Тёмный

NYUMBANI kwa ZUWENA wa DIAMOND ALIYELIPWA MIL 17 KWENYE VIDEO - ''WANJA wa LAKI MBILI'' | MPAKA HOME 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 257 тыс.
50% 1

NYUMBANI kwa ZUWENA wa DIAMOND ALIYELIPWA MIL 17 KWENYE VIDEO - ''WANJA wa LAKI MBILI'' | MPAKA HOME
KWENYE MPAKA HOME ya Global TV tumepiga stori na Zuwena video vixen wa ngoma ya zuwena ya Diamond ambaye amefunguka mambo kibao...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

15 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 542   
@globaltv_online
@globaltv_online Год назад
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
@thomasshayo4440
@thomasshayo4440 Год назад
Pp
@zarafimdoka7400
@zarafimdoka7400 Год назад
@@thomasshayo4440 I can do it tomorrow around noon to you and I can do the way a
@belle9belle990
@belle9belle990 Год назад
Powa dada zuwena umetisha kinomanoma mwenyezi mungu akubaliki ufike mbele zaid
@irenebrown1186
@irenebrown1186 Год назад
Jamani naombeni namba ya gigy money
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 Год назад
Ama KWELI WAKATI WA MUNGU Hauna pazia ..Leo hii zuena anatafuta na interview thanks my GOD☑️🙏
@jumanassoro1552
@jumanassoro1552 Год назад
Yaah zuwena nakupenda unajikubali mungu azidi kukufungulia milango ya neema uhai mrefu na afya njema
@irenemgaya3890
@irenemgaya3890 Год назад
She is very humble... Mungu akubariki sana
@faithijegwa3592
@faithijegwa3592 Год назад
Mungu akupe kusema kweli . Usibadilike .
@winifridamalunde8484
@winifridamalunde8484 Год назад
Hapo kwanza ncheke eti anaingza m50 kwa ck yeleuuuuuu tv nchi17 m17 helomazaaaa😂😂😂😂
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 Год назад
Analia pale mangekimambi vile yeye hulala njaa
@veronicasway-iz3vz
@veronicasway-iz3vz Год назад
Hyo ndio Raha ya huwongo siku zote mwongo Huwa anajikanyaga tuuu😢 ila kwenye kazi upo vizur na hyo ngoma umeitendea haki big up Zuuu❤
@Mina.15
@Mina.15 Год назад
Kanyaga kanyaga😂😂😂😂😂 with my vanny boy sound.🦶🏾🦶🏾
@AssinaMsafiri-ud5so
@AssinaMsafiri-ud5so Год назад
eti kwa siku Ana ingiza millions 50. Na iyo nyumba Uta kuta sio yakwake😒😒😒😒 zuwena ukianza uongo ntakuchukia bure
@RizikidjelaaMpelo-t8b
@RizikidjelaaMpelo-t8b Месяц назад
Nikweli uoniuongo 14:57 1 15:13 5:01 15:04 😂😂watumsikubali
@bekabakari7394
@bekabakari7394 Год назад
Sijamuelewa huya dada Tv inches 17 mbona inaonekana kubwa ?
@saumumasha4900
@saumumasha4900 Год назад
Waooo kumbe zuwena ana miliki nyumba nzuri
@merrymarlinemillo1833
@merrymarlinemillo1833 Год назад
# Zuwena nampenda sana na natamani diamond aje Kenya afanye kazi NAMI pia
@silageorge1638
@silageorge1638 Год назад
Hongera sana diamond platinumz kwa kuinua mwenzaka ila wanafki watakuponda tu
@vincentmushi1247
@vincentmushi1247 Год назад
Amefanya kazi nzuri sana ...hongera sana kwake...ila hapo kwenye malipo afadhali asingesema...maana naona kama amezidisha namba...kama kweli amepewa million 17 labda Mond kampa na nyingine kumsaidia tuuu...lkn si Dhani kama ni malipo halisi...mtazamo wangu
@zuwenahanad9586
@zuwenahanad9586 Год назад
Mtangazaji jifunze maadili ya uandishi , kivazi sicho
@khajisokoni3790
@khajisokoni3790 Год назад
Nakumbuka alisema ajawai kushika million 17 ndo mala ya kwanza kumiliki lakin dah chakusikitisha kwa saut yqngu nimemsikia kanunua bufa milioni 60
@janethkomba4485
@janethkomba4485 Год назад
Ata mimi siamini milion 17🙄
@danielmasanja9213
@danielmasanja9213 Год назад
@@khajisokoni3790 mmmh
@Thanksallvvvv
@Thanksallvvvv Год назад
17million za tz ni kama ten thousands za kenya
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 Год назад
Kweli nimeamin mungu akitaka kupa akuandikii barua
@onesmotendega5304
@onesmotendega5304 Год назад
True..💯💯💯
@metrinenyakoe1764
@metrinenyakoe1764 Год назад
Amina
@cweetyshy754
@cweetyshy754 Год назад
😂😂😂zuwena akati huo uwanja wa buku kajichora mwnyw 😂ila nakupenda😍sana we dada🔥
@hopejohnson7352
@hopejohnson7352 Год назад
Mungu anakuona Dada yaan wasanii waongo mpaka kwenye maisha yao aiseeee🙌🙌
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 Год назад
Tufafanulie
@tatotato506
@tatotato506 Год назад
@@Rizikialiamechannel763 ndio muongo wanja lak 1 iyo makeup alisema lak 5
@manasa2449
@manasa2449 Год назад
@@tatotato506 😅😅😅😅
@prosperkonokono9385
@prosperkonokono9385 Год назад
hata apo sio kwake. amejipanga kwa ajili ya interview
@ashurajuma2024
@ashurajuma2024 Год назад
Hahaaaaaa. Huyu dada atapita Huku moyoni Kwa uongo
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 Год назад
Hvyo vidole mbona hvyo na alisema hajichubui
@nikupalakido
@nikupalakido Год назад
Gwakumwitu ku mbeya hongera sana
@gradnessshitindi3694
@gradnessshitindi3694 Год назад
Gwa mwakyela
@emiryfaida2437
@emiryfaida2437 Год назад
Duuu😁😁😁 Sina chakusema bt Ngoma hiyo noma sana uliupiga mwingi sana
@Smartboy-wt1es
@Smartboy-wt1es Год назад
Duuuuuh hajui hata kudanganya maskini, na hapo alipo sio kwake kabisaaaaaaaaa😂😂😂😂😂🙌
@mwanaherhussani7425
@mwanaherhussani7425 Год назад
Wewe hayakuhusu ndungu 😊
@erastomwakalukwa3946
@erastomwakalukwa3946 Год назад
Kumbe Wewe Dada yangu, kalumbu ugwee Dada 🤣🤣🤣 hongera Sana!
@mariamutowi7084
@mariamutowi7084 Год назад
Kumbe wakaa kwetu🥰ma sha Allah 🥰
@asiakheir8684
@asiakheir8684 Год назад
Wallahi nacheka si kwa uongo huo , sijui kasomea wapi na hacheki unaweza amini
@khajisokoni3790
@khajisokoni3790 Год назад
Angalia Ata nyumba sijui dola ngapi
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 Год назад
Muongo mpaka anaboa
@philberttemba9923
@philberttemba9923 Год назад
kama siyo kwake
@gradnessshitindi3694
@gradnessshitindi3694 Год назад
Nakuaminia ma home girl🥰
@dottohami
@dottohami Год назад
Wakati wa mungu ni wakati sahihi sana dada zuwena katoka kimaisha🌹🔥alafu Napenda anavo jiamini👌
@mwanaherhussani7425
@mwanaherhussani7425 Год назад
Nice
@sheengazi4245
@sheengazi4245 Год назад
Broo hilo silo vazi la watangazaji professional,heshimu hiyo sector please
@Waytozanzibar
@Waytozanzibar Год назад
Kabisa 💪🏼
@ibrahimmohamed1994
@ibrahimmohamed1994 Год назад
Kuna serious journalism na hii aina ya journalism ambayo huihitaji kuwa professional
@innocentmtashobya1257
@innocentmtashobya1257 Год назад
Sahihi sahihi kabisa
@mawazo-ge6pr
@mawazo-ge6pr Год назад
Zuwena muongo saana.. tv million 17
@najmahnajmah2165
@najmahnajmah2165 Год назад
Ongera sana Dada❤❤❤
@khadijauvuruge9700
@khadijauvuruge9700 Год назад
😃😃😃😀😀😀😀zuwena zinga la miyeyusho comedy mzuri
@JennieWilley-eh5tk
@JennieWilley-eh5tk Год назад
😅😅😅
@hussenticha4074
@hussenticha4074 Год назад
Kusema kweli huyo dada Yani ukimueka chungu kimoja na mandonga wanaiva fresh sana Yani akili zao ziko Moja kwa Moja .
@mwajumabakari3730
@mwajumabakari3730 Год назад
Uongo ni dhambi kwa kweli Zuwena amecheza vizuri sana kwenye ile nyimbo hongera sana simba na Zuwena big sana
@Mina.15
@Mina.15 Год назад
I think that's why diamond PAID her more money
@emmajud1237
@emmajud1237 Год назад
Ila Zuwena khaaaaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 muongo mnooo
@bakarikisuda4948
@bakarikisuda4948 Год назад
Mnaliwa nyie redio ya mil60 nyumba mil25 peleken usefenge
@musaguga
@musaguga Год назад
TV ni inch 24, sio 17 huyu Dada hajielewi.
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 Год назад
Sababu hapo sio kwake ndio maana hata hajui hiyo TV ni inch ngapi
@Mindsetting4successTV76.
@Mindsetting4successTV76. Год назад
Unanunua kitu cha milion 17, milion 60 unashindwa kununua coach la maana, coach limechoka mpaka linaonekana kwa macho. Huyo mtu aliyekulipisha huo wanja kwa laki mbili Mungu anamuona. Kwa wanja huo hata Shiling elf moja sitoi. But all in all na uongo wako ila umefanya kitu kizuri sana kwenye wimbo wa Zuwena hongera sana my dear
@williamaloyse3805
@williamaloyse3805 Год назад
Dada umetisha kwauongo kamavile umesomea jamani dada angu mm natv inchi32 nilinunua lakin 4tu Yako million 17 jamani tupunguze uongo
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Год назад
Wakati wa mungu ni wakati sahihi
@dianasago9214
@dianasago9214 Год назад
Jamani Dada wa watu nyota imeng'aaa maana kila media inamfata 😂😂😂😂😂😂
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 Год назад
Wakati umefika Kama madonga
@estawilison1372
@estawilison1372 Год назад
Muongo anaongeza being a vitu
@estawilison1372
@estawilison1372 Год назад
Muongo muongo sana
@nancyg8664
@nancyg8664 Год назад
@@frankngoloka2589 yan sasa hv ataanza kuwa balozi
@ramazanichris1540
@ramazanichris1540 Год назад
Apo so kwake iyo so tv ya nchi 17
@swahilifoodtz6446
@swahilifoodtz6446 Год назад
Mmm kweri diamond mungu hana mpenda
@neemankwabi6544
@neemankwabi6544 Год назад
Ata me nimejia huo n uongo Sasa 17😜😛🔥15
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 Год назад
Mnyakyusa mwenzangu!!
@annastaziajohn9269
@annastaziajohn9269 Год назад
Mgeni nani hapo
@josemangula8806
@josemangula8806 Год назад
Iyo TV na hizo spica tumepigwa
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq Месяц назад
Mashallaah una bahati wewe.😅
@fatumaomari7742
@fatumaomari7742 Год назад
Hapo sio kwake walah
@Bobhov
@Bobhov 8 месяцев назад
Sema walai 😂😂😂
@ruthnjeri8527
@ruthnjeri8527 Год назад
Woooh watazania mwanimaliza na kiswahili, nawapenda shika hiyo babaaa
@sadiqueibrahim5439
@sadiqueibrahim5439 Год назад
tunakupenda pia sister..naomba namba yako tuwe tunaongea kwa simu
@ruthnjeri8527
@ruthnjeri8527 Год назад
@@sadiqueibrahim5439 🤣🤣🤣siwezi iweka hapaa public
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Год назад
Duh mi hapana bora niwe mkweli nimwaibishe shetani biashara yakujiongezea sifuri 2 kila kitu sitaki ati wancha 2000 kaongeza 00 imekuwa laki 200,000🙈🙆🏽‍♂️
@macfadyneminja
@macfadyneminja Год назад
Yuko vizuri. Ila bei za vitu anazotaja ni exageration. Yuko pazuri so far na publicity ya nyimbo ila awe mkweli kwemye maswali anayoulizwa. Majibu wrong yatamharibia. Ajitahid hapo tu. Na atapaaa
@metrinenyakoe1764
@metrinenyakoe1764 Год назад
Kweli kabisa hizo vitu ziko bei ghaii kuliko pesa alilipwa
@ruckyhallatbae9657
@ruckyhallatbae9657 Год назад
Ilaa kaaaah
@tatuaamuuinyi9633
@tatuaamuuinyi9633 Год назад
Uwongo tu
@asiakheir8684
@asiakheir8684 Год назад
Uongo haukusaidii sema ukwelituu maana kila ukihojiwa wasema vingine jifunze kuwa mkweli
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 Год назад
🤣🤣🤣kiukweli nashangaa
@sophyodago5062
@sophyodago5062 Год назад
Acha wivu
@ismaililigwa2680
@ismaililigwa2680 Год назад
Mungu popote yupo daah ukweli alipangalo mungu binadamu huwezi pangua wasanii wakubwa wanatamanan kuimba na mond na hawajapata nafathi ila zuwena kapata ukweli mungu humpa ampendae
@dmboys4056
@dmboys4056 Год назад
Liziki no popoteee, mungu kamuonaaa,
@zaytunhijja6771
@zaytunhijja6771 Год назад
Inawezekana hapo pia sio kwake
@modycombo7421
@modycombo7421 Год назад
Kapangishiwa
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 Год назад
Kaamua kufanyia interview
@nururaymond5
@nururaymond5 Год назад
Kwa mange app analiaaaaaaaa asaidiwe na akasema Dai amemlipa laki 5 yaaani muongo muongo kwa kweli..lkn labda kaamua kutumia Uongo aendelee kutrend
@neemankwabi6544
@neemankwabi6544 Год назад
Ambao hutui ata wimbo alitoa tujuane😜😛😜😛
@linuseladius3854
@linuseladius3854 Год назад
Nyokoooo
@beatriceshine7552
@beatriceshine7552 Год назад
Duh
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 Год назад
Nilikuwa na kupenda ila kuzidisha sifuria sikupendi kwavile ushaingia mjini hivyo vitu kila mtu anavyo
@mboga7_
@mboga7_ Год назад
Usipompenda unampunguzia nn
@juliennenzeyimana3274
@juliennenzeyimana3274 Год назад
Vinginevyo iko anatumiya uwongo kwamaisha gani anayo?
@aash4145
@aash4145 Год назад
Hio tv, kila nchi 1 ni milion moja, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@tanacksheyo7380
@tanacksheyo7380 Год назад
Pesa ulizopata hazin faida saan ila kakupatia umaarufu wakujipatia pesa
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk 8 месяцев назад
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii jaman tumepigwa uwiiiiiiiiiii milion 60
@fatmaalhabs6939
@fatmaalhabs6939 Год назад
Sio kweli
@aishachiyarata1362
@aishachiyarata1362 Год назад
Mtu na maneger wake waongo waongo waongo
@maramara5621
@maramara5621 Год назад
Hongera Zuwena
@mwanaherhussani7425
@mwanaherhussani7425 Год назад
Wakati wa mungu ni wakati sahi sanaa
@malila4582
@malila4582 Год назад
Ukweli humuweka m2 huru zaid
@ramadhanmussa4828
@ramadhanmussa4828 Год назад
Mmmh uyo dada muongo inch17 million 17 kw ck anaingza 50milion
@hanifamziray277
@hanifamziray277 Год назад
Mungu ni mwema amekufungulia njia
@khatibmako3500
@khatibmako3500 Год назад
Heeee huyu zuwena na uongoo upoooo ama anaoooo
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 Год назад
Leo ana story tofauti kule Mangekimambi
@dianasaidy8946
@dianasaidy8946 Год назад
15. 17
@wivinemwamini9110
@wivinemwamini9110 Год назад
Mutu mwenye unazalau JO anamafaniki yo mungu zuwena good
@AminaLuanda-xc7gn
@AminaLuanda-xc7gn Год назад
Kazi nzuri umefanya lakin duh muongo
@jammyhassan58
@jammyhassan58 Год назад
Msema kweli dada wataifa tu @dada mkubwa Mange kimambi kuna mtu anaitwa zuwena huku siku mbili tu hela hebu tuletee taarifa zake tusijione sisi machoko
@noorapro3666
@noorapro3666 Год назад
laki nne za bongo kenya ni how much
@ednahumazi777
@ednahumazi777 Год назад
Ni kwake kabisa
@footballtzee
@footballtzee 7 месяцев назад
et6 nchi kumi na 17
@samwelmdodo1358
@samwelmdodo1358 Год назад
Kila mtu na riziki yake duniani hapa
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 Год назад
Ilo tako lina nn au macho yngu
@jegaboyboyjega4648
@jegaboyboyjega4648 Год назад
2mepigwa maelezo ya pesa Apo acha uwongo zuwena Jan 🤣🤣🤣🤣🤣at ajshitukii mkavu uko ndo kujiamini🤣🤣🤣
@cheffo8121
@cheffo8121 Год назад
woow una yumba zuri zuwena
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 Год назад
Dada kafanya vizuri lakini kwenye hela katupiga kule wcb kasema kapewa dola 705 nisawa na milioni kumi na saba na chenchi hivi leo kasema amesema amepewa hela akiwa hotelini sasa huko badae atasema sikupewa hela kabisa
@zuu9022
@zuu9022 Год назад
Glass elfu 5 mara dozen 😂😂😂..umetisha dada dah
@fikiriseleman3460
@fikiriseleman3460 Год назад
Ukuu wa mungu hauna chakulinganshwa,
@ismailmneka2967
@ismailmneka2967 Год назад
Uyu dada amezngua sana kweny hiz interview
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 Год назад
Hivi kuwa star mpk uongee uongo??
@BigZhumbe
@BigZhumbe Год назад
Zuwena kama Zuwena namkubali miaka buku.... anajua kuenda na trend
@Gloria-vh5bz
@Gloria-vh5bz Год назад
Speaker mil 60 halafu nyumba Haina fence wala dinning table
@evekawira4814
@evekawira4814 Год назад
Uongo on level one😂😂😂😂😂.....
@adiamidu
@adiamidu Год назад
Wabongo wana jisaau sana pind wanapo ongea maneno yao
@paulnyingo7316
@paulnyingo7316 Год назад
Jagi elfu 50😊😊😊
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwa siku ml.50,nchi 17 mil.17 ,ml 15 du kwa uongo salute 🙋‍♂️🙋‍♀️🙋hata unatufanya tusiamini hiyo ni nyumba yako 😉 kuwa tu mkweli mumy utapendwa zaidi kuliko hayo mapichapicha ya uongo,umeanza vizuri but unajiharibia kwa uongo na halafu hayo makalio ni vp mpendwa no,noo ulichokiweka kitoe tumekiona aibu 🤸‍♀️🤸‍♂️🤸hata mwenyewe kinakufanya hauko comfortable yanini yote hayo 😏
@madukaj.j.6999
@madukaj.j.6999 Год назад
Jinganization
@nancyg8664
@nancyg8664 Год назад
Tako la zuwena sijalielewa🤣🤣
@rahmaramadhan2377
@rahmaramadhan2377 Год назад
Kumbe nawe umeliona na mtangazaji nae mshenz🤣🤣🤣eti nipe maji ili tuone tako
@nancyg8664
@nancyg8664 Год назад
@@rahmaramadhan2377 😆🤣🤣🤣
@afyayako1053
@afyayako1053 Год назад
Meneja kichuma zuwena kichuma
@hashymharun9337
@hashymharun9337 Год назад
Aache uongo hapo si kwake
@zawadikitsao5943
@zawadikitsao5943 Год назад
Zuwena muongo muogope mungu huwo wanja umejipaka mwenyewe
@allyomary2679
@allyomary2679 Год назад
Dada umefanya vizur kwenye ile nyimbo ila huwez kulipwa iyo pesa kakupendelea 2
@OfficialA83640
@OfficialA83640 Год назад
We unaamimini ht huyo Director kulipwa hivyo sijui km inafika hivi wanatuona sie maboya eeh
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 Год назад
We unauwakika
@nanamohamed6525
@nanamohamed6525 Год назад
Mh wamepangwa 😂
@rademm8924
@rademm8924 Год назад
Hela ndogo sana hio
@64aaa
@64aaa Год назад
Na usishangae maisha yake yakabadilika. Machawa wote wa diamond awakudhania kama maisha yao yanaweza kubadilika. Simba ni mtu mwenye roho nzuri na usaidia wengi tu. Watu upewa magari ya maana itakuwa hiyo 17M. Mungu ambariki na azidi kusaidia jamii.
@ibrahimmohamed1994
@ibrahimmohamed1994 Год назад
Daah literacy and famous is a bad thing.
@ElizabethKiluvia
@ElizabethKiluvia Год назад
Ukiwa.karibu.na.diamond.unangaa.kifedha
@mickyiron308
@mickyiron308 Год назад
mswahili akipata matako hulia mbwataa huwa Yana Jamba Jamba ! Ndo tatizo ukiwa hujaenda shule 😅😅unaongopea live afu watu tunakuangalia ! sometimes mtu anakufanyia interview ankuenjoy but sio kwa ubaya mi nishakuelewa Kuna watu labda ma hater's zako pia we unawaenjoy !
@saidasimba9979
@saidasimba9979 Год назад
Umejichubua sana dada
@mwanaherhussani7425
@mwanaherhussani7425 Год назад
Hayakuhusu ndungu angalia yako
@saidasimba9979
@saidasimba9979 Год назад
@@mwanaherhussani7425 haha wewe hujui tu wanamme wanavyowachukia watu wanaojichubua yaani tutawataka kwa staree tu lkn si ndoa mwanamme hawezi kumuoa mwanamke anaejichubua kama huamin fuatilia, na wewe unaonekan unajichubua wewe acha kujichubua
@mwanaherhussani7425
@mwanaherhussani7425 Год назад
@@saidasimba9979 mbona kawaida Sana we Nani alikuambia tunataka ndoa hatutaki ndoaa na sisi
@saidasimba9979
@saidasimba9979 Год назад
@@mwanaherhussani7425 haha unavyojidanganya ise..yaani kama ulikua hujui hakuna mwanamke anaboa kama anaejichubua, ivi ushajiuliza kwa nini unajichubua? Yaani wanawake mnafeli wapi sijui, wanamme tunataka mtu natural harafu soft..sio aliejichubua
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Год назад
Mimi naona aliona unasifa ya muonekano wa kujichubua, kwa sababu ukiangalia hiyo mikono aaaaa😂😂😂 kweli video lazima inoge.
@onesmotendega5304
@onesmotendega5304 Год назад
Watu mshaanza miwivu, ndio hivyo sasa kashafka kwa simba
@mwanaherhussani7425
@mwanaherhussani7425 Год назад
Ndungu yangu fanya yako ya mwezako utachelewe kufanya yako ndungu hayakuhusu
Далее