Тёмный
No video :(

NILIKUA WAITRESS SASA NAISHI DENMARK |UKIFIKA ULAYA UNAPASWA KUFANYA NINI ILI KUBAKI 

Official Dating Assistance
Подписаться 42 тыс.
Просмотров 15 тыс.
50% 1

Nyalwanda ameeleza Safari ya maisha yake kutoka kua Waitress (muhudumu wa mgahawa Zanzibar) mpaka sasa anaishi Denmark ambapo alipelekwa na kazi ya Aupair
Ameeleza taratibu za kujiunga na Aupair na mambo gani unapaswa kufanya ili kufanikisha na Website gani ni za uhakika.
Unaweza mfollow Instagram kwa jina la Nyalwanda
Thank you Nyalwanda for allowing this to be online
www.oda.international

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 48   
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 месяца назад
Instagram: Nyalwanda
@MroseMcho
@MroseMcho 3 месяца назад
Nimependa nipo kwa warabu sasa naona nianze utaratibu nirudi tz
@Natashaibrahim-rf9ln
@Natashaibrahim-rf9ln 3 месяца назад
Ushauri mzuri
@gracemahugi4380
@gracemahugi4380 10 дней назад
Asante mwanangu
@zainabsibuma-omary7061
@zainabsibuma-omary7061 3 месяца назад
Asanteni sana kwa maelezo ya kina kuhusu hii program. Vijana wachangamkie fursa ndo hizo.
@anethcharles5443
@anethcharles5443 3 месяца назад
Asante sana kwa darasa zuri sana Mungu akubaliki pia dada shena uzidi kutupa vyuma ❤❤
@winfridamdaki5699
@winfridamdaki5699 3 месяца назад
Hongera sana Nyalwanda kwa elimu nzuri sana
@lillyborah1060
@lillyborah1060 3 месяца назад
Nimejifunza sana nyalwanda asante sana.
@hadijakassim7597
@hadijakassim7597 Месяц назад
Mungu atusimamie hizi lugha za watu hizi nikumbambana tu nimeishia form 4 Ila Nipo Austria napambna Ahsante dada shena najifunza sana kupitia ww na kuwa na uvumilivu zaidi nawaona wanagombana hata siingilii hayanihusu kama ulivyo sema,Ubarikiwe sana 🙏
@Jammie626
@Jammie626 3 месяца назад
Asante sana Nyalandwa Kwa maelezo ya Opea
@weveeernest9911
@weveeernest9911 3 месяца назад
Uko smart sana kichwani hongera .
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h 3 месяца назад
Hongera sana Nyalwanda. Uko vizuri. Maisha ni mapambano!
@kelvinmutale2104
@kelvinmutale2104 3 месяца назад
Asante Dada Shena kwa shule
@SaraphinaKweka-rp1lg
@SaraphinaKweka-rp1lg 17 дней назад
❤shena nakupenda sana unatupa elimu nzuri saana
@ElizaAmbrose-mf1bs
@ElizaAmbrose-mf1bs Месяц назад
Nashukur sana nimeelewa hiki kipindi.
@MarthaZabron-gg3uj
@MarthaZabron-gg3uj 3 месяца назад
Asanteni sana ya leo ni kali sana
@samwelirukondagwahula8211
@samwelirukondagwahula8211 3 месяца назад
Hongera sana
@lillyborah1060
@lillyborah1060 3 месяца назад
Niko na msichana wangu anamalizia kusomea care giving in Kenya anahitaji maelezo zaidi atakupata vipi nyalwanda??
@neysagadiely
@neysagadiely 3 месяца назад
Asante sana nyarwanda
@user-hb8ph8fk5s
@user-hb8ph8fk5s 12 дней назад
Dada kaongea vzr mn hajaficha Kama wengne tunashkur mn hapo ni sisi2 kujiongeza na kujitahd
@nicekweba9920
@nicekweba9920 3 месяца назад
Hongera shena wetu😊
@user-iy1np9et3q
@user-iy1np9et3q 2 месяца назад
Iyo kweri asant kW mashauri
@SuzanKiss-vx4il
@SuzanKiss-vx4il 3 месяца назад
Sister shena huja pin iyo link ya agent aliyosema jamany alafu huyu dada kaongea vizuri sana. Ulete watu kama hawa dada angu naomba pia upate interview na Judith J kombe 🙏 🙏
@mariambakari8065
@mariambakari8065 3 месяца назад
Umeongea vizuri na uwazi zaidi
@linkreuben3108
@linkreuben3108 3 месяца назад
Nice interview
@dorahbenard1837
@dorahbenard1837 3 месяца назад
Samahani me nina swali hiv wanaume hawawezi fanya kazi hiyo?
@Nyalwanda
@Nyalwanda 3 месяца назад
Unaweza
@lillyborah1060
@lillyborah1060 3 месяца назад
Mafunzo mazuri dada sheena from Kenya 🇰🇪.
@dorahbenard1837
@dorahbenard1837 3 месяца назад
​@@Nyalwandaay asantee my dear 💖
@liljammacha7806
@liljammacha7806 3 месяца назад
Umeambiwa wanaweza jinsia zote mdg wangu
@JamesKyara-gl1wb
@JamesKyara-gl1wb 2 месяца назад
​@@Nyalwandavyeti vya kutokua na ndoa ndo vmepanda ad 200k
@anethcharles5443
@anethcharles5443 3 месяца назад
Naamin ipo siku nami nitashuhudia
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 месяца назад
Majina pls ya hizo agency Km ninacare
@richardsaikong1138
@richardsaikong1138 3 месяца назад
Naomba kufahamu kwa nini jina linaitwa "official dating assistance"
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 месяца назад
Ni ukurasa wa kuongelea mahusiano, mitandao ya kimagusiano, utamaduni, ughaibuni na maisha
@DoreenMwanga-dg7xp
@DoreenMwanga-dg7xp 3 месяца назад
Asante
@abiamusiba567
@abiamusiba567 3 месяца назад
1:02 o
@babyboy6310
@babyboy6310 2 месяца назад
Ana we kutoka wapi Tanzania
@lillyborah1060
@lillyborah1060 3 месяца назад
Naomba umshauri mwanangu yuko 20years saa hii.
@dayana5513story
@dayana5513story 3 месяца назад
🔥🔥🔥🔥🔥
@mariansumari2179
@mariansumari2179 9 дней назад
Jamani acheni kuweka akili zenu Ulaya , ulaya hata hapa nyumbani ni ulaya , tafuta fedha wanawake wenzangu utaishi like you are Europe , asilimia 90 ya maisha yangu nimeishi na wazungu , sasa maisha yangu kwa muda mrefu niko zanziber nasafiri east africa zote nimejenga Dar mbezi beach nina mazuri sana , kama ni kupenda kuishi ulaya ningekua Canada namshukuru MUNGU sikuwahi kupenda kuishi na wazungu lakini badae ndio nimekuja kuwajua ni watu wa aina gani , wanawake wenzangu pambanieni maisha hapa hapa nyumbani mtat🫶🫶🫶💪💪💪💪
@liannsambu7264
@liannsambu7264 4 дня назад
Acha kila mtu apambanie NDOTO yake ,kama wewe ya kwako haiko ULAYA acha wenye za ULAYA wafatilie dear hapa DUNIANI kila mtu anakitu chake best
@zahramohammed2337
@zahramohammed2337 Месяц назад
Nitabaki oman uko bila kingereze utoboi😂😂😂😂😂
@issazalala4907
@issazalala4907 Месяц назад
😂😂😂 Zahra embu acha kuji katsha tamaa
@MustaphaFadhili
@MustaphaFadhili 25 дней назад
Kwakweli
@user-iy1np9et3q
@user-iy1np9et3q 2 месяца назад
Iyo kweri asant kW mashauri
Далее
💀СЛОМАЛ Айфон за 5 СЕКУНД😱
00:26
CEO JEURI: SIMULIZI FUPI YA SAUTI.
3:09:46
Просмотров 21 тыс.