Ahsante brother nimepata kitu, kwa kuwa Mfumo Wa maisha unataka makundi yote 4 ya exist ili maisha yapate mtengamano ni jambo jema kufanya maamuzi ya kuwa employed na Investor. Ama self employed Ku adverse to business owner
Shukran sana, yaani mimi nilikuwa na experience emortional pain, kupitia mambo mengi ya maumivu niliyo yapitia lakini kupitia somo nililoangalia kwenye yu tube nimejifunza mengi and i have to over come my emotional pain accordingly.
Asnte sana Kaka Nanauka binafsi Naingiza kipato changu Kwa kuajiriwa..natamani baada ya ktk miaka 10 niingize kipato kupitia Biashara..#mfanya Biashara mkubwa sana...#my mentor
Nipo katika upande wa kwanza nimeajirwa na nimeajiri watu kwenyu shughuli zangu .Ndani ya miaka mitano natarajia kujikuta katika upande wa piliI BELIEVE IT'S POSSIBLE!
Mimi ni BUSINESS OWNER ninamiliki mfumo nilioanza peke yangu Lakini sasa hivi mfumo una Watu zaidi ya 1000 na ndani ya nchi 10 Duniani namshukuru mungu Kama unahitaji Ushauri Njoo nik Ushauri Learn from successful people or from people who have or know what you don’t know or don’t have
Asante j.mimi naitwa musa shabahn npo Mwanza hua nakufuatiria sna mafundisho yko na Mungu akubariki sna naomb kujua hiri rifuatalo unakuta mtu anapesa kidogo iwe raki tano &milion moj hapendi kuajilia je huyu mtu atumie njia gani iri atoke kwa maan ukiangaria hiyo pesa nindogo sna kufanya biashala? naomba unisaidie
Joseph David hakuna pesa ndogo katika kuanza biashara.Unachotakiwa ni kutafuta kitu sahihi,angalia Ile video niliyoeleza jinsi ya kupata wazo la kufanya biashara
in five years time nitakuwa business owner n in next five years nitakuwa investor.kwa sasa napata kipato changu kwa kuajiriwa na as business owner but wa kiwango cha chini
kwakwel ni mtu ambye nina doto nyingi ktk maish yang na had saiv nipo upand wa kushot lakn nahc miaka mitan ni ming san nitaingy upand wa kuliya kwa kujituma kwang .naomb tu utakapo ona ujumbe huu nijibu kuna kitabu na kihitaji kutoka kwako baba yang .Have a nice day ,night .
Kaka Joel Mwanafunzi wako Eliudi Nipo upande wa Kushoto S (SELF EMPLOYED) Baada ya Miaka Mitano na Kuendelea Malengo yangu Thabiti Nitakuwa Upande wa Kulia But Nimevutiwa Sana ktk Upande wa B (BUSINESS OWNER) hapa nimepapenda sana. MUNGU AKUBARIKI SIKU ZOTE ZA MAISHA YAKO HAKIKA UNATUFUNDISHA MAMBO MAZURI SANA.
Mimi nipo upande wa kushoto japo sina furaha na sehemu nilipo ,natamani sana nikipata kucha wa kunisaidia ili niwe upande wa kulia ambao naamini utanirejeshea furaha yangu ambayo ndio asili yangu.
Am Boniface from Kenya,am employed, and I love cars a lot and reggae music,am caught in between these two why?: 1)how can I start to be a musician? 11) is it right to do mechanics,since I love cars? Please Mr Nanauka,I need your help
Joel nko na fanya kazi ya nyumba Oman but Nimenunua shamba Sasa nko na mpango ya kununua bus so ni saidie na mawaida kwa vile na sarary ni 23 thousands ni fanye nn ni make hiyo wazo langu pls nisaidie have nice day
Kweli kufanya biashara ni kipaji kabisaaaaaa, kama huna kipaji cha biashara huwezi ukaziona fulsa za kibiashara na utaendesha biashara yako katika wakati mgumu sana tofauti na mwenye kipaji cha biashara, yeye hatumii nguvu nyingi saaaaaana lakini mambo yanasonga mbele. tofauti na mtu asiekuwa na kipaji.
kwa sasa mimi in mwajiliwa, ingawa juhudi na bidii niliyonayo in kutaka kuwa sehemu ambayo naipenda na nitaingiza pesa nitakavyo,, napenda pesa iingize pesa I mean INVESTOR
Umenipa mwanga sana na Mimi ni mtu mwenye ndoto kubwa na huwa nayofikiria inakuwa ni sawa na video zako nyingi nakuwa niko sasa na wewe bila kujua najikuta nawaza Kama unavyotupa masomo.... Nimefanya biashara miaka 4 na mwenzangu tunashilikiana biashara nakujikuta malengo ambayo niliojiwekea kichwani kwangu ayatimii....tukabaatika kununua bus na duka la Jumla....nakuona niache kufanya biashara ya kushirikiana na kila mtu awe peke yake..... Nimeshapanga ktk mipango yangu kichwani na kuonyesha njia after 30 year niwe na miliki Trioni moja ya kitanzania or one billion dollars. Nimegundua nilikiwa nakosea ktk formula yako 80/20 rules nilikuwa nikipanga mambo kumi nafanya yote na matokeo yanakuwa 20 percent....sasa nitabadilika na kufanya machache ili nipate asilimia kubwa......
michael kessy hongera sana ww uko katk nafas kubwa san, nawaza kujiajili sana napambana lakn wapi, naona sijalenga point husika Nahtaji msaada wako mkuu 0756233379