Тёмный

TULIKUTANA TIKTOK | BAADA YA MAHANGAIKO MUNGU KANIPATIA MUME AIRCRAFT ENGINEER | WATZ WANAMAKASIRIKO 

Official Dating Assistance
Подписаться 42 тыс.
Просмотров 21 тыс.
50% 1

Devota ametueleza safari ya maisha yake ya mahusiano mpaka kuja kukutana na love of her life.
Online dating changamoto zake na namna Tiktok ilivyomkutanisha na mume wake.
Please subscribe to her youtube channel ‪@Devota_life‬ ili kupata kujifunza mambo mbalimbali kuhusu maisha.
Thank you ‪@Devota_life‬ for allowing this to be online.
www.oda.international

Опубликовано:

 

1 янв 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 138   
@Juke995
@Juke995 6 месяцев назад
Hongera sana Devota ila usiongelee sana kuhus pesa maana unachanganya sana just be happy umepata mtu sahihi maneno ya watu achana nayo. Most of them wanaosema vibaya hawana hata wakuwanunulia pedi . Congratulations. Nimetoka angalia interview ya winnie amesema Turkey hakuna haki za binadam mwanamke hana haki hapa nasikia kitu kingine all in all ni kupata mtu anakupenda basi
@upendokihunrwa3427
@upendokihunrwa3427 6 месяцев назад
Hongera dada kikubwa you are happy and enjoying your life
@ZulfaMazani-lb9oe
@ZulfaMazani-lb9oe 6 месяцев назад
Na me nilitaka kusema hiki kitu ...unashibdwa ushike lipi mpk nikampoteza shoga alikua anadate mturuk akamucha nilivyomsikilizishia ile interview ya wanawake uturuk hawana haki
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 6 месяцев назад
​@@ZulfaMazani-lb9oe😅😅
@Juke995
@Juke995 6 месяцев назад
@@ZulfaMazani-lb9oe 😂😂umepoteza muelekeo kabisa
@user-dl1ju4ge3x
@user-dl1ju4ge3x 6 месяцев назад
Hawa ndiyo bado mapenz mapya ngoja wazoeane atakuja kutupa story ingine 😢
@joyceKingu
@joyceKingu 6 месяцев назад
Devota you are very intelligent and smart . Plus actually beautiful .sishangai huyo kijana alivyochangamkia fulsa.❤
@rhodajackson2213
@rhodajackson2213 6 месяцев назад
Nilimfurahia huyu Dada , uwii niliwish uje hapa hatimaye , Hongera sana kila la kheri
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 6 месяцев назад
interview nzur sana iz interview ni shule kubwa sana unajifunza mambo mengi unatembea nchi kibao kupitia watu kama uyu dada mkweli na muwaz sana Mungu awabariki sana
@Tausishaban-he5io
@Tausishaban-he5io 6 месяцев назад
Kwel kbx kk ni shule tn ni nzuri ila mie nawapnd sana hao watu aiseee
@judynjoroge5045
@judynjoroge5045 6 месяцев назад
Shes so beautiful and genuinely happy and vibrant.
@jaffaryhamiddy8939
@jaffaryhamiddy8939 6 месяцев назад
we acha uongo she aint cute
@judynjoroge5045
@judynjoroge5045 6 месяцев назад
@@jaffaryhamiddy8939 what's the fuss all about my eyes could see her beauty ,your eyes saw something else ..
@joyceKingu
@joyceKingu 6 месяцев назад
Naomba uanze kumwombea huyo mkwe wangu aweze kumjua Kristo. Amen
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 месяцев назад
Comment Bora kabisa❤ Ubarikiwe
@MillyOwnio
@MillyOwnio 6 месяцев назад
God's time is always perfect 👌 Happy Marriage my sister
@upendokihunrwa3427
@upendokihunrwa3427 6 месяцев назад
Bhana it doesn't matter as long as mtu una enjoy you are not proving anything to anyone....kitu nlichogundua watu wangi wanakua so uncomfortable na watu waliowaoa sababu labda hawana ile mionekano na vitu vya ndoto zao so wanapoanza kuishi nao wakiwa attacked wanaanza kujieleza sana.....kama you have your man and your happy that's it. True happiness doesn't seek validation of any kind.❤
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 месяцев назад
Yaani we una akili Hili ni tatizo wala sio uongo!
@MadinaMalk-yd6kp
@MadinaMalk-yd6kp 6 месяцев назад
Ngoja kwanza ni comment ndio niangalie big interview
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 6 месяцев назад
Tena mwanaume wakukutishia kila saa kuwa ukifanya hivi na hivi tutaachana..,huyo siyo kabisa.
@user-mo5lk6vq2v
@user-mo5lk6vq2v 5 месяцев назад
Na akiwa mwanamke was namna hiyo tufanye je
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 5 месяцев назад
@user-mo5lk6vq2v Hata mwanamke wa hivyo hafai. It works both way.
@lulumkongwe9987
@lulumkongwe9987 6 месяцев назад
Hongera sana Devotha! MUNGU awalinde na Mumeo
@user-xl5mq5ug2j
@user-xl5mq5ug2j 6 месяцев назад
Jaman huyu dada niliona ndoa yake kwenye page ya Mc galab aisee she made it congratulations sister.....Shena I will real come to this interview ❤
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 6 месяцев назад
Karibu kipenzi
@aminakassim831
@aminakassim831 6 месяцев назад
@@OfficialDatingAssistancewoow namfahamu nimesoma nae st matthew jamani 2005
@rehemaadam4102
@rehemaadam4102 6 месяцев назад
Devota wewe ni mdada mrembo na una roho nzuri nakupenda mwanangu
@helinahenry2363
@helinahenry2363 6 месяцев назад
Wow wow, unewezaaa muhaya wetu. Hongereni sana. Na mmi nko mbioni kuingia Darasa la Shena😊,
@ednaJF1028
@ednaJF1028 6 месяцев назад
I don't know how women's depends on man.weupe hawana hiyo,hata kama akikupa just know they're really color they don't like someone to depend on them. Pia kitu kingine mjitahidi kutumia njia ya kujileta mwenyewe hata kama unataka kuolewa nao weupe mkutane huku huku nje hiyo itakusaidia kua na confidence hata mkigombana hawezi kunitishia kua alinileta. Cjui kama mlisoma history ya hao watu wakati wa ukoloni that will Never ever change them just keep that on mind Ni wazo tu! Naishi huku 🇺🇸 for 17 years but hao watu sinaga mood nao
@jennifermmanyema6693
@jennifermmanyema6693 6 месяцев назад
Tatizo pesa ya kujileta mpenz ndo garama watu hatuna inabid tukubal Tu kuolewa nao
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 месяцев назад
No,watu wametofautana hawafanani kabisa! Ulicho experience wewe mwingine haja ki experience kabisa, ndo maana hata ukisikiliza haya mahojiano unagundua Kila mmoja kapita,kapambana kivyake! Kuna waliopata wazungu hao hao hawataki 50/50,wanawatunza,wanawalipa mwisho wa mwezi, lkn wengine wamewapata wanaotaka 50/50 Kuna waliowapata wenye uwezo,ila wengine wamewapata wenye uwezo wa kawaida.... So mi naona Kila mmoja atavyopata ndo hivyo hakuna mfanano!
@ashaidei5680
@ashaidei5680 6 месяцев назад
Kweli kabsaa tusifananishe vitu kila mtu na mbio zake watu wapo tofauti sana,Tanzania hiyo hiyo kuna watu wanapigika.
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 месяцев назад
@@ashaidei5680 Kuna watu wanepata watu weupe na wanakula maisha ,walionyesha misimamo Kuna waliowapata Vimeo! Km Poland, turkey huyu sio wa kwanza nasikia hapa wao wanatunza mwanamke ,hakuna mambo ya 50/50....ni culture..... So Kila mmoja na atakaempata
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 6 месяцев назад
​@@jennifermmanyema6693KWENDA MAREAKANI AU NJIA SIYO PESA TU UNAWEZA KUWA NA PESA USIPATE VISA
@debbiethomas9825
@debbiethomas9825 6 месяцев назад
BAADA YAKUSKIZA HII STORY ME NIMEPACK MY BAGS TAYARI ………. Am going to UTURUKI….my sisters AM GOING…..🙇🏻
@suziemichael4338
@suziemichael4338 4 месяца назад
Let’s pack my sister 🤣🤣
@OlyUpowerfuljesus
@OlyUpowerfuljesus 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂
@deborahcharles6507
@deborahcharles6507 6 месяцев назад
She is so humble 😊
@zurfapahenge8802
@zurfapahenge8802 6 месяцев назад
MerryChristmas and happy New year everyone ❤
@dayana5513story
@dayana5513story 6 месяцев назад
Girl you're blessed,God is good 😊
@aminakassim831
@aminakassim831 6 месяцев назад
Sura naikumbuka ila jina nimesahau
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 месяцев назад
Dada anatumia jina gani insta? Ameongea ukweli Hakika watu tunatofautiana mbona Mi sipendi Marekani, UK
@blandinamrusha-pj2ro
@blandinamrusha-pj2ro 6 месяцев назад
Enjoy Devota🎉🎉
@user-wx9or8rw4n
@user-wx9or8rw4n 6 месяцев назад
Hongera, nakupenda
@Winifridainturkey
@Winifridainturkey 6 месяцев назад
Ankara is among of the cheapest city in Turkey lakini hakuna opportunities Kama Istanbul
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 месяцев назад
Okay
@sarahmsuya5416
@sarahmsuya5416 6 месяцев назад
How is it the cheapest in the whole of turkey? Compare vizuriiii kisha ndio useme
@Winifridainturkey
@Winifridainturkey 6 месяцев назад
⁠@@sarahmsuya5416 sijasema nimeandika uhalisia Ankara maisha si ghali Kama mingine kwa Turkey haya nipe ya kwako wewe !!
@Winifridainturkey
@Winifridainturkey 6 месяцев назад
@@sarahmsuya5416😅😅😅😅 Ankara inaweza ikawa namba moja au mbili ni moja ya miji ambayo maisha sio ghali Kama İstanbul , Antalya , Alanya na İzmir nk haya nipe toa ya kwako pia !!
@cynthiawahu-sk2qj
@cynthiawahu-sk2qj 2 месяца назад
Thanks for sharing these type of content….I got to know about you through Ruth Kim’s channel…God bless you…I’m learning a lot…ipo siku nitampata mzungu wangu
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 2 месяца назад
Woow thanks Karibu sana and Amen to that 🙏
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 месяцев назад
Nimekuelewa, tusiwe selective sn Cha mhimu mtu akupende kwanza awe real,🎉🎉
@laetitiamathe5779
@laetitiamathe5779 6 месяцев назад
Thank you for thé story ,inanigusa sana ❤❤
@jaffaryhamiddy8939
@jaffaryhamiddy8939 6 месяцев назад
imekugusa wap tn
@Happyjohn-zy6ih
@Happyjohn-zy6ih 5 месяцев назад
Hongera dada,huyo uliyopata ni mume sahihi na Mungu airline.ndoa yako mpaka uzeeni,barikiwa.
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 6 месяцев назад
Mungu ni mwema
@priscambwambo1030
@priscambwambo1030 6 месяцев назад
My dear enjoy wazungu wengi hamna kitu
@MadinaMalk-yd6kp
@MadinaMalk-yd6kp 6 месяцев назад
Nice interview 😍😍😍
@ameeranassor1619
@ameeranassor1619 3 месяца назад
MashaAllah, ila dada mimi nimesoma Uturuki miaka 7 medicine, unaposema Waturuki sio wabaguzi ,you are wrong , may be Huna experience ndio kwanza umefika Turkey last year, waturuki ni wavaguzi na wanaita watu weusi" Kara teyze" shangazi mweusi, au kara cocuk mtoto mweusi hata kama jina lako wanalijua. Pili wanaumme wa kituruki wanakimbilia wanawake wa kiafrica sababu za kiuchumi,kuowa mturuki unatakiwa uwe na mortgage, dhahabu kama zote , gari ,furniture etc, wakati waafrica weusi all they want is skin colour , so easy for them
@murekeyisonichasia4676
@murekeyisonichasia4676 Месяц назад
She's so beautiful 😢
@joycejoes
@joycejoes 6 месяцев назад
Mimi kwakwei huyu Dada tangu namuona kwa GaraB nilimfurahia tu, nikamfollow hapo hapo. Nikaja kugundua kuwa yupo na Furaha muda woote!!! Deapite of the nasty comments❤ Wahaya wenzio tupo hapa 😂 Devotha mimi nawapendeni tu bureeee❤
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 6 месяцев назад
Naomba acc yake inst nimempenda pia
@user-go8nq7gi5k
@user-go8nq7gi5k 6 месяцев назад
Nimependa sana naomba na Mimi nimfoll nisaidie anatumia jina Gani ?
@Serenawilson11
@Serenawilson11 6 месяцев назад
Sema angeogelea akiwa ndan sauti ingetulia zaidi saut inakatika sana 😢
@Serenawilson11
@Serenawilson11 6 месяцев назад
Wakwanza ❤❤❤
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 4 месяца назад
Huyo ni mkurudishi kutoka Iraq 🇮🇶 ndo hawana dini waturuki wote ni waisilamu,lakini pia hao kuridi hawana dini wamezaliwa hapo turkey 🇹🇷 hivo chamuhimu nikupendana Mw/Mungu akufanyie wepesi wakila jambo
@suzanajonhnyodwa1561
@suzanajonhnyodwa1561 4 месяца назад
Napenda Sana devota
@RosemaryKidiro-wz3ux
@RosemaryKidiro-wz3ux 6 месяцев назад
Na mm mwaka huu nitakuja na ushuuda wangu🙏
@paskalinapa6177
@paskalinapa6177 6 месяцев назад
Pia mimi mwisho wa mwaka nitakua na ushuhuda 🙏🙏
@RosemaryKidiro-wz3ux
@RosemaryKidiro-wz3ux 6 месяцев назад
@@paskalinapa6177 Amina kipenzi MUNGU atupe subra 🙏
@RosemaryKidiro-wz3ux
@RosemaryKidiro-wz3ux 4 месяца назад
@@paskalinapa6177 MUNGU mwaminifu atatuacha 🙏
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 6 месяцев назад
Devota black beauty
@oiiii3898
@oiiii3898 2 месяца назад
Dada mzuri kila kitu 👏🏾
@blandinamrusha-pj2ro
@blandinamrusha-pj2ro 6 месяцев назад
Wew ni mrembo bwana
@MadinaMalk-yd6kp
@MadinaMalk-yd6kp 6 месяцев назад
Nawapenda 😘😘😘
@patricksebogodi4849
@patricksebogodi4849 6 месяцев назад
Huyu dada ni mzuri sana hata kama angekuwa na tabia mbaya mimi siwezi kuiona kabisa 😀😀😀
@venerandamassay1785
@venerandamassay1785 6 месяцев назад
Huyu ni mimi kabisa shena
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 6 месяцев назад
HII TABIA YA WANAWAKE KUTAKA KUOENDA KUOLEWA NJE KWA KUOLEWA IT NOT SOYNDS GOOD BUT SIYO MBAYA UKIPATA BUT IT IS NOT NICE THAT MINDSET
@user-fs4bu4cu6k
@user-fs4bu4cu6k 5 месяцев назад
Ongera mdogo wangu
@priscambwambo1030
@priscambwambo1030 6 месяцев назад
Mmy love wajerumany siooooo
@EsterShirima-vr7cv
@EsterShirima-vr7cv 6 месяцев назад
Nimependa hiyo story
@jtheophil5499
@jtheophil5499 6 месяцев назад
Nimekupenda bure
@rosestigeneriksson8387
@rosestigeneriksson8387 6 месяцев назад
Huyo dada anaishi sehemu nzurir huko Turkey ni mji wa kitalii nimeshaenda hapo
@AngelBiria-eu5uv
@AngelBiria-eu5uv Месяц назад
Tulikuwa tnafanya kazi ote dxn jamani nimekumiss sana momy
@user-fe5cn8bv8y
@user-fe5cn8bv8y 6 месяцев назад
Piya mimi mwaka huu nina ushuhuda sana
@Zepequeno-ln1ot
@Zepequeno-ln1ot 6 месяцев назад
abegi Maneno ya mkosaji hayo niunganishe mie hapa popote kambi bola maisha tu yaende sawaa
@jonasmpita2206
@jonasmpita2206 5 месяцев назад
huyo mtu alitaka kukuvunja moyo, mbona pua yako,sura na rangi ziko vizuri tu
@user-xl5mq5ug2j
@user-xl5mq5ug2j 6 месяцев назад
Expect me this year
@jaffaryhamiddy8939
@jaffaryhamiddy8939 6 месяцев назад
usisem watanzania hawana akili kisa umeolewa nje kitu cha kifahari kuwa peace in ur land huku thr is peace
@user-fs4bu4cu6k
@user-fs4bu4cu6k 5 месяцев назад
Shena kazi yako nzuri tabia yako nzuri uko vzr mdogo wagu naomba namba yako
@roselynsesoa2477
@roselynsesoa2477 6 месяцев назад
Devota mrembo,black beauty
@user-mo5lk6vq2v
@user-mo5lk6vq2v 5 месяцев назад
When the deal is too good think twice dada
@fauziasultanikilewa7602
@fauziasultanikilewa7602 6 месяцев назад
Weee nabusu juuuu 😂😂😂😂
@jonasmpita2206
@jonasmpita2206 5 месяцев назад
Nakubaliana na wewe hata mimi nilienda Istanbul na Izmir kiukweli wadada wa ki Turkish tulikuwa tunaelewana sana wakikushika mkono wanasema daa mwili wako wa moto, sema ndo wengi hawajui kiingereza kwhy mnaongea kwa vitendo tu
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 месяцев назад
Hata mi ninge mblock Sitaki ujinga😂
@rithaalberto7521
@rithaalberto7521 6 месяцев назад
I ❤❤❤❤
@hellenkiselema
@hellenkiselema 6 месяцев назад
❤❤❤
@kevinmary7129
@kevinmary7129 5 месяцев назад
Kigezo au sifa ya kwanza ya kuolewa ni dini lazima mkristu uolewe na mkristo Istanbul 78% Muslim so Yesu namba moja
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 6 месяцев назад
wowooo❤❤❤❤
@AngelBiria-eu5uv
@AngelBiria-eu5uv Месяц назад
Waoooh rafiki yangu hatimae umeolewa namba yako nimepoteza dah sijui nakupataje
@ziadaskitchen5060
@ziadaskitchen5060 3 месяца назад
Hahhhh wanaume hawa mtihani
@halimahassan3031
@halimahassan3031 6 месяцев назад
Is not a joke kuolewa😂😂😂
@joycechaka8433
@joycechaka8433 6 месяцев назад
Habali dada Shehna, tafadhali naomba namba zako za simu tafadhali
@foibtv3044
@foibtv3044 6 месяцев назад
😢
@KasminaCreation
@KasminaCreation 6 месяцев назад
ata mimi ningemblock maana future ni muhimu 😂
@user-nb9tl6cy3j
@user-nb9tl6cy3j 6 месяцев назад
HUYU DADA ANAONGEA VIZURI SANA
@jamil1547
@jamil1547 6 месяцев назад
Hongera sana dada nitakupataje naomba number yako tuwasiliyane
@hellenondiso9542
@hellenondiso9542 6 месяцев назад
Kwani ukiolewa na mwarabu si mtu? Na venye wanaume waarabu wanajua mapenzi na kutunza mke. Atleast a position answer since tunajua turkeys n resist
@paulalove1223
@paulalove1223 6 месяцев назад
Yani usiongelee waarabu kwa kutunza😊 sema familia mpk ikukubali nikazi
@hellenondiso9542
@hellenondiso9542 6 месяцев назад
Yes ​@@paulalove1223
@priscambwambo1030
@priscambwambo1030 6 месяцев назад
Devote watanzania wengi Akili ziro wanajidai na matako yao hawana lolote
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 3 месяца назад
Ila wanawake jamani mmeishakuwa majambazi 😂
@hericharles3604
@hericharles3604 6 месяцев назад
Baadhi ya wa Dada zetu akili zao zote ziko kwenye artificial hair, hawapendezi lakini hawakubali kwa sababu ya ulimbukeni na ushamba. Shena na Witness ni waelewa sana, wako natural look,
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 6 месяцев назад
Kila mtu anaaina ya urembo wake anaoupenda.. Kuna watu pia hawapendi watu wanaopakaa rangi za midomo. So at the end kila mtu na urembo wake and we have to respect each other 🙏
@debbiethomas9825
@debbiethomas9825 6 месяцев назад
@herichar..... YOU DON'T KNOW WHAT YOU ARE TALKING ABOUT..... AKILI YAKO FUPI SANA
@user-jo5hs8qr4e
@user-jo5hs8qr4e 5 месяцев назад
Naombeni namba
@user-qb3hx2ku9v
@user-qb3hx2ku9v 6 месяцев назад
Nimepata wa Uturuki anafanya kazi ya ulinzi ila mzuri hatari , mwingine ukraine ila naogopa vita vya ukraine na urusi mtu wa ukraine anasema nimalize contract ya warabu niende ukraine nikasema hapana nafanya kazi kwajili ya mama ,mama yangu hana lala chini nje nikija kwako nitafanya kazi akasema ndio nitakufanyia mpango upate kaz kwaliji ya mama yako nikasema mimi sijui English vizuri itakuaje anasema kwao hawaongei English sasa mtihani niache kazi niende uturky au niende ukraine au nifanye kazi hapa hapa kwa warabu nipo njia panda 🐼🐼 navyompenda mama yangu naogopa kwenda kuishi kwa mume nakula vizuri nalala vizuri mama yangu hana pa kulala naogopa naumia kumuacha mama bakla sijamuweka sehemu nzuri😢 nipe nguvu Mungu nijue cha kufanya🙏
@winfridahaule4364
@winfridahaule4364 5 месяцев назад
Muombe Mungu kwanza
@user-qb3hx2ku9v
@user-qb3hx2ku9v 5 месяцев назад
@@winfridahaule4364 asnte 🙏
@user-vc8bm7zb6o
@user-vc8bm7zb6o 6 месяцев назад
Dada nimekufatilia muda mrefu ukiwa unawahoji watanzania wenzetu....ombi langu mimi natafuta mzungu wa kunioa ila sijui pakuanzia
@TRUEHUBBY
@TRUEHUBBY 6 месяцев назад
Kama unafuatilia vipindi vyake unakosage pa kuanzia? Kila anaongea nao wanasema njia walizotumia, Sasa unakwama wapi🙄. Be creative 🙌
@elingimiemakundi1229
@elingimiemakundi1229 4 месяца назад
DADA UWE UNATAJA NA ACCOUNT ZAO ZA RU-vid
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 4 месяца назад
Check description nimeweka
@mimiinvestments8406
@mimiinvestments8406 6 месяцев назад
Jamani, jamani, jamani! Caring maters a lot! Congrats! Shikilia hapo hapo Binti! May The Almighty God shower his Blessings upon your Marriage!
@annatemu4488
@annatemu4488 6 месяцев назад
Anatumia jina gani instagram? Na U tube?
@jescasherem1686
@jescasherem1686 6 месяцев назад
Tuma jina jaman la ista
@user-fs4bu4cu6k
@user-fs4bu4cu6k 5 месяцев назад
Shena naomba namba yako mdogo wangu
@rukiamziwanda7458
@rukiamziwanda7458 6 месяцев назад
Buguluni ndio umeona sehemu ya mfano
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 6 месяцев назад
Sio Buguluni ni Buguruni.
@barakamazigo4840
@barakamazigo4840 5 месяцев назад
Punguza kingereza
@ModextaModexta-on7mi
@ModextaModexta-on7mi 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂
@Kabwela776
@Kabwela776 6 месяцев назад
Huyu dada ni muhaya maana ndio watu wa kujisifu sana na inaonekana ni Wale wanawake ambao wako tayari kufanya lolote hata kujiuza ili wapate wanachotaka, kuja mtu kukufuata Tz anaweza kuja anakuja kutembea ku enjoy nchi Na kupata mwanamke cheap wa kufanya naye mapenzi Na kampani akiwa Tz , na sio sahihi kuita wanawake wote wa kitanzania ni sio waelewa
@maryamrashid8499
@maryamrashid8499 6 месяцев назад
Waturuki wengi wanawak black wake zao washenzi😊
@patricksebogodi4849
@patricksebogodi4849 6 месяцев назад
Huyu dada ni mzuri sana hata kama angekuwa na tabia mbaya mimi siwezi kuiona kabisa 😀😀😀
@magrethdaniel8441
@magrethdaniel8441 6 месяцев назад
Nimekupenda bure roho yako tu ni nzur
Далее
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
Wait for it 😇
00:45
Просмотров 9 млн
JAMES AELEZEA NANNA ALIVYOPATA VISA YA CANADA
34:06
Просмотров 3,8 тыс.
Kazi Zipo Marekani,China .
1:57:58
Просмотров 2 тыс.
EBM Scholars LOVE STORY | TULIKUTANA MTANDAONI
1:50:24
Просмотров 12 тыс.
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14