
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 2 месяца назад
ATA MWANZO ULIMSHUPALIA TU,,SIJUI TAKO LILE,,,,SIO JAMII YA MWANAMKE UTAKAYEMUWEKA NDANI AKAFATA MISINGI YAKO,,,WE UNA HOFU,,MWENZIO HAJUI HATA HOFU YA MUNGU NI NN,,,
@abdulrahimomar8554
@abdulrahimomar8554 2 месяца назад
Maaalim kapatikana leo😅
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 2 месяца назад
Mchaga alikua ywambamiza MOMO tuu!!!! Momo alimkataa Malaika sababu za ustar
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 2 месяца назад
Momo njoo unioe mie Lkn naogopa mkirudiana na Malaika je. Ukiniona Malaika haiingii hata robo😂😂😂😂😂😂cku hiz wanaume Hakuna. Malaika ataka KUDANGA. Sie twataka kustiriwaaa. Ila atakuja kumbuka shuka kumekuchaaaa😂😂😂😂
@samwelsanga4249
@samwelsanga4249 2 месяца назад
😊
@aaa64sa13
@aaa64sa13 2 месяца назад
❤❤🎉🙏
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 месяца назад
Momo Malaika ni bomu bora mlivyoachan ungekufa umesimama
@SalminiSamama
@SalminiSamama 2 месяца назад
😂😂
@kibirigeahamed7557
@kibirigeahamed7557 2 месяца назад
pvbav kwan boss wako anafanye😂😂😂
@user-kg8dn6qr8o
@user-kg8dn6qr8o 2 месяца назад
Mzee wakudele ulikosea Sana huyu Dada heshima isipotee ulitakiwa utie mimba akuzalie mtoto paka Leo angekua anakueshimu hawa ukiwa change hivi hivi wana dhalau sana
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 2 месяца назад
mtot gan amezaa nae watot 2 mbon
@trice_yanga
@trice_yanga 2 месяца назад
saivi hata mzae watoto 10 km mtu kashaamua lake anafanya tu mbona mtoto wanae sema huyu dada baad y kupata umaarufu kaona momo wa kazi gani
@Kabwela776
@Kabwela776 2 месяца назад
Hivi hizi tv hazina mambo ya maana kuwahabalisha watanzania huu ni upuuzi , huyo malaika ndio Nani Na huyo momo ndio nani wengine hatumjui na
@Hassan-ot1mc
@Hassan-ot1mc 2 месяца назад
Sasa unakunya nini
@joshua.o.makundi3079
@joshua.o.makundi3079 2 месяца назад
🤣🤣🤣🤣 ZA NDAAAAANI , NIMESKIA UJANA PLUS HAIFANYI KAZI. ZA NDANIIII LEO ZIMEHAMIA KWAKE HAHAHAHAHAHAHA
@coolson2925
@coolson2925 2 месяца назад
jamaa analamba lamba domo ananikera kinomaaa
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 2 месяца назад
Lkn ukinioa msije pasha viporo na Malaika NTAUA😂😂😂😂NINA WIVU BALAHA. SHEM WANGU WA UKWEEE ATAKUA DAIMOND❤😂NAMI NIWE SUPERSTAR😂😂😂😂😂
@nehemia397
@nehemia397 2 месяца назад
wakuu huyu dem nampataje
@nehemia397
@nehemia397 2 месяца назад
mtangazaji huyo
@josephkiwale374
@josephkiwale374 2 месяца назад
Momo anafanana xana na mama dangote,na RJ hapa kuna kitu chakuchukua
@sikudhanimohammad7692
@sikudhanimohammad7692 2 месяца назад
Afanane kwani ni mwanae?
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 месяца назад
duuh watu wawili wawili kweli..huyu wanaimuinterview anaufanano na Daimond hivi..
@EvaWaziri-so3gi
@EvaWaziri-so3gi 2 месяца назад
Alafu uyo engel zamani ndyo alikuwa mnzuri syo now,ameenda kujiaribu tyu
@mwanamisiali5712
@mwanamisiali5712 2 месяца назад
Umeonaeeh juzi niliona akihojiwa anaongea km mzee
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 2 месяца назад
@@mwanamisiali5712 hilo dom kachemkaa😂
@khelefmatelephone9653
@khelefmatelephone9653 2 месяца назад
Sasa huo mdomo umeufanya nn mzee au unataka ufanane na kaka😅😅
@saadabakar7750
@saadabakar7750 2 месяца назад
😂anazuia kigugumizi
@aishabakari8040
@aishabakari8040 2 месяца назад
Anaongea kigugumizi
@trice_yanga
@trice_yanga 2 месяца назад
huyu manzi umaarufu ndo umemponza
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 2 месяца назад
wewe na malaika mnamtoto mmoja tu yule wa pili ulimkuta kwa malaika sio wako acha uongo
@MinskBelarus-il2tl
@MinskBelarus-il2tl 2 месяца назад
Sio Muongo Dada mdogo.....ila ni Hekima katumia. Huyo mtoto bila Shaka anamchukulia Momo kama BABA yake,na anaishi na kusoma na Mdogo wake. Busara imetumika kutokumkana kwenye Social Media.Ujue hii interview haitofutika iko siku huyo mwanae wa kumzaa anaweza kumwambia BABA.....mbona ulimkana ndugu yangu???? Halafu acha kumwita mwenzio "MUONGO" Unamjua kiundani??
@marrykigabimk
@marrykigabimk 2 месяца назад
𝚁𝚒𝚌𝚊𝚛𝚍𝚘😂😂😂😂😂😂😂😂
@badmanno.1650
@badmanno.1650 2 месяца назад
Hivi momo mpaka arambe rambe lips 😅
@khelefmatelephone9653
@khelefmatelephone9653 2 месяца назад
Momooo mbna unauvuta sana huo mdomo shda nn😢😢
@user-td8bp9kz8d
@user-td8bp9kz8d 2 месяца назад
Usijitetee ulikosea kuoa wewe ustadh mvaa kanzu kaoe wavaa majuba wenzio sio kuoa shangingi la mji kisha useme status ilifuata ndoa kwa nn msiikemee 😂tatizo hamfuati miongozo ya dini ktk kutafuta mke huo ndo ukweli sheikh isemwe hata kama inauma stahamili sheikh😂
@Bashitetako
@Bashitetako 2 месяца назад
Kajilamba midomo mara 112
@analisacecy
@analisacecy 2 месяца назад
😂😂😂😂
@chimamilion
@chimamilion 2 месяца назад
Cjui analambaje midomo km ndan nae yn liulim lote nje
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 2 месяца назад
Huyu jamaa kwa yule manz alicjochola
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa 2 месяца назад
Tatiz wanawake ,,, kubla ya kuolewa ni wema sana ngoja sasa umuoe
@umfahad2609
@umfahad2609 2 месяца назад
Wewe mchaga unamlazimisha mwenzio km kashindwa kumtunza. Mbona waliishi mpaka wamezaa wtt wawili?
@jumalihumbo5314
@jumalihumbo5314 2 месяца назад
Leo ndio nimeelewa ndoa sio lelemama😅😅😅
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 2 месяца назад
Ni kweli unaeza pata mke balaa na mwanmke ukapata mume kisanga ni kuomba Mungu atusaidie tu
@SalminiSamama
@SalminiSamama 2 месяца назад
😂😂
Далее
HOW DID SHE WIN??
00:49
Просмотров 16 млн
Salama Na KAJALA Ep 35 | JERAHA LA MOYO Part 1
29:56
Просмотров 326 тыс.
THE JUNCTION S1:E30 | NAJMA PAUL & CAPTAIN BRIAN
2:18:26
Найди Влада на стадионе
0:26
Просмотров 1,6 млн
Бывший #шортс #комедии #юмор
0:45