Mnasifu sifu tu Secondary School ya Mikocheni ukiona hata baada ya kupewa pesa za UVIKO na ahadi nyingi na sifa zenu huzo hii shule ukiona unatoa machozi hata hao mnaita wakolon hawakuwa na shule kama hii. Tangu imeanza zaidi ya miaka 5 walivyo simamisha mirunda ya kuwezesha wajenzi hiyo mirunda inaanza kuoza na kuanguka. Lakini sifa kede kede. Hizi lilikuwa wazo la waziri mkuu marehemu Edward Lwasa
❤❤❤❤❤. Tunaomba maabara za shule ya sekondari Loiborsiret uzipambanie please. Shule haina maabara ya physics na biology. Please we trust you, work on it.