Dc magot mungu akubarki kwa kuwasaidia wtu na shidazao mungu akutunze watuwanapata shida sana tanzania hii kutokana na viongozi wasio na utu katka kuwahudumi wananchi
Stephen Masanzu wivu ndio unakusumbua tu ndugu yangu. Anayejaribu mtie moyo, huyu DC amejaribu kwa kiwango chake huyo Makonda naye anauwezo wake. Wote tuwapongeze wanafanya vizuri. Mimi niko Kigoma ila nakoshwa na utendaji wao.