Тёмный

''NJOO TAKUPA PIKIPIKI - UKIPATA PESA MPE MKEO'' - DC MAGOTI AKOSHWA na JAMAA HUYU KWA MANENO YAKE 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 23 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 32   
@noelnoel4916
@noelnoel4916 3 месяца назад
Hongera kwa kiongozi Mh Magoti tayari nafatilia kazi zake
@AmanaHassan-cy4fi
@AmanaHassan-cy4fi 3 месяца назад
Waaaoooo...!!! Watu dizaini ya Makonda kumbe hii Nchi ni wakumwaga daaa... Magotti Wewe ni Mtu na 3/4
@magazimahushi6417
@magazimahushi6417 3 месяца назад
Kiongozi uko vizuri God bless you
@ChristopherManase-y4e
@ChristopherManase-y4e 3 месяца назад
Dc magot mungu akubarki kwa kuwasaidia wtu na shidazao mungu akutunze watuwanapata shida sana tanzania hii kutokana na viongozi wasio na utu katka kuwahudumi wananchi
@FelisterAyubu-pk2fl
@FelisterAyubu-pk2fl 2 месяца назад
Hadi raha
@stanslausmwita1547
@stanslausmwita1547 3 месяца назад
Mungu akujalie kaka
@azzaalhabsi1505
@azzaalhabsi1505 3 месяца назад
Mh Dc na mimi nije?nipate mkopo. Serikal ina mzigooooo. Mungu ambariki mama samia na dc wetu magot.
@saidyusuph7357
@saidyusuph7357 2 месяца назад
Jamaa anajua sana
@MajidMajid-ll8mf
@MajidMajid-ll8mf 3 месяца назад
Hongera mkuu magoti
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 3 месяца назад
Jamani hiyo mikopo naitaka naipataje
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 3 месяца назад
Kazi kweli kweli 😂😂
@mussamsilangamunubimussa2009
@mussamsilangamunubimussa2009 3 месяца назад
Magoti unajua kuongea na watu vizur
@NdekejaKamuli-sh5pe
@NdekejaKamuli-sh5pe 3 месяца назад
Duuuh pwani mmenishinda tabiaaa
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 3 месяца назад
Ingia ccm upewe piki bob
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 3 месяца назад
Stephen Masanzu wivu ndio unakusumbua tu ndugu yangu. Anayejaribu mtie moyo, huyu DC amejaribu kwa kiwango chake huyo Makonda naye anauwezo wake. Wote tuwapongeze wanafanya vizuri. Mimi niko Kigoma ila nakoshwa na utendaji wao.
@Kombs-cr2mj
@Kombs-cr2mj 2 месяца назад
Good bro how deal publicity
@mussamsilangamunubimussa2009
@mussamsilangamunubimussa2009 3 месяца назад
Magoti ulitakiwa kuwa mkuu wa mkoa
@MfiriFulgensi
@MfiriFulgensi 3 месяца назад
Dc hivyo vipindi wanaenda viongozi wachini yako wenyewe
@MajidMajid-ll8mf
@MajidMajid-ll8mf 3 месяца назад
Magoti unaupiga mwingi mtu wangu
@VenustoMsombe
@VenustoMsombe 3 месяца назад
Tanzania siyo pakuhama.
@MfiriFulgensi
@MfiriFulgensi 3 месяца назад
Muwafuatilie hao maarifa wenyewe wateja nikopoa wananchi hatuzioni
@HamisLeo
@HamisLeo 3 месяца назад
Serikali mm naona iko dar, mikoani miyeyusho. Nilikaa bunguruni nikaona vjna wamekopeshwa m20 wakafungua m.pesa ya uhakika walikiwa watu 10
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 3 месяца назад
Unampa pikipiki jamaa yupo fresh kimapato pikipiki ya bure ama
@abidandastanmaliyatabu1373
@abidandastanmaliyatabu1373 2 месяца назад
Ya mkopo, acha kutumia akili yako vibaya
@AnnoyedDove-oo3kk
@AnnoyedDove-oo3kk 2 месяца назад
😂😂😂😂
@hollymore4904
@hollymore4904 3 месяца назад
😂😂
@stephenmsanzu9850
@stephenmsanzu9850 3 месяца назад
Wewe bado sana kwa makonda
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 3 месяца назад
Kila mtu na uwezo wake. Tutajie DC aliyefanya mkutano kama huu.
@AnethMushi-c3e
@AnethMushi-c3e 3 месяца назад
Kwan ni mashindano?Kaiga jambo jema Kwa Makonda big up
@emanuelmargwe7087
@emanuelmargwe7087 3 месяца назад
Kwani kuiga jema kuna ubaya gani?? Muache jamaa apige kazi
@ChristopherManase-y4e
@ChristopherManase-y4e 3 месяца назад
Hapohapo alipofanya DC magoti ameonyesha uzalendo kilamtu n vile anavyokua na mtazamo wake hawawezi kulingana
@nasrachaya
@nasrachaya 3 месяца назад
😂😂😂
Далее