Pastor pascal naamini unacho kiubiri ni ukweli mtupu ila wasio amini uongeacho ni wenye akili ndogo sana ila naamn upo kwenye wakati wa kututoa kwenye njia mbaya unatuelekeza njia iliyo streat line naamn ktk nguvu ya mwenyezi Mungu ww ni mtu wa kipekee sana ktk uso wa anga la dunia watu kama ww ni nadra sana kutokea duniani ama kwel ❤❤ mwenyezi Mungu yupo upande wako pia hawezi kukutupa, ila sisi wanadamu ndiyo inatakiwa tuelewe ni wakat ambao ni finyu sana kwa sasa pia Mwenyezi Mungu akujalie awe nawe🙏🙏🙏🙏
Mungu akutunze, akulinde . Sema kweli na kweli itakuweka Huru. Hiyo ni sauti ya mtu aliye nyikani, tengenezeni njia ya Bwana.,hallelujah ❤huwa nabarikiwa sana kila Nikikusikiliza.. Barkiwa zaidi.
Amen mtumishi wa MUNGU,, Naamini MUNGU Yuko upande wako. Lakin MUNGU amekuzingila kwa moto pande zote, Shetani anapigana na wewe koto kote uendako akitafuta namna ya kkuangamiza, lakin MUNGU Yuko pamoja nawe,. Usiogopee maneno Yao na vitisho vyao ,, nilazima iwe hivyo, tangu zaman za manabii na mitume ilikua hivyo, lakin hawakujari maisha Yao hata kufa ,, walimtazamia MUNGU pekee ,, wapo mitume na manabii wa kweli. Ila hawapo bado ila ipo siku MUNGU atawainu hakika ni heri tukanena ya kua wewe ni nabi au mtume kuliko hao wanao jiita manabii na mitume, paza sauti usinyamaze mtumishi,, Sauti ya mtu aliaye nyikani
Glory to God. Ev. Pascal, Mungu yehova akubariki sana. Hali ni mbaya, nyakati hizi ni za mwisho brethren. Bila neno la Mungu kujaza mioyo yetu katika hekima yote hatuwezi kushinda. Tunashida kwa damu ya Yesu na neno la ushuhuda. Biblia inasema, maana kila kilichopo duniani yaani tamaa ya mwili, tamaa ya macho na kiburi cha uzima hivyo havitokani na Baba, bali na dunia. Hawa manabii wa uongo wana viburi sana.
amen man of God.umesema ukweli mtupu.Mungu akubariki sana kwa kusimama na ukweli na kufungua watu wa Mungu macho.may God uplift yuo more en more man of God
Amina mtumishi wa bwana yesu real ihubiri ilekweli napia ituweke huru na yesu akulinde sana mtumishi Mana umeamua kuubeba msalaba wako.Mungu awafungue macho vipofu wafungwa waliopotea wanao abudu Wanadam wakidhani ni Mungu wa kweli kwaajili ya ubatili wa tamaa zao Niko Makin my fellow brethren May the real blood of Jesus Christ protect you brother.Amen
Sema kweli Paschal, yaani wakinamama tutaangamia sana, tunataka miugiza tunamkataa mwenye miujiza amaye ni YESU. Utasikia mimi ni mfuasi wa nabii Dev, mara mi niwamwamposa lakin si wa YESU. Jamani tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Am jambon mtumishi wa mungu mkubwa aliye dju, Niko katika intchi ya Congo, nime penda saana mafundisho Yako mungu akulinde umalize kazi zake asante saana .
Amina kakaangu nakupenda sana mtumishi wa Mungu Mungu atawaumbua mchana kweupe hao manabii feck yesu yupo na wewe mwanzo hadi mwisho songea mbele kak tunakuombea sana😅
Natamani sana nije kaka cassian tuwe pamoja nakupendasa ila kilanikikusikiliza natoa machozi nashindwa kuelezea Huyu Mungu wa mbinguni akufunike kwa kina yesumnazareti aliye hai uishi milele kaka ilantafurahisana sikunikikuona najua Mungu kuna jambo atafanya kwenye maisha yangu damuyayesu ikufunike
Amen, Mungu anaonekana ata nyumbani kwako uki amini tu yesu kuwa bwana na mokozi wa maisha yako yote ya nawezekana, na maombi mazuri ni ya wewe mwenyewe.
For your understanding Not Bible says that, chanzo Cha Imani Ni kusikia, na kusikia huja kwa Neno la Kristo, hapo lazima uhubiriwe,uongozwe kumpokea Yesu Moyoni,na. Kufundishwa kuishi katika wokovu na Neno la Kristo
@@andrewmmassy5204 Watu wengi wanafanya Mambo kwa mihemko Yao halafu wanasema Ni Mungu,Wengine wanajiita watumishi wa MUNGU halafu wanatukana na kuwashambulia watumishi Wengine eti kisa Ni matajiri,Ni vizuri kuongozwa na Roho wa MUNGU siyo kuenda kimwili au kidini
Ev. MUNGU. Akubariki sana tupo ktk uwanja mmoja tunahubiri injili ya kunawa mikono tusiwe na hatia kwa mda tuliopewa na mungu nakuombea Mungu akurinde.
Greetings thank God for you, you are right hundred percent. There is a pastor in America his name is Gino Jennings, he preach also what you are preaching.
Roho ya nambii Eliya mmoja wa manambii wa kale,Mungu ameijaza ndani ya mtumishi huyu. Ee Mungu wape macho ya rohoni Watanzani na dunia kwa ujumla wamwelewe mtumishi wako.
Watumushi wengine wa Mungu huwa wanawasema hawa juu juu tu na hawawataji majina. Kutowataja majina hao Manabii feki ni kuwafanya waendelee kustawi kwa kudanganya watu. Cassian anafanya vizuri kuwataja ili kila mtu awajue na watakaomwamini Mungu kwa Neema wasiende huko. Asante sana Mtumishi wa Mungu. Tutaendelea kukuombea na kukusapoti ili injili hii ya kweli ya Mungu iendelee Taifa letu lipone.
Mtumishi kweli mungu akulinde alafu uyo bushili saizi yako Malawi aliludi kutoka south Africa yupo anatikisa Malawi 🇲🇼 🇲🇼 watu wanamwabudu adi njiani wanapiga magoti kiukweli mungu akutie nguvu atakapo wema ukweli mungu akubaliki sana mtumishi wa bwana sema ukweli tupone
AMEN AMEN AND AMEN 🙏 🙌 HAPO NI UKWELI BROTHER WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAHARIFA BADALA WATU WATAFUTE MUNGU WANATAFUTA MIUJIZA ENDELEA KUTUFUNUA MACHO BROTHER MUNGU AZIDI KUKUTUMIA ZAIDI KWA KUENEZA NENO LAKE LA KWELI AMENA🙏🙏🙏🦶
sema kweli baba. kwani manabii wa sasa hawasemi kweli na kukemea uovu bali kutabiri fedha na kuuza vitu vinavyohusianishwa na imani katika Kristo Yesu Bwana wetu. Mungu akulinde unapotekeleza wajibu huo
Mbona wewe ndio wa kupewa pole!!!!???mana hapa ashambulii watumishi. Ngoja nikufundishe kushambulia ni vile kama angewaongelea vibaya kama kuwatukana lakini hapa anahubiri neno kupitia neno la mungu na anasoma vifungu vya neno la mungu ina maana hata kama Kuna nabii ambae alikuwa anatumiwa na shetani bila kujua akisikiliza anabadilika na pia wale waumini ambao wamekamatwa na shetani kupitia manabii wa uongo wakisikia wanafunguka na kuchukua hatua.
mungu akubariki mtumishi wa mungu endlea kuongea ukwel na tutazidi kukuombea sana kutokana na vita unayokumbana nayo na pia tutazidi kuwaasa wenzetu ukwel waliofunikwa na imani hizo ili jina la bwana lihimidiwe milele
Ameen Mtumishi wa Bwana sema kweli ya Mungu aliye hai usidaiwe damu ya zao hawasikii wanataka muujiza tuu kuliko kusoma neno Wajue Mungu anatakaje yaani inauma sana😭😭😭😭😭😭😭😭
Yesu uliyejuu mbinguni hili ni ombi langu mpatie maisha marefu sana huyu mtumishi wako kwa ajili ya neno lako na kazi Yako uliyompatia mlinde dhidi ya ubaya na mitego ya adui
Natamani MUNGU aseme nao hao wanaojiita manabii na wanashududiwa mm natamani jambo litokee sema Namshukuru MUNGU kwa ajili yako unawafikishia ujumbe Nakupenda sana nachukia sana mtu anaye chukua cheo Cha MUNGU aliye Hai anajiita baba kwa watumishi wa MUNGU
Mwamposa oyeeeeeeeeee💃💃💃💃💃Kama bado manabii na mitume hakuna tz zaa wa kwako awe nabii na mtume,majungu tu ndo unajua na tunajua Kama unatumwa kuropoka na unalipwa wewe .huko Freemason inaonekana ulikunywa sana damu za watu na kula nyama mbichi za binadamu ndo maana zimekuathiri kila mahali sio kosa lako wakati mwingine tumuombee tu
Kama niwauwongo basi muaciye Mungu peke yake, nakama kweli awo niwakala wa shetani basi kazi zao hazitadumu. Ila unaposema kuhusu pesa nimesikiya piya nawewe ukiomba wakuku suport, minawaza kuwa kutowa nikwamtu binafsi tena ku suport kazi ya Mungu nilazima sana kwakuwa hata ivyo vyombo munavyotumiya binaomba pesa bwana. Mungu akubariki
Mutumishi wa Mungu ubarikiwe saana Na mafundisho ya nyakati za mwuisho, iZi mafundisho aziikalaka ndani ya makanisa, tuna hubiriwa peke Yake mibaraka ijapokua chetani yeye ha Lali Na watumishi wake kwaku zimisha kanisa la kristo yesu.
Bushiri anatoka Malawi siyo Nigeria. Alikuwa anaishi Afrika kusini akakamatwa na kuwekwa ndani baada ya kuibia Washirika akatoroka na kukimbilia kwao Malawi.