Тёмный
No video :(

SIRI NZITO ZA MANABII WA UONGO ZA FICHULIWA WAIBIKA HAZARANI EV PASCHAL CASSIAN 

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL  YOUTUBE
Подписаться 150 тыс.
Просмотров 63 тыс.
50% 1

#call0688199370 #0766998994 #watsp_status #0788871769#

Опубликовано:

 

19 янв 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 513   
@MussaJulius-vy9ks
@MussaJulius-vy9ks Месяц назад
Pastor pascal naamini unacho kiubiri ni ukweli mtupu ila wasio amini uongeacho ni wenye akili ndogo sana ila naamn upo kwenye wakati wa kututoa kwenye njia mbaya unatuelekeza njia iliyo streat line naamn ktk nguvu ya mwenyezi Mungu ww ni mtu wa kipekee sana ktk uso wa anga la dunia watu kama ww ni nadra sana kutokea duniani ama kwel ❤❤ mwenyezi Mungu yupo upande wako pia hawezi kukutupa, ila sisi wanadamu ndiyo inatakiwa tuelewe ni wakat ambao ni finyu sana kwa sasa pia Mwenyezi Mungu akujalie awe nawe🙏🙏🙏🙏
@mercymamuya7844
@mercymamuya7844 8 месяцев назад
Mungu akutunze, akulinde . Sema kweli na kweli itakuweka Huru. Hiyo ni sauti ya mtu aliye nyikani, tengenezeni njia ya Bwana.,hallelujah ❤huwa nabarikiwa sana kila Nikikusikiliza.. Barkiwa zaidi.
@benithomligo9074
@benithomligo9074 Год назад
Amen mtumishi wa MUNGU,, Naamini MUNGU Yuko upande wako. Lakin MUNGU amekuzingila kwa moto pande zote, Shetani anapigana na wewe koto kote uendako akitafuta namna ya kkuangamiza, lakin MUNGU Yuko pamoja nawe,. Usiogopee maneno Yao na vitisho vyao ,, nilazima iwe hivyo, tangu zaman za manabii na mitume ilikua hivyo, lakin hawakujari maisha Yao hata kufa ,, walimtazamia MUNGU pekee ,, wapo mitume na manabii wa kweli. Ila hawapo bado ila ipo siku MUNGU atawainu hakika ni heri tukanena ya kua wewe ni nabi au mtume kuliko hao wanao jiita manabii na mitume, paza sauti usinyamaze mtumishi,, Sauti ya mtu aliaye nyikani
@CelestinoAntonio-jv7ch
@CelestinoAntonio-jv7ch 9 месяцев назад
Nipo Moçambique laki sijuwi vizury kishuaili laki mungu anasaidia sana nakupenda pastor pascoal Cassiano jina lako nimeadika kwenye kireno
@fedhajoseph7687
@fedhajoseph7687 Год назад
Amina kengele ya Bwana Yesu kristo aliye hai Mungu anayo sababu yakukuokowa mtumishi damu ya Yesu kristo ikufunike .
@cristianoprincegabrielles3951
Ubiri Kabisa Man Of God Cassian.... Ukweli utawaeka Watu wa Mungu Huru... Nae Bwana Mungu Wa Majeshi atakupigania
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Год назад
Glory to God. Ev. Pascal, Mungu yehova akubariki sana. Hali ni mbaya, nyakati hizi ni za mwisho brethren. Bila neno la Mungu kujaza mioyo yetu katika hekima yote hatuwezi kushinda. Tunashida kwa damu ya Yesu na neno la ushuhuda. Biblia inasema, maana kila kilichopo duniani yaani tamaa ya mwili, tamaa ya macho na kiburi cha uzima hivyo havitokani na Baba, bali na dunia. Hawa manabii wa uongo wana viburi sana.
@fredymghamba535
@fredymghamba535 Год назад
God bless you mtumish , sasa waambie na wale wanaowabatiza watoto
@MaryMnjamche
@MaryMnjamche 8 дней назад
Mtumishi wa Mungu hakubariki sana Kwa kuhubiri kweli ya neno la Mungu bila hofu yoyote
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 29 дней назад
Wewemtumishi waMungu Enjiliyako inafikanakupita kwenye nyikazenye nyokawenyesumu kalizenyemiti yenyemiibanawanyamawote hatari amakweli umesimama kinyume nagizanene linalowapeleka kwenye aanguko lakuzimu. UBARIKIWE SANA.MTUMISHI WAMUNGU WAKWELI. HALELUYA.
@njunisamweli2410
@njunisamweli2410 Год назад
Mungu akubaliki Sana na azidi kuku ongezea ulizi wa kiroho azidi kuku tia nguvu pasipo uwepo wa Mungu hiyo kazi ni ngum
@user-lx1vn4bq8j
@user-lx1vn4bq8j 2 месяца назад
Amen lord anakupenda sana na ninaipenda jinzi unavyo hupiri na nyimbo sako amen song nikulipe nni mungu wangu kwa yaleyode umenidenda
@phenymanga949
@phenymanga949 Год назад
amen man of God.umesema ukweli mtupu.Mungu akubariki sana kwa kusimama na ukweli na kufungua watu wa Mungu macho.may God uplift yuo more en more man of God
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 9 дней назад
❤❤❤❤Müñgu akulinde akubariki nabarikiwa mnoo unavofichua zambi
@saidibaraka931
@saidibaraka931 Год назад
mungu akubariki sana tu mtumishi na wote ambao wana jitolea kusapoti kazi ya mungu tuna kuhombea sana tu from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@TryphoneGotham
@TryphoneGotham 11 дней назад
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu unanipa nguvu sana
@annijulius4953
@annijulius4953 Год назад
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu mwenye masikio na asikie Neno ambalo Roho WA Mungu awaambia watu.
@fnono4368
@fnono4368 Год назад
Hallelujah hallelujah mungu akubariki mutumishi wamungu tunakupenda Sana 🙏🙏🙏🎺🎺🎺
@roselyneezekiel
@roselyneezekiel Месяц назад
This massage is so powerful..... Nimekutana na haya lkn kukuskiza Kuna nisaidia Sanaa,,, barikiwa sana mtumishi 🙏
@neemamhongole2801
@neemamhongole2801 Год назад
Ameeeen ameeeen MTUMISHI WA MUNGU!!Big up!!!MAY THE BLOOD OF JESUS PROTECT YOU FOREVER,!!!AMEEN!
@jeanbaptistesony
@jeanbaptistesony Год назад
Mungu aku bariki Mtumishi wa mungu God bless you man of god living from Democratic Republic of Congo
@Ezammwakisambwe
@Ezammwakisambwe Год назад
Amina mtumishi wa bwana yesu real ihubiri ilekweli napia ituweke huru na yesu akulinde sana mtumishi Mana umeamua kuubeba msalaba wako.Mungu awafungue macho vipofu wafungwa waliopotea wanao abudu Wanadam wakidhani ni Mungu wa kweli kwaajili ya ubatili wa tamaa zao Niko Makin my fellow brethren May the real blood of Jesus Christ protect you brother.Amen
@helencyprian8745
@helencyprian8745 Год назад
Sema kweli Paschal, yaani wakinamama tutaangamia sana, tunataka miugiza tunamkataa mwenye miujiza amaye ni YESU. Utasikia mimi ni mfuasi wa nabii Dev, mara mi niwamwamposa lakin si wa YESU. Jamani tunaangamia kwa kukosa maarifa.
@lilianwanjala8728
@lilianwanjala8728 Год назад
Ameen barikiwa mtumishi kwa kutufumbua macho tumekua tukitembea ilihali SS..n..vipofu wanapona..na..visiwi wnaosikia
@SteveIlunga-qx8wi
@SteveIlunga-qx8wi 2 месяца назад
Am jambon mtumishi wa mungu mkubwa aliye dju, Niko katika intchi ya Congo, nime penda saana mafundisho Yako mungu akulinde umalize kazi zake asante saana .
@BarakaMerere
@BarakaMerere 2 месяца назад
Amina kakaangu nakupenda sana mtumishi wa Mungu Mungu atawaumbua mchana kweupe hao manabii feck yesu yupo na wewe mwanzo hadi mwisho songea mbele kak tunakuombea sana😅
@BarakaMerere
@BarakaMerere 2 месяца назад
Natamani sana nije kaka cassian tuwe pamoja nakupendasa ila kilanikikusikiliza natoa machozi nashindwa kuelezea Huyu Mungu wa mbinguni akufunike kwa kina yesumnazareti aliye hai uishi milele kaka ilantafurahisana sikunikikuona najua Mungu kuna jambo atafanya kwenye maisha yangu damuyayesu ikufunike
@adophine1063
@adophine1063 Год назад
Amen, Mungu anaonekana ata nyumbani kwako uki amini tu yesu kuwa bwana na mokozi wa maisha yako yote ya nawezekana, na maombi mazuri ni ya wewe mwenyewe.
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 Год назад
For your understanding Not Bible says that, chanzo Cha Imani Ni kusikia, na kusikia huja kwa Neno la Kristo, hapo lazima uhubiriwe,uongozwe kumpokea Yesu Moyoni,na. Kufundishwa kuishi katika wokovu na Neno la Kristo
@jenipherobwolo6735
@jenipherobwolo6735 Год назад
Amen, be blessed pastor
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 Год назад
No lazima uwe na Spiritual father
@andrewmmassy5204
@andrewmmassy5204 Год назад
But how,baba wa vipi?uwe na uhakika kwamba ni mungu amekuongoza kwamba huyo ndie exactly spiritual father
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 Год назад
@@andrewmmassy5204 Watu wengi wanafanya Mambo kwa mihemko Yao halafu wanasema Ni Mungu,Wengine wanajiita watumishi wa MUNGU halafu wanatukana na kuwashambulia watumishi Wengine eti kisa Ni matajiri,Ni vizuri kuongozwa na Roho wa MUNGU siyo kuenda kimwili au kidini
@sandrasandrine3027
@sandrasandrine3027 Год назад
Mtu atakaye ku chukiya wewe ajui uchungu wa injili ya kweli. Lakini kama aidhivyo Mungu uta ishi maisha marefu paka pale ata penda Mungu .
@JohanessJoseph-mq7um
@JohanessJoseph-mq7um 8 месяцев назад
Ev. MUNGU. Akubariki sana tupo ktk uwanja mmoja tunahubiri injili ya kunawa mikono tusiwe na hatia kwa mda tuliopewa na mungu nakuombea Mungu akurinde.
@mosessilvester7962
@mosessilvester7962 Год назад
Pascal MUNGU akuhariki nakuelewa Sana jamaa yangu sijawahi kuona mtumishi anae huburi ukweli Kama huu wengi ni wapiga diri barikiwa mno
@user-fz1qz3fz3q
@user-fz1qz3fz3q Год назад
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Bwana ni kwel kabisa Mungu akulinde na akupiganie na akufunike kwa damu yke wasipate nafasi kufanya chochote
@pascalmubalama9767
@pascalmubalama9767 Год назад
Hongera sana mtumishi wa Mungu nakupenda saaaana
@SinyinzaMicheal
@SinyinzaMicheal Месяц назад
Greetings thank God for you, you are right hundred percent. There is a pastor in America his name is Gino Jennings, he preach also what you are preaching.
@laurentbulabo5002
@laurentbulabo5002 24 дня назад
Roho ya nambii Eliya mmoja wa manambii wa kale,Mungu ameijaza ndani ya mtumishi huyu. Ee Mungu wape macho ya rohoni Watanzani na dunia kwa ujumla wamwelewe mtumishi wako.
@user-kk6bf6bt6f
@user-kk6bf6bt6f 2 месяца назад
Mungu akulinde mtumish maana unatuambia ambayo hatuyajui ubarikiwe Sanaa the man of god
@rosekemunto660
@rosekemunto660 Год назад
Amen mtumishi wa Mungu akulinde. Sana watched from Kenya.
@charleskuyeko4400
@charleskuyeko4400 Год назад
Watumushi wengine wa Mungu huwa wanawasema hawa juu juu tu na hawawataji majina. Kutowataja majina hao Manabii feki ni kuwafanya waendelee kustawi kwa kudanganya watu. Cassian anafanya vizuri kuwataja ili kila mtu awajue na watakaomwamini Mungu kwa Neema wasiende huko. Asante sana Mtumishi wa Mungu. Tutaendelea kukuombea na kukusapoti ili injili hii ya kweli ya Mungu iendelee Taifa letu lipone.
@NeemaShayo-s5t
@NeemaShayo-s5t 23 дня назад
Yesu Akulinde mtumishi wa Mungu.
@niymaedwin4297
@niymaedwin4297 Год назад
Mwenye masikio na asikie na mwenye macho na aone 🙏🙏🙏
@ephraimwadaudi2867
@ephraimwadaudi2867 Год назад
Amen
@noeleliasi8401
@noeleliasi8401 Год назад
Amen man of God we are togather..be blessed
@andrewmmassy5204
@andrewmmassy5204 Год назад
Amen nabii wa mungu Niko nyuma Yako kwenye behewa Moja kwenye safari ya kuurithi ufalme wa kristo.
@geofleyfreenwelluka
@geofleyfreenwelluka Год назад
Mtumishi kweli mungu akulinde alafu uyo bushili saizi yako Malawi aliludi kutoka south Africa yupo anatikisa Malawi 🇲🇼 🇲🇼 watu wanamwabudu adi njiani wanapiga magoti kiukweli mungu akutie nguvu atakapo wema ukweli mungu akubaliki sana mtumishi wa bwana sema ukweli tupone
@winnyakoth8431
@winnyakoth8431 Год назад
Mungu akubariki sana akufunike nadamu ya YESU
@winifridamwasyika5031
@winifridamwasyika5031 Год назад
Tena lidondoke neno hata moja ,Nena yote, mtumishi wa kristo
@clasclass
@clasclass Год назад
May God strengthen you, I always believe in every word that comes out of your mouth
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 Год назад
Very dangerous to
@bienvenuelepelerin
@bienvenuelepelerin 2 месяца назад
Amen nduku yangu Cassian mungu akulinde zaidi ,nimimi nduku yako bienvenue kutokapale Congo
@annbrendanalech7429
@annbrendanalech7429 Год назад
Amen and amen mungu akubariki nabii wa mungu
@nicenaomi8459
@nicenaomi8459 Год назад
Ubarikiwe sana mutumishi Kwa kutupa mafundisho mazuri, kweli Mungu akupe nguvu
@SafiAkinyi8361
@SafiAkinyi8361 Год назад
AMEN AMEN AND AMEN 🙏 🙌 HAPO NI UKWELI BROTHER WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAHARIFA BADALA WATU WATAFUTE MUNGU WANATAFUTA MIUJIZA ENDELEA KUTUFUNUA MACHO BROTHER MUNGU AZIDI KUKUTUMIA ZAIDI KWA KUENEZA NENO LAKE LA KWELI AMENA🙏🙏🙏🦶
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 Год назад
Huwezi kumtafuta na kumpokea Yesu bilà miujiza,Miujiza mkubwa kuliko yote Ni kumpata Yesu
@theresiakashumba3826
@theresiakashumba3826 Год назад
Sema man of God tupone Mungu kakuleta maksudi usaidie watu waMungu usiogope una ulinzi kutoka mbinguni
@estermataro3961
@estermataro3961 Год назад
MUNGU akubariki sana mtumishi uko sahihi kabisa 💯
@mosimasatu8942
@mosimasatu8942 Год назад
sema kweli baba. kwani manabii wa sasa hawasemi kweli na kukemea uovu bali kutabiri fedha na kuuza vitu vinavyohusianishwa na imani katika Kristo Yesu Bwana wetu. Mungu akulinde unapotekeleza wajibu huo
@kefamsafiri1028
@kefamsafiri1028 Год назад
Endelea kutangaza ukweli na Mungu azidi kukuinua tunakusapoti 100/ nashetani ashindwe kwa damu ya yesu Amen, niko marekani
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 Год назад
Unasapoti ujinga wa Pascal kuwashambulia watumishi wa MUNGU,Pole sana
@andrewmmassy5204
@andrewmmassy5204 Год назад
Mbona wewe ndio wa kupewa pole!!!!???mana hapa ashambulii watumishi. Ngoja nikufundishe kushambulia ni vile kama angewaongelea vibaya kama kuwatukana lakini hapa anahubiri neno kupitia neno la mungu na anasoma vifungu vya neno la mungu ina maana hata kama Kuna nabii ambae alikuwa anatumiwa na shetani bila kujua akisikiliza anabadilika na pia wale waumini ambao wamekamatwa na shetani kupitia manabii wa uongo wakisikia wanafunguka na kuchukua hatua.
@zerahaguti5675
@zerahaguti5675 Год назад
Amen 🙏🙏🙏 watching from Iraq
@christalgrandberry9283
@christalgrandberry9283 Год назад
Tupo pamoja mchungaji ubarikiwe sana sana bwana yesu asifiwe na watu wote waseme Amina
@emmanuelmilimo8324
@emmanuelmilimo8324 Год назад
Mtumishi paschal unanikumbusha mtume paulo..yale aliopitia ni sawia tu na ya kwako..mungu akutie nguvu
@user-ch4it9jn8o
@user-ch4it9jn8o Год назад
mungu akubariki mtumishi wa mungu endlea kuongea ukwel na tutazidi kukuombea sana kutokana na vita unayokumbana nayo na pia tutazidi kuwaasa wenzetu ukwel waliofunikwa na imani hizo ili jina la bwana lihimidiwe milele
@StellaEmanuel-mu5vv
@StellaEmanuel-mu5vv 10 месяцев назад
Ameen Mtumishi wa Bwana sema kweli ya Mungu aliye hai usidaiwe damu ya zao hawasikii wanataka muujiza tuu kuliko kusoma neno Wajue Mungu anatakaje yaani inauma sana😭😭😭😭😭😭😭😭
@ThomasFabian-it3ij
@ThomasFabian-it3ij Месяц назад
Hakika vyote vinapita ila neno LA mungu utimia kwa ktk nyanza tofauti
@elizabethfatuma9053
@elizabethfatuma9053 Год назад
Amen Mtumishi wa Mungu Sema ukweli na Ukweli itakuweka uru
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 Год назад
Asante Yesu kwa mambo makuu unayo yafunua kwetu kupitia mtumishi wako
@TuaircachimoNantola-po7oo
@TuaircachimoNantola-po7oo Год назад
Amém Deus te abençoe sempre; Amina mungu akubariki kila siku.
@mchekesimwangundo496
@mchekesimwangundo496 Год назад
Cassian Mungu azidi kukutetea umenifunza mengi sana God bless you man of God.
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 Год назад
Pole sana
@anethswilla7563
@anethswilla7563 Год назад
MUNGU ni mkuu Wala usiwe na Shaka tupo tunaosikia na kupona kwa hayo unayotufundisha BARIKIWA SANA!!🙏🙏
@pascasiehabiyaremye
@pascasiehabiyaremye Год назад
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe Sana .Nilitaka kukukosoa kidogo kwamba Bushiri siyo raia wa Nigeria Bali ni raia wa nchi ya Malawi
@abdusheriffsheriff8557
@abdusheriffsheriff8557 Год назад
Mungu yuko mlele na milele, watakutafute wakitumia kila mbinu zozote ila hawana nguvu kmulko Mungu🙏🙏🙏🙏
@rmaryp6269
@rmaryp6269 Год назад
Mungu Baba aendelee kukulinda maana Injili isiyogoshiwa lazima ihubiriwe nyakati hizi za mwisho ili mwenye sikio asikie apone.
@SleepyCatfish-yi6qk
@SleepyCatfish-yi6qk 26 дней назад
Yesu uliyejuu mbinguni hili ni ombi langu mpatie maisha marefu sana huyu mtumishi wako kwa ajili ya neno lako na kazi Yako uliyompatia mlinde dhidi ya ubaya na mitego ya adui
@JESUSISLO891
@JESUSISLO891 Год назад
Napenda injili yako ila wakristo hatujui Mungu tunayemtumikia hata ukiuliza mlokole Yesu ni nani na Mungu ni nani hana mwao
@TuzabacarBacar
@TuzabacarBacar 25 дней назад
Mungu akulinde sana mapinha kristo
@nillyjos1203
@nillyjos1203 Год назад
Amen amen Mungu yupamoja na wewe
@loserianlaizer
@loserianlaizer Год назад
Amen Mungu aachili ulinzi na Mafunuo juu yako.
@MusaChipigo
@MusaChipigo 7 месяцев назад
Mungu akupandishe zaid kwasababu kweli ya mungu inaongelewa sana ila watumishi weng ni waoga wanaogopa kuisema kweli
@furahagiselle1235
@furahagiselle1235 Год назад
Asante mtumishi Mungu akubariki🙏🙏🙏🙏
@fabianshigela9315
@fabianshigela9315 Год назад
Natamani MUNGU aseme nao hao wanaojiita manabii na wanashududiwa mm natamani jambo litokee sema Namshukuru MUNGU kwa ajili yako unawafikishia ujumbe Nakupenda sana nachukia sana mtu anaye chukua cheo Cha MUNGU aliye Hai anajiita baba kwa watumishi wa MUNGU
@lidyateddy6950
@lidyateddy6950 Год назад
Mwamposa oyeeeeeeeeee💃💃💃💃💃Kama bado manabii na mitume hakuna tz zaa wa kwako awe nabii na mtume,majungu tu ndo unajua na tunajua Kama unatumwa kuropoka na unalipwa wewe .huko Freemason inaonekana ulikunywa sana damu za watu na kula nyama mbichi za binadamu ndo maana zimekuathiri kila mahali sio kosa lako wakati mwingine tumuombee tu
@petermathias8097
@petermathias8097 Год назад
Ahsante mungu akubariki mtumishi wa mungu hakika tuendelee kuusema ukweli wa mungu
@Mariamseify
@Mariamseify Год назад
Amen amen amen 🙏 from Kenya
@orestamkingakwamitandaoyot5309
@orestamkingakwamitandaoyot5309 4 месяца назад
Mungu akulinde cku zoter nitajuaje hili ni kanisa la mungu
@helenamandele6711
@helenamandele6711 Год назад
Mungu akuwezeshe zaidi na zaidi. Mungu akuponye na kukulinda
@nillyjos1203
@nillyjos1203 Год назад
Amen ubarikiwe na Mungu
@DavidKatembo-vs3ve
@DavidKatembo-vs3ve 7 месяцев назад
Amen, 🙏 Baba.mungu akupe hanja moyowako
@fatemajohn3195
@fatemajohn3195 Год назад
Ameen Ameen MUNGU akulide baba tu maana unasema kweli kabisa
@danielrwimo8751
@danielrwimo8751 Год назад
Kama niwauwongo basi muaciye Mungu peke yake, nakama kweli awo niwakala wa shetani basi kazi zao hazitadumu. Ila unaposema kuhusu pesa nimesikiya piya nawewe ukiomba wakuku suport, minawaza kuwa kutowa nikwamtu binafsi tena ku suport kazi ya Mungu nilazima sana kwakuwa hata ivyo vyombo munavyotumiya binaomba pesa bwana. Mungu akubariki
@liuu282
@liuu282 Год назад
Nimependa you're fact ajitambui
@daudokey6018
@daudokey6018 Год назад
Amina mtumishi wa mungu ubarikiwe sana
@williamchina6355
@williamchina6355 Год назад
Amina Mungu akutie Nguvu mtumishi
@hasanygodda9242
@hasanygodda9242 10 месяцев назад
Amina mtumishi,,ubarikiwe na MUNGU
@moisekodjo5098
@moisekodjo5098 Год назад
Mungu aku teteye katika vita vyote na aku fiche ndani ya damu ya Yesu kristo wanazareti alie hai
@irinechoi8204
@irinechoi8204 Год назад
Ameeeen..ameeeeen.lwatching.from.saudia
@chiefchannelgmailcom
@chiefchannelgmailcom Год назад
Kweli mtumishi, maana wakristo wa Leo tumekuwa kama nyumbu wa Serengeti neno la Mungu hatusomi tunataka maneno ya manabii.
@emmanuelkiamba7783
@emmanuelkiamba7783 Год назад
Mungu akutumie mtumishi wa Mungu ili watu wajue kweli
@safimwanvua5739
@safimwanvua5739 Год назад
Mutumishi wa Mungu ubarikiwe saana Na mafundisho ya nyakati za mwuisho, iZi mafundisho aziikalaka ndani ya makanisa, tuna hubiriwa peke Yake mibaraka ijapokua chetani yeye ha Lali Na watumishi wake kwaku zimisha kanisa la kristo yesu.
@eldakadima-tb2iy
@eldakadima-tb2iy Год назад
God bless you my brother,. Eldah kadima
@lilymwashumbe4890
@lilymwashumbe4890 Год назад
Mungu akulinde na akupiganie endelea kusema ukweli tuko nyuma yako muinjilisti paschal
@user-gx2zn1ui7i
@user-gx2zn1ui7i 6 месяцев назад
Tunajifunza Mtumishi , Mungu akutie nguvu ya Roho Mtakatifu.
@stellamutembei7567
@stellamutembei7567 Год назад
Nakupenda sana mtumishi kulingana vile unaweka maneno wazi
@DuncanYona-dq5pe
@DuncanYona-dq5pe Год назад
Mtumishi wa mungu ubarikiwe na mungu akuepushe na mishare ya shetan
@saumumbetsa4223
@saumumbetsa4223 Год назад
Mm nimefurahia mafundisho yako mungu wa mbingu akulinde Niko Saudi Arabia tuko pamoja
@EMMANUELMWASILE-te6gg
@EMMANUELMWASILE-te6gg Год назад
Mungu akubariki mtumishi wa bwana kwa kuzifunua Siri za kimbingu
@charleskuyeko4400
@charleskuyeko4400 9 месяцев назад
Bushiri anatoka Malawi siyo Nigeria. Alikuwa anaishi Afrika kusini akakamatwa na kuwekwa ndani baada ya kuibia Washirika akatoroka na kukimbilia kwao Malawi.
@godfreymlau4471
@godfreymlau4471 Год назад
Endelea ndugu yangu, mungu akulinde Sana.
Далее
Best exercises to lose weight ! 😱
00:19
Просмотров 9 млн
Ouch.. 🤕
00:30
Просмотров 9 млн