Тёмный

Oummilkheir wa DW astaafu 

DW Kiswahili
Подписаться 174 тыс.
Просмотров 64 тыс.
50% 1

Wafanyakazi wa Idhaa ya Kiswahili ya DW mjini Bonn wamuaga mfanyakazi mwenzao Oummilkheir sauti ya dhahabu ambaye amestaafu baada ya kuhudumu kwa miaka takribani 42. #kwaherioummilkheir

Опубликовано:

 

5 фев 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 85   
@paschalmartin1273
@paschalmartin1273 4 года назад
mmmmm! huyu mama nilikuwa nampenda utangazaji wake sauti nzuri tunakutakia maisha mema ubarikiwe maisha mema ya kustaafu mama
@khalidjumaboki6820
@khalidjumaboki6820 3 года назад
Hongera ummylkhery kapumzike mama ,ila wengi wamejifunza kupitia kwako miaka 42 sio mchezo
@husseinhussein9971
@husseinhussein9971 Год назад
Boooorne, Ujarumaniii.
@danthemanx999
@danthemanx999 3 года назад
Grew up listening to Oummi on SW. Wish you well. Thanks big bro for introducing me to DW.
@alexmahenge3817
@alexmahenge3817 4 года назад
Nampenda saana bi Umm nimependa kumuona lakini lazima nionane nae iko siku najua nitafika nionane nae nampenda mnooo
@jakuvuai1428
@jakuvuai1428 4 года назад
Jina lake ni ishara tosha ya kua mtu mzuri. Ummi= mama Kheir = kheri/mwema Nakupnda sana sana, wengi wanasifu sauti yako ila mimi nasifu lafdhi yako na namna ya unvyokichambwaga kiswahili.
@abuanmarabubakar
@abuanmarabubakar 4 года назад
Mm nimeumia zaidi yako mama yangu
@AkidaModeste
@AkidaModeste Год назад
Nafurai kuwaona waandishi wengi tu wa DW,nilikuwa nafikiria Rasid Chilumba na Bruce Amani kuwa ni waxed kumbe hapana,Ma OMil hongera sana kwa yote ulio tufanyizia sisi wasikilizaji wa DW Asanteni kabisa kila la Hero kwa ku stahafu
@yacayuunixilwa3607
@yacayuunixilwa3607 3 года назад
Abari za Africa
@karenzijumaahmad257
@karenzijumaahmad257 2 года назад
Nakupenda sana mama Oummilkheir. Sauti yako tu yanitosha . nitakumiss mnoo
@jimmyjimmy5094
@jimmyjimmy5094 2 года назад
Great umi Great umi
@muhinatangatz5679
@muhinatangatz5679 4 года назад
Dah mama kiboko na nikielelezo Cha utangazaji duniani
@moseschacha684
@moseschacha684 2 года назад
I will miss her voice, God bless her
@twinamastkiodavid4881
@twinamastkiodavid4881 3 года назад
Thanks very much madam I wish you all the best I'm going to miss her voice, I'm called David Twinamatsiko here at Somalia
@amanimjuli5265
@amanimjuli5265 4 года назад
Mungu ampatie miaka mingi Mimi nimeanza kumsikia na kumfaham 16 years ago.
@seifmohamedseif9467
@seifmohamedseif9467 4 года назад
Amekua hapo kwa miaka 42
@kihimbamushyaibrahim7284
@kihimbamushyaibrahim7284 4 года назад
africa mashariki na ya kati wengi watoto wakike waliitwa kwa jina umul khair ndio sauti nzito kweli weka sign up ile sauti yakufungua radio dw we will miss you mungu akuchunge from kuwait
@fellyfernando4516
@fellyfernando4516 Год назад
Mungu ampe maisha marefu..bi Umilkher..
@mohdabdi4157
@mohdabdi4157 4 года назад
Dah! Jamani sauti ya dhahabu itakuwa hatuisikii Tena bi ummi tunakutakia maisha mema na yenye kheir na wewe
@wongooscar7519
@wongooscar7519 4 года назад
Daa tuta miss sana Sauti yake 😘😘😘
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Год назад
Congratulations! you are the legend!
@khamisthomas7466
@khamisthomas7466 4 года назад
dah tutakumiss sana mama yetu Oummikheir kwa saut yako ya bashasha Mungu akulinde sana
@mbegaJrtuition1
@mbegaJrtuition1 3 года назад
Mimi binafsi alinihamasisha sana kusikiliza DW tangu kitambo. Kila la heri Bibi oummilher
@IbrahimlyenjeNtupwa-ju4ej
@IbrahimlyenjeNtupwa-ju4ej 11 месяцев назад
Sauti bora zaidi ya sauti
@watchme1558
@watchme1558 4 года назад
Hakika nilikupend sana uommi na sitochok kukupend kwa saut yko. Na ekesha wakati ulipokua ukitangaz nilikua nafikiria ni mzungu ambae amejifundish kiswahil. Samaha unatokea wp Mama oummi
@denismganyizi9963
@denismganyizi9963 4 года назад
Kila la kheri mama angu nakupenda sana
@amirikoshuma3039
@amirikoshuma3039 2 года назад
Pumzika salama mama dw Swahili nimeanza kufutilia toka 2005
@mkenyaog3170
@mkenyaog3170 4 года назад
Thenks our god
@naftalimagige4699
@naftalimagige4699 3 года назад
Mapumziko mema mama kher
@ahmadzaid2940
@ahmadzaid2940 4 года назад
mic u ummulikhery
@CAYVOH
@CAYVOH Год назад
Very unique and wonderful voice . All the best Oummi. Kulikuwa na mtangazaji mwingine wa Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle ambaye alikuwa anaitwa Osman Mirachi(ji). Alikuwa na kipindi kiitwacho 'Darubini' kila Jumanne baada ya habari ya saa saba mchana ambaye nalikuwa nakienzi sana. Alienda wapi?
@samwelinzambitesamwelinzam3643
@samwelinzambitesamwelinzam3643 3 года назад
Daaaa huyo Mama namkubal sana
@jacobstake.4142
@jacobstake.4142 2 года назад
Nalia Na Furaha Tangu Mdogo- Habari Za Mjana na Jioni.. Maisha mema.
@alexedward4069
@alexedward4069 3 года назад
Idhaa Yangu ninayoipenda
@emmaticopetro1158
@emmaticopetro1158 3 года назад
Mm nitamkumbuka sana kwa umahiri wake wa uchambuzi wake wa magazet ya ujerumani kuhusu bara LA Africa
@abdullahomar8687
@abdullahomar8687 4 года назад
klla la kheyr mama kipnz twakukumbka saaana na tutakumbka daima utu na weledi wko....
@simbascdailysimbasctanzani2835
@simbascdailysimbasctanzani2835 2 года назад
Nime mkumbuka sana
@d_mselewa
@d_mselewa 4 года назад
Mama yangu hongera sana, nitakumbuka sauti yako daima ila nitakuwa napitia maktaba mbalimbali mtandaoni nisikilize tena na tena. Mungu akujaalie afya njema
@imanijoseph7584
@imanijoseph7584 4 года назад
Sauti yake ni ya dhahabu .Nilipenda DW kwasababu yake .Umetuachia pengo kubwa sana wasikizaji wako.Nakutakia mapumziko mema mama
@fextomaturo7815
@fextomaturo7815 4 года назад
Daaah saut Kali sanaaa
@snkhannassoro2404
@snkhannassoro2404 2 года назад
Mbona redioni sauti kama wazee
@mabydal5556
@mabydal5556 4 года назад
Machoz yannitoka tu ila nakuombea kheyr nmemmis mno Mohammed Abdul-rahman na sasa ht sijazoea kumkosa ntakukumbka nawe saaana nkipenda mno ukitaja majina ya Kansela wa ujeruman na Rais wa Uturuki daaah allah akuzidishie kheyr.....
@mwalongojulius1755
@mwalongojulius1755 3 года назад
Mwongezeeni mkataba anaweza kuendelea kwani kutangaza siyo kushika jembe ni sauti na kukaa
@mayanikwetu7401
@mayanikwetu7401 2 года назад
Kutoka musoma Tanzania Nyamboga Nyamshora dw nawapata kwa umakini na matangazo yenu.
@moramwita5623
@moramwita5623 4 года назад
Na Sasa huko ujerumani ,Chancellor Angela marcel ameiba ujerumani kutuma katika ufanisi kidiplomasiiiia,,Na Sasa tuangaaziie huko mashariki ya mbaaaali
@tareqhilal6750
@tareqhilal6750 4 года назад
Hahaa kumbe unamsikiliza
@jisamjoseph4558
@jisamjoseph4558 3 года назад
Nilikua nadhani ni mama wa kizungu ambae anajua kiswahili kumbe ni mwafrika kabisa
@MuwumbaJulius-ys5xh
@MuwumbaJulius-ys5xh Год назад
Very very sad rip
@zuberigwakula8531
@zuberigwakula8531 4 года назад
Watangazaji wote wako wako vizur hamna garasa
@petermacharia837
@petermacharia837 3 года назад
Heeeheeeeee sauti ya dhahabu, 🥂🥂
@holyfathergodford7988
@holyfathergodford7988 4 года назад
Penda sana bibi yangu Kwa sura ya Ujerumani. Asante bibi.
@eutropiangido9684
@eutropiangido9684 3 года назад
Ohh jamani alikuwa na sauti ya kipekee. Ametuwakilisha vizuri sana sisi wanawake hasa kwa kufanya kazi kwa bidii na kwa weledi. Binafsi nitammiss
@muhammadmpoyamboya2423
@muhammadmpoyamboya2423 3 года назад
mtangazaji umetuangusha umeshindwa kulitamka vzr jina la mama pumbafu yako
@petermahimbo9450
@petermahimbo9450 4 года назад
Nitakukosa sana mamayangu..
@moramwita5623
@moramwita5623 4 года назад
tutakumic mnooo
@maikoandrew58
@maikoandrew58 2 года назад
Du mama kastaafu ?. Shikamoo mama
@danstanmgaya1251
@danstanmgaya1251 3 года назад
Alikua vizur sana huyu mama saut yake ilikua nzur sana mitambon
@elsonjohnson7558
@elsonjohnson7558 11 месяцев назад
Yani nakupenda bure mama yani natamani kukusikiliza kila wakati Kwa kweli kwa hii sauti yako ya kipekee mimi natamani kuendeleea kuisikiliza sauti yako mama Hivi kuna mtu umemwachia hiyo sauti?? Hakika nitaimisi DW kwa ajili yako
@justinishengoma8927
@justinishengoma8927 4 года назад
KIUKWELI naumia sana kuona hyu mama anastahafu nataman angefanya milele maana alikua kinala wa sauti
@hagaijoe2449
@hagaijoe2449 4 года назад
Kwa kweli mimi pia sijapenda habari za kustaafu kwake! Yaani, basi tu!
@zanzibarspice8686
@zanzibarspice8686 3 года назад
we will.miss the voice
@langatemmanuel7359
@langatemmanuel7359 3 года назад
Nimemsikiliza mwanahabari huyu maarufu tangu nikiwa shule ya msingi...alikuwa na sauti nzuri kweli..
@johnstonemwesiga236
@johnstonemwesiga236 4 года назад
MUANZISHE NA TV SWAHILI
@frankbunini9898
@frankbunini9898 4 года назад
Nilikuwa napenda kukusikiliza mama na nitafata njia zako ili na mimi nifikie malengo katika tasnia hii ya habari
@emmanuelgabagendi3169
@emmanuelgabagendi3169 4 года назад
Saf sana mama yetu
@sarikokidole6583
@sarikokidole6583 4 года назад
Mtandao unasumbua
@gastonegeorge7408
@gastonegeorge7408 3 года назад
Niliipenda na kuifuatilia DW kwa sababu ya staili ya utangazaji wake..Mwanzoni nilijua ni mwanaume!
@saulmwakyusa1001
@saulmwakyusa1001 4 года назад
Dah mm ndo nimejua Leo kumbe kastafu mungu awe nae pia watangazaji wengine nimefurai kuwaona maana nilikua cjawaona b4
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 2 года назад
Naomba mtu a anijulishe Habari za muhaymina farisi/muhaimina faarisi...yupo hai au amefariki..nilikua mdogo sana alpokua akitingaza
@davoo2555
@davoo2555 3 года назад
Huyu mama kwakweli amekua akinipasha habari na binafsi nimewahi kua najaribu kuongea kama yy. Nimeanza kumsikia hasa taarifa za habari za saa saba mchana tangu nasoma shule ya msingi mpaka nahitimu chuo kikuu. Ni miongoni mwa watangazaji ambao sitaweza kuwasahau kamwe. Mungu aendelee kua pamoja nae daima kama alivyokua nae DW. Kutoka Boooooooo.......nnn
@denismakweba3870
@denismakweba3870 3 года назад
DW nmkumbuka sana kwa sauti yake na kipindi cha sura ya ujerumani au akiripoti taarifa🤦 nmemis bara bara
@juliussanane1860
@juliussanane1860 3 года назад
Tunajivunia kwa matumizi bora ya Lugha ya Kiswahili katika utangazi wako
@edwardkomba5222
@edwardkomba5222 4 года назад
Nahisi natokwa na machozi ya huzuni kuwa sitaisikia sauti ya aina yake ya utangazaji ya huyu mama Oommi ambae amestaafu. Ninamwombea maisha mema uko aendako. Naamini pengo lake haitazibwa.
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 4 года назад
Dah bibi tulipenda saut yako lakin kustaafu nako ndio hvo hongera bi umi
@felixbasogomba7065
@felixbasogomba7065 4 года назад
Mara ya kwanza namsiliza ilikuwa 1998.Ndo nilianza kupata akili yankusikiliza taarifa ya habari.Ubishi ulokuwepo ni mwanaume au mwanamke?Binafsi yeye na Adulhaman Baramia nilikuwa nawapenda sana.Halafu wote wa Comoro
@ziyadamubark1612
@ziyadamubark1612 4 года назад
Kumbe bi ummy kastaafu
@emmanuelbayi4640
@emmanuelbayi4640 3 года назад
Mama Ummy Nakupenda Munguakubrki Nlianza Kukusikia 1995nkiw Mdogo Barkiw
@emmanuelbayi4640
@emmanuelbayi4640 3 года назад
Ummy Mwaka 2005 Ninakumbuk Uchaguzi Mkuu Ulivyo
@zainabmohamed7511
@zainabmohamed7511 4 года назад
Anatoka nchi gani huyu?
@abilahirufai8269
@abilahirufai8269 4 года назад
Maisha mema leo ndo namjua,nilikuwa nasikia saut tu.lakini ni mzaliwa wa wapi?
@leonarddamian
@leonarddamian 4 года назад
Kazaliwa visiwa vya comoro na hatimaye akahamishiwa Zanzibar akiwa mtoto mchanga akaishi huko hadi akafikisha miaka 15.....
@abilahirufai8269
@abilahirufai8269 4 года назад
@@leonarddamian asante bro.kwa taarifa nzur,so ni mcomoro
@leonarddamian
@leonarddamian 4 года назад
@@abilahirufai8269 ndiyo lkn kwa mujibu wa Maelezo yake Oumilkheir baada ya kustaafu Commoro ni nyumbani lkn pia Zanzibar ni nyumbani kwa hiyo ni Kama ana uraia wa nchi mbili na anapapenda Sana Zanzibar kwani amekulia huko.
@abilahirufai8269
@abilahirufai8269 4 года назад
@@leonarddamian asante bro.
@MuwumbaJulius-ys5xh
@MuwumbaJulius-ys5xh Год назад
Very very sad rip
Далее
Agosti 05, 2024 | Jioni | Dunia yetu leo
30:53
Просмотров 2 тыс.
Mama Oummi astaafu!
4:34
Просмотров 37 тыс.
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
Бмв сгорела , это нормально?
01:01
Как похудеть на 10 кг ?! БЫСТРО!
07:06
Vijana wa Kijerumani wakikicharaza Kiswahili
13:53
Просмотров 3 тыс.
Sekione Kitojo Astaafu
4:59
Просмотров 24 тыс.
Raila aelezea Rais Ruto alivyotaka msaada kwake
3:29
KHADIJA ALI 2
24:53
Просмотров 134 тыс.
Agosti 03, 2024 | Mchana | Dunia yetu Leo
30:56
Просмотров 4,3 тыс.
Matangazo ya Mchana 27.07.2018
1:28
Просмотров 34 тыс.
Wafahamu waandishi na watangazaji wa BBC Swahili
5:10
Просмотров 126 тыс.
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21