Kwenye Chill na Sky, Zamaradi Mketema anafunguka kwa mara ya kwanza kuhusu ndoa yake, uhusiano wake na baba wa watoto wake wawili, Ruge Mutahaba, alivyojisikia baada ya Adam Mchomvu na Soudy Brown kuiponda ndoa yake na mengine
Toka Canada ninashukuru kwa swali hilo ndugu mtangazaji kuusu Take One, kwakweli binafsi nimei miss sana. Zamaradi I can't wait to see it again, please and thank you.
I can't get Enough to watching you Zamaradi Everywhere... unautofauti mkubwa ,akili nyingi natamani dunia nzima ijue kuna watu watofauti wenye karama kama Zamaradi wewe Dada you are too blessed and special !!!🙌🙌🙏😘
yani katika wanawake nao wakubali wanao ni inspire wewe ni my number one, nakupenda sana zama, ni vitu vingi sana najifunza kutoka kwako, nimekua nikikufuatilia kwa kipindi kirefu sana huwa naenjoy sana najifunza vingi sanaktk maisha yangu .....Lve u uuu zamaradi...💞💞💞💞💞
@zamaradi Wewe ni mtu wa kipekee ktk tasinia uliyopo umepevuka kwa kiasi cha hali ya juu sana. Moyo wako na kinywa chako kina FILTER una nidhamu ya maisha unajua mipaka kati ya maisha ya kikazi kitaasisi. Biashara binafsi na maisha binafsi kifamilia. HONGERA SANA
Hongera sana mwenye kuhoji, lakini pia muhojiwaji(Zamaradi) nafikiri kwa kuwa mmesoma chuo kimoja..... Nice interview. Hongera Zama kwa nidhamu ktk mambo yako ya mahusiano.
Pole sana da #zamaradi na hongera wewe ni mwanamke shuja tofauti na wenziyo wakipintia zoruba kudogo wanaenda mahakamanu na nk ila kaka #simulizinasauti #sky #sns naomba ushauri zamaradi amtafute mwana saikolojia wa mahusiano na familia ampe ushauri coz kuna jambo halija toka kwenye maisha yake na kita muumiza sana
Wooow!! Wa dada wa Tanzania 🇹🇿 wange kua na akili kama yako Zamaradi taifa letu linge songa sana hongera sana Mwenyezi mungu akufanyie wepesi ktk kila jambo lako Ruge ana haki ya kulia hato pata mwanamke kama ww kwa dunia ya leo hawsa ktk Tanzania 🇹🇿 yetu wanawake wengi vichaa 😂😂😂Sorry Ladies tubadilike ✌🏾