Тёмный

OUR LOVE STORY W/ BEKA FLAVOUR AND HAPPY REUTER | EP 04 

Our Love Story Podcast
Подписаться 12 тыс.
Просмотров 97 тыс.
50% 1

Our Love story Podcast is a love genre chat podcast where two love birds chitchat on ho they met and their journey so far, including how they made each other in love

Опубликовано:

 

23 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 290   
@reenvictoria
@reenvictoria 3 месяца назад
This girl is next level smarties,,, brave woman she didn’t let men sit her home, she hustled her way.and now she live her desired lifestyle. Girls should learn from her ❤❤❤❤❤
@zeyounhabibty8587
@zeyounhabibty8587 3 месяца назад
Mungu wangu ivi nikweli ukizaa mapenzi yote yanaenda kwa mtoto mke thamani na mapenzi yanashuka Zipo outing za mke tu na zipo outing za familia huwezi kusema haiwezekani mimi na ww lazima alia mwisho wa maisha alia anaondoka nyumbani anakuacha na mkeo mloanza mmoja wote hii sio sawa nafkiri wanaume mjirekebishe hapo, upendo wa mwanamke na mtoto tafauti boresheni ndoa zenu , wanawake wengi ndani ya ndoa tunaishia kulea watoto na kubaki kupenda nafsi zetu na watoto mapenzi tena yanakufa kabisa badala ya kuchoka kuyapambania , mjirekebishe wanaume ule upendo wenu , ila sio wote wapo wanaume wazuri tu tena sana wanao onesha upendo still kwa wakezao na kuwadekeza yarabi wanaume hawa wape umri mrefu ❤
@Ms_.Jada.
@Ms_.Jada. 3 месяца назад
Yan shoga umeongeaa kweli kabisa , yan uuu no ukweli ambao wanaume hata waukataee vipi itakuja kuwacost haya mambo ndo yanafanyaga wanawake tuanze kufanya sirii haya ndo yanafanya ukikutana na mwanaume ankutunza anakispoil unabadilika alafu wanaanza kualalamika yan leo nimemuelewa happy vzuur mno alafu wanawake waelewa hatutakagi mazawaadi makuubwaa yani ni tule tu vitu tudogoo ila unaona yes mwanaume ananijali ni bhas tu wanaume hawajui
@kilalomaerlymauya6632
@kilalomaerlymauya6632 3 месяца назад
sema happy amenyooka sana madhaifu anayo kidogo sema yuko vzuri beka tunza huyu demu kakuvumilia sana
@nafuwswedi2465
@nafuwswedi2465 3 месяца назад
Alhamdulilah🙏🏾🙏🏾🙏🏾Mungu ametenda🙏🏾🙏🏾na Mungu awaongoze….TRUE LOVE NEVER DIE ❤❤Nawapenda sana
@Ms_.Jada.
@Ms_.Jada. 3 месяца назад
Ama kweli don’t judge a book by look it’s cover, Happy nilikuwaga namuona mwanamke flan hvii kumbe sio yan happy jins ulivo na vyote unavyovitamani ni kama sisi wanawake tulivo hapa ndo nimejua shida ipo kwa bekaa beka have to change , happy ni mwanamke mzuuri mnoo na anaweza kupata mwanaume wa ndoto zake any time ila kwa heshima ya beka ndo mana bado yupo nae ila beka akiendelea kuzingua ipo siku haapy atachoka kabisaa .
@sophiaremmy6326
@sophiaremmy6326 3 месяца назад
Beka ana u mimi mwingi sana…punguza kidogo kaka mu enjoy maisha
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 3 месяца назад
Wanawake ndivyo tulivyo. Yaani happy unayoyaongea ni kweli
@GloryMaiko-yz6bq
@GloryMaiko-yz6bq 3 месяца назад
Jamani mbona uyu dada yuko sawa ty me sijaona kama anakosea ❤yuko sawaa
@nuryatmussa9966
@nuryatmussa9966 3 месяца назад
Mapenzi hayana uzee beka lazima utenge Muda mtoke wawil
@RuqqyahFeisal
@RuqqyahFeisal 3 месяца назад
Mbona huyu bint hana shida jmn,mnamponda bure tu jmn
@fatumahussein9764
@fatumahussein9764 3 месяца назад
This is me happy wallah I'm trying hard to shape my ❤ men think we need rich men to enjoy life hawajui vitu vidogo vidogo tukifanya pamoja vinatufanya mapenzi yazidi
@hamidaabdul6004
@hamidaabdul6004 3 месяца назад
Watching from UK if you are not careful this woman is leaving you very soon wanawake tukianza kuongea hivi ujue tunachungulia kwingine na karibuni utatokwa .
@petermwamanga724
@petermwamanga724 3 месяца назад
This is so called Perfect Combo I luv it and wish u guys best life ever
@ClaireHappy
@ClaireHappy 3 месяца назад
Guys mbona mnamsema san uyu Binti? Mbona yuko vzr anaongea kwa adab na hekima na Anamapenz mengi kwa baba mtoto wake achen ushamba
@mercypeledawson1622
@mercypeledawson1622 3 месяца назад
Huyu dada ni vigumu sana kumsoma, so kwa wote mliotoa negative comments mnakosea sana jmn
@nin6324
@nin6324 3 месяца назад
Kwanza Happy ndio anampenda zaidi Beka. She is a wife, mom, a good partner. Beka you are loved by a Tanzanite keep it
@RuqqyahFeisal
@RuqqyahFeisal 3 месяца назад
Upo sahihi huyu dada wamemuelewa vibaya
@RuqqyahFeisal
@RuqqyahFeisal 3 месяца назад
Yah huyu dada anampenda sana mwanaume wake
@jescachandarua5898
@jescachandarua5898 3 месяца назад
Kbsaa wengi hawajamuelewa iyo mbn kawaida kwenye mazungumzo
@shuhudiamtasiwa6646
@shuhudiamtasiwa6646 3 месяца назад
Happy ni mke sema huyu kaka anashida kwenye kujali hisia ya happy so happy anaongea kama anamkazia mpaka anaonekana kama anajiamini ni kama anapoteza radha ila mimi nimemuelewa sana na hakika beka asipobadilika na kumuelewa happy ataondoka tena siombei itokee ila beka abadilike
@trice_yanga
@trice_yanga 3 месяца назад
watu wa comment mnaniua mbavu😂😂😂🙌🙌beka acha ubahiri mpeleke happy vacation hata mara moja kwa mwaka😃
@HidayaNgala-uk8tt
@HidayaNgala-uk8tt 3 месяца назад
Uyo mwanamke anakupenda sana sana SEMA tu anataka awe juuu yako, ila sisi wanawake ndo tulivo
@belak999
@belak999 3 месяца назад
Labda ww ndio unataka kuwa juu ya mwanaume,
@everlyne8595
@everlyne8595 3 месяца назад
Tatizo nyota
@sophiaremmy6326
@sophiaremmy6326 3 месяца назад
Kutamani uonyeshwe mapenzi ndo unasema anataka awe juu yake au sijakuelewa mtoa comment
@itikamlagalila1911
@itikamlagalila1911 3 месяца назад
​@@sophiaremmy6326si ndo apo
@rehemayona2223
@rehemayona2223 3 месяца назад
Ndio kweli anataka kuwa juu ya mumewe😂😂
@user-rv4wm7ov3s
@user-rv4wm7ov3s 26 дней назад
kumbukeni hii ni interview ndo maan uyu anaongea na uyu anaongea ili nyie muwaelewe wala sio ubabe wala kuwa juu zaidi.....mi nmewaelewa sanaa na ndo maan wameelezeana best moment zao kama walikua hawapendani wasingefikia apa😂acheni makasiriko nyie watu😂😂😂
@fatumahussein9764
@fatumahussein9764 3 месяца назад
And to my mum Alhamdullillllah she tried to keep beautiful moments to me n my bro tulienjoy akii na si etii alikuwa rich
@irenembura8045
@irenembura8045 3 месяца назад
Huyo ni Wife material na yuko straight forward. Kuongea ni sawa mrafi anaongea point! Beautiful couple!
@andrew0502
@andrew0502 3 месяца назад
Anaongea huyo mmmh
@jamilahemed5131
@jamilahemed5131 3 месяца назад
Happy alichoongea yupo sahihi nawatu mnamuelewa tofauti tu lkn 👎
@conceptaliwewa3903
@conceptaliwewa3903 3 месяца назад
Kwel kabisa
@everlisamsyananah1867
@everlisamsyananah1867 3 месяца назад
Mungu awatunze naipenda sana hii couple....msisikilize ya watu
@user-fx7ig1uy6t
@user-fx7ig1uy6t 3 месяца назад
Happy ni mimi kabisa na sio kwamba hampendi beka ni vile watu hawatuelew kwa haraka
@Sindiiigirll
@Sindiiigirll 3 месяца назад
Such an immature man😢,Yupo na wewe just because unamtoto wake girll please runnnnn
@PrincessHellen-pg1oy
@PrincessHellen-pg1oy 3 месяца назад
Kujishusha ni kwa wanawake na wanaume
@TegemeoFitina-cj4vr
@TegemeoFitina-cj4vr 3 месяца назад
Mumevumiliana mambo mengi sana sasa niwakati wa kufunga doa ❤❤❤❤❤
@user-en6kf2db6f
@user-en6kf2db6f 3 месяца назад
sema huyu Dem nimemuelewa beka do hamuelew mtu wake anapenda nn🙄
@RuqqyahFeisal
@RuqqyahFeisal 3 месяца назад
Tupo pamoja
@naseershiner6738
@naseershiner6738 3 месяца назад
Wangap wameiangalia interview mwanzo mwisho Kama Mimi ?
@NickTrickaddictedboy18
@NickTrickaddictedboy18 Месяц назад
NI MUDA WA MIEZI MIWILI NIKIISIKILIZA HII STORY, NILIKUA NACHEKI THEN NASTOP HATIMAYE LEO NIMEIMALIZA MPAKA MWISHO. WOW WHAT A NICE LOVE STORY OF YOU GUYS. MBARIKIWE KWA KWELI. LOVE FROM MAPUTO, MOZAMBIQUE I GO FOR THE NAME OF ARCHITECT - NICKSON KIMARO. HOLAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA 😉😊😊😊😊😊😊
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 месяца назад
Kweli binadam hakuna asiye na mapungufu Happy yu mrembo mashallah but unaongea sana mummy pia mbishi jirekebishe sometimes acha mambo yapite mtadumu Beker anakupenda ❤
@verobecamfipa8655
@verobecamfipa8655 3 месяца назад
Kweli kabisaaaaa
@everlisamsyananah1867
@everlisamsyananah1867 3 месяца назад
😅
@everlisamsyananah1867
@everlisamsyananah1867 3 месяца назад
😅😅
@neemanziku5403
@neemanziku5403 3 месяца назад
Binti anaongea Sana
@walizanasiri4963
@walizanasiri4963 3 месяца назад
Yani uyu ni mimi kabisa mtu unamwambia jambo moja kila siku😂😂😂 sipendi nikimwambia kitu kila siku ichoicho kaaah nalikasilikiaga ilo😅😅😅😂😂
@Mwanasconcho_
@Mwanasconcho_ 3 месяца назад
Mmetisha sana aseee na story yenu😊
@iamcurthbertvevo5302
@iamcurthbertvevo5302 3 месяца назад
Huyo glory anaeongelewa hapo si ni glory mosses au
@djbegge_tz
@djbegge_tz 3 месяца назад
Wow....hii love story nmeipenda
@khadijarashidy9304
@khadijarashidy9304 3 месяца назад
Kipind kizuri ila mnatucheleweshea sana Jaman 😢😢
@user-fy9pw2zr8l
@user-fy9pw2zr8l 3 месяца назад
Beka wew hujali kwenye mapensii wew kubali maana sisi wanawake tunataka kujaliwa
@denicdaud4702
@denicdaud4702 3 месяца назад
😅😅
@esterdoriye8377
@esterdoriye8377 3 месяца назад
Wanawake tusikilize dk ya 31:00 kuendelea 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅acha nicheke ndo tabia zetu wanawake ila wanaume kama beka huwa ndo wanafuture nzuri tuwe wavumilivu kama happy😅😅😅😅😅😅😅 @happy ni mimi kabsa 😅😅😅😅
@user-cb3yy8tp2u
@user-cb3yy8tp2u 3 месяца назад
Sema beka mwanamke ni mzuri sana sema tabia yake hamuwezi kuendana kiujumla Hana adab kabisa na anataka awe juu Yako
@tausimohammedy
@tausimohammedy 3 месяца назад
Masikini happy msome huyo baba Hana hela tu but anapenda afanye ivyo😂
@sund2553
@sund2553 3 месяца назад
True nimewza hivyo
@zepinashatibu5149
@zepinashatibu5149 3 месяца назад
❤❤nimewapenda sana mnafaa muigize nyie 🎉
@PrincessHellen-pg1oy
@PrincessHellen-pg1oy 3 месяца назад
😂😂😂😂 ila happy mbishi sana lakini beka hajakosea kumpiga maana Kuna Ile mwanaume Ana hasira mwanake ajishushe na hiy kusema happy alirudi alafu kapita chumbani ndo akatuma hapo amekosea alipaswa kusalimia akwanza ila ushauri kwa beka tu akishamjua mtu wako we ishi nae tu hivyo hivyo
@user-dy6mx4yc6y
@user-dy6mx4yc6y 3 месяца назад
Bwahahahahha yan Haya n mahusiano yangu kbs na stor zetu huwa hivyohivyo😅Halaf happy ni mimi kbs af kwa mbele yan zaid with beka vois😅
@DianaWilly-mr2pf
@DianaWilly-mr2pf 3 месяца назад
Maisha ya nyumbani usipekeleke kwenye ndoa yko
@lisajulis1512
@lisajulis1512 3 месяца назад
Wanawake wote mkiwa kama happy mtaheshimiwa ujinga ujinga utapotes😂
@ninjaisma7983
@ninjaisma7983 3 месяца назад
Dem wako anapenda sana exposure not bad lakini tu asikuumize sana kila anachosema kiwezekane noo ..sometimes akuskilize ww mwanaume pia asikuforce everything ❤
@user-fz2qd5px1d
@user-fz2qd5px1d 3 месяца назад
Beka anaongea sana kuliko happy Hampi chance😂
@athumanijumajuma5224
@athumanijumajuma5224 3 месяца назад
Love is beautiful thing
@AggyBarick-fh9wv
@AggyBarick-fh9wv 3 месяца назад
Beka bahiri jamani ,mmmh
@vumiliamadoshada4218
@vumiliamadoshada4218 3 месяца назад
You both looking Good. Na nimependa interview yenu. Nyie wote wapole. Ebu Mu sort out tofauti zenu ili muchunge watoto zenu vizuri ❤
@user-ve7xq9ov9u
@user-ve7xq9ov9u 3 месяца назад
Mungu andeleye Ku wapa uvumilivu,yaku vumiliyana🎉❤
@gmako6
@gmako6 2 месяца назад
yes, don't compare both of you find something mutual. Love is sacrifice.
@bosschick2417
@bosschick2417 3 месяца назад
😅😅😅😅😂 happy ana wivu sanaaaa 😂😂😂❤❤❤❤
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 3 месяца назад
Hapa nachoona mwanaume siyo mtokaji mwanamke mtokaji ❤ kaka m spoil kidgo 😂 ka mamaa😂
@bosschick2417
@bosschick2417 3 месяца назад
What a nice couple in the world 🎉❤🎉❤❤
@princessvai6
@princessvai6 3 месяца назад
Tunataka our love story ya mentor cherry na Elton please ipost na iyo🙏🙏 but kipindi kizuri sana🎉
@hbizzymelodist1344
@hbizzymelodist1344 3 месяца назад
Bro jaribu ku -shape mwanamke wako hawezi kukukalia publicly hata kama unakoseaga vingine mwanamke wa hivi kumfurahisha ni ngumu sana
@MariaThomas-wm9iq
@MariaThomas-wm9iq 3 месяца назад
Happy nimm mtupu cpend mwanaume anevaa heren
@kidatokassim7616
@kidatokassim7616 3 месяца назад
Hiki kipindi kinapemdeza nice idea to this channel mmekuja na utofauti keep up the good work lakini mlete wanandoa mashuhuri kinanoga zaidi
@Fx_expertmoneymaker001
@Fx_expertmoneymaker001 3 месяца назад
Mwanaume kitombi alaf mnam protect.. Alikosea ndio, tabia zake zilikua mbaya 😮
@israeluronu9958
@israeluronu9958 3 месяца назад
Kwenye mahusiano mwanamke akikusoma hakiliyako mapema akajua kucheza nayo watu wanaeza sema amekuchezea ufahamu..Beka mkeo kashakusoma kwamba kwake hupindui, kama umempenda kubali kubali kujishusha ilimradi maisha yenu yaende, ila angalia usiwe mtumwa wa hayo mapenzi.
@andrew0502
@andrew0502 3 месяца назад
Hicho ulichokimalizia mwishooni Cha utumwa ndo huyu mwanamke anataka sasa koz ashajua Beka amependa kweli kweli so yeye anataka Kila kitu anachomwambia Beka afuate, sio rahic ivo hata km mtu umpende vp
@user-ih6ng6sf6o
@user-ih6ng6sf6o 17 дней назад
Nawapenda sana kweli❤❤
@babunabibii
@babunabibii 3 месяца назад
mimi Kuna mmoja namtafuta message Moja kwa siku sijui kama tutafika huko.
@sagboison6297
@sagboison6297 3 месяца назад
Pole yko babu
@ezekielgeorge7389
@ezekielgeorge7389 3 месяца назад
Hiki kipindi kipo poa 🎉 sana congratulations
@madalanasri2226
@madalanasri2226 3 месяца назад
Beka usikaze sana mtoe out mpenzi wako
@khaykaw
@khaykaw 2 месяца назад
Sio kweli eti wazee wasienjoy moments za wawili. Kuna watu Wana watoto hata 5 na wanaenjoy wenyewe. Wanawake ndo haya mambo tunapenda.
@radicalljinari3863
@radicalljinari3863 3 месяца назад
❤So interesting nimeiskiza ka movie😊
@Hajer-be2kh
@Hajer-be2kh 3 месяца назад
Hiki kipindi hakijavutia 😂😂 hakuna hata mahaba mahaba mana hapo ni wanagombana tu
@pendokissatu937
@pendokissatu937 3 месяца назад
Hiki kipindii Ni Kitakuja Kuwa Kikubwaaa sanaaaaaa Keep Going ❤
@isayabendera
@isayabendera 3 месяца назад
Hii ime turn kuwa argument. Shori anaongea sana.
@zepinashatibu5149
@zepinashatibu5149 3 месяца назад
Muoe kweli mzae watoto wengine wazur kama katoto kwenu
@agriparose3942
@agriparose3942 3 месяца назад
Kaka Kuna wanawake wareeeembo zaidi ya huyu waliopo tayari kua chini yako kukuskiliza na kutulia ndani mkajenga maisha huyu kwanza yupo juu yako pili alivyolelewa ni tofauti na wewe 3 anapenda maisha ya ku spend na mbaya zaidi anaweza kujitaftia na kama alivyoongea ataenda vacation mwenyewe..kazi kwako kukubali kua chini ya mke na kufanya atakacho nje ya hapo jiongeze
@Mwananchii
@Mwananchii 3 месяца назад
Acha uchawi! Akumuacha utapata nini kwa mfano? @ Beka na Happy,We can see you love each other. Mungu awatunze🙏🏽
@CheopsByamunguethienne
@CheopsByamunguethienne 3 месяца назад
Poa❤ kbs mnafaa kuwa walimu kweli
@tropperben-xw5xr
@tropperben-xw5xr 3 месяца назад
happy and beka you are good coup may be blessed , happy you know how to love in my on opion happy are greatest queen who knows how love a good caring man
@naah884
@naah884 3 месяца назад
Usiwahi kuandika kingereza ni aibu😅
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 3 месяца назад
@@naah884😂😂😂😂
@user-ih9cw2nc2m
@user-ih9cw2nc2m 3 месяца назад
Huyo mwanamke anaonekana mjuwaji sanaaaaaa na Hana Hali ya kujishusha kwa mumewake, nimtu anayependa awe juuuu tu Becka kuwa makini sanaaaaa maana Bado haja juwa kama Yuko na umuhimu gani ktk moyo wako anajiangaliya sana nafsi yake yaani nimtu wa mbinafsi, wale kutenda atendewe mwenzake lakini siyo yeye anaonekana mgumu kusameheee
@ramaahke512
@ramaahke512 2 месяца назад
New subscriber tokea tiktok😊
@tanzaniayetu5935
@tanzaniayetu5935 3 месяца назад
Happy a4cus na namisha ,,sema anapnda bata
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 3 месяца назад
Yan hapa ninavyoona mim Hawa wamekuwa kwenye mapenzi lakin Kila mtu anamtazamo tofauti...Yan hawaendan kitabia ...alafu wamekutana wote wabinafsi na wabishi..ila hawaendan kitabia,,sijui kama wataishi pamoja zaid
@Imaginary_Productions
@Imaginary_Productions 3 месяца назад
@Mikeatilio kwani sheria gani yakutokunywa maji🤣
@agriparose3942
@agriparose3942 3 месяца назад
Beka angalia sana huyu mwanamke Hana adabu wala hawezi kua chini yako we unaonekana hupondui kabisa kwake nae keshajua udhaifu wako
@itikamlagalila1911
@itikamlagalila1911 3 месяца назад
Aina hii ya ushauri ni wa uharibifu,huyu dada kanyooka she is just perfect.
@erycah
@erycah 3 месяца назад
​@@itikamlagalila1911kweli, wanaume wengi wanataka wanawake wasojielewa ili wawburuze, sema happy anajielewa na ajaua anataka nini, washazoea wanawake ni wa kudanganywa danganywa tu
@Official_StephanoDavid
@Official_StephanoDavid 13 дней назад
Kuna mjinga mmoja alipendwa na kila mtu na hakujali akasepa😥🙌🏿
@user-qh2cl3yb1m
@user-qh2cl3yb1m 23 дня назад
Jamni mm Sina mpenzi but Nina story ya kusher na watu wanipenushauri ivo😢😢😢😢😢
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t 3 месяца назад
Mmmh huo mguu wa happy na yeye haviendan😂😂😂😂😂😂mguu kn fimbo ya pull
@VeronicaPeter-rm7ky
@VeronicaPeter-rm7ky 14 дней назад
Ila weweee😂😂😂😂😂
@kibouttv7148
@kibouttv7148 3 месяца назад
To be Honest BEKA Kwa huyu dada ni RED FLAG!! Ladies kama mwanaume hawezi kukufanyia vitu unavyovipenda RUN! Mwanaume akikupenda lazima atafanya chochote kwa ajili yako Trust me huyu Beka mbabaishaji sana yani hapa hakuna mwanaume in short mwanamke hatakiwi kucomplain hivi hapana wanawake jitambueni jamani acheni kusikiliza maneno ya wanaume angalieni vitendo zaidi mtanishukuru baadae
@alexsudi
@alexsudi 3 месяца назад
Hii ni love story 1:12:41 sio mabisho tena
@user-xz2vl8up5e
@user-xz2vl8up5e 3 месяца назад
mungu awatie nguvu muwe pamoja maisha yenu yote mnapendezana Sana
@IssaRenad
@IssaRenad Месяц назад
amna mke umo at
@malikzafarani172
@malikzafarani172 3 месяца назад
Amazing sana😊
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 3 месяца назад
Beka snatabiae za mumewngu
@user-vc7sl2tb1y
@user-vc7sl2tb1y 3 месяца назад
Nawapendaa sanaa
@shangwecharles9234
@shangwecharles9234 3 месяца назад
Happy ana vitu vidogo vidogo vingi ambavo vimeumiza moyo wake na alishakata tamaa ila imani ndio inamfanya aendelee kua na mahusiano na beca lakin kuna mapenzi ya thaman kabisa yamesha toka
@happyalbert5089
@happyalbert5089 3 месяца назад
Hapo pa kupenda wakwe Happy umenibariki sanaaa,mtafika mbali.
@MaulidMuongelwa-dw9gj
@MaulidMuongelwa-dw9gj Месяц назад
Beka ana uswahili flani wa zamani lakini upendo anao ila akijirekebisha maisha ya mahusiano yenu yatakua matamu
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 3 месяца назад
Angekuweka hapo kabisa kupitia yeye umemjua yeye baba watoto wako
@openmindtz
@openmindtz 3 месяца назад
This thing heals same wound quickly.... i wish i could hv atalk like this wallah
@josephepimack
@josephepimack 3 месяца назад
I love happy❤❤
@user-lt3hl1dg8j
@user-lt3hl1dg8j 3 месяца назад
Happy Yuko sahihi wanaume mbadilike
@enercknoah220
@enercknoah220 3 месяца назад
Dada yupo cool sana
@dorothyannan8184
@dorothyannan8184 3 месяца назад
Beautiful moments
@DaheerK
@DaheerK 13 дней назад
😂😂😂kiwwmbe mpaka nimejikwaa maneno yako ya kiwembe
@infosante243
@infosante243 3 месяца назад
Huyo mwanamke anaonekana mjuwaji ; na Hana Hali ya kujishusha kwa mume wake, ni mtu anayependa awe juu ya mume
@Humanity21216
@Humanity21216 3 месяца назад
Kwa mbele yake kidogo 😂😂
Далее
This or That 🛍️
00:52
Просмотров 5 млн
Jua kali leo usiku jumapili 21-7-2024         4k
19:14
Просмотров 48 тыс.
Beka flavour (Nakupenda ) Media Tour
4:31
Просмотров 80 тыс.
PENZI LA DADA WA KAZI 💞 | Love Story
30:06
Просмотров 4,7 млн