Тёмный

Ole Sendeka alipuka bungeni akitaka shingo ya mtu, Venant akichangia; Mwigulu na Mhagama wasimama 

Mwananchi Digital
Подписаться 1 млн
Просмотров 34 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 67   
@tusajigwe7491
@tusajigwe7491 11 месяцев назад
Best speech mbunge, Mungu akulinde
@DianaDaud-b1f
@DianaDaud-b1f 11 месяцев назад
Jizi kubwa et Tàarifa
@SimeonCharles-j5x
@SimeonCharles-j5x 11 месяцев назад
Kazi kumfungia mwambukusi
@musayohana3274
@musayohana3274 11 месяцев назад
Ongera sana kiongozi olesendeka
@emmanueljoseph3812
@emmanueljoseph3812 11 месяцев назад
Hvi kweli kwastaili hii Nchi hii kwa uongozi wa CCM hatutoboi na hata hivyo Bunge hili haliwezi tena kuishugilikia Serikali hata KIDOGO! Watanzania tujipange tu kupata Bunge lingine!
@juliusmagunila6308
@juliusmagunila6308 11 месяцев назад
Halafu mwigulu angetuacha kabisa tukimkamata kwenye kumi na nane we ngoja
@mlumez
@mlumez 11 месяцев назад
Kwa bunge hili, wakichukua hatua nmekaa palee👉👉
@ErickJohn-c3h
@ErickJohn-c3h 11 месяцев назад
😂😂mzee wa tozo,trab na trat, kodi ya stoo. 😅 😅 mwigulu mwizi wa kutupa.***Mwigulu mwizi afukuzwe kazi huyooo....kazoea kuhamishwa hamishwa.
@DONALDMTOWE-u9g
@DONALDMTOWE-u9g 11 месяцев назад
Wacha mungu aitwe mungu wapinzani hawamo.
@williammwamalanga1065
@williammwamalanga1065 11 месяцев назад
Asante sana mh mbunge wa igalula
@chademaelfhasmolell
@chademaelfhasmolell 11 месяцев назад
Apo funika kikombe mwanaharamu apite wapigaji ni ccm haohao
@aud548
@aud548 11 месяцев назад
Mliye na mamlaka naye ....😂😂😂😂 yani mumpige chini Majaliwa
@AgustinJustin-j9e
@AgustinJustin-j9e 11 месяцев назад
Ni vizuri tukienda hvi
@williammwamalanga1065
@williammwamalanga1065 11 месяцев назад
Mwigulu mwigulu mungu anakuona
@partysekemi5
@partysekemi5 11 месяцев назад
Mbona wabunge wote kwenye ripoti ya CAG ya mwaka huu wote wamenyooka uchaguzi imekaribia e tunawaona vizuri sasa kila mwaka watanzania wenzangu kamati ya CAG inaleta taarifa za wizi na hakuna hatua kana kwamba mnafanya chombo hicho cha CAG na takukuru ndio zinatoa ripoti za uongo na kama ni wao sio waaminifu tuanze na hao!!!
@SimeonCharles-j5x
@SimeonCharles-j5x 11 месяцев назад
Pesa kapeleka fountain gates
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 11 месяцев назад
Ole Sendeka asante
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka Месяц назад
Mbunge Venant nimekupenda gafra misjawahi mpenda mbunge waccm ila wewe umeongea point sana tunachangishwa michango kila cku alafu watu wachache wananugaika nahela zanchi hii
@francismwantolwa2329
@francismwantolwa2329 11 месяцев назад
Wezi wakubwa hawa
@ChristerShao
@ChristerShao 11 месяцев назад
Akina Tundu Lisu wakisema juu ya mikata mibovu mnawatukana mlikuwa wapi.
@robertphilip385
@robertphilip385 11 месяцев назад
Kabisa mkuu
@patrickngumbi2766
@patrickngumbi2766 11 месяцев назад
Mwigulu kumbuka hapo hukujiweka, kwa nn mnadharau hivi au mnafikiri hatuon wala kusikia?!!! Au mnahisi hatuwezi chukua hatua za ghafla endeleeni tu
@benedictchagula8739
@benedictchagula8739 11 месяцев назад
Safi sana! Wote wangekuwa na mtazamo kama huyu mbunge tungekuwa mbali
@bahatiangle4424
@bahatiangle4424 5 месяцев назад
Ongea baba
@emmanueljoseph3812
@emmanueljoseph3812 11 месяцев назад
Huyo Jennifer anaongea nini?
@marymchina6557
@marymchina6557 11 месяцев назад
Kwani huyu Mwigulu nyuma yake kunanani? Subirini 2025 mtatujua vizuri
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 11 месяцев назад
Huyu mwigur ajinyamauie tu maana kwenye wiz wa serekalini ni Nr 1, alafu hanaga huruma kabisa kwenye swala hilo.
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka Месяц назад
Mwiguluu acheni kuiibia nchi hii mwigulu nakundi lako muache kuiba nchi zawananchi
@alexkatama4341
@alexkatama4341 11 месяцев назад
Kuchekacheka kwenye vitu serious ni ujinga
@LUKASKALEY-y7s
@LUKASKALEY-y7s 10 месяцев назад
Serikali wenyewe ndio wezi wetu sasa
@HusseinseifSachirama-tn2fj
@HusseinseifSachirama-tn2fj 11 месяцев назад
Mwigulu yani simpendi
@amizatibakari7385
@amizatibakari7385 11 месяцев назад
Hatujawahi ona hatua zote zinachukuliwa juu ya ufisadi mna kazi yakupia kelele tu Kila siku kumeibiwa matilion ya hela wakati huku mtaan mtu Hana hata buku ya kula hanjui ni dhambi kubwa lkn mjue Kuna kufa na hukumu ipo Kodi za masikin Kila kukicha zinaibiwa watu wenye vyeo wale Bata na familia zao hii ni haki
@kristiankitali5505
@kristiankitali5505 11 месяцев назад
Huyu Mwigulu huyu sijui
@mudhihirugara8845
@mudhihirugara8845 11 месяцев назад
Hamnalolote kilasiku hayohayo mbona enzi zamagufuli yalikoma raiya hatuna Imani nawabunge ninyi ibenitu kulenitu sisi hatuna chakufanya
@MatelephonLukumay
@MatelephonLukumay 10 месяцев назад
Sekali ya ahamu ya tano inanyanyasa masikini kama ngombe zinauzwa efu kweli ni halalo tungalie hila
@CharlesKapuga
@CharlesKapuga 11 месяцев назад
Mnaheshimika kwa wizi tokeni huko ndio maana mnatia Aibu sana
@williammwamalanga1065
@williammwamalanga1065 11 месяцев назад
Hongera ole sendeka
@patrickngumbi2766
@patrickngumbi2766 11 месяцев назад
Mbunge anaongelea wizi , huyu mama anataka kutufunika na maendeleo ya mchongo bado mnafikiri kuna watanazania wa hivyo kweli?!!!
@emmanueljoseph3812
@emmanueljoseph3812 11 месяцев назад
Tuwapeni Chadema hii Nchi
@raymondkafyulilo6636
@raymondkafyulilo6636 11 месяцев назад
Wote mliokaa hapo ni wezi tu. Mwigulu ndiyo mwizi mkubwa huyo. Mbunge Venant yupo sahihi
@joelramadhan6062
@joelramadhan6062 11 месяцев назад
Mambo ya system nchi hii ya wandwale😂😂😂😂
@MatelephonLukumay
@MatelephonLukumay 10 месяцев назад
Mali ya masikin tu ndiyò ya selikali lakin majiri niyakao
@KashindyeGidion
@KashindyeGidion 7 месяцев назад
Tudamani
@IsraelMgilitwe
@IsraelMgilitwe 11 месяцев назад
Sisi wananchi tunapambana kutafuta msosi kwa jasho ninyi mpo kivulini tusaidieni
@MungaOlekukule
@MungaOlekukule 9 месяцев назад
Paulo siria
@epiphanmsolina5321
@epiphanmsolina5321 11 месяцев назад
CCM wote ni wezi watupu
@IsaacSengunda
@IsaacSengunda 11 месяцев назад
Wewe mwigulu ni mpumbavu tu mwehu,watanzania wanaumia halafu unaleta ushuzi wako we mwehu
@geraldadolf4928
@geraldadolf4928 11 месяцев назад
Uyu jamaa kiboko
@IsraelMgilitwe
@IsraelMgilitwe 11 месяцев назад
Tunaomba wabunge mtusaidie wananch
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 11 месяцев назад
Bunge la chama wanachoongea hata hakina utekelezaji hayo maneno ya hapo
@ChristerShao
@ChristerShao 11 месяцев назад
Mwigulu muogope mungu.
@emmanueljoseph3812
@emmanueljoseph3812 11 месяцев назад
Tuanze na mwigulu!
@azizakiswili9063
@azizakiswili9063 11 месяцев назад
Yaani utafikiri nchi hii ni mali yake😢😢
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 11 месяцев назад
Mwigulu katubu umetuibia sana
@HappinessminjaHappysiami-xx4df
@HappinessminjaHappysiami-xx4df 11 месяцев назад
Tunaomba mheshimiwa sendeka uweze kuongelea swala la Barbara ya simanjiro ni mbaya mno
@francismigongwa4146
@francismigongwa4146 11 месяцев назад
Kazi iendelee
@robertphilip385
@robertphilip385 11 месяцев назад
Weusidanganywe na Hawa kuku niporojotu
@robertphilip385
@robertphilip385 11 месяцев назад
Huyu sendeka nae hajui chochote mlarusha wa simanjiro
@frankpeter4178
@frankpeter4178 11 месяцев назад
....among the worst Govt ever this country got, never even foreseen
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 11 месяцев назад
Sasa mmeanza kazi
@robertphilip385
@robertphilip385 11 месяцев назад
Hamna kazi yeyote hawaniwapigaporojo hamna bunge hapa kazi Yao ndiyoooooo
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 11 месяцев назад
We mama umechanjwa chanjo ya korona hakuna kizuri
@mikemutabuzi3665
@mikemutabuzi3665 11 месяцев назад
Ninaamini muda si mrefu bandari mtajirarua nyie wenyewe, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 11 месяцев назад
Mwiguru nchemba wewe chanjo ya korona inakusumbua mwizi wewe
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 11 месяцев назад
,🤣🤣🤣🤣
Далее
진 (Jin) 'I'll Be There' Official MV
03:15
Просмотров 7 млн
UFC 308: Пресс-конференция
35:18
Просмотров 578 тыс.
Китайка и Красивые Глаза😂😆
00:20