Тёмный

PART1:MTOTO ALIECHUKULIWA MSUKULE AELEZA MAISHA YA KUZIMU ALIKOISHI/NILIMCHINJA MTOTO/MOYO AKALA BIB 

Davistar Media
Подписаться 242 тыс.
Просмотров 18 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 127   
@sharmelasaif47
@sharmelasaif47 4 года назад
Yaani huyo kijana kunauwezo Mungu alomjaalia mana kama haupo vizury huwez kuona wachawi kirahis
@mussahassan9400
@mussahassan9400 4 года назад
Safi davi wee noma sema unatuletea moja moja ndo ubaya wake
@kimmykay2421
@kimmykay2421 4 года назад
Msimulizi mzuri kweli👍
@emmanuelyraphaely3343
@emmanuelyraphaely3343 4 года назад
Sijawah kuona uyu dada akakosa kutoa comment kwenye Kila story mpya anayopost davistar
@halimahamis3907
@halimahamis3907 4 года назад
Kiukwe warangi uchawi wakuachanisha watu Ni noma sana mungu anawaona
@KariukiRoysambu
@KariukiRoysambu 4 года назад
Davistar umezunguka sana maeneo....kazi nzuri lakini
@nurafedrick378
@nurafedrick378 4 года назад
Kwahiyo alitaka kuwatenganishaawazazi jamani bibi mwanga huyo hataki huyo mkazamwana
@matheothomas1891
@matheothomas1891 4 года назад
Davistar sikuhizi unazingua mwana storry unaweka fupi alafu unajivuta sana kuweka patty inayo fuata tunachoka kufuatilia kihivyo angalia na mdaa piaa kuna mambo mengi ya kufanya na kuhangalia pia but all in all one love from Bundessland (Germany )
@pilimusa7770
@pilimusa7770 4 года назад
Nichukuwe nije germany
@judiehance1736
@judiehance1736 4 года назад
😃😃😃😃😃anaogopa kusema chupi,, hivi hiki kitu kina heshimika sanaaaeee,,
@pilimusa7770
@pilimusa7770 4 года назад
Sanaaaaaa
@katibatanzania3089
@katibatanzania3089 4 года назад
Dooo uyo bibi kiboko na noma yani simulizi iko vizuri imetuliya tuma seemu ya pili
@yotehapatv7705
@yotehapatv7705 2 года назад
Mi naitaji msaada kak...Coz simulizi zako nafatalia coz yamemkuta mtu wangu wa karibu yan wandoto...Had sasa sipo nae ndg🙏
@LukasNdaji
@LukasNdaji 29 дней назад
Kaka unatujenga kiroho respect sana
@lsha97utingo21
@lsha97utingo21 4 года назад
Simulizi au kipindi chako nakipenda yaan kila ukileta mm na fatiliy kinanipa nguvu huku niliko
@shaninaftary1693
@shaninaftary1693 4 года назад
Davistar bro vipindi vyako vzr na vinaelemisha sana...ushauri wangu ungerusha kwenye tv ili watu wengine wajifunze.
@seadogs4460
@seadogs4460 4 года назад
Kijana ako na fasaha ya kuongea na story zake ni nzuri sanaa,keep it up bro DAVISTAR MATA
@rosekingalu4403
@rosekingalu4403 4 года назад
Natamani ningekuwa nashika bum light stick au camerawomen wa Davista Niwe nasikia stori zote bila kusubiri part 2 nakuwa najua stori kuliko wote 🤣🤣🤣isn’t it funny?🤪
@najmasaidi1412
@najmasaidi1412 4 года назад
😅😅😅😅😅muone uyu umbea2🙌🙌🙌😁😁😁
@tatuhongeranurushaus485
@tatuhongeranurushaus485 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@cedrickndayisaba8112
@cedrickndayisaba8112 3 года назад
I hate when ,I wait for part 2 ...etc.. You are right
@DicksonIgnas-pq1rj
@DicksonIgnas-pq1rj 7 месяцев назад
🎉🎉🎉🎉
@mosesjohnswilla9926
@mosesjohnswilla9926 6 месяцев назад
Tumalizie story ya DOI
@carolinemacha4993
@carolinemacha4993 4 года назад
Kinanda kinaumiza masikio
@ayushsaeed1051
@ayushsaeed1051 4 года назад
WA kwanzaaaaa🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🤔
@somoeawadh7774
@somoeawadh7774 4 года назад
Pole Sana bro
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 4 года назад
Pamoja sana bro
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 4 года назад
Yaani kwa kweli jamani hawa baadhi ya wabibi wanakuwaga wachawi sana, yaani wao wanakuwaga ndio chanzo cha matatizo kwenye familia.
@pilimusa7770
@pilimusa7770 4 года назад
Kabisaaa
@user-mt4fw6sh9e
@user-mt4fw6sh9e Год назад
Ju wanaume sio wachawi?
@hamishamis6508
@hamishamis6508 4 года назад
Davista vp......wee unatwambia ni mtoto wakati ni mtumzima huyu anatia mimba ...!!!!
@pilimusa7770
@pilimusa7770 4 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@karrolleschon3986
@karrolleschon3986 4 года назад
🇰🇪 Ndani
@amosmahona433
@amosmahona433 4 года назад
Wachawi wanarudisha Sana maendeleo ya mtu/watu KWA ujumla wake hawafai HATA bure
@eliaichraymond1215
@eliaichraymond1215 4 года назад
Big up bro,nazikubali kazi zako
@kulthumsaif2856
@kulthumsaif2856 4 года назад
No6👍
@highnesseverest3619
@highnesseverest3619 4 года назад
Ahsante Davistar before nilikuwa siamin kuhusu ushirikina hila kila nikisikia hizi simuliz najikuta nawachukia sana wachawi na waganga wa kienyeji
@isaachassan43
@isaachassan43 3 года назад
Kuna Waganga wa kienyeji wazuri kweli?
@shekhenamba689
@shekhenamba689 4 года назад
Moja
@mtitagirloriginal6890
@mtitagirloriginal6890 4 года назад
Davistar tuketee Yule msukule wa mti mkavu vp kapona
@juliusphabian6336
@juliusphabian6336 4 года назад
Yaa....leo umetuletea chuga
@pilimusa7770
@pilimusa7770 4 года назад
😂😂😂😂😂😂😂
@nurusalim846
@nurusalim846 4 года назад
Sijachelewa jamani naomba like
@jonassilvester4325
@jonassilvester4325 4 года назад
Pamoja Mr fact
@africandarling6925
@africandarling6925 4 года назад
Wachawi sio watu kabisa hakiyamungu
@pilimusa7770
@pilimusa7770 4 года назад
Si watu kabisa.
@deofred1517
@deofred1517 4 года назад
Pamoja sana
@munnawwary757
@munnawwary757 4 года назад
Dah....wachaw sio watu wazur
@pilimusa7770
@pilimusa7770 4 года назад
Kabisaa
@ramadyzo5587
@ramadyzo5587 4 года назад
Wakwanza namp like zakunishinda ila nimechukua nafass 3
@أبوحاتمطلحةخميسعلي
Kondoa sehemu gani
@mayaalmahrooqi1345
@mayaalmahrooqi1345 4 года назад
Wanakwambia adui yako ni mtu wa karibu yako
@fahamnitwahir9249
@fahamnitwahir9249 4 года назад
Malizia stor ya yule muhun mvuta bangi
@ayoubsanga7405
@ayoubsanga7405 4 года назад
watatu leooo
@ummusulaish5586
@ummusulaish5586 4 года назад
Tuko pamoja sana bro
@fearlessdinah6611
@fearlessdinah6611 4 года назад
Kila nikisikiliza lazima niote lakin sikomi😅
@agnesj.h9789
@agnesj.h9789 4 года назад
Kama mm siku nimeangalia nyoka ya mti mkavu sijalala siku iyo
@somoeawadh7774
@somoeawadh7774 4 года назад
😂😂😂
@ummusulaish5586
@ummusulaish5586 4 года назад
Sasa huwa waota nn haswa
@somoeawadh7774
@somoeawadh7774 4 года назад
@@ummusulaish5586 Pengine aota na yy ashakua msukule 😂😂😂
@rosecruiz4348
@rosecruiz4348 4 года назад
Una matatizo
@butondodavid2105
@butondodavid2105 4 года назад
Kwanin wachaw weng wanawake
@pilimusa7770
@pilimusa7770 4 года назад
Hapo sasa
@nurafedrick378
@nurafedrick378 4 года назад
Heri wewe ulichukuliwa ukiwa naakili zako yule iyasa jna lakuokolewa jina lakuximu aliitwa MAXWELL alikuwa amechukuliwa akiwa miaka mbili hadi kumi naine huko kuzimu..watu wanapenda kutesa wezao tena unakuta tuu ni family tuu wamtesa mtoto bure tuu nakuongea lughu yakuzimuni
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 4 года назад
Jamani eehh tujifunze ulimwengu wa kiroho ulivyo...izi story ni ushahidi tosha kuzimu IPO wachawi wapo wanamaliza vijana wadogo kbs...kama yule msukule alie muonesha mti mkavu...huruma sana aiseee ile video inazunguka akilini mda wote
@nundabe
@nundabe 4 года назад
Wakwanza 1🤣🤣😍
@tamaraseff.9707
@tamaraseff.9707 4 года назад
Hahaaa ile ya mochwari do iliniweza niliota usku kucha na io usubui nikaedelea kusikiza zgn tu😃😃😃
@Grace-mwasite
@Grace-mwasite 4 года назад
@@tamaraseff.9707 kama Mimi kweli 😂😃😃😂😃😃
@tamaraseff.9707
@tamaraseff.9707 4 года назад
@@Grace-mwasite hahaaa kaz tunayo ss
@Grace-mwasite
@Grace-mwasite 4 года назад
@@tamaraseff.9707 yani we acha tu
@rukundoibrahim807
@rukundoibrahim807 4 года назад
kijana anaongea kwa ufasaha na umakini mwenye kuhojiwa.
@sekelamwambomanabiiwakwwli8559
@sekelamwambomanabiiwakwwli8559 4 года назад
Nimejitaid kidogo
@ramadyzo5587
@ramadyzo5587 4 года назад
Wakwanza
@salmasalma8203
@salmasalma8203 4 года назад
Pmj davistr
@Grace-mwasite
@Grace-mwasite 4 года назад
Nita subiria upost episode zote ndo naangalia sasa😃😄😂😄
@pilimusa7770
@pilimusa7770 4 года назад
Kabisaaa
@hawahawa6915
@hawahawa6915 4 года назад
Haha
@pilimusa7770
@pilimusa7770 4 года назад
Hata mie hivyo hivyo.
@kawtharsaleh9229
@kawtharsaleh9229 4 года назад
Dooh hatar imeishia patam pole kaka
@jangombeboys4536
@jangombeboys4536 4 года назад
jangombeboys1999
@violinenyakara5028
@violinenyakara5028 4 года назад
Davista leta part 2 bana
@rosekingalu4403
@rosekingalu4403 4 года назад
Kwahiyo kaka davista hapa naeza anza kusikiliza?🤪
@theobardmabugo4788
@theobardmabugo4788 4 года назад
HV nyie wa kwanza kila Siku hamfanyi kazi
@mwesigwaannte6751
@mwesigwaannte6751 4 года назад
Thanks Davistar but siku izi story zinaisha bila mimi kujua ama me ndio sielewe sasa kama ya jana imeisha ama bado ungekua unatujulisha kwamba mwisho
@pilimusa7770
@pilimusa7770 4 года назад
Kabisaaa
@annelisejohns5664
@annelisejohns5664 4 года назад
sasa mbona Hana raster
@hebronsdaughter1661
@hebronsdaughter1661 4 года назад
Uchawi uchawi jamani kina bibi tutawaogopa sasa
@pilimusa7770
@pilimusa7770 4 года назад
Mabibi balaaa. Wabaya mno
@Mazoea
@Mazoea 4 года назад
Warangi wachawi sana..nilikua na kaka wa kirangi cha moto nilikiona maana alikua malaya sana.na kwao washirikina...
@pilimusa7770
@pilimusa7770 4 года назад
Woooyiii😀😀😀
@hawahawa6915
@hawahawa6915 4 года назад
😁😁pole sna
@tamaraseff.9707
@tamaraseff.9707 4 года назад
Twede kaz kaka
@kingubeatz9535
@kingubeatz9535 4 года назад
Tuko naye tunazungumza naye
@munnawwary757
@munnawwary757 4 года назад
Sixteen to day ngoj niendelee kusikiliz
@hawahawa6915
@hawahawa6915 4 года назад
Wachawi siyo watu wazuli
@agnesj.h9789
@agnesj.h9789 4 года назад
🤣🤣🤣🤣 niaze sasa
@mariethaswedy7148
@mariethaswedy7148 4 года назад
Duni yani kuna mambo
@pilimusa7770
@pilimusa7770 4 года назад
Sanaa
@vaghoghontweki9827
@vaghoghontweki9827 4 года назад
SORY MR FACT,,,,,,,NAONA UMEKUJA ARUSHA SS WADAU WAKO TUNAHITAJI KUKUONA WALAU TUKUSALMIE TUNAKUPATAJE,,,,YOTE KWA YOTE TUPO PAMOJA SANA NA TUNAENJOY KAZI ZAKO,,,,,GOD BLESS YOU
@DavistarMataMediaDM
@DavistarMataMediaDM 4 года назад
Ahsante sana kwa upendo wenu nami nawapenda pia
@vaghoghontweki9827
@vaghoghontweki9827 4 года назад
@@DavistarMataMediaDM 🤝
@rahmachihoma9808
@rahmachihoma9808 4 года назад
Wa tatu
@tututz100
@tututz100 4 года назад
J.BOYS.F.C 1999
@yussufmoha
@yussufmoha 4 года назад
Jameni huku kenya hatuelewi Bibi n wife ama grandma????
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 4 года назад
ni mama wa baba ako au mamaako mzazi unaweza ita nyanyaako
@yasinishekallahakusaidi8766
@yasinishekallahakusaidi8766 4 года назад
Grandm
@fadhiliswalehe9286
@fadhiliswalehe9286 4 года назад
Bibi ni grandmother
@nundabe
@nundabe 4 года назад
🇧🇮
@lsha97utingo21
@lsha97utingo21 4 года назад
Poa
@saidhamad533
@saidhamad533 3 года назад
Inabamba
@asingakani9138
@asingakani9138 4 года назад
Tuko hewani tunawafata
@lolguy-x9n
@lolguy-x9n 4 года назад
bibi ni grandmother? hapa 254 bibi ni wife.
@pilimusa7770
@pilimusa7770 4 года назад
😂😂😂😂😂
@fadmediatz
@fadmediatz 3 года назад
Kaka nimekuelewa sana,naomba tu share jambo +255782025911
Далее
Ванька пошел!!!! 🥰
00:18
Просмотров 279 тыс.
#memes #прикол #мемчики #funny
0:15
Просмотров 1,1 млн