Poleni sana.Koku yupo vizuri sana.tatizo ni ,wengine tunalack exposure , yaani exposure kitu muhimu sana.basi tujitahidi watoto wetu watoke juu sisi hatukuwezaa
Daaaa huyu koku anafanana na marehemu Ruge sana halafu yaani na huyu zamaradi utafikiri kazaliwa ktk hii familia na yeye anafanana sana.Poleni sana wanafamilia Mungu awatie nguvu R.I.P Ruge
Polen clouds kwa msiba wa boss RUGE , pia poleni sana kwaajali mlopata Mungu awatie nguvu kwa kipindi hiki kigumu vilevile awatibu kwa wepesi wote waliokuwemo kwenye gari
Ukweli wahaya wengi ni wasomi alafu wanapenda kujenga either inje ya inchi hama the capital city dar. Ila bukoba hawajengi wanataka kubakiza utamaduni wao. Wachaga uwa ujenga kijijini kwao, siyo mjini tuu na niwafanyabiashara pia.
Poleni sana pumnzika kwa amani bosi ruge hakika amezima kama mshumaa ametangulia nasisi tutafuata nenda jembe nenda kaka nenda swaiba nenda mtu wa watu hakika pengo lako halitazibika
Mimi si Dr. Ila tuliuguza family member mwenye tatizo la figo. Hali mgonjwa inabidi iwe haiyumbi, pili anahitaji figo kutoka donor itakayo "match". Kama mtu yu hai basi operation mbili hufanyika. Kisha mwenye figo mbaya, inabidi apewe dawa za kutumia ilimwili wake usiukatae figo aliyopewa. Sometimes inatokea pia inaweza kuwa ya mtu aliye donate figo ikiwa atakuwa amepata umauti. Mgonjwa wetu alilapata hiyo figo mpya lakini alikuwa na complications. Miezi michache tu baada ya kupata figo alifariki. Kuuguza mgonjwa wa figo ni kazi sana. Acheni tu. Nawapa akina Koku poleni.
kunywakunywa dawa nako sio kuzuri kuna Fanya figo inashindwa kuchuja chemical.... kingine ukiwa na ukimwi harafu Mara nyingi kufel figo kawaida maaana dawa unakunywa dawa kila siku na figo inashindwa kufanya kazi yake.kubaki salama ni bahati tuu mpk Neema ikushukie kwakweli.
Ndo mana kifo kibaya kina kuja bila mtu kutarajia I hate you kifo,kama hivi ange celebrate his birthday on 15 of February Aise 😭😢😢😢 kifo unaroho mbaya kabisa ,jaribu kujiuwa kwanza mwenyewe shii
Mbona Wanahabari Mnakwepa Swali kuhusu chanzo cha Ugonjwa Wake? Niwaulize, Kubadilisha Figo ni Kitu Kirahisi sana, Je Kwanini Hawakumbadilishia Figo? especially Alipoenda India? Nini Kilipelekea Figo zake Kufail?
Wewe unaandika tu. Inawezekana wana sababu zao kunyamaza kama ilivyo family nyingi. Kiukweli hatuna haki yeyote ile kudai kujua. Mambo mengine tuwaachie wakiwa tayari watasema tu. Kwa sasa tupo wengi tunaliwazia. Some things are best left alone, kumbuka simple kwako ni ngumu kwa wengine. Tuwe na huruma for the family.