Тёмный

JENERALI ULIMWENGU :'WANASEMA NILIUA, KWELI? LAKINI KWA MAELEKEZO KUTOKA JUU'' 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 48 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 43   
@westmanmoses541
@westmanmoses541 2 года назад
Anafaa sana kiongozi huyu ULIMWENGU
@martinmnzava9053
@martinmnzava9053 2 года назад
Anafaa huko kwao sio tz
@Danielmwakyambo
@Danielmwakyambo 8 месяцев назад
General Yuko vizuri sana
@wastambuli8039
@wastambuli8039 4 года назад
Mwalimu wangu Jenerali, hongera
@evaristfidelis7585
@evaristfidelis7585 2 года назад
Kwa kweli Generalized Ulimwengu umesema neno kubwa sana, yaani la hekima.
@oscarkavansy3539
@oscarkavansy3539 5 лет назад
uko sahihi kabisa profesa Ulimwengu
@edakiputa8529
@edakiputa8529 5 лет назад
Wapo kabisa wanaofurahia mateso ya binadamu wenzao.Na Mungu hakutuagiza hivyo bali aliagiza UPENDO. Na huo upendo umebeba kila kitu ktk maisha ya mwanadamu, msamaha,uvumilivu nk.
@aminamodi8927
@aminamodi8927 5 лет назад
Wee ulimwengu tatizo laki wajificha nyuma ya gazeta lako UKWELI wewe ni mchochezi mkuu nchi hii Wakumbuka mshirika wako sit hole kulichomkuta enzi ya baba wataifa Nadhani umekumbuka Wacha kudanganya watu
@OmarMohamed-zf8dp
@OmarMohamed-zf8dp 2 года назад
kweli menoninge lijuwa hujamwisho wa safar
@djdogoladharrt1922
@djdogoladharrt1922 2 года назад
Nashukuru asante unazidi nifundisha baba yangu nikweli sikujua anaemiliki account ila nawapenda najua mnanipenda ndomana mnaniambia nikiwa nakosea uwondoupendo wazati nawashukuru mimi nimdogo mengi sijui naomba mafuzo yenu yanawafunza na wengine sio mimi tu nawashukuru🙏
@princealtz5135
@princealtz5135 3 года назад
Hapo kwenye uthubutu katisha sana
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 года назад
Kuna watu wanakuwepo kwa makusudi ya Mungu ili kuwa tiba ya miyoyo kwa wengine waliojaa hofu inayopelekea uwoga na maradh
@sadathassan7059
@sadathassan7059 5 лет назад
Nice
@rashidkaoneka7513
@rashidkaoneka7513 3 года назад
We ni msomi ukiobobea halafu sio mnafiki
@anuaryally6177
@anuaryally6177 5 лет назад
Sio maelekezo kutoka juu ni kufuata sheria tujifunze kufuata sheria iliobaki ni wivu uloho wa madaraka ulikuwepo katika maazimio ya zanzibar kama chama gani wewe na fatuma karume kama sio ukibaraka na chuki binafsi tunaitaji tufuate sheria tusije kugeuza maneno na kusema tumepata maagizo kutoka juu iyo akuna ukivunja sheria utachukuliwa atua ya kisheria kimfano mbowe aliwamashisha wananchi eti tuwashe moto kuanzia dar es salaam iwe mfano mikoa mingine wasikie na kuendekeza kuuwasha moto nyumba adi nyumba mtaa adi mtaa kata adi kata wilaya adi wilaya iyo nayo ni haki
@assengajoseph8825
@assengajoseph8825 5 лет назад
Anuary Ally dah kaka nimefurah mawazo yako ni mazuri ila hujaelewa alichokimaanisha kbxa ni vizuri ukitaka kuchangia usiingize hisia kuwa neutrla
@frankjohn8570
@frankjohn8570 5 лет назад
Anuary Ally mh !mbona kesi ya msingi sasa haisemwi ili wahukumiwe kwa kusababisha kifo cha Akwelina ? tunafunikizwa na rufaa ya kutokutii mahakama vp???
@anuaryally6177
@anuaryally6177 5 лет назад
@@frankjohn8570 je mbona uwazungumzii waliouwawa kibiti tena wanachama wa chama kimoja ccm na kuachwa vyama vingine salama iyo sio kesi ya msingi
@frankjohn8570
@frankjohn8570 5 лет назад
Anuary Ally serikali ndio yenye mamlaka jambo hili ni sawa na ccm kulalamika kwamba wameibiwa kura kwenye uchaguzi na idadi ya waiiouawa hata polisi waliuawa je,polisi nao walikua wanaccm?
@halimushabani9480
@halimushabani9480 2 года назад
Huyu jamaa anachokiongoa cyo.kutii no utimamu.uoga ni mupaka .1=mfano mfanyakazi ofisini awemwaminifu 2= mwingine awe mzembe,muvivu,3=na anayekubali amuli ya mkubwa.je kati ya hao utamupenda nani katika kazi yako!
@OmarMohamed-zf8dp
@OmarMohamed-zf8dp 2 года назад
amri ya misho ndioinayo fatwa unapokuwa jeshini huyuamepewa amri ya kuuwa nanani
@zakariamnzavas7260
@zakariamnzavas7260 2 года назад
Ndugai anajua hiyo historia?
@jacksonletema6071
@jacksonletema6071 2 года назад
Huyu mzee anatafuta follows tu
@piscusikilembo1630
@piscusikilembo1630 2 года назад
Frido tv 5
@aliymwazoa3051
@aliymwazoa3051 2 года назад
Mzee nadhani ulikua mwanajeshi je risasi zilizochomoka mkononi mwako ziliruka kwa amri yako au ni Amri kutoka juu?
@happinessmwenda2773
@happinessmwenda2773 2 года назад
HUYU MZEE ANA AKILI KUBWA .AFRIKA NI WACHACHE WA AINA YAKE.MTII MUNGU ASIYE NA UOVU LAKINI MUHESHIMU KILA ALIYE MBELE YAKO.MAISHA HAYANA BINGWA WA KUDUMU.
@paulmboje2677
@paulmboje2677 3 года назад
Ndo ya sabaya
@adam-saffi211
@adam-saffi211 2 года назад
Hawa viongozi wetu tuwapige marufuku kuja mistitini au makanisani.
@hamadshein935
@hamadshein935 5 лет назад
Tamko,agizo.na sheria.kipi kifatwe?
@emmanuelchacha1216
@emmanuelchacha1216 3 года назад
Raisi ni sharia
@jomgondwe5420
@jomgondwe5420 3 года назад
Acha kudanganya watu.Umefilisika kifikra.Mumekwapua sana enzi zenu.Mwacheni Magufuli atupeleke ukanda wa uchumi wa juu.Huna lolote.
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 года назад
Amesha kufa sasa
@deven.oauditx7547
@deven.oauditx7547 2 года назад
Naona una ndoto za mchana. Mheshimiwa Magufuli ni Hayati kwa sasa.
@saidbanga
@saidbanga 5 лет назад
Mzee ana akili Kama Mimi vile... Anafikiri Sana
@vladiminlenin8883
@vladiminlenin8883 4 года назад
Ulimwengu ww ni kubwa jinga
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 2 года назад
Ama kweli wewe ni juha ,unamwita mzee kubwa jinga wakati babako mamako,mjombako na anaekutia nyuma hamfikii akili ya Huyu msomi.
@rogersulesh6702
@rogersulesh6702 3 года назад
Mzee wewe umeanzisha mavyombo yako ya habari wewe ata mara moja sio ukawa na kipa umbele na majukumu ya wananchi japo kua kua viijiji tunaitaji tufanyiwe ichi na ichi. Sasa wewe kwa nini uweki wazi kua chama chako cha siasa ni /hili gazeti lako hili ukawa unachukua ruzuku kama ni kuliko kua unajificha jificha kwa nini ???!!!!
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 2 года назад
Kajifunze kuandika kwanza .
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 2 года назад
Kajifunze kuandika kwanza .
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 10 месяцев назад
​@@africanmandetraveler2847 😂😂😂😂😂😂😂
Далее
BIG CHAWA FT JENERALI ULIMWENGU
23:34
Просмотров 17 тыс.
How China Uses Mexico To Avoid U.S. Tariffs
19:09
Просмотров 697 тыс.