Тёмный

GHOROFA JIPYA ALILOHAMIA CHINO/ LINA SEBULE MBILI NA VYUMBA SITA/ AWAOMBA MSAMAHA MASHABIKI 

ZamaradiTV
Подписаться 251 тыс.
Просмотров 57 тыс.
50% 1

Usisahau ku"SUBSCRIBE" RU-vid channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Развлечения

Опубликовано:

 

1 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 164   
@musicheals1545
@musicheals1545 7 месяцев назад
huweze changanya washikaji na familiaaaa... tafuta sehem nyingine ambayo washkaji a.k.a wahuni watakuwa wanakuja na kufikiaaa mixa mashisha... ila nyumbani pabaki kuwa na heshima yakeee.
@Rahman-seneda
@Rahman-seneda 7 месяцев назад
Tafuta hela Binaaadam
@musicheals1545
@musicheals1545 7 месяцев назад
@@Rahman-seneda mbona nilichoandika na ulichoandika havina mahusiano mzeee🤣🤣🤣
@afrodinova
@afrodinova 7 месяцев назад
Kwani maana ya familia ni nini Mzee???
@musicheals1545
@musicheals1545 7 месяцев назад
@@afrodinova familia inahusisha washkaji/marafiki sio... anyway tumwache na maisha yake hata akifungua bar nyumbani poa tuu🤣🤣
@BadhiluMpungu
@BadhiluMpungu 7 месяцев назад
​@@musicheals1545😂😂😂
@ArnoldMarley-xz1vj
@ArnoldMarley-xz1vj 7 месяцев назад
Jersey Namba 13 ni bora ulivyotumwa kwa Shoe Shine Maan Too Much Kimbelembele Kimezidii..
@saidibanda8347
@saidibanda8347 7 месяцев назад
Maisha yana badilika mzee acha kutumia ela nyingi kupga ga fanya mpango jenga home boy
@JAYCLASSICMEDIA
@JAYCLASSICMEDIA 7 месяцев назад
Usanii mzee
@leylamohamed9939
@leylamohamed9939 7 месяцев назад
ILA CHINO ANA MAMBO YA WASHKAJI SANA SANA BADO MTOTO MDOGO HUYU AKILI ZAKE, ZIMEKAA KISHKAJI KISHKAJI TU… ANASEMA AKIHAMA ANAWAGA VITU KWA WANA, HUYU ATAKUJA FULIA VIBAYA SANA MWISHO WAKE WAJA.. KAMA ANASHINDWA KUJIJENGA KWA UPEPO ALIOPATA SASA ATAFULIA SANA VIBAYA MNO
@JackieRamoeta
@JackieRamoeta 7 месяцев назад
Iman yake inaamin watu hawo aliwo kuwa nawo ndo wamechangia mchango mkubwa kweny harakat zake.. appreciate my king chino you doing well bro waliyo kusaidia kutafut kuni ndo hawo hawo ota nawo moto...wewe ni Really mengine mungu ndo refa...
@leylamohamed9939
@leylamohamed9939 7 месяцев назад
@@JackieRamoeta UPUUZI HAKUNA MCHANGO WOWOTE, NGOJA AFIRISIKE NDIO UTAJUA HUO MCHANGO WA WANA ULIVYO
@halimaoman8726
@halimaoman8726 7 месяцев назад
Hakuna kitu kubaya duniani kma kuweka mafanikio yako adharani weka ila baadhi yaifadhi sio yote systems ndugu watu wanamuangalia unavyoyatema mafanikio yako sisi binadamu ndio hawa hawa mm nakupenda
@Mkombozi255
@Mkombozi255 7 месяцев назад
Nyie ndo wachawi wenyewe ,kila kitu kutishana tu.ukiona hivyo ujue hata buku huna.muache dogo aishi anvyotaja yeye.akionyesha Mali ni maamuzi yake.
@PhyinaElias-mu4wf
@PhyinaElias-mu4wf 7 месяцев назад
Halima upo Sahihi sema binadamu hata ukiongea Kwa vzuri kabisa unaonekana mchawi,,,Ila hayo maisha ya wasanii huta yaweza Bora tuyaache kama yalivyooo ukitoa wazo waambulia kejer na matus🤐🤐🤐
@mrambadiana9678
@mrambadiana9678 7 месяцев назад
Hao mabisboo wote humo ndani wanakula wapi 😢 uwiii usanii kazi sio kwa nyomi hilo
@AgnesAgnes-fm8wp
@AgnesAgnes-fm8wp 7 месяцев назад
Hilo jamaa lenye mtishet mwekundu linanichefua mim nafsiii yng😂😂
@chybuwagwantaz8054
@chybuwagwantaz8054 7 месяцев назад
Una mimba?
@SenetaKilaka
@SenetaKilaka 7 месяцев назад
Ongela sana
@bennamush4616
@bennamush4616 7 месяцев назад
Kwanni usingempangishia mamako nyumba ingine tofwaut na hapo akae na ndugu zako maana hapo mpo vijana wengi haipendezi mi naona ushaur tuu lakin
@AfricanLady889
@AfricanLady889 7 месяцев назад
Amesema anamjengea mama yake nyumba, so hakuna haja ya kupanga nyumba ingine
@jamesgustav196
@jamesgustav196 7 месяцев назад
😅
@JanetAhmad-v3h
@JanetAhmad-v3h 7 месяцев назад
haya ndio mambo marioo hataki😅😅😅
@TheBastarrrd
@TheBastarrrd 7 месяцев назад
Jumba la dhambi,😂😂
@SululuZungu-kx8ws
@SululuZungu-kx8ws 7 месяцев назад
Nyie wapoli poli sana timberland haioxhwi na maji daa😂😂
@leecode6135
@leecode6135 7 месяцев назад
Hkuna kiatu kinasafishwa kwa maji hayo ni mambo ya zamani saaana 😅
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 7 месяцев назад
Wewe wa 79 bdio maana hujui
@mamrashdon3632
@mamrashdon3632 7 месяцев назад
Salehe Umekosea Uyo Mwenye Nguo Nyeupe Ungemfukuza Bwana Anaboa
@ZawadMussa-sd1od
@ZawadMussa-sd1od 7 месяцев назад
Muhudumu
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 7 месяцев назад
MKIAMBIWA KUNA BAHATI MSIWE MNABISHA😊,,HUYO CHINO HAINGII KIVYOVYOTE,,,,KWA BADI.
@hateemmerj6020
@hateemmerj6020 7 месяцев назад
Tutakupelekea moto
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 7 месяцев назад
@@hateemmerj6020 😆
@faridalihondo3322
@faridalihondo3322 7 месяцев назад
😂uyo mwenye 13 asee unaweza mpa banzi
@pascalinajames9117
@pascalinajames9117 7 месяцев назад
Huyu nwenye mtshrt mweupe mbona anafwata kila mahal jmn ameboa
@kelvinkilale
@kelvinkilale 7 месяцев назад
Si ndo maana kapewa kiatu apeleke kupiga dawa😂😂
@sabrinaraphael3474
@sabrinaraphael3474 7 месяцев назад
😂😂
@pascalinajames9117
@pascalinajames9117 7 месяцев назад
@@kelvinkilale kwakwel maana asingewaaacha peke yao interview isinge pendeza
@kipukatz
@kipukatz 7 месяцев назад
Mlinzi wa boss
@leylamohamed9939
@leylamohamed9939 7 месяцев назад
Halafu Namba 13 Falaaaaaa Anaboa Yeye utasema ndio Camera Man, NI NANI HUYU???😂😂😂😂😂 Jinga Kweliiii 😂😂😂😂😂 Kila eneo yupo anafuata fuata tuu… Yeye ndio nani kwa Chino😂😂😂😂
@kerryestomic8099
@kerryestomic8099 7 месяцев назад
Huyo mwenye tshirt ya baseball ana kimbelembele
@happynkya9770
@happynkya9770 7 месяцев назад
huyo wa tshrt nyeupe namba 13 ni mshamba wa kamera ee
@queenmilan2024
@queenmilan2024 7 месяцев назад
Huyo kijana mwingine mbona anafata nyuma kama mkia 😅
@shabanponera2895
@shabanponera2895 7 месяцев назад
Jamaa kazingua sana hatulii, na mnguo wake namba 13
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 7 месяцев назад
Superstar lazima awe na mpambe😂😂
@MuviisTV
@MuviisTV 7 месяцев назад
Mpambe
@onekisstv8412
@onekisstv8412 7 месяцев назад
Sema kuna mwamba uyo mwenye base ball anaranda sana si atulie
@Barakatabudul
@Barakatabudul 7 месяцев назад
Jamaa Alovaa White" Anaushamba Anaboa sanaaa kuandama adama! watu kama hawa ni wachawii" jamaa atamani kama yy ndo Angekua Chino" dah! mshamba wa camera 😂😂😂😂😂😂
@faridalihondo3322
@faridalihondo3322 7 месяцев назад
Yan hawa ndo wachawi😂wenyew hawa kaaah 🙌
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 7 месяцев назад
Huyo alovaa white anazunguka kama Nesi wa zamu 😂😂😂😂😂
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 7 месяцев назад
😂😂😂
@GloryNIYO86
@GloryNIYO86 7 месяцев назад
😂😂😂😂
@JAYCLASSICMEDIA
@JAYCLASSICMEDIA 7 месяцев назад
Daah huyo jamaa kazi anayo
@suzanalucasemanuel7006
@suzanalucasemanuel7006 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@saidtembele3070
@saidtembele3070 7 месяцев назад
Namba 13 mgongoni is typing and deleting.............😂😂😂😂
@afrahnawas4384
@afrahnawas4384 7 месяцев назад
😂😂
@shabanponera2895
@shabanponera2895 7 месяцев назад
Mchizi mwenye jezi ya base ball kaleta ushamba wa kizamani sana, mbona wenzake wametulia tu
@PoorBilionaire
@PoorBilionaire 7 месяцев назад
baba levo uyo
@JackieRamoeta
@JackieRamoeta 7 месяцев назад
Bro uwo sio ushamba but kaonesha upendo mkubwa appreciate broo chino uyo ndo mshikaji kweli ✌️
@shabanponera2895
@shabanponera2895 7 месяцев назад
@@JackieRamoeta Acha utoto huoni alikuwa anazuia camera, halafu unajua dhima ya hicho kipindi? Bora alivyotumwa akapeleke viatu kwa fundi huyo mjinga
@ClementSenkondo
@ClementSenkondo 7 месяцев назад
Dah Nashkuru Taifa Zima Tumetambua Namna Muuni mwenye uzi namba 13 namna anaushamba mwingi😂😂😂
@patisondidas6720
@patisondidas6720 7 месяцев назад
😂😂😂😂
@letisiamakonda3873
@letisiamakonda3873 7 месяцев назад
😂😂😂
@JackieRamoeta
@JackieRamoeta 7 месяцев назад
Sio ushamba bali ni mshikaj wake chino......we ndo mshamba 😢
@danielimwakilasa3952
@danielimwakilasa3952 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂
@Saumujames1234
@Saumujames1234 7 месяцев назад
Uyo namba 13 mmempigilia 😂😂😂😂😂 kila comment watu wana mlalamikia 😂😂😂 mwane2 anapenda camera anachukua mafundisho ya ustar😅😅😅😅
@Happy-ef9kf
@Happy-ef9kf 7 месяцев назад
Pambana sasa ujenge yako cyo kila siku kupanga punguza stare heee make pesa tengeneza maisha bro,,,
@OfficialA83640
@OfficialA83640 7 месяцев назад
Kapanga kapangiwa na boss mpya mume wa Fety Kitasa
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 7 месяцев назад
Bongo bana mchiz kafua timberland yani 😂😂😂😂
@mattmax773
@mattmax773 7 месяцев назад
Hakuwa anajua angejua adingefanya Hvo ki ubinadamu tu Viatu sio kitu cha thaman kuzid binadam
@rockyjr6314
@rockyjr6314 7 месяцев назад
Ao masela tafta shm uwapeleke nyumba inakosa heshima
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 7 месяцев назад
Aoe mara ngapi
@EmmanuelKawawa
@EmmanuelKawawa 7 месяцев назад
​@@tanzcanmediatv4473kamaanisha sehemu sio shemu
@donhussle948
@donhussle948 7 месяцев назад
Baada ya kumtoa mwenzake wa karibu sanaa kumtoa kafara ... ndo freemasonry ndo wanafanya hvyo either ,family or mtu wako wakaribu or rafiki yako wa karibu sanaa ama watu kwa live performance kisha unatajirika c pesa halali azipatazo hizo
@HanceBablo-ot8sz
@HanceBablo-ot8sz 7 месяцев назад
Mnaekelekwa na 13 gonga like
@EsterMpete
@EsterMpete 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uyu mwenye nyeupe yaan ni kama mwanajeshi wa zamani
@mwinyiado1129
@mwinyiado1129 7 месяцев назад
Namba 13 anataka aonekane mwanafamiliaa 😂😂😂
@reginamluviji9405
@reginamluviji9405 2 месяца назад
khaa wameitana kaya nzima sipendag sehem wanaka watu weng kama nyuki
@happy56timothy58
@happy56timothy58 7 месяцев назад
Bora umempa kazi yakupeleka viatu kwa fundi😂😂😂😂
@simulizi2632
@simulizi2632 7 месяцев назад
Washkaji ndio wamejaa. Kuna privacy kweli humu duh
@shabanponera2895
@shabanponera2895 7 месяцев назад
Bora mwamba katumwa apeleke viatu kwa shoe shiner
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 7 месяцев назад
Apo chino umekosea kusema utaki mama ako kufunga ni Kwasababu atakonda? Kwer? Apo umekosea piga astakafirural kama nimuislam
@jumanamwasa-iw2zn
@jumanamwasa-iw2zn 7 месяцев назад
Ilo Kabat👀👀
@Wigoz_puppy
@Wigoz_puppy 7 месяцев назад
Tunaomba NGOMA na Mavoko ❤❤❤❤ sio kila SIKU unamtaja alafu humsapiti boss wako wakitambo❤❤❤❤😂
@Soundprobeats
@Soundprobeats 7 месяцев назад
Kashapotea🚶huyo hamna kitu
@ezekielmichael9431
@ezekielmichael9431 7 месяцев назад
Tafuta nafasi ujenge Ili familia ikae sehem moja maana naona group kubwa ,
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 7 месяцев назад
Nakuona umekua superstar faster illuminate wanapawa ya kumkuza mtu hongera sana
@syntaxsaintezzer5547
@syntaxsaintezzer5547 7 месяцев назад
Acha usenge wew na kama vp na wew nenda ukakuzwe na illuminati
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 7 месяцев назад
@@syntaxsaintezzer5547 nyie si mnapakuliwa wenye shobo nani kakuuliza paka mweusi wewe
@MariamHamis-t7u
@MariamHamis-t7u 7 месяцев назад
Vitmtkea puani
@donhussle948
@donhussle948 7 месяцев назад
Wape ukwelikakuzwa na illuminati juu ya kumuua mwenzake
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 7 месяцев назад
@@donhussle948 kuna huyo hapo sijui ndo chakula chake chino kuna watu wasanii wanapambana na hawatoki sasa huykatokea wap
@Alexismadimo
@Alexismadimo 4 месяца назад
Nyumba ina watu weng sana kama wahindi yani
@abbassalum6824
@abbassalum6824 7 месяцев назад
Kabla umeki ujenge unaanza kupanga majumba ya gharama shaulizako
@agreymbwilo5874
@agreymbwilo5874 7 месяцев назад
Msanii huyo mkuu, acha aishi maisha yanayofanana na sanaa yake. Na kujenga anamjengea kwanza mama ake
@stanslausmathias1878
@stanslausmathias1878 7 месяцев назад
Msanii ni tofauti na ww, vilevile maisha ni plan....mawazo ya kuwaza kuwai kujeng ni ya kimaskini saana watu wengi waliofanikiwa huanza na investment haijalishi kapanga maana kwa mji wa dar es salaam kimsingi huwezi jenga nyumba ya mil.3
@narrissajackson3869
@narrissajackson3869 7 месяцев назад
Kitu mtu anatafuta pesa mwenyewe na anaamua mwenyewe atumie vipi, anaweza tumia zote hata ndani ya siku moja. Tatizo tunapenda kujadili maisha ya watu wakati wao hawana habari na maisha yetu. Hatujui mipango yao na hawajui yetu
@abbassalum6824
@abbassalum6824 7 месяцев назад
@@agreymbwilo5874 Duuuh saw ndio fikla zako ziliko ishia
@abbassalum6824
@abbassalum6824 7 месяцев назад
@@stanslausmathias1878 Daaah blaza kwa Muonekano wako unaonekana ni mtu mmoja mwenye akilizake lakin si hivyo nilivyo tegemea Kwan kumshauli mtu kunatatz kwan nnachomwambia mim kinaubaya kwan wasanii wote lazima waishi maisha anaishi yeye au hujaona wasanii walikua wakubwa kama wakina chidi mst naisi wakowap sasaiv
@TheBastarrrd
@TheBastarrrd 7 месяцев назад
Ulimwosha nani miguu Chino,mbona usenge huo????
@MannySalum
@MannySalum 7 месяцев назад
Uyu nae anataka kuoneka maan sio kwa kufata uko kama mkia
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 7 месяцев назад
Currently viatu havioshwi, tumia foam
@rahymaaa4357
@rahymaaa4357 7 месяцев назад
Ooooh karibu Oman chino bro❤
@reginamluviji9405
@reginamluviji9405 2 месяца назад
khaa huyu kaka ana sifa mmnh ahahha
@OmanOman-bm1lr
@OmanOman-bm1lr 7 месяцев назад
Salehe nampenda anaheshima na nyumba za watu saana haingii tuu kama chooni
@hanifamziray277
@hanifamziray277 7 месяцев назад
Hingera sn punguza marafiki wengne sio wazuri kbs
@salekhvidal8346
@salekhvidal8346 7 месяцев назад
Hongera bro more blessings
@ezekielmichael9431
@ezekielmichael9431 7 месяцев назад
Jenga utenganishe washkaji nabfamilia
@AgnesAgnes-fm8wp
@AgnesAgnes-fm8wp 7 месяцев назад
Chinoo punguza marafiki watakuponza
@naumikabila5880
@naumikabila5880 7 месяцев назад
No 13 bwanaake nani😅 jmn
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 7 месяцев назад
Zawadi ya damu ilishapita mambo yanafunguka
@arianjrstanslaus4991
@arianjrstanslaus4991 7 месяцев назад
😂😂😂😂..but we not sure....speculations mzee....
@jesterfredrick9497
@jesterfredrick9497 7 месяцев назад
@@arianjrstanslaus4991Alooooooh😂😂😂😂
@beatricemshiu2816
@beatricemshiu2816 7 месяцев назад
Khaaa hii nyumba au ghetto 🙄
@AzathSimba
@AzathSimba 7 месяцев назад
Huyu namba 13 mtafutie bwana
@frowinmgimba8513
@frowinmgimba8513 7 месяцев назад
Mwenye no 13 anaziba kamera anaboa😂😂
@BAGAMOYOMEDIATZ
@BAGAMOYOMEDIATZ 7 месяцев назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Ks3yvfIK0Eg.htmlsi=go--XEKTOW151aga AMEN MANKOLOMATZ FT MC KIBILITI X KHAZAV ( MASNICHI )
@pozclever854
@pozclever854 7 месяцев назад
Uyo Jamaaa ana kaz gn anatembea tu
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 7 месяцев назад
Bodyguard wa mchongo😂😂
@mrrajjy
@mrrajjy 7 месяцев назад
Chinoo 🔥🔥🔥🔥
@kwisa4899
@kwisa4899 7 месяцев назад
myumba aina privacy kabisa
@handenitakuru6696
@handenitakuru6696 7 месяцев назад
Maisha ya kufeki haya mtakuja muumbuke
@JackieRamoeta
@JackieRamoeta 7 месяцев назад
Watu wanaishi broo awafek tafuta nawew upate ili tuone kama utafek au utaishi....
@mrrajjy
@mrrajjy 7 месяцев назад
🔥🔥🔥
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 7 месяцев назад
Nimefulai sna kwakuelewana unajua wewe chino na Mario mnabond nzur Sana na mkiwa pamoja ndo mtapiga pesa Kwa pamoja kwamana mnaendana sana
@mamrashdon3632
@mamrashdon3632 7 месяцев назад
Kwani Uyo Kama Bodgard Vp
@yasiniramadhani4871
@yasiniramadhani4871 7 месяцев назад
Bonge show
@LinaUlaya-ze4en
@LinaUlaya-ze4en 7 месяцев назад
Sawa bro chino jaa bress
@fredanthony740
@fredanthony740 7 месяцев назад
Mpe kolabo mavoko sasa
@allymwilu8089
@allymwilu8089 7 месяцев назад
Lake?
@badifundi6089
@badifundi6089 7 месяцев назад
Niozesheni uyo philomeno bwana
@ZainabAthumani-s1c
@ZainabAthumani-s1c 7 месяцев назад
Nampendaga salehe Anaadabu sana yani kila sehemu anambia viatu mashallah
@khadijamemba785
@khadijamemba785 7 месяцев назад
Hivi "kama kawa" ndio salam
@marymanoni5536
@marymanoni5536 7 месяцев назад
Mungu akuongoze
@benahdesigner
@benahdesigner 7 месяцев назад
Bola katumwa 😂
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 7 месяцев назад
😂😂😂
@ruu6592
@ruu6592 7 месяцев назад
mbona mafanikio ya chino yanaanza kujitokeza baada ya ile ajali na kifo cha yule kijana ama nina mawazo potovu
@nelsonmaganya5391
@nelsonmaganya5391 7 месяцев назад
Waka miradi ndugu yangu
@Christoponegmailcom
@Christoponegmailcom 6 месяцев назад
Sisi uku DRC🇨🇩 sisi wenye maisha ya chini ndo tuna tembeleya ma BMW kama izo.lkn tz ni za wasanii
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 7 месяцев назад
Camera man umezingua
@Official_JohnVicker
@Official_JohnVicker 7 месяцев назад
Umetisha chinno
@RayMakini
@RayMakini 7 месяцев назад
guuudi man munguu akubaaariiikii San brother daa ur soo smart blood.... Utazidii itakuwa
@Saumujames1234
@Saumujames1234 7 месяцев назад
Aahh kwer ili jumba la zambi 😂😂 watu kibao😅😅
@MariamIbrahim-h7p
@MariamIbrahim-h7p 7 месяцев назад
Napenda unavyo ishi na mzazi wako
@RahmaJovin-p2j
@RahmaJovin-p2j 7 месяцев назад
Hongera sana chino wan man
@dr_godfrey
@dr_godfrey 7 месяцев назад
Kama ni kwako hongera sana ila kama umepanga da! POLE SANA usije laumu watu baadae
@naifathassan2607
@naifathassan2607 7 месяцев назад
Anajenga kwake hapo kapanga
@narrissajackson3869
@narrissajackson3869 7 месяцев назад
Maisha ni yake aachwe aishi
@musicheals1545
@musicheals1545 7 месяцев назад
ushauri muhimu mwisho wa siku asije kwenye media akaomba msaada, umri unaendaaaaaaa@@narrissajackson3869
@selemanisalum7685
@selemanisalum7685 7 месяцев назад
Anamalizia nyumba 2.ziko pamoja
@amanimanase8798
@amanimanase8798 7 месяцев назад
Usimpangie MTU maisha na matumizi ya pesa zake kwani anasaidiwa na MTU apo?
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 7 месяцев назад
Saleh hivo viatu kama ni mimi ningevua kisha nikashika mkononi nikapanda navo maana ulipo mbali😂😂
@ZULFANZELEKELA
@ZULFANZELEKELA 7 месяцев назад
😅😅😅kwamba ataibiwa
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 7 месяцев назад
@@ZULFANZELEKELA Ehee
@muzafarsharif9465
@muzafarsharif9465 7 месяцев назад
alimtoa mwenzake kafara chura huyu
@JackieRamoeta
@JackieRamoeta 7 месяцев назад
Usikufur mungu Allah ndo refa wa mchezo 🖤
@halima_nasseb
@halima_nasseb 7 месяцев назад
hili li namba 13 jaman kila sehemu
@JackieRamoeta
@JackieRamoeta 7 месяцев назад
Uwo ndo upendo wa kweli kwa chino🎉
Далее
Это просто волшебная рыбка...
0:21
Тест на Торможение
0:58
Просмотров 2,6 млн