Тёмный

PAULA AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA KUHUSU MIMBA YAKE NA MARIOO/KAJALA MARIOO NI MKWE ATOE MAHARI 

Carrymastory
Подписаться 465 тыс.
Просмотров 66 тыс.
50% 1

#PAULA #KAJALA #PAULANAKAJALA #MARIOONAPAULA #carrymastorytv

Развлечения

Опубликовано:

 

28 окт 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 92   
@joycesamwely7896
@joycesamwely7896 8 месяцев назад
Ila paula anaonekan mpole san jaman halaf ukiachan na mitandao kiuharisia huy bint han mambo mengi kabisa❤❤
@lovemwagala8259
@lovemwagala8259 8 месяцев назад
Kma vile ulikuwa kweny akili yangu jman
@khamismakame8944
@khamismakame8944 8 месяцев назад
Kajala She's the very strong Mama Unastahili kupewa Pongezi kwa Miono ya Mwanao unavyomsimamiya Mungu Akubariki🙏Maisha yana njiya pili kuongokeya au kupoteya sasa kwa vyovyote duniani kila mmoja Ana lifestyle yake na Imani yake kutoka kwenye Dini au imani ya kifamiliya Kajala Unajaribu kuplaypart together na Mwanawe na kumsimamiya kwa hali yoyote ile ya Aibu au Ya Mafanikiyo nice one Kajala Paula Anakuwa Anajitengenezeya Brand kama Mama yake Mungu Amsimamiye Lakini Ajijenge kwenye Akili ya Maendeleo siyo kila siku sherehe
@FatumaBaruti-qw6jm
@FatumaBaruti-qw6jm 8 месяцев назад
Kabisa yani ni mfano kwa kweeli mtu unatakiwa kumshika mtoto kwa chochote kile.abarikiwe.
@upendojames5378
@upendojames5378 8 месяцев назад
Kabisa Ni strong mama kwakwer kajala anastahilii pongezii yupo na mwanae kila mahalii
@LilianAchieng-bo9xo
@LilianAchieng-bo9xo 8 месяцев назад
Congratulations team paula🎉🎉🎉
@aishavogelmann5021
@aishavogelmann5021 8 месяцев назад
Congratulations, Mama na mtoto kwa duka mpaya ,Allah aibariki
@almaodhiamboodhiambo917
@almaodhiamboodhiambo917 8 месяцев назад
Ksjala your the sweetest mother ever 💗 💖
@happymasha4318
@happymasha4318 8 месяцев назад
hongera sana na ubarikiwe mpendane hivo hivo na mungu awatangulie hadi raha jamani
@ushyentoabdulnunu8044
@ushyentoabdulnunu8044 8 месяцев назад
Congrats sana sana ❤❤❤❤Allah awajalie sana
@florencemeza6540
@florencemeza6540 8 месяцев назад
Nimegundua watu wana wivu saaaaaana na maisha ya paula na mamake dangeni basi na ninyi mpewe, maana hata wanaume ciku hizi wanaolewa
@roseamon7906
@roseamon7906 8 месяцев назад
Asaaaaanteeeee imeeeeenda hiyoooooooooo!
@chikusangalala7759
@chikusangalala7759 8 месяцев назад
😂😂😂😂kweli
@sweefatyprince
@sweefatyprince 8 месяцев назад
Nampenda kajl😮😮
@user-rb5uu5pv1q
@user-rb5uu5pv1q 7 месяцев назад
Waooooooooooooow nimepend hiy
@nshimirimanacharlene8988
@nshimirimanacharlene8988 8 месяцев назад
Mama yangu ni rafiki yangu❤
@user-qs7lj7kj1k
@user-qs7lj7kj1k 8 месяцев назад
Nawapenda nyie❤
@paulinamajollo1637
@paulinamajollo1637 8 месяцев назад
Hongereni sana mama na binti yake
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 8 месяцев назад
Ila kajala kaanza kuliwa kitambo😢…em kumbuka zile songs za majaniii..Temba hapa😅 mpaka sa ivi we zombie
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t 6 месяцев назад
Paula kazur Sanaa jmn❤❤❤
@WardaSwalehe
@WardaSwalehe 7 месяцев назад
Kwakweli wanastahili maua yao nawapenda sana❤❤❤
@newassong5985
@newassong5985 8 месяцев назад
Juma mungu anakuona
@gerlasvayahi8441
@gerlasvayahi8441 8 месяцев назад
Wa kwanza leo
@issazalala4907
@issazalala4907 8 месяцев назад
Daaah mama na mwana akiri sawa 😂
@user-rb5uu5pv1q
@user-rb5uu5pv1q 7 месяцев назад
Jamn mam hawez kumtup mwanae hakik nimepend na nawwish all the best wapendw na hay ni manen ya wat yataish tu helloooooooo😢
@user-rb5uu5pv1q
@user-rb5uu5pv1q 7 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤❤❤ by janeth
@aminabintisaid9113
@aminabintisaid9113 8 месяцев назад
Jum lokol chaw🥰
@hanifamsenda-py8qu
@hanifamsenda-py8qu 8 месяцев назад
Mtu na mke mwenza
@ashurahaji4794
@ashurahaji4794 8 месяцев назад
Mkwe ana heshima ila mama mkwe unamuonyesha vichupi vyako
@Hotensia
@Hotensia 8 месяцев назад
Paula ni mrembo jamani
@user-vi3ck1cw3h
@user-vi3ck1cw3h 8 месяцев назад
Sio kama mamaake
@zuhuraMangapi
@zuhuraMangapi 8 месяцев назад
Hata we mrembo kumz yeye Kwan we mzuri hujatumiya mekaup kama hawa
@alineolivia2392
@alineolivia2392 8 месяцев назад
Juma akimpepea uncle wake😂😂😂 juma mnafki sana aise 😂😂😂
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 8 месяцев назад
Mmmh! So Kwa kizazi changu
@ashuraabdallah9229
@ashuraabdallah9229 8 месяцев назад
😂😂😂aaah juma mpk uso unakuchupa kwa uogo
@estermtambala4181
@estermtambala4181 8 месяцев назад
Congratulations
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 8 месяцев назад
Juma❤
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 8 месяцев назад
Mhh mnaongelea duka au mahusiano ya paula😂
@tuunganefoundation3019
@tuunganefoundation3019 2 месяца назад
❤️❤️❤️
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 8 месяцев назад
Guys she's 20 and something she's not a baby leave her alone
@user-rb5uu5pv1q
@user-rb5uu5pv1q 7 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nawapend wote
@dinaalfani
@dinaalfani 8 месяцев назад
Nikajua n lapl jmn kumbe limebadrk 2❤❤❤ ila vzur limeongezek
@AsmaAsma-hy7wp
@AsmaAsma-hy7wp 8 месяцев назад
Binadamu nyie mna kazi
@Official83640
@Official83640 8 месяцев назад
Mimba ipo wapi hapo jaman mnaijua mimba au mnaandika tu
@nancyg8664
@nancyg8664 8 месяцев назад
Wanaandika kutuvutia
@nuruabraham3769
@nuruabraham3769 8 месяцев назад
nimekupenda bure kajala hujaweka makuchakucha ❤❤❤
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 7 месяцев назад
Yaani Lokole unanichekesha na huo upepeo wako😂
@graciek5872
@graciek5872 8 месяцев назад
Kwani Paula hana confidence ya kujieleza????
@mongeramatondo1320
@mongeramatondo1320 8 месяцев назад
Kwan huyu Paula si ameolewa au?? Sasa anaishi nyumbani kwq mama ake kivip
@vibetz9991
@vibetz9991 8 месяцев назад
Kajala anaongea kama toto dogo ,,haongei kama mzaz,,haongei kama professional business woman anaetangaza biasharA
@iyanboy4786
@iyanboy4786 8 месяцев назад
Wa pili
@merinakassembe118
@merinakassembe118 8 месяцев назад
Atoe tena mahali nilifikiri katoa million. 100 hata hilo hatafunga tuu hWans kauli nhuri na wateja
@chikusangalala7759
@chikusangalala7759 8 месяцев назад
Anamimba sura inaonyesha kwa sisi wataramu
@GubraCity-dm5sx
@GubraCity-dm5sx 8 месяцев назад
Tena kubwa tu
@upendojames5378
@upendojames5378 8 месяцев назад
Paula kamekuwa mpka saiv interview kanajibu vizur tu hakaogopi safii sana 😊
@hawababy120
@hawababy120 8 месяцев назад
😅😅😅juma kazi unayo😅😅
@user-jr1lv4gp7k
@user-jr1lv4gp7k 8 месяцев назад
Kwel juma kazi unanyo😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@estermgeni1942
@estermgeni1942 8 месяцев назад
🤣🤣
@happymasha4318
@happymasha4318 8 месяцев назад
wasikusumbue kama unaona anafaa zaa tena faster
@user-vi3ck1cw3h
@user-vi3ck1cw3h 8 месяцев назад
Marioo acpomlipa lokole atapata dhambi
@NunuselemaniNkurunziza
@NunuselemaniNkurunziza 8 месяцев назад
Mimba Ipo kabisa
@mbikamtanganaki
@mbikamtanganaki 8 месяцев назад
Fyuuuuu kwahiyo aigwe Nini kuacha shule na kuliwa hovyo au
@janethpPoul
@janethpPoul 2 месяца назад
Namuona lokole
@user-uz6sv1zt8z
@user-uz6sv1zt8z 8 месяцев назад
Paula anamimba ya diamond😂😂😂😂😂😂
@estermgeni1942
@estermgeni1942 8 месяцев назад
🤣🤣🤣
@user-vi3ck1cw3h
@user-vi3ck1cw3h 8 месяцев назад
Haishi na marioo na unamuita marioo mkwe 😮
@roseamon7906
@roseamon7906 8 месяцев назад
Ni mkwe mtarajiwa kwahiyo lazima amuite mkwe
@user-12345love
@user-12345love 8 месяцев назад
Air condition
@user-zm8eh3ym1s
@user-zm8eh3ym1s 8 месяцев назад
Hujitambui ndo maana konde kawapitia wote wawili
@roseamon7906
@roseamon7906 8 месяцев назад
Wakati anawapitia mlikua na huyo konde? Kazi kuropoka mihemuko Haina maana
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 7 месяцев назад
Kajala usivae wigi
@lacheekah1849
@lacheekah1849 8 месяцев назад
Pete tumeiooonaaa
@marryfelician1426
@marryfelician1426 8 месяцев назад
Kajala mawigi hayawezi maskini jotooo
@aishabakari8040
@aishabakari8040 8 месяцев назад
Marioo ukimaliza kuliwa hivo vipesa utatafuta buyu ukakune😂😂😂😂
@roseamon7906
@roseamon7906 8 месяцев назад
Maneno kawaida yenu kama marioo analiwa pesa nenda basi nawe kamlie kama waweza acha wivu mtakalia hayo kafungua duka kamlia marioo jua linazama mna hayo tu wenzenu wapo mbali hata hamuwagusi
@lovemwagala8259
@lovemwagala8259 8 месяцев назад
​@@roseamon7906👏👏
@Neema-lh8pi
@Neema-lh8pi 8 месяцев назад
Sasa anajifuta futa nin anakera
@joycesamwely7896
@joycesamwely7896 8 месяцев назад
Kajara hajazoea wig hapo ni kajikaz tuu joto hatar
@user-fh4gw8oy4g
@user-fh4gw8oy4g 8 месяцев назад
Kwa joto gan wacha ushenzi bibi
@user-wg7xi9fu9z
@user-wg7xi9fu9z 8 месяцев назад
Mtu na mamake akili sawa na ndio mana wanaliwa wote na Mtu mmoja
@akishamwende8515
@akishamwende8515 8 месяцев назад
😮😮
@user-vm7do3qk1t
@user-vm7do3qk1t 8 месяцев назад
Acha wivu we mbwa
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 8 месяцев назад
Joto la dar hilo daa hamna vi feni vya mikononi
@roseamon7906
@roseamon7906 8 месяцев назад
Umeme hakuna
@user-zm8eh3ym1s
@user-zm8eh3ym1s 8 месяцев назад
We bibi umeshazeeka
@roseamon7906
@roseamon7906 8 месяцев назад
Analingana na mama mzazi aliekuza au bibi yako kwanza unamuita bibi yawezekana huyo Kwako ni sister Ako acha kashfa
@user-iu6hu6bs9v
@user-iu6hu6bs9v 8 месяцев назад
paula jamn ni mfano wa kuigwa kwa mabinti
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 8 месяцев назад
Mmmh! So Kwa kizazi changu
@graciek5872
@graciek5872 8 месяцев назад
Hamna lolote!
@RehemaHussein-uv5yw
@RehemaHussein-uv5yw 8 месяцев назад
Congratulations
@user-dq5tc4uu9s
@user-dq5tc4uu9s 8 месяцев назад
❤❤❤
Далее
ALIKIBA KWENYE BABY SHOWER YA MARIOO NA PAULAH
1:43
Просмотров 124 тыс.
Paula kajala Vs Kajala masanja nan mkali
8:28
Просмотров 72 тыс.
Spot The Fake Animal For $10,000
0:40
Просмотров 50 млн
Spot The Fake Animal For $10,000
0:40
Просмотров 50 млн