Hongera sana Mpina ! Nchi hii tunapigwa sana.Mbunge Tabasamu analijua AMEKUUNGA MKONO MPINA ILA AMEKWEPA KUFUKUZWA BUNGENI. Mpina WANANCHI wenye AKILI TUKO NYUMA YAKO. (NCHI HII TUMEPIGWA NA TUNAENDELEA KUPIGWA SANA.) (NDUGAI UKO WAPI???)
Watanzania kwahili lampina ndomjue kuwa bunge Huwa ni kandamizi kwa wananchi Yani ndomjue kuwa bunge sio linatetea wananchi ila linakandamiza wananchi hilibunge nila mchongo ,Yani wamekaa kupigatu ,Yani hilibunge nibola tuludi kuongozwa na mchifu sio Hawa mafisadi
Unamaana Sukari isingeingia nchini kwa wakati kati ya Bashe na Mpina nani angelaumiwa kwa uzembe?tuwe fair Mpina kwa hili anatetea wawekezaji na Bashe amesaidia wananchi
Mzalendo nimpina 1 hiyo nimiipango ya kumdhofisha , bunge la sasa rinataka mtu awe anasifia wakati wananchi wake harinngum .mpina hakuwenda bungen kumsifia mtu nimkweri daima na mungu amsimamie
Sasa kwanini sukari imeletwa kutoka Brazil na inauzwa 3000, hivi mnakumbukuka issue ya Iddi Simba? Alijiuzuru kwasababu ya sukari, wakati Raisi ni Mkapa, Mpina yupo sahihi kabisa
Kama nyie wabunge mnajifanya watetezi wa wananchi, sukari inapopanda Hadi elfu Tano mlikuwa wapi?????? Kwa nini mnamfukuza MPINA WETU anayeibua hoja zenye mantiki. TUMECHOSHWA NA VITENDO VYA KUWAPA KESI NA ADHABU WANAOTETEA WANANCHI. Sasa bunge lipo KWA AJILI YA NANI?????? IPO SIKU WATANGANYIKA TUTAAMKA .
WATU kama MHESHIMIWA MPINA watakuwa na maana pale tu WATANGANYIKA wakijifunza Kwa KENYA na KUJUA KUWA LINDA watetezi wao. MPINA ANAPASWA KUUNGWA MKONO NA WATANZANIA wote wenye akili timamu.
Bunge hili wapo wawili tu, GAJIMA NA MPINA, WENGINE WOTE, SIJUI WAPO WANAMWAKILISHA NANI, WANALINDA MAWAZIR WANAO VUNJA SHERIA? SASA NI KATIBA MPYA TU,WATANGANYIKA TUPAMBANENI KWA HILO,
Mpina aliongea nje ya bunge. Hiyo tume tunaitaka itoka nje ya bunge. Hapo mnajifurahisha sisi tunamwaminin MPINA hamtubadilishi. Mpina bado ni mtetezi wa wanyonje. Tunataka tume huru.
Sasa hilo Bunge la 2026 kwa akili ya kawaida sana maana halisi ni kwamba Mwaka wa uchaguzi kwa mujibu wa katiba ya Nchi yetu ni mwaka 2025,Je ?anawezaje kusimamishwa vikao ambavyo hatuna uhakika kama atachaguliwa kwa mara nyingine tena.Kwangu naona swali hili ni matumizi mabaya ya muda na akili. Nchi yetu kwa mujibu wa Katiba yetu ni Nchi ya Kijamaa,Nenda kasome katiba yetu.
RUTO Ali nunu Bunge kupitisha Bili yana Mutokea puani Hivyo chonde chonde ogopeni yasije Wakuta Tuka umia na wengine Tusio na Hatia Muna jua Mpina yupo kwa Masilayi ya Taifazaidi
Kama viwanda kutimiza wajibu, serikali imechukua hatua gani dhidi ya uonhozi wa viwanda hivyo? Nani asiyejua karibu asilimia 80 yenu ninyi wabunge na mawaziri ni wafanyabiashara? Ishu iliyo hapo ni kwamba mmelindana, basi!
Wabunge koko na spika wa mchongo,hamuwezi kumchafua Mpina na kisha mkamimi ika kumlinda na kusifia huyo Musomali wenu mlaghai..Tunajua wabunge wengi mnajikomba kwa mawaziri ilimpewe shukrani kwa njia ya bahasha.mtukome. nyie na njaa zenu.
Tatizo hawakuchaguliwa na wananchi mh.magu alichagua wengi wao mbumbumbu ili wakubali kila kitu kusudi mipango yake ifanikiwe,sasa ametuachia mizigo kweli kweli,kazi makofi,kusifia ujinga,na kutengeneza chuki kwa wasema kweli.kama huyu tabasamu angekuwa mbuge wangu ningemgoja siku aje kufanya mkutano nimhoji vizuri.sijui elimu yake kiwango gani?au ndio wale wenye alimu zisizo na akili!
Tanzania inatuua kwa uchawa Hawa wote wanaosimama kinyume na mpina wote wala siyo kwa akili zao bali ni kwa shinikizo la kutetea matumbo yao na njaa zao binafsi Mpina chukua form ya urais 2025 Nakwambia samia atasubiri sana❤❤❤
Amewakandamizaje wanyonge? Wabunge wengi hamuelewi. Mpina hajageuka ni kutomuelewa. Mpina amezungumuzia kuhusu wasiokuwa na hadhi na uwezo wanapewa tenda, na waziri Bashe. Munatetea uwongo na kujipendekeza. Hakuna mutetezi wa haki za watanzania kama Mpina
Mpina is the real patrote.Most these wapiga makofi na meza are thieves and fortune seekers.Had it not been mwalimu to provide the real free education wangekuwa wanachoma mkaa porini na wengine wengekuwa waganga.
Huyu mbunge anayetaka Mpina apewe adhabu kubwa zaidi na anajiita mzalendo..Nadhani wapiga kura wake wanamwona na sisi tunawatathimini,na ashauriwe kuwa hata TZ Gen Z wanaweza jutokea na yakatokea kama yaliyotokea bunge la Kenya.
Mpina wananchi wanakiangalia,ukiomba radhi basi tutaona hyo radhi unayoomba ni ipi. Mpina hakukataa kuagizwa sukari bali ni utaratibu uliyotumikq kwenye utoaji wa tenda hyo
Kazungumza fact wazalendo wachache sana .ilimuuma sana mpina kutolewa nje na alizani kwa kipindi kirefu.kumbe ni kipindi kifupi.n a ilimuuma sana tulia akson kutukanwa
Malizeni muhula wenu mlichaguliwa na magufuli hamkuchaguliwa nawananchi ndomaana mnateteana sana kulinda chama na serikali ya ccm tu hamna jipya nyie bunge limekosa mvuto
Huyu mbunge ni mpuuzi kweli yaani vikao 15 ni vichache kwa kosa lipi Sasa, hivi mnacho jadili ni nini hicho? yaani mwizi anaitwa shujaa hii ni aibu kwa nchi na hili bunge, cc wananchi tunaamini Bashe ni mwizi na fisadi kama mafisadi wengine
Hata mumseme vp mheshimiwa mpina anakubalika kuliko hata huyo spika awewe mheshimiwa tabasamu huwezi kimfikia mpina hata robo sisi wstanzania tunamuelewa mheshimiwa mpina anayo elimu ya kutosha pia ni mzalendo wa kweli pia sio mnafiki anayejipendekeza kama ndio maana cc wstanzania tunawashangaa mnavyojitekenya na kucheka wenyewe
Hivi wewe Tabasamu akili uzoo au unataka kutufanya watanganyika ni hatuna akili wewe huna utetezi wote Kwa watanganyika wewe ni chawa niadui ya wananchi mpina ndio mzalendo peke pale bungeni
SASA HUYU TABUSAMU KAONGEA NINI HAPO ? HIVI WENZANGU MMEMUELEWA? YANI KAONGEA UKINGA MTUPU, YANI ILIMRADI WAKUONE UNAONGEA , AAA NI KWELI NCHI HII WAZALENDO NI WACHACHE WAJINGA NI WENGI ,
Wabunge wa Tanzania nyie ni wanafika sanaa mnajifanya mnapendana lakin mwenzenu akiwa kwenye shida yaan mnamshambulia atari niliona kwa Gwajima kipindi cha korona niliona kwa Ndugai duh sijui tuwaiteje
kumbukeni waamuzi wakubwa ni wananchi bidhaa zote ni juu hamna mwenye uthubutu wa utetezi kwa madhira ya wananchi uchumi,bei za mazao chini havina uwiano na maisha kuanzia afya,nk hongera rip JPM katiba maamuzi ni 2024,2025 wananchi tuweke uthubutu kwa watenda haki serikalini.mungu ibariki tz
Tabasamu wewe ni mnafiki wewe sio mtetezi wa wananchi kama kweli wewe ni mtetezi wa wanyonge mbona husemi sukari ishuke bei mungu mwenyezi atamuinua mpina na nyie wanafiki mnaowatesa wenye nchi hii siku zenu zinahesabika
Wakuchongewa sanamu kila mkoa ni mpina na sio mwingine anagusa maisha ya watu wanyonge naona magufuri bado yupo kwa mpina binafsi mimi nasimama na mpina
Huyu tabasamu hafai Tena kuwa mbunge anatetea ufisadi uliotajwa na mpina anampamba bashe kwa lipi? Mpaka Sasa sukari Bado ipo juu Hana hata aibu kwamaneno yake ya upambe twambie sukari kilo bei gani?au unatuona cc wananchi ni wajinga sukari Bado ipo juu alafu unasimama bungeni unaongopea wananchi mpina yupo sahihi tupo pamoja nae wananchi
Asante sana Kwa swali zuri laiti tungekutana ningekuzawadia. SWALI zuri sana. Hawa CCM Kila siku wanawaita WATANZANIA ni wanyonge, nani aliyewanyonga???? .Anayetunyonga kwenye sukari siyo CCM???? Anayetunyonga kwenye bandari siyo CCM??? Anayetunyonga kwenye madini siyo CCM??? Anayewafanya NGORONGORO wanyonge siyo CCM????? Gaesi nayo je nani anatupandishia?????? Umeme tulikuwa tunaingiza Kwa sh. 28000/= na kaipandisha Hadi laki 300000???? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ww ndiyo adui wa wanyonge hujajibu hoja za Mpina unafurahisha bunge huku tz balaa tuna viongozi waoga sana ni wachache tu wa maana kama Mwalimu Nyerere, Magufuli, Mpina, Makonda,Bashiru,Sokoine,Ndugai,Anna Makinda,Tibaijuka,Sabaya,Hapi,Siro, wengine ni wahuni tu machawa na mafisadi wakubwa
Ni kwasababu wabunge wetu wamekuwa mapepari wenye kutetea wawekezaji bila kujali interests za watanzania. Bado tutajionea biashara za waarabu na wahindi ndizo zitatawala Mwafirika atakuwa mtumwa