Hvi kweli kwastaili hii Nchi hii kwa uongozi wa CCM hatutoboi na hata hivyo Bunge hili haliwezi tena kuishugilikia Serikali hata KIDOGO! Watanzania tujipange tu kupata Bunge lingine!
Mbona wabunge wote kwenye ripoti ya CAG ya mwaka huu wote wamenyooka uchaguzi imekaribia e tunawaona vizuri sasa kila mwaka watanzania wenzangu kamati ya CAG inaleta taarifa za wizi na hakuna hatua kana kwamba mnafanya chombo hicho cha CAG na takukuru ndio zinatoa ripoti za uongo na kama ni wao sio waaminifu tuanze na hao!!!
Mbunge Venant nimekupenda gafra misjawahi mpenda mbunge waccm ila wewe umeongea point sana tunachangishwa michango kila cku alafu watu wachache wananugaika nahela zanchi hii
Hatujawahi ona hatua zote zinachukuliwa juu ya ufisadi mna kazi yakupia kelele tu Kila siku kumeibiwa matilion ya hela wakati huku mtaan mtu Hana hata buku ya kula hanjui ni dhambi kubwa lkn mjue Kuna kufa na hukumu ipo Kodi za masikin Kila kukicha zinaibiwa watu wenye vyeo wale Bata na familia zao hii ni haki