Тёмный

DKT. BASHIRU AMJIA JUU TABASAMU KISA MPINA, "NI MTETEZI WA WANYONGE, WABUNGE WAZALENDO TUKO WACHACHE 

Uhondo TV
Подписаться 605 тыс.
Просмотров 104 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

2 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 411   
@benardsamizi-qo4yp
@benardsamizi-qo4yp 3 месяца назад
Hongera sana Mpina ! Nchi hii tunapigwa sana.Mbunge Tabasamu analijua AMEKUUNGA MKONO MPINA ILA AMEKWEPA KUFUKUZWA BUNGENI. Mpina WANANCHI wenye AKILI TUKO NYUMA YAKO. (NCHI HII TUMEPIGWA NA TUNAENDELEA KUPIGWA SANA.) (NDUGAI UKO WAPI???)
@haggaikinyau1395
@haggaikinyau1395 3 месяца назад
Kichwa cha habari tofauti kabisa na kilichosemwa. Mwandishi ni mjinga sana anatumia jina la Bashiru visivyo
@bockerNyarusahi
@bockerNyarusahi 3 месяца назад
Mwandishi kanjanja
@gregoryogweyo4598
@gregoryogweyo4598 3 месяца назад
ametuchota akili
@beatricemhongole8852
@beatricemhongole8852 3 месяца назад
Mh. mpina ni mtetezi wa tz
@DealDeskPro
@DealDeskPro 3 месяца назад
Fanya reseach ya ghasia hii..ukweli uko wazi mbona..Mh. Bashe anajitahidi sana kwenye kilimo..we should say the truth sometimes
@SaidKilango
@SaidKilango 3 месяца назад
​@@DealDeskProAcha uchawa mzee zungumza na njaa zako mpina anatutetea sisi wanyonge
@juliuswantere6864
@juliuswantere6864 3 месяца назад
La ajabu ni kuwa watu kama Mpina hawatakiwi nchini kwetu!!!!!
@jimmysameji3602
@jimmysameji3602 3 месяца назад
@@DealDeskPro bashe alikuwa mchapa kazi enzi mzalendo J P Magufuli.Sasa hivi anarimotiwa na vibaka we nchi.
@aidanexson1634
@aidanexson1634 3 месяца назад
​@@jimmysameji3602wengine ndo wananza kufatilia akina mpina sahz
@yasiniSwedi-qg5oc
@yasiniSwedi-qg5oc 3 месяца назад
Kama kuna mbunge mnafki mbunge mjali njaa yaketu na c njaa ya wtz basi tabasam ni1jawpo
@jdanny497
@jdanny497 3 месяца назад
Hafai kabisa tapeli
@adeltuszakumuha9618
@adeltuszakumuha9618 3 месяца назад
Hovyo sana huyu
@omaryyusuph7877
@omaryyusuph7877 3 месяца назад
Kabisa
@edmundphilemon3054
@edmundphilemon3054 3 месяца назад
Na jina lake ni lakimchongo tabasam
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад
@@edmundphilemon3054 jmni Edmund😅😅
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 3 месяца назад
Watanzania kwahili lampina ndomjue kuwa bunge Huwa ni kandamizi kwa wananchi Yani ndomjue kuwa bunge sio linatetea wananchi ila linakandamiza wananchi hilibunge nila mchongo ,Yani wamekaa kupigatu ,Yani hilibunge nibola tuludi kuongozwa na mchifu sio Hawa mafisadi
@iddrashid7054
@iddrashid7054 3 месяца назад
Unamaana Sukari isingeingia nchini kwa wakati kati ya Bashe na Mpina nani angelaumiwa kwa uzembe?tuwe fair Mpina kwa hili anatetea wawekezaji na Bashe amesaidia wananchi
@ellymaz2187
@ellymaz2187 3 месяца назад
Mpina hajashikwa na kosa lolote kuhusu Bashe. Kosa Lake ni kusema na vyombo vya habari tu.
@sophiemsuya6507
@sophiemsuya6507 3 месяца назад
Jamani hapo chama kinajitetea. Walio upande wa.wananchi wataendelea kueleweka. Mungu atabaki kuwa mwamuzi wa haki.
@TimoJoseph-g5b
@TimoJoseph-g5b 3 месяца назад
Mpina tupo na wew huyo tabasamu Mnafiki sana
@barnabasmsamwel4292
@barnabasmsamwel4292 3 месяца назад
👑machifu tupo 😂😂 😊
@shukurukihwelo3084
@shukurukihwelo3084 3 месяца назад
Mzalendo nimpina 1 hiyo nimiipango ya kumdhofisha , bunge la sasa rinataka mtu awe anasifia wakati wananchi wake harinngum .mpina hakuwenda bungen kumsifia mtu nimkweri daima na mungu amsimamie
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад
amina baba
@yasiniSwedi-qg5oc
@yasiniSwedi-qg5oc 3 месяца назад
Hapo bungeni wabunge wazalendo wachache sijui Kama wnafka 5kwasasa mbunge mzalendo no1ni bashilu Ali kakulwa alikuwepo polepole no2wkamuondoa no3mpna no4kunambi
@ProductionWinderBulyanhulu
@ProductionWinderBulyanhulu 3 месяца назад
Hamuwezi kumchafua Mpina wananchi tumemuelewa sana.
@majidimussa8678
@majidimussa8678 3 месяца назад
haswah
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад
kwa kweli
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 3 месяца назад
Sasa kwanini sukari imeletwa kutoka Brazil na inauzwa 3000, hivi mnakumbukuka issue ya Iddi Simba? Alijiuzuru kwasababu ya sukari, wakati Raisi ni Mkapa, Mpina yupo sahihi kabisa
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 3 месяца назад
Bunged gani lisiotaka kukosolewa, mpina ni mtetezi wa wanyonge
@KwiniJoel
@KwiniJoel 3 месяца назад
Kama nyie wabunge mnajifanya watetezi wa wananchi, sukari inapopanda Hadi elfu Tano mlikuwa wapi?????? Kwa nini mnamfukuza MPINA WETU anayeibua hoja zenye mantiki. TUMECHOSHWA NA VITENDO VYA KUWAPA KESI NA ADHABU WANAOTETEA WANANCHI. Sasa bunge lipo KWA AJILI YA NANI?????? IPO SIKU WATANGANYIKA TUTAAMKA .
@halimamwingu4478
@halimamwingu4478 3 месяца назад
Dume zima linajikosha kwa Tulia Ackson! Eti “mi nimeumia sn kutukanwa spika” 😂😂😂😂
@zabronmwaipungu2212
@zabronmwaipungu2212 3 месяца назад
Haya majitu ni majinga tu. Anacho kisema mpina baada ya kutolewa bungeni yuko sahihi kabisa, kama vile wachangiaji walipangwa vile!
@KwiniJoel
@KwiniJoel 3 месяца назад
WATU kama MHESHIMIWA MPINA watakuwa na maana pale tu WATANGANYIKA wakijifunza Kwa KENYA na KUJUA KUWA LINDA watetezi wao. MPINA ANAPASWA KUUNGWA MKONO NA WATANZANIA wote wenye akili timamu.
@florencemeza6540
@florencemeza6540 3 месяца назад
Tabasamu we vipi wabunge wa kanda ya ziwa WANAFIKI SAAANA mwenzenu anatetea wananchi ninyi mnatetea matumbo yenu?? MPINA OYEEEEEEEEEEE
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 3 месяца назад
Tabasamu Mwislam unaomba Bashe achongewe sanamu yake nzega..,.....hujui kama hujui..Umemkosea Mola wako....
@victorkisenha5933
@victorkisenha5933 3 месяца назад
Bunge hili wapo wawili tu, GAJIMA NA MPINA, WENGINE WOTE, SIJUI WAPO WANAMWAKILISHA NANI, WANALINDA MAWAZIR WANAO VUNJA SHERIA? SASA NI KATIBA MPYA TU,WATANGANYIKA TUPAMBANENI KWA HILO,
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 3 месяца назад
Mpina aliongea nje ya bunge. Hiyo tume tunaitaka itoka nje ya bunge. Hapo mnajifurahisha sisi tunamwaminin MPINA hamtubadilishi. Mpina bado ni mtetezi wa wanyonje. Tunataka tume huru.
@henrynjovu9147
@henrynjovu9147 3 месяца назад
Huyu Mbunge ni Bogus. Kama hajui maana ya Vikao 15 mwaka wa 4 Bungeni for sure hawezi elewa hoja ya Mpina. Huyu ni Chawa, Mchumia Tumbo.
@Mklindi5624
@Mklindi5624 3 месяца назад
Sasa hilo Bunge la 2026 kwa akili ya kawaida sana maana halisi ni kwamba Mwaka wa uchaguzi kwa mujibu wa katiba ya Nchi yetu ni mwaka 2025,Je ?anawezaje kusimamishwa vikao ambavyo hatuna uhakika kama atachaguliwa kwa mara nyingine tena.Kwangu naona swali hili ni matumizi mabaya ya muda na akili. Nchi yetu kwa mujibu wa Katiba yetu ni Nchi ya Kijamaa,Nenda kasome katiba yetu.
@LucianSanga-q8j
@LucianSanga-q8j 3 месяца назад
RUTO Ali nunu Bunge kupitisha Bili yana Mutokea puani Hivyo chonde chonde ogopeni yasije Wakuta Tuka umia na wengine Tusio na Hatia Muna jua Mpina yupo kwa Masilayi ya Taifazaidi
@MkJj-m7g
@MkJj-m7g 3 месяца назад
Kama viwanda kutimiza wajibu, serikali imechukua hatua gani dhidi ya uonhozi wa viwanda hivyo? Nani asiyejua karibu asilimia 80 yenu ninyi wabunge na mawaziri ni wafanyabiashara? Ishu iliyo hapo ni kwamba mmelindana, basi!
@AthanaseKiyoja
@AthanaseKiyoja 3 месяца назад
Wabunge koko na spika wa mchongo,hamuwezi kumchafua Mpina na kisha mkamimi ika kumlinda na kusifia huyo Musomali wenu mlaghai..Tunajua wabunge wengi mnajikomba kwa mawaziri ilimpewe shukrani kwa njia ya bahasha.mtukome. nyie na njaa zenu.
@GavyoleJonas
@GavyoleJonas 3 месяца назад
Tatizo hawakuchaguliwa na wananchi mh.magu alichagua wengi wao mbumbumbu ili wakubali kila kitu kusudi mipango yake ifanikiwe,sasa ametuachia mizigo kweli kweli,kazi makofi,kusifia ujinga,na kutengeneza chuki kwa wasema kweli.kama huyu tabasamu angekuwa mbuge wangu ningemgoja siku aje kufanya mkutano nimhoji vizuri.sijui elimu yake kiwango gani?au ndio wale wenye alimu zisizo na akili!
@mkondomkondo4721
@mkondomkondo4721 3 месяца назад
Huyu mbunge mpumbavu ajitambui,mpiga debe huyu hilo jimbo analotoka mko na mwakilishi mzigo
@ROBERTMGOGOSI
@ROBERTMGOGOSI 3 месяца назад
Tanzania inatuua kwa uchawa Hawa wote wanaosimama kinyume na mpina wote wala siyo kwa akili zao bali ni kwa shinikizo la kutetea matumbo yao na njaa zao binafsi Mpina chukua form ya urais 2025 Nakwambia samia atasubiri sana❤❤❤
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 2 месяца назад
Amewakandamizaje wanyonge? Wabunge wengi hamuelewi. Mpina hajageuka ni kutomuelewa. Mpina amezungumuzia kuhusu wasiokuwa na hadhi na uwezo wanapewa tenda, na waziri Bashe. Munatetea uwongo na kujipendekeza. Hakuna mutetezi wa haki za watanzania kama Mpina
@RobertKaaya-e6b
@RobertKaaya-e6b 3 месяца назад
Mpina is the real patrote.Most these wapiga makofi na meza are thieves and fortune seekers.Had it not been mwalimu to provide the real free education wangekuwa wanachoma mkaa porini na wengine wengekuwa waganga.
@geofreympemba7831
@geofreympemba7831 2 месяца назад
Sanamu la Jambazi. Hivyo viwanda vimewakwepa. Mpina ni Shujaa wee tabasamu kwendraaa huko na njaa zako
@tumainiellyimo4657
@tumainiellyimo4657 2 месяца назад
Huyu mbunge anayetaka Mpina apewe adhabu kubwa zaidi na anajiita mzalendo..Nadhani wapiga kura wake wanamwona na sisi tunawatathimini,na ashauriwe kuwa hata TZ Gen Z wanaweza jutokea na yakatokea kama yaliyotokea bunge la Kenya.
@tumainiellyimo4657
@tumainiellyimo4657 2 месяца назад
Mpina wananchi wanakiangalia,ukiomba radhi basi tutaona hyo radhi unayoomba ni ipi. Mpina hakukataa kuagizwa sukari bali ni utaratibu uliyotumikq kwenye utoaji wa tenda hyo
@IsackMkalimoto
@IsackMkalimoto 3 месяца назад
Kazungumza fact wazalendo wachache sana .ilimuuma sana mpina kutolewa nje na alizani kwa kipindi kirefu.kumbe ni kipindi kifupi.n a ilimuuma sana tulia akson kutukanwa
@HusenNdwata-yb6nw
@HusenNdwata-yb6nw 3 месяца назад
Ccm inawabunge wajinga san mwaka kesho sengerema utapasikia kweny redio zee jinga San hili
@omariSaliboko
@omariSaliboko 3 месяца назад
Jadilini matumizi ya mipaka mwongozo wa upatikanaji wa sukar hapo mbona hamsemi mnaenda kwenye kuongea na wandishi
@tumainiellyimo4657
@tumainiellyimo4657 2 месяца назад
Mbunge sijajuwa kama nafahamu sifa za nchi za kijamaa na ni ibara ipi imetamka hilo.Mwache Moina awe mzslendo
@InnocentJohn-l5y
@InnocentJohn-l5y 3 месяца назад
Malizeni muhula wenu mlichaguliwa na magufuli hamkuchaguliwa nawananchi ndomaana mnateteana sana kulinda chama na serikali ya ccm tu hamna jipya nyie bunge limekosa mvuto
@aloycemisigalo3983
@aloycemisigalo3983 3 месяца назад
Huyu mbunge ni mpuuzi kweli yaani vikao 15 ni vichache kwa kosa lipi Sasa, hivi mnacho jadili ni nini hicho? yaani mwizi anaitwa shujaa hii ni aibu kwa nchi na hili bunge, cc wananchi tunaamini Bashe ni mwizi na fisadi kama mafisadi wengine
@Mjeda-q1m
@Mjeda-q1m 3 месяца назад
Hata mumseme vp mheshimiwa mpina anakubalika kuliko hata huyo spika awewe mheshimiwa tabasamu huwezi kimfikia mpina hata robo sisi wstanzania tunamuelewa mheshimiwa mpina anayo elimu ya kutosha pia ni mzalendo wa kweli pia sio mnafiki anayejipendekeza kama ndio maana cc wstanzania tunawashangaa mnavyojitekenya na kucheka wenyewe
@mayungarichard7443
@mayungarichard7443 3 месяца назад
Naona mliobaki humo ni mwendo wa kupongezana any way msimtaje tu endeleeni na mambo yenu watu tumelala usingizi 🙇
@George-jz3jg
@George-jz3jg 3 месяца назад
Tabasamu wewe upo humo ndani lakini hujui kitu hapo hapo huyo spika na serikali wameizungusha issue kumnasua bashe
@stephenwakunyala4004
@stephenwakunyala4004 3 месяца назад
Bunge la ndiyo Mzee linatutesa Watanzania,
@OscarBethel
@OscarBethel 2 месяца назад
Hivi wewe Tabasamu akili uzoo au unataka kutufanya watanganyika ni hatuna akili wewe huna utetezi wote Kwa watanganyika wewe ni chawa niadui ya wananchi mpina ndio mzalendo peke pale bungeni
@hassaniulende-sp6io
@hassaniulende-sp6io 3 месяца назад
SASA HUYU TABUSAMU KAONGEA NINI HAPO ? HIVI WENZANGU MMEMUELEWA? YANI KAONGEA UKINGA MTUPU, YANI ILIMRADI WAKUONE UNAONGEA , AAA NI KWELI NCHI HII WAZALENDO NI WACHACHE WAJINGA NI WENGI ,
@MarkoWMichael
@MarkoWMichael 3 месяца назад
Wabunge wa Tanzania nyie ni wanafika sanaa mnajifanya mnapendana lakin mwenzenu akiwa kwenye shida yaan mnamshambulia atari niliona kwa Gwajima kipindi cha korona niliona kwa Ndugai duh sijui tuwaiteje
@wennceslausmushi2356
@wennceslausmushi2356 3 месяца назад
Mpina usiombe radhi nenda upinzani.mwakani watakata jina lako
@paulnsabi3779
@paulnsabi3779 3 месяца назад
kumbukeni waamuzi wakubwa ni wananchi bidhaa zote ni juu hamna mwenye uthubutu wa utetezi kwa madhira ya wananchi uchumi,bei za mazao chini havina uwiano na maisha kuanzia afya,nk hongera rip JPM katiba maamuzi ni 2024,2025 wananchi tuweke uthubutu kwa watenda haki serikalini.mungu ibariki tz
@GavyoleJonas
@GavyoleJonas 3 месяца назад
Sisi tumemuelewa mpina acheni kumtengenezea maneno ya ubaya tuna akili zetu sisi, nyie lindaneni maovu yenu kama ilivyo tabia yenu na kuwahukumu wanaosema ukweli,ila wenye akili wanaelewa ujinga wenu.
@Magilebasu
@Magilebasu 3 месяца назад
Tukutane 2025 tabasam, msukuma na bashe naamin watakuwa wabunge wote walio mkosoa mpina wote wataondoka wananchi tunahasira nao tena sana tu
@Jeremiatitomawala
@Jeremiatitomawala 3 месяца назад
Mpina yuko sawa ss tunamuelewa jmn wabunge msitufanye ni mambumbu ss
@LushugembeMboje
@LushugembeMboje 3 месяца назад
Ww ni jitu kubwa lakini hovyo kweli unamuuza hivyo mpina wewe hata wa nchi wa sengelema kama watakuchagua tena hawatakuwa na hakili.
@PeterMaonga
@PeterMaonga 3 месяца назад
Mpina sio kubwa la maadui maadui wamebaki ndani mtetezi yuko nje
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 3 месяца назад
Waache wajione walo vizuri wajue wananchi wananunguka rohoni siku moja itakaa iwe kama kenya
@PartySekemi
@PartySekemi 3 месяца назад
Mtetezi mpina shikamoo wewe tabasamu ndio chawa
@donaldbenedict5761
@donaldbenedict5761 3 месяца назад
Tabasamu wewe ni mnafiki wewe sio mtetezi wa wananchi kama kweli wewe ni mtetezi wa wanyonge mbona husemi sukari ishuke bei mungu mwenyezi atamuinua mpina na nyie wanafiki mnaowatesa wenye nchi hii siku zenu zinahesabika
@ramadhaningulinga217
@ramadhaningulinga217 3 месяца назад
Acha unafiki ww mzee ww umechangia nn kama mbunge kazi kusema watu tuu ukweli usemwe achani kupiga makofi tuuu
@richardmessayi9578
@richardmessayi9578 3 месяца назад
Huo utetezi wa wanyonge umewauliza wananchi ni nani wanaona yupo upande wao kati ya wewe na Mh.Mpina??
@George-jz3jg
@George-jz3jg 3 месяца назад
Kanuni zenyewe hizo ni za kijinga tu ni kanuni za bunge kuitetea serikali inapoiba
@GeofreySenka
@GeofreySenka 3 месяца назад
Nao watu wa jimboni kwake wanasema wana mbunge puuzi kabisa nae spika ameliachia muda
@johnmalale3860
@johnmalale3860 2 месяца назад
Wananchi wakichoka na huu upuuuz wenu,' mstafute mchawi
@RobatMuhile
@RobatMuhile 3 месяца назад
Sanamu yamalehumu bibiyako kwamuchango upi
@abdukhalnyerere8993
@abdukhalnyerere8993 3 месяца назад
Wakuchongewa sanamu kila mkoa ni mpina na sio mwingine anagusa maisha ya watu wanyonge naona magufuri bado yupo kwa mpina binafsi mimi nasimama na mpina
@kamalabuberwa2001
@kamalabuberwa2001 3 месяца назад
Mpina yupo sahihi, tabasamu nyie ndo maadui wa wanyonge
@selemsigala4771
@selemsigala4771 3 месяца назад
Mzalendo ni mpina pekeake wewe ni njaa na nibendera kichwamaji.
@HamzaHeri
@HamzaHeri 3 месяца назад
SASA KAMA HUYO BASHIRI NI MSHENZI WAKATI WAO WALIJIONA MUNGU WATU
@mokeya
@mokeya 3 месяца назад
Natamani kutukana ila duhhh au bas tu. But mpina tunakuelewa sana na tunakupenda achana na hao manafiki . Mungu atasema nao
@rajabukitego1662
@rajabukitego1662 3 месяца назад
Achen,unafiki,hivi,mnaona,Raha,kutuita,wanyongee,,?Nani,katupa,unyonge,kwenye,nch,yetu,Kama,sio,nyinyi,mnaojiita,watetezi,wetu?teteeni,,tu,matumbo,yenu,achen,zarau
@debbiemes4600
@debbiemes4600 3 месяца назад
Umesema kweli kabisa. Nani myonge! MAGU alituaminisha kuwa sisi ni matajiri tutembee vifua mbele.
@NdageKitahama
@NdageKitahama 3 месяца назад
Huyu tabasamu hafai Tena kuwa mbunge anatetea ufisadi uliotajwa na mpina anampamba bashe kwa lipi? Mpaka Sasa sukari Bado ipo juu Hana hata aibu kwamaneno yake ya upambe twambie sukari kilo bei gani?au unatuona cc wananchi ni wajinga sukari Bado ipo juu alafu unasimama bungeni unaongopea wananchi mpina yupo sahihi tupo pamoja nae wananchi
@KwiniJoel
@KwiniJoel 3 месяца назад
Asante sana Kwa swali zuri laiti tungekutana ningekuzawadia. SWALI zuri sana. Hawa CCM Kila siku wanawaita WATANZANIA ni wanyonge, nani aliyewanyonga???? .Anayetunyonga kwenye sukari siyo CCM???? Anayetunyonga kwenye bandari siyo CCM??? Anayetunyonga kwenye madini siyo CCM??? Anayewafanya NGORONGORO wanyonge siyo CCM????? Gaesi nayo je nani anatupandishia?????? Umeme tulikuwa tunaingiza Kwa sh. 28000/= na kaipandisha Hadi laki 300000???? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@geraldluiso6792
@geraldluiso6792 3 месяца назад
Bunge la kinafiki. Hoja hujibiwa Kwa hoja
@ibrahimabdul8257
@ibrahimabdul8257 3 месяца назад
Hivi huyuu sio ndio mbunge wa Lushoto?
@nicodemuswidambe5132
@nicodemuswidambe5132 3 месяца назад
Hakuna watu Wanafiki na waongo kama wanasiasa. Angalia hizo taarifa!!
@HaulSidney
@HaulSidney 3 месяца назад
Huyu tabasam kumbe na yeye ni walewale tu, kapewa asali anamsaliti mpina,
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 3 месяца назад
Ww ndiyo adui wa wanyonge hujajibu hoja za Mpina unafurahisha bunge huku tz balaa tuna viongozi waoga sana ni wachache tu wa maana kama Mwalimu Nyerere, Magufuli, Mpina, Makonda,Bashiru,Sokoine,Ndugai,Anna Makinda,Tibaijuka,Sabaya,Hapi,Siro, wengine ni wahuni tu machawa na mafisadi wakubwa
@deusNjimba
@deusNjimba 3 месяца назад
Sengerema. Hatuna kila kitu wewe. Vipi
@OmarMohamed-bs2hf
@OmarMohamed-bs2hf 3 месяца назад
Kwanini hamja msikiliza mpina mkampa siku kumi na tano huu ni unyanya saji
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 3 месяца назад
Ujinga huo mpina ndo tunamueleww
@MossesLuhanga
@MossesLuhanga 2 месяца назад
Sijui umeingiaje bungeni. Munga ajalie usirudi.
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu 3 месяца назад
Yaaan nchi hii,"ukitetea tu wananchi lazima ubambikiziwe tuhumaaa
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад
yaani nimeligunuda hulo pia..kazi kwel
@GeofreySenka
@GeofreySenka 3 месяца назад
Huyu hamisi tabasamu hana hoja za msingi amejaa ushabiki tu
@MusaJuma-jr7wb
@MusaJuma-jr7wb 2 месяца назад
Tabasamu hunalolote wewe achana na mpina
@kazinaimwishehe-ec3xu
@kazinaimwishehe-ec3xu 3 месяца назад
Ukimwangalia tu unajua kinachojiri
@smallscaleminingsupplies9670
@smallscaleminingsupplies9670 3 месяца назад
Ila Wabunge Tz ni nchi ya kijamaa tokea lini,
@omaryirro9285
@omaryirro9285 3 месяца назад
Mpumbavu wewe ulietoa hii post
@rahimsadru-ct4ot
@rahimsadru-ct4ot 3 месяца назад
Shida bunge lina wabunge mbumbumbu weng san
@TitoRufizi-xb2ub
@TitoRufizi-xb2ub 3 месяца назад
Mumezoea ufisadi hamuna lolote
@yasiniSwedi-qg5oc
@yasiniSwedi-qg5oc 11 дней назад
Kichwa kikubwa ubongowako wa panzi
@ERICKMAGETA-rz2eg
@ERICKMAGETA-rz2eg 3 месяца назад
Tabasamu umekuwaje kuweni wakweli na wawazi
@mkambamaulid447
@mkambamaulid447 3 месяца назад
Uzalendo sio kazi ndogo acheni2
@saidmabanga388
@saidmabanga388 3 месяца назад
Uyuuu mzeee nae msenge tuu
@wilsonandlea8614
@wilsonandlea8614 3 месяца назад
Pamoja na kukuchafua kesho utang'aa
@HeriKayezu
@HeriKayezu 3 месяца назад
Yaani nyie siku hizi mnaongea pumba sana
@dickisoniryoba3989
@dickisoniryoba3989 3 месяца назад
Humohakuna wazalendo...??
@SaidiSheria
@SaidiSheria 3 месяца назад
Watu wa kisesa kweli huyu anafaaa kweli
@b.warron4631
@b.warron4631 3 месяца назад
Ulipataje ubunge wewe tabasamu
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 3 месяца назад
2026 na wewe utakuepo bungeni
@GavyoleJonas
@GavyoleJonas 3 месяца назад
Wewe tabasamu ndio mjinga
@Kaka_Rambo
@Kaka_Rambo 3 месяца назад
Hili zee akili linazo kwl et limeumia sana😅
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 3 месяца назад
Qnyie ni wajinga sana, Mungu yupo!
@JamaliAmour-jp9dd
@JamaliAmour-jp9dd 3 месяца назад
Huyu muheshimiwa tabasam hoja zake ni upotezaji wa mda tu
@monicamwita7865
@monicamwita7865 3 месяца назад
Mjinga toot. Njaa tu Jana lolote.
@PatrickBoniphace-po9kt
@PatrickBoniphace-po9kt 3 месяца назад
Tabasamu wewe nimchumia tumbo
@abelchacha5977
@abelchacha5977 3 месяца назад
Hoja inaondolewa na hoja. Sio sheria
@faustinedeogratias4337
@faustinedeogratias4337 3 месяца назад
Kura yangu unaenda kuikosa rasmi
@augustinoevarist6754
@augustinoevarist6754 3 месяца назад
Nimeshangaa sana Mbunge kusema hii sio nchi ya Kijamaa.
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 3 месяца назад
Ujamaa tulishautoko toka enzi za mwalimu. Tusijifiche kwenye ujamaa
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 3 месяца назад
Ni kwasababu wabunge wetu wamekuwa mapepari wenye kutetea wawekezaji bila kujali interests za watanzania. Bado tutajionea biashara za waarabu na wahindi ndizo zitatawala Mwafirika atakuwa mtumwa
Далее
TUNDU LISSU ACHAFUA HALI YA HEWA 'MSILALAMIKE CCM'
57:46