Тёмный
No video :(

NIMEPOTEA ULAYA NIKATOKEZEA KIJIJINI | ANAISHI KIJIJINI NAOGOPA KUCHINJWA 

Official Dating Assistance
Подписаться 42 тыс.
Просмотров 10 тыс.
50% 1

Maisha ya kijijini kwa wenzetu, ambavyo kunavutia 🥰🥰

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 49   
@cleopatrahenry7541
@cleopatrahenry7541 2 месяца назад
Natamani huko nipate hata wazee wa kulea , naimani ukifanya kazi maeneo ya huko maisha ya takuwa rahisi
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 9 месяцев назад
Napenda sana life la kijijini❤❤❤
@user-uc8wd7dg7b
@user-uc8wd7dg7b 9 месяцев назад
hata vijiji vyetu vizuri sana shena kama kwetu kilimanjaro ni full kijani cha ndizi😅
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 9 месяцев назад
Exactly
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 9 месяцев назад
I agree
@jessicamwasandube944
@jessicamwasandube944 9 месяцев назад
Wow ni kizuri sana huko,yaani mie bora tu kama kuna huduma muhim
@mathayofesto9421
@mathayofesto9421 9 месяцев назад
Wenzetu wanazingatia mipango miji sana ndo maana nyumba zao zimekaa kwenye mpangilio mzuri sio kama huku aiseeee 😂
@WitnessShamba-wm4tq
@WitnessShamba-wm4tq 7 месяцев назад
Jamani hii si masaki na mbezi beach kabisa 😂
@salvinahassan8778
@salvinahassan8778 9 месяцев назад
Sio pazuri sana, nilienda Kwa wadatch kijijini ni kuzuri sana
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 9 месяцев назад
Je ni sawa na vijiji ambavyo jamii yetu nyumbani wanafikiria ambao hawajafika kwa wa Dutch ?
@user-mv8su7ph2z
@user-mv8su7ph2z 9 месяцев назад
Beautiful village
@khadijaabdulaziz8297
@khadijaabdulaziz8297 9 месяцев назад
Dada shena nakushaur vaamtandio
@mwekesomamrema7416
@mwekesomamrema7416 7 месяцев назад
Bravo beautiful. Ni vyema kabisaa unavyojieleza - sio vizuri mwanamke kutegemea wanaume. Chapa kazi na ujibambe mwenyewe my friend 😂😂
@fauziasultanikilewa7602
@fauziasultanikilewa7602 9 месяцев назад
Qjijini quna maghorofa jmn mashaallah
@vero57
@vero57 9 месяцев назад
Kila mahali kijijini ni kuzuri sanaaa!!!
@glorymasy7687
@glorymasy7687 9 месяцев назад
Huku ndio masaki 😂😂😂😂😂😂
@MelaniaFuime
@MelaniaFuime 4 месяца назад
Woow
@marrypius576
@marrypius576 9 месяцев назад
Yan natamani kuishi huko jamn Mungu sikia maombi yangu
@sellysang7504
@sellysang7504 9 месяцев назад
Hi beautiful very nice yes very clod here too ❤❤
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 9 месяцев назад
Kijijini lkn kuzur sanaaa❤❤❤
@emarycianakitwenga9813
@emarycianakitwenga9813 7 месяцев назад
Pazuri sanaa
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 9 месяцев назад
life ya kijijini kwenye nchi zilizo endelea ni raha zaidi,
@joslinchuwa1298
@joslinchuwa1298 9 месяцев назад
Kuzuri sana❤
@annasolomon9855
@annasolomon9855 9 месяцев назад
Kijiji? Mbona kijiji ni kizuri kuliko hata Arusha mjini 😅😅
@officialdaynesskavishe4143
@officialdaynesskavishe4143 9 месяцев назад
Kabisa jaman.mana Arusha sipaelewagi ramani yake.
@maryamrashid8499
@maryamrashid8499 9 месяцев назад
Umenichekesha sana😂😂😂
@agnesandrew2742
@agnesandrew2742 9 месяцев назад
❤❤❤❤
@mwanahamisimwelesi6682
@mwanahamisimwelesi6682 7 месяцев назад
Kijiji kama masaki dah
@saphinamarwa8360
@saphinamarwa8360 9 месяцев назад
Yaan pazuri kama mjini 😂
@MneneNicodem-zd9sh
@MneneNicodem-zd9sh 7 месяцев назад
Mambo! KWA HIYO dada TZ utarudi lini? Au ndo basi wazungu wamekung'ang'ana!
@edwardlubega5428
@edwardlubega5428 9 месяцев назад
Me like your
@milkaboaz1244
@milkaboaz1244 9 месяцев назад
Mbona kizuri jamani
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 9 месяцев назад
Mnooo
@estambaryokohler3649
@estambaryokohler3649 9 месяцев назад
​@@OfficialDatingAssistanceHabari yako dada nimefurahi kuona unavyoelimisha jamii.hongera sana sana ,Mungu akubariki, salaam toka Nürnberg ❤
@estambaryokohler3649
@estambaryokohler3649 9 месяцев назад
Naishi na mimi Kijijini
@edgarelikana7204
@edgarelikana7204 9 месяцев назад
Kijijini kuna msauzi 😂😂😂
@valenakomba9218
@valenakomba9218 9 месяцев назад
Aunt wangu ujuwe hicho kijij hapo kama mwenyewe unavyokiita kinajitegemea kwa mengi . Uslinganishe ulaya na vijiji vya Tanzania ambavyo mahitaji yao meengi yanatoka mjini. Lakini hapo naamini wanakila kitu. Maofisi , mjini (centrum) wao na wenyewe, hosipitali yao mashule yao nk. Hawahitaji kwenda kutafuta kazi mjini, wao na wenyewe hapo watemetengene 3:05 😢za ajira zao . Kwa hiyo hicho siyo kijiji kama vijiji vyetu mi.aamini hako ni kajimbo, na huno ndani kunavijiji.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 9 месяцев назад
Lakini nyumbani na jamii yetu inaamini kijiji basi mi kijiji zaidi ya Nyumbani na pengine wanachinja watu.. ndiomana nimewaletea hapa ili wasafishe Macho na watoe mawazo mabaya waliyokua wanafikiria
@mwanahamisimwelesi6682
@mwanahamisimwelesi6682 7 месяцев назад
Kijiji kama masaki
@mwanahamisimwelesi6682
@mwanahamisimwelesi6682 7 месяцев назад
​@@OfficialDatingAssistancenikutumie namba yangu namaongezi yamuimu
@StephanJimmy-uj7rw
@StephanJimmy-uj7rw 9 месяцев назад
Shena me cjui kiingereza hyo ndo changamoto
@user-mr7gl5ox6u
@user-mr7gl5ox6u 9 месяцев назад
Aan kama nje ya mji kizur sana
@lujuomjanja2866
@lujuomjanja2866 9 месяцев назад
ni wapi huko?
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 9 месяцев назад
Wazungu awapendi kuona mweusi kijijini kwao
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 9 месяцев назад
Kwanini ? Mimi nimeona wako Poa tu Na wanatabasamu hawana habari
@NeemaAbdon
@NeemaAbdon 9 месяцев назад
Uko poa mdg wangu?
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d 9 месяцев назад
Kunzur kama usukuman vile😂😂😂😂
@deborampagama5950
@deborampagama5950 9 месяцев назад
Nitafute rafiki huko
Далее
Triple Protein Sandwich
00:32
Просмотров 4,4 млн
Triple Protein Sandwich
00:32
Просмотров 4,4 млн