Our Love story Podcast is a love genre chat podcast where two love birds chitchat on ho they met and their journey so far, including how they made each other in love
This girl is next level smarties,,, brave woman she didn’t let men sit her home, she hustled her way.and now she live her desired lifestyle. Girls should learn from her ❤❤❤❤❤
Mungu wangu ivi nikweli ukizaa mapenzi yote yanaenda kwa mtoto mke thamani na mapenzi yanashuka Zipo outing za mke tu na zipo outing za familia huwezi kusema haiwezekani mimi na ww lazima alia mwisho wa maisha alia anaondoka nyumbani anakuacha na mkeo mloanza mmoja wote hii sio sawa nafkiri wanaume mjirekebishe hapo, upendo wa mwanamke na mtoto tafauti boresheni ndoa zenu , wanawake wengi ndani ya ndoa tunaishia kulea watoto na kubaki kupenda nafsi zetu na watoto mapenzi tena yanakufa kabisa badala ya kuchoka kuyapambania , mjirekebishe wanaume ule upendo wenu , ila sio wote wapo wanaume wazuri tu tena sana wanao onesha upendo still kwa wakezao na kuwadekeza yarabi wanaume hawa wape umri mrefu ❤
Yan shoga umeongeaa kweli kabisa , yan uuu no ukweli ambao wanaume hata waukataee vipi itakuja kuwacost haya mambo ndo yanafanyaga wanawake tuanze kufanya sirii haya ndo yanafanya ukikutana na mwanaume ankutunza anakispoil unabadilika alafu wanaanza kualalamika yan leo nimemuelewa happy vzuur mno alafu wanawake waelewa hatutakagi mazawaadi makuubwaa yani ni tule tu vitu tudogoo ila unaona yes mwanaume ananijali ni bhas tu wanaume hawajui
Ama kweli don’t judge a book by look it’s cover, Happy nilikuwaga namuona mwanamke flan hvii kumbe sio yan happy jins ulivo na vyote unavyovitamani ni kama sisi wanawake tulivo hapa ndo nimejua shida ipo kwa bekaa beka have to change , happy ni mwanamke mzuuri mnoo na anaweza kupata mwanaume wa ndoto zake any time ila kwa heshima ya beka ndo mana bado yupo nae ila beka akiendelea kuzingua ipo siku haapy atachoka kabisaa .
This is me happy wallah I'm trying hard to shape my ❤ men think we need rich men to enjoy life hawajui vitu vidogo vidogo tukifanya pamoja vinatufanya mapenzi yazidi
Watching from UK if you are not careful this woman is leaving you very soon wanawake tukianza kuongea hivi ujue tunachungulia kwingine na karibuni utatokwa .
Happy ni mke sema huyu kaka anashida kwenye kujali hisia ya happy so happy anaongea kama anamkazia mpaka anaonekana kama anajiamini ni kama anapoteza radha ila mimi nimemuelewa sana na hakika beka asipobadilika na kumuelewa happy ataondoka tena siombei itokee ila beka abadilike
kumbukeni hii ni interview ndo maan uyu anaongea na uyu anaongea ili nyie muwaelewe wala sio ubabe wala kuwa juu zaidi.....mi nmewaelewa sanaa na ndo maan wameelezeana best moment zao kama walikua hawapendani wasingefikia apa😂acheni makasiriko nyie watu😂😂😂
NI MUDA WA MIEZI MIWILI NIKIISIKILIZA HII STORY, NILIKUA NACHEKI THEN NASTOP HATIMAYE LEO NIMEIMALIZA MPAKA MWISHO. WOW WHAT A NICE LOVE STORY OF YOU GUYS. MBARIKIWE KWA KWELI. LOVE FROM MAPUTO, MOZAMBIQUE I GO FOR THE NAME OF ARCHITECT - NICKSON KIMARO. HOLAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA 😉😊😊😊😊😊😊
Kweli binadam hakuna asiye na mapungufu Happy yu mrembo mashallah but unaongea sana mummy pia mbishi jirekebishe sometimes acha mambo yapite mtadumu Beker anakupenda ❤
Wanawake tusikilize dk ya 31:00 kuendelea 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅acha nicheke ndo tabia zetu wanawake ila wanaume kama beka huwa ndo wanafuture nzuri tuwe wavumilivu kama happy😅😅😅😅😅😅😅 @happy ni mimi kabsa 😅😅😅😅
😂😂😂😂 ila happy mbishi sana lakini beka hajakosea kumpiga maana Kuna Ile mwanaume Ana hasira mwanake ajishushe na hiy kusema happy alirudi alafu kapita chumbani ndo akatuma hapo amekosea alipaswa kusalimia akwanza ila ushauri kwa beka tu akishamjua mtu wako we ishi nae tu hivyo hivyo
Dem wako anapenda sana exposure not bad lakini tu asikuumize sana kila anachosema kiwezekane noo ..sometimes akuskilize ww mwanaume pia asikuforce everything ❤
Kwenye mahusiano mwanamke akikusoma hakiliyako mapema akajua kucheza nayo watu wanaeza sema amekuchezea ufahamu..Beka mkeo kashakusoma kwamba kwake hupindui, kama umempenda kubali kubali kujishusha ilimradi maisha yenu yaende, ila angalia usiwe mtumwa wa hayo mapenzi.
Hicho ulichokimalizia mwishooni Cha utumwa ndo huyu mwanamke anataka sasa koz ashajua Beka amependa kweli kweli so yeye anataka Kila kitu anachomwambia Beka afuate, sio rahic ivo hata km mtu umpende vp
Kaka Kuna wanawake wareeeembo zaidi ya huyu waliopo tayari kua chini yako kukuskiliza na kutulia ndani mkajenga maisha huyu kwanza yupo juu yako pili alivyolelewa ni tofauti na wewe 3 anapenda maisha ya ku spend na mbaya zaidi anaweza kujitaftia na kama alivyoongea ataenda vacation mwenyewe..kazi kwako kukubali kua chini ya mke na kufanya atakacho nje ya hapo jiongeze
happy and beka you are good coup may be blessed , happy you know how to love in my on opion happy are greatest queen who knows how love a good caring man
Huyo mwanamke anaonekana mjuwaji sanaaaaaa na Hana Hali ya kujishusha kwa mumewake, nimtu anayependa awe juuuu tu Becka kuwa makini sanaaaaa maana Bado haja juwa kama Yuko na umuhimu gani ktk moyo wako anajiangaliya sana nafsi yake yaani nimtu wa mbinafsi, wale kutenda atendewe mwenzake lakini siyo yeye anaonekana mgumu kusameheee
Yan hapa ninavyoona mim Hawa wamekuwa kwenye mapenzi lakin Kila mtu anamtazamo tofauti...Yan hawaendan kitabia ...alafu wamekutana wote wabinafsi na wabishi..ila hawaendan kitabia,,sijui kama wataishi pamoja zaid
@@itikamlagalila1911kweli, wanaume wengi wanataka wanawake wasojielewa ili wawburuze, sema happy anajielewa na ajaua anataka nini, washazoea wanawake ni wa kudanganywa danganywa tu
To be Honest BEKA Kwa huyu dada ni RED FLAG!! Ladies kama mwanaume hawezi kukufanyia vitu unavyovipenda RUN! Mwanaume akikupenda lazima atafanya chochote kwa ajili yako Trust me huyu Beka mbabaishaji sana yani hapa hakuna mwanaume in short mwanamke hatakiwi kucomplain hivi hapana wanawake jitambueni jamani acheni kusikiliza maneno ya wanaume angalieni vitendo zaidi mtanishukuru baadae
Happy ana vitu vidogo vidogo vingi ambavo vimeumiza moyo wake na alishakata tamaa ila imani ndio inamfanya aendelee kua na mahusiano na beca lakin kuna mapenzi ya thaman kabisa yamesha toka