Тёмный

Part 1_USHUHUDA WA MWALIMU ALIYEKUWA FREEMASON NA BAADA YA KUJITOA AKAPEWA MASAA 72 YA KUISHI 

PROMOVER TV
Подписаться 149 тыс.
Просмотров 120 тыс.
50% 1

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 170   
@aminaally4163
@aminaally4163 3 года назад
YESU ANAOKOA
@leydaihal9332
@leydaihal9332 2 года назад
Waah heri kufa maskini nikiwa ndani ya kristo yesu
@happinesskitali164
@happinesskitali164 7 месяцев назад
Kamwe Yesu hawez ruhusu watoto wake tufe maskini hakika yeye n mzur
@roselineatamba916
@roselineatamba916 3 года назад
Wana wa Mungu, duniani mna dhiki lakini nina waambieni mjipe moyo. Tuvumilie kwa safari katika Jina la Bwana Yesu.
@joshuakayuni6120
@joshuakayuni6120 2 года назад
Amina
@biblianenolaukweli5616
@biblianenolaukweli5616 3 года назад
Part two please usitugawishe jama anajieleza vizuri kabisa na kukanya watu mungu akubariki kaka
@jjarawajjarawa7386
@jjarawajjarawa7386 2 года назад
EMANUEL ...namuomba ALLAH akupe nguvu na afya uendelee kuongoza watu kataika njia ya sawa wewe ni mtu muhimu sana AMIN AMIN AMIN
@emojongtv3995
@emojongtv3995 Год назад
Allah mbona ni ibilisi?
@happinesskitali164
@happinesskitali164 7 месяцев назад
Allah siyo Mungu mbona Yesu Kristu ndiye Mungu
@xiwuyan457
@xiwuyan457 3 года назад
Mungu Hamjaribu mtu yeyote ni tamaa zetu za mwili ndio tunageuka ushuhuda wa BWANA
@DRIPPINGPAIN
@DRIPPINGPAIN 3 года назад
KWELI KABISA. NA MALIPO NI HAPAHAPA DUNIANI
@tamaraeliz7114
@tamaraeliz7114 3 года назад
Duniani kuna mambo ya ajabu jamani. Mungu Awabariki Promover tv 📺. Jacktan Barikiwa sana
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 года назад
Amen
@servantofalmightygoddranth2511
@servantofalmightygoddranth2511 2 года назад
Barikiwa na Bwana YESU ALIE HAI ushuhuda mzuri sana
@miria659
@miria659 2 года назад
Thanks for sharing this testimony to God be the glory sikujua promover TV iko na mafunzo mengi hivi
@JuliasRanga-dd8zn
@JuliasRanga-dd8zn Год назад
Thank you Jesus
@emilynekesa4476
@emilynekesa4476 3 года назад
Amen mtumishi wa mungu unasema ukweli kabisa mungu akakubariki sana sana
@lilymwashumbe4890
@lilymwashumbe4890 Год назад
Asante kwa kutufunulia siri
@flourishing_wilderness6072
@flourishing_wilderness6072 10 месяцев назад
Wazazi tuwape watoto wetu majina mazuri.
@simonliwawa864
@simonliwawa864 Год назад
Mungu akutie nguvu kwakurudi kwenye Nuru ya kweli,Wewe Sasa unatufunza kwamba tusiipende dunia na Fahari yake,Barikiwa Sana hawak u wezi hao Mapepo😅😅😅
@christinamsigwa804
@christinamsigwa804 2 года назад
Damu ya yesu inatenda mema asante yesu
@rmaryp6269
@rmaryp6269 3 года назад
Kahama pana shuhuda za hatarii!! Barikiba mtumishi wa Mungu.
@otiliahaule5180
@otiliahaule5180 3 года назад
Duh Mungu atusaidie kwakweli
@Joyjoy-ym6th
@Joyjoy-ym6th Год назад
Huu ushuuda ni wakujenga sana tuzidi kumtegemea Mungu licha ya mapito atatengeza njia
@egospeltz9486
@egospeltz9486 3 года назад
Nasubiri kwa hamu part 2
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 3 года назад
No doubt huu ushuhda n kwel kabs,asante kwake Mungu,kaka jack ubarikiwe
@Nyasu829
@Nyasu829 2 года назад
Vizur
@DRIPPINGPAIN
@DRIPPINGPAIN 3 года назад
HAMKUJARIBIWA.. BALI MLISHIKWA NA TAMAA MKASHINDWA KUJIZUIA... 🤦😪😭
@nyaruvukamogi8417
@nyaruvukamogi8417 2 года назад
Hongera Sana mtumishi ubariki
@hebronsdaughter1661
@hebronsdaughter1661 3 года назад
Barikiwa sana kwa ushuhuda
@elizabethchiwamba8372
@elizabethchiwamba8372 3 года назад
Hizo sehemu zenye madini ,migodi ya dhahabu in hatari kwa mambo ya Giza! Maana watu wanashindana kimaisha!
@levismike16
@levismike16 3 года назад
BWANA YESU ASIFIWE
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 года назад
Amen
@estasage5506
@estasage5506 3 года назад
God forbid. There is no sufferings that will lead me yo the one seek the devil's help in order to get this worldly useless fame, money, and items I can't take with me when I go back home in heaven. I'm a sinner but I love and trust Jesus Christ as the only way to the father. Amen.
@janethmichael6103
@janethmichael6103 2 года назад
Amina
@pluss1289
@pluss1289 9 месяцев назад
Wewe sheh othmani unamatatizo maana jina lako hulipendi ullilipenda LA watu. Kuna %100 ata dini yako ukiambiwa ubadilishe pia utabadilisha kwa tamaaa yako
@mawananasoro4405
@mawananasoro4405 3 года назад
Bwana yesu asifiwe sana hata uislam unalaani hicho chama kwa maana ni shetani hao ni wachawi hawezi kutumia msaafu ni kibabu cha mungu
@penieliedward2991
@penieliedward2991 3 года назад
Yesu ni mweza
@jjarawajjarawa7386
@jjarawajjarawa7386 2 года назад
ALLAH AKUBARIKI AMIN
@rithamario7951
@rithamario7951 3 года назад
Mungu utuponye
@sallysalamakenga6329
@sallysalamakenga6329 3 года назад
Mungu atusaidie
@user-pl7kf6rr1x
@user-pl7kf6rr1x 8 месяцев назад
Jaman mwisho wadunia unakalibia kila MTU ajinusuru kea imani yake🎉🎉❤❤ 25:38
@innocentjoram6735
@innocentjoram6735 2 года назад
Safi tuambie ili na wengine tupone MUNGU zaidi kukupigania,kukutunza,kukulinda na kukuheshimisha
@user-ld5xj2hu4h
@user-ld5xj2hu4h 2 года назад
Hooo my God
@raphaelkatanga5335
@raphaelkatanga5335 3 года назад
Amn
@salehal_ouf8095
@salehal_ouf8095 3 года назад
Unasema umeambiwa uchague jina la kiislam Kwanza Freemanson hawana dini kama dini basi wawe wakristo maana Freemanson asili yake ni wazungu hata Marekani ushawahi kuona wanapga vita ukristo lakn dunia nzima wanajua Marekani hapgi vita dini yoyote isipokuwa uislam tu
@moreenwangari3707
@moreenwangari3707 2 года назад
Kwani ushawai jiunga nao?
@marychristiansen2990
@marychristiansen2990 9 месяцев назад
​@@moreenwangari3707good question 😊
@oddball5786
@oddball5786 7 месяцев назад
Huyu Anaitwa Emanuel Katika Bible Jina Emanuel ni Jina alilopewa yesu likiwa na maan ya 'Mungu Nasi' Hivyo basi Yesu au Emanuel Ni Majina pekee ambayo huogopwa na Lusifa Yaani ukiwa HQ ya freemason pale Posta Mule Ndani Huruhusiwi kusema Neno yesu au Emanuel Koma kabisa, Huyo Agent alimbadili kijanja Sana Ili asisituke, Karibu kufatilia Sana Hata hizi interview ni sijawahi Kuona mtu katoka katika chama cha Lusifa alaf Akawa muislam NEVER, They're Christians May almighty God Bless you in Jesus Name
@davidfumbi7870
@davidfumbi7870 7 месяцев назад
Mimi niko marekani na wengi wao hata walio weusi huku dini yao uislam huamini angalia wafuasi wa 2pac wako Saudia tunavoongea wanakimbilia huko wanapovunja masharti na kujibadili waislamu
@fizomc8811
@fizomc8811 6 месяцев назад
Aaamina
@a.j.m9740
@a.j.m9740 2 года назад
Mimi huwa siamini nielekeze sehemu hiyo nikathibitishe nami nikapate cha kusimulia kwani TZ pekee ni nchi inayoshangaa sana hbr ya Philimasonic wakt uingereza USA na nchi za NATO Philimason ni kawaida kwao na wanaalika watu kusherekea sawa na Harusi unavyoalikwa na kadi zao.
@josephinalyati7923
@josephinalyati7923 23 дня назад
Mungu akusaidie akupe macho ya rohoni
@peninahkariuki4679
@peninahkariuki4679 3 года назад
Amen be blessed,,next Part 2...
@judithpraisesmusic
@judithpraisesmusic 2 года назад
thank you jesus
@seasonepisode3328
@seasonepisode3328 3 года назад
Ila waganga washezi sana😀😀😀😀walitaka utembee na miguuu ili wakukomoe shetani aiseee afai..shetani ni baba wa uongo
@AlfaSanga
@AlfaSanga 3 года назад
Waiting for part 2 .....
@mosesdalmasamenmaygodyou5335
Mungu azidi kukulinda
@tamaraseff.9707
@tamaraseff.9707 3 года назад
So.bila kuobewa huwez iacha tu kwa raha zako bora umewapa hela zao.?
@user-qz8ig7jm2v
@user-qz8ig7jm2v 8 месяцев назад
Bora kufa masikini kuliko kujiunga na hicho chama
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 3 года назад
Pesa daaaaa
@wigomwenyeflevazake7913
@wigomwenyeflevazake7913 3 года назад
Kaka hadii hukuu upoooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 3 года назад
@@wigomwenyeflevazake7913 nipo kaka 😀😀😀
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 3 года назад
@@wigomwenyeflevazake7913 nipo kaka 😀😀😀
@salehal_ouf8095
@salehal_ouf8095 3 года назад
Ninaweza sema huyu jamaa anakipaji sana maana uongo anautengeneza unaonekana kama ni ukweli
@elizabethkamangala9396
@elizabethkamangala9396 3 года назад
Pesa inatafutwa kwa njia nyingi sana.
@graceshayo5763
@graceshayo5763 7 месяцев назад
Yan mtu mzm awadanganye ili afaidike na nan km naww unawez kutunga jalibuni na nyie mtuletee story zenu
@brianatatiana5624
@brianatatiana5624 2 года назад
Thengs god
@davidteve4866
@davidteve4866 8 месяцев назад
😂😂😂 huyu dah!ametumwa kweli na waliomtuma anawajua mwenyewe
@virginiamutisya6216
@virginiamutisya6216 2 года назад
That water is from mortuary and blood of the dead
@MathewsMweilunga-sz3tz
@MathewsMweilunga-sz3tz 9 дней назад
😢😢
@aonicamligo9531
@aonicamligo9531 3 года назад
🙏🙏🙏
@elizabethchiwamba8372
@elizabethchiwamba8372 3 года назад
Mh! Duniani kuna mambo ya ajabu kweli! Laiti macho yetu ya rohoni yangefunguliwa tukaona jinsi shetani alivo busy na ma agent wake, wanadamu tusingecheza na wokovu, Mungu tusaidie
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Nasi hatuko busy hata kidogo,atatuacha kweli??
@mtafutaji9334
@mtafutaji9334 2 года назад
Aaah, hizo habari za freemason siziamini. Haya mambo hayapo. Nipelekeni huko nijiunge
@pililani_blessings
@pililani_blessings 2 года назад
No English subtitles? Please help with subtitles or translation
@comboplatter389
@comboplatter389 3 года назад
Na subiri part 2
@NorteFaustinoDyombaDyomba
@NorteFaustinoDyombaDyomba 8 месяцев назад
CV Mwa
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
Hao ni uchawi wakiafrika Hakuna ufreemason hapo unafiki mkubwa alafu unaaribu dini ya wenzako
@motelutula3380
@motelutula3380 2 года назад
Inaonekana ww ndo kiongozi wa freemason had unajua taratibu zao
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Hee mpungula nimeikumbuka ukiwa unaelekea Lowa au Wigehe haha long time
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Watoke tu tuko siku za mwisho
@user-hv7pw6ih5v
@user-hv7pw6ih5v Год назад
Waliyemtuma aende kule ni nani na alikuwa na akili timamu watu kama hao hatuna muda nao ilikuwa tamaa zao kwanza wamshukuru Mungu ilikuwa inatakiwa wafe maana ilikuwa ni tamaa zao
@marykamadi
@marykamadi 2 года назад
being a teacher you were not poor ...
@PeterNzinza
@PeterNzinza 7 месяцев назад
Ndio SEMA
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 года назад
Hiyo siyo FREEMASON, NI UCHAWI, ILLUMINAT
@davidamwai2478
@davidamwai2478 3 года назад
Zote kitu moja
@tiamo726
@tiamo726 3 года назад
Illuminati huezi ingia na salary wale kwa hivi vyama ndio waku matajiri
@emilyotika394
@emilyotika394 3 года назад
@@davidamwai2478 apana tena sana, utafauti upo mkubwa, illuminati karafara na damu, Freemason hawana hiyo, hakuna pesa yoyote unayopewa ukijiunga na Freemason, wale husaidiana kwa kuchangiana wenyewe kwa wenyewe moja wao akiwa na tatizo, ni watu tuu wakawida wanao fanya kazi kawada wala hamna utajiri wowote, naongea hivyo nina majirani, marafiki na shemiji yuko Freemason
@charlesmapunda5905
@charlesmapunda5905 3 года назад
@@emilyotika394 Kwanini wewe hujajiunga? Kwani Kuna tatizo gani?
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
@@emilyotika394 nenda USA utawajua
@presentermike2546
@presentermike2546 2 года назад
Mimi nilikua na Hali hii. Huyu JAMAA atume namba yake
@salehembotwa7245
@salehembotwa7245 2 года назад
Waongo ao wanashida naela tuu ao acheni kupotosha watu nyie ela tunaIacha hapahapa
@DRIPPINGPAIN
@DRIPPINGPAIN 3 года назад
MWENYEZI MUNGU ATUSAIDIE JAMANI ESPECIALLY SISI VIJANA.. MIMI KIJANA UROHO WA VITU VISIVYO NA MAANA KABISA... MHH😒😪😭😭😭🚮 WE MUST LEARN AND PRACTICE DAILY TO FEAR THE LIVING GOD IN HEAVEN AMEN 🙏🔥🔥🔥🕊️ 2TIMOTHY CHAPTER 4 VERSE 7 GOING ON... I HAVE FIGHT A GOOD FIGHT.. I HAVE FINISHED MY COURSE... THE REST WE LEAVE FOR JESUS CHRIST THE RIGHTEOUS JUDGE TO JUDGE AMEN 🙌💞💞🔥🙏🙏..
@tuzakavera534
@tuzakavera534 3 года назад
Jacktan vp mbona hujamalizia ushuhuda wa anton mbaya?
@user-jj7qu7ov8f
@user-jj7qu7ov8f 3 месяца назад
My brother ukitaka kujiunga unalazimika kufanya nini?
@kabera2
@kabera2 8 месяцев назад
Inakuwaje muweze kutoroka huyu ibiilisi?
@emmanuelsengoly4712
@emmanuelsengoly4712 Год назад
Naitaji namba yako mtumishi
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 3 года назад
MAGUMU HAYA NDUGU JACKTAN
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 года назад
Kabisa
@myself4128
@myself4128 3 года назад
Hakuna Free masons Tanzania kuna Chama cha wachawi au washirikina! Hayo majina tuu shetani anachakachua wasishitukie,
@winniesalum483
@winniesalum483 3 года назад
Umeona eeh ata masharti Aya yamekaa kiuganga Uganga sio kifreemason
@rehemaabinelynyagawa2878
@rehemaabinelynyagawa2878 3 года назад
@@winniesalum483 na wewe umewahi kwenda huko?
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
uchawi wa kiafrika wanachomekeaga freemason
@motelutula3380
@motelutula3380 2 года назад
Uchawi ni uchawi tu! Iwe ni freemason au africa! Shetani ni yule yule na utendaji ni ule ule! Tatizo nyie mmeharibiwa na elimu ya kidunia kwamba wazungu wamestaarabika kuliko sisi! Tofautisheni ulimwengu wa kiroho na wa mwili!
@user-ug6xx1it7e
@user-ug6xx1it7e 8 месяцев назад
Acheni kutoa ushuhuda wa uongo Hakuna freemason kama wewe
@chuggapjt3782
@chuggapjt3782 3 года назад
Hivi watu wanajua maana ya freemason? Au illuminat
@seasonepisode3328
@seasonepisode3328 3 года назад
Ata ww ni mmoja ya watu jee unajua maana yke???
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
Wajue wapi wana wapiga mchanga wa macho waafrika wenzao
@LOGOSNew
@LOGOSNew 3 года назад
Kwa nini mhusika abatizwe jina la Kiislamu ndio aingie Freemason???
@ikabako2454
@ikabako2454 3 года назад
Akili za kuambiwa changanya na za kwako. Hata mie nnajiuliza hilo swali maana qitan imekataza hayo yote lakini hawa hawa wakristo na waislamu ndio wachawi.
@LOGOSNew
@LOGOSNew 3 года назад
@@ikabako2454 Chunguza kwa undani zaidi!
@ikabako2454
@ikabako2454 3 года назад
@@LOGOSNew mie nnaongea nnachokijua. Kuna uislamu na waislamu hali kadhalika ukristo na wakristo. Mashaka na ya watu sio ya dini.
@ikabako2454
@ikabako2454 3 года назад
@@LOGOSNew mimi nazungumza kwa mujibu wa kitabu cha kitukufu cha Quran. Quran tukufu imekataza hayo yote. Ni dini ambayo imekamilika na inafundisha tabia njema. Kama una maswali yoyote uliza nitakujibu ili upate kufahamu.
@LOGOSNew
@LOGOSNew 3 года назад
@@ikabako2454 Niko na swali : Dua Albadr ni nini? Si uchawi? Mbona huhusu kuita mapepo yapiganie mtu?
@chuggapjt3782
@chuggapjt3782 3 года назад
Freemason hawana utaratibu huo hao ni waganga wa kienyeji. Freemason ni taasisi kubwa
@messimessi7255
@messimessi7255 3 года назад
Umewahi kujiunga utupe muongozo kidogo?
@egospeltz9486
@egospeltz9486 3 года назад
@@messimessi7255 kwakweli atusaidie kutueleza inaonyesha anajuwa zaidi kuhusu freemason maana habishi bure. Amcheki jactain basi kwa ushuhuda.
@sarahmichael7538
@sarahmichael7538 3 года назад
Ni taasisi kubwa kwani ni ya babaako?!
@chuggapjt3782
@chuggapjt3782 3 года назад
Huko aliko enda alienda kutafuta pesa za majini kwa waganga wa kienyeji sio freemason bab. Halafu freemason hawatoagi pesa za namna hiyo huwa wanakupa formula ya kukufanya uwe tajiri pili freemason wanahitaji watu wenye ushawishi katika jamii, wafanya biashara au watu wenye vipaji ndio wanakupandikiza nyota ya kukuongezea mvuto. Freemason hawapokei mtu asiye na nyuma wala mbele ndio maana wanaitwa wajenzi huru.
@davidamwai2478
@davidamwai2478 3 года назад
@@chuggapjt3782 nyota ya huyu ni uhubiri
@mariamramadhani3860
@mariamramadhani3860 2 года назад
It's not my potion
@mwenyeherisaidi414
@mwenyeherisaidi414 8 месяцев назад
Uyo muongo , bado haja jitowa mwenyewe uso wake una fanana na mchawi Wakristo mu muogope Mungu Drama zenu zimekuwa nyingi,
@gdhdgshe3182
@gdhdgshe3182 3 года назад
Sasa hivi wanadamu wengine mnaweza kuelezea Mahali ambayo mtu ametoka ama yeye ajieleze alikotoka na alikuwa akifanya nn huko na kunaitwaaje. Mwenye macho utazama na masikio usikia, mkiachiwa muelezee story ya mtu mimalize mtafunga vinywa,.ingia mtandaoni jielezee yako ukitaka kutuambia jinzi unavyojua.
@ikabako2454
@ikabako2454 3 года назад
Asalam Aleikum ni lugha ya kiarabu kumaanisha “amani iwe juu yako” na hujibiwa “Waleikum Salaam” yaani “iwe juu yako pia” Na kwa lugha ya kiebrani salamu hii ni “Shallom Aleichem” ila wengi huifupisha na kusema “Shallom” yaani “amani iwe juu yako” na hujibiwa “Aleichem Shallom” yaani “iwe juu yako pia”. Salamu hizi haizihusiani na ushetani wa mtu.
@marinahonest5759
@marinahonest5759 3 года назад
BARIKIWA Sanaa kwa kutufundisha juu ya it salamu coz itasiadia kuondoa tofaut Kati ya wakrist na waislam
@ikabako2454
@ikabako2454 3 года назад
@@marinahonest5759 naam na hivyo ndiyo Yesu alivyokuwa akisalimia. Yesu katika biblia hajawahi kusema bwana asifiwe.
@gmdecoration6044
@gmdecoration6044 3 года назад
@@ikabako2454 aise kunamambo unayajua unatujuza 🙌🙌
@bonifasemmanuel4700
@bonifasemmanuel4700 2 года назад
Mbona kuzimu wanaitumia,hiyo salaam
@bibisaidkhamis6227
@bibisaidkhamis6227 2 года назад
Wewe pastor nimuongo tena muogope mungu nyinyi pastor mbona hua muna penda kutoa ushuhuda WA uwongo alafu huogopi na umemueka mungu mbele kwazungumzia uwongo mungu ana kuona ww shauriako
@busarajames4263
@busarajames4263 3 года назад
Wongo
@victorianchimbi8640
@victorianchimbi8640 3 года назад
Si lazima kusikiliza
@sarahmichael7538
@sarahmichael7538 3 года назад
😬
@myself4128
@myself4128 3 года назад
Kakojoe ulale mtoto wa mama huna cha kuongea kwa Wanaume! Acha watu wasimulie maisha walopitia we muulize mama Chakula kipo wapi kafunue ule ulale,
@rabilubinza7661
@rabilubinza7661 3 года назад
Nina mashaka na wanaokataa.Barikiwa mtumishi tufungue akili na Mungu awabariki sana
@davidamwai2478
@davidamwai2478 3 года назад
Leta wako ukweli
@Mazoea
@Mazoea 3 года назад
Uyu baba Muongo kabisa ...uyu alikua illuminati
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Mbona ni mtandao ule ule nenda USA ndo utaelewa
@mariam1chuwa542
@mariam1chuwa542 3 года назад
Hivi nyie wachimbaji .tatudanganya mpaka lini? Acheni uongo muogopeni mungu uchawi upo lakini kutumia jina free mason ni utapeli. Kwavile WA tz wengi hawajui maana ya neno free mason free ni huru mason ni ujenzi ndugu zangu tusiwe wajinga huu ni utapeli watu wametafuta njia za kutapeli watu , uchawi upo lakini sio free mason
@ferotial4659
@ferotial4659 3 года назад
Pole njoo kwa Yesu ili uijue kweli itakuweka huru
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
@@ferotial4659 Mnaongopeana sana , Yesu yupo kweli lakin Yesu hapendi UNAFIKI
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Wote ni wale wale tu
@ishipalemypasco2567
@ishipalemypasco2567 2 года назад
We ndo hujui kaa kimya
@anthonkephasglobalmedia7406
@anthonkephasglobalmedia7406 3 года назад
Amina
@tabithakigongo7801
@tabithakigongo7801 3 года назад
Amina
@janethmichael6103
@janethmichael6103 2 года назад
Amina
Далее
USHUHUDA WA ALIYEKUWA KICHAA ANAYEISHI MAKABURINI
49:09