Тёмный

Part 4: "Nisingekaza SENSEMA ingeuoteza Wimbo wangu/DIAMOND Alishauri hivi 

Rick Media
Подписаться 860 тыс.
Просмотров 15 тыс.
50% 1

Mwanamuziki Lavalava amesema kuwa kama asingeachia wimbo mzuri basi angekutana na upepo wa Sensema ya Ravanny na Harmonize ambayo ingeweza kufunika wimbo wake mpya "MAJI"
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RU-vid channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#Lavalava #rayvanny

Развлечения

Опубликовано:

 

18 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 28   
@mohamediahmedi3361
@mohamediahmedi3361 Месяц назад
Mimi wa mwisho naombeni mkopo
@Mjomba_Side
@Mjomba_Side Месяц назад
Kuna bonge moja la mkopo hapa kwetu jalalani njoo uchukue
@strong8534
@strong8534 29 дней назад
Rick, nimependa jinsi mlivyoweka hii intavyu kwenye vipande vipande. Kwa mtindo huu mtu anaangalia bila kuboweka. Hongereni sana
@auntiemylee3157
@auntiemylee3157 27 дней назад
Inafaa ivi🎉🎉🎉🎉
@njoroboihastla
@njoroboihastla Месяц назад
BtGang🔥🙌
@HunchoQuavo-di4os
@HunchoQuavo-di4os Месяц назад
Wakwanza naombeni like zangu 🎉
@IsayaTarakwa
@IsayaTarakwa Месяц назад
Wakwanza nini toa koment wakwanza upewe wewe ndio unazungumza
@HunchoQuavo-di4os
@HunchoQuavo-di4os Месяц назад
@@IsayaTarakwa Ila Wew nisha kuelew bangi iz
@mohdmassoud3052
@mohdmassoud3052 Месяц назад
Toka hapa ww paka omba pesa like zikusaidie nini
@hamidabdallah5841
@hamidabdallah5841 28 дней назад
Mm hua nakubali kazi za lava lava anajua sana ila nyota t
@richkaja3317
@richkaja3317 29 дней назад
Lava boy unajua sanaa janja
@Mizahh-ll5lu
@Mizahh-ll5lu 29 дней назад
Acha uongo dogo huna kolabo ya nje
@DavidHokororo
@DavidHokororo Месяц назад
Lava lava bora yangu mimi najua kuimba 😂
@ClassicUsed-jg6ri
@ClassicUsed-jg6ri Месяц назад
Lava lava ashakufa kimuziki
@bizoboy1168
@bizoboy1168 Месяц назад
nenda ukam fufue bs
@user-hd7vt8fk5t
@user-hd7vt8fk5t Месяц назад
Embu tuambie lavalava Amekufilia wapi
@IrfanIdriss
@IrfanIdriss Месяц назад
kundu lako j
@khalfannyanje8970
@khalfannyanje8970 Месяц назад
Mfufue yesu😂😂😂
@babuwasa6122
@babuwasa6122 29 дней назад
Na mimi ndio nilie mtoa roho😂😂😂
@Robinson24560
@Robinson24560 Месяц назад
WCB nisawa na jela tulia hapo chini king azidi kua king
@FatumaShabani-mp9vt
@FatumaShabani-mp9vt 28 дней назад
😂😂😂 pole king mwisho kwa mama watoto Kenya ndyo King uyo ata Rwanda asikiki toba kweri king tunae 😅😅😅
@auntiemylee3157
@auntiemylee3157 27 дней назад
Anasubiri mkataba uishe afanye mambo yake...hana hela za kulipia kuuvunja
@DavidHokororo
@DavidHokororo Месяц назад
Alafu oyo mdada mbona abadilishi hyo blauzi 😢😢
@IrfanIdriss
@IrfanIdriss Месяц назад
mamako j
@khalfannyanje8970
@khalfannyanje8970 Месяц назад
😂😂😂Mnunulie
@timothykaiza327
@timothykaiza327 28 дней назад
Sare ya ofisi,
@badmanno.1650
@badmanno.1650 26 дней назад
Nobody listens to you mate 😅
@mrsavage7603
@mrsavage7603 Месяц назад
Mi mwenyewe nilienda kuiskiza kwasababu aliichalenge na sensema ila bado kabisaaa, hajafanya kitu, that song is a traaash 🗑
Далее
The Trump rally shooting from a photographer's POV
00:58
How Many Balloons Does It Take To Fly?
0:18
Просмотров 154 млн