Davistar sikuhizi unazingua mwana storry unaweka fupi alafu unajivuta sana kuweka patty inayo fuata tunachoka kufuatilia kihivyo angalia na mdaa piaa kuna mambo mengi ya kufanya na kuhangalia pia but all in all one love from Bundessland (Germany )
Natamani ningekuwa nashika bum light stick au camerawomen wa Davista Niwe nasikia stori zote bila kusubiri part 2 nakuwa najua stori kuliko wote 🤣🤣🤣isn’t it funny?🤪
Heri wewe ulichukuliwa ukiwa naakili zako yule iyasa jna lakuokolewa jina lakuximu aliitwa MAXWELL alikuwa amechukuliwa akiwa miaka mbili hadi kumi naine huko kuzimu..watu wanapenda kutesa wezao tena unakuta tuu ni family tuu wamtesa mtoto bure tuu nakuongea lughu yakuzimuni
Jamani eehh tujifunze ulimwengu wa kiroho ulivyo...izi story ni ushahidi tosha kuzimu IPO wachawi wapo wanamaliza vijana wadogo kbs...kama yule msukule alie muonesha mti mkavu...huruma sana aiseee ile video inazunguka akilini mda wote
SORY MR FACT,,,,,,,NAONA UMEKUJA ARUSHA SS WADAU WAKO TUNAHITAJI KUKUONA WALAU TUKUSALMIE TUNAKUPATAJE,,,,YOTE KWA YOTE TUPO PAMOJA SANA NA TUNAENJOY KAZI ZAKO,,,,,GOD BLESS YOU