Тёмный

Hatma ya Clatous Chama ndani ya Simba, Ahmed Ally atoa maelezo 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 67 тыс.
50% 1

“Unaweza kumuacha Chama halafu baadaye ukaanza kujuta” - Ahmed Ally kuhusu ishu ya kiungo wao Clatous Chama akifafanua sababu za kuchelewa kufanya maamuzi, asema hatma yake wanayo viongozi wa juu…. asisitiza “yule siyo mtu mchezaji wa kawaida”

Спорт

Опубликовано:

 

29 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 123   
@prenceReymaz
@prenceReymaz 2 дня назад
wanaomkubali chama like zake hapa tafadhari ❤❤❤
@FikriniBakar
@FikriniBakar 2 дня назад
@donwilliamstechnology2052
@donwilliamstechnology2052 День назад
Hakika tumepoteza mchezaji muhimu ktk chama letu la Simba.. walio umia kama Mimi gonga like zako.
@gideonmwaweza8177
@gideonmwaweza8177 День назад
Maneno mengiiiiiiiii sema tu ameenda upande wa pili msiba tu ulewekeeeeee Simba kilo chama chama mimi Simba nimeumia Sana chama bye
@sangaelly8548
@sangaelly8548 День назад
Heee kumbe huyu Chama ni mtu wanamna gani?kila siku ukifungua Midia, TV,simu zinamueleza huyu huyu tu 😢mmm😮
@barackmoses7003
@barackmoses7003 День назад
Acha uongo si useme tu ukweli kwamba mmeshindwa kumlipa stahiki zake😢 mpk ameamua kuondoka
@ummusajdalayaa4305
@ummusajdalayaa4305 День назад
Chama chama mwacheni aende bwana coz mnavyomsifua sana kaburi kina zadi Simba bila chama inawezekana bwanaa
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 дня назад
KUNA WAJINGA WANATAKA UTANGAZE HATMA YA CHAMA KABLA YA MAAMUZI YA WAHUSIKA HAWAJA AMUWA
@AzizaMayemba-td8po
@AzizaMayemba-td8po 2 дня назад
tunampenda abaki kwan nliposkia ameondoka niliumia sana
@user-js7lr8vr9i
@user-js7lr8vr9i День назад
Wewe ongea ushuzi tu alafu msajili wapumbavu mtatuelewa sisi Wana Simba tukoje
@user-mw3yp6kl5c
@user-mw3yp6kl5c 2 дня назад
Imeisha iyo wenye D mbili tumeelewa😂😂😂
@JuliascharlesNjogela
@JuliascharlesNjogela День назад
Bad tunampenda chama
@patrickimran2645
@patrickimran2645 День назад
Mupeni thank you yake2 amechoka ukoloni
@JohnErnest-x5i
@JohnErnest-x5i День назад
Kuondoka kwa chama aimanishi simba imekufa chama sio sc chama ni mfanya biashara tu kweli twampenda lakini kumpenda kwetu tusije jutia uyo kisha kuwa snichi kwasasa 5:55
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 День назад
Huyu mjinga sana maneno mengi
@pablomsafi1050
@pablomsafi1050 День назад
Eti mumuuze chama alafu mumbakize jobe aaah itakua zalau kubwa sanaa uyo chama ni bonge la mtuu sema ndo vile tuu team aiko kwenye mwenendo mzuri ila majonzi😢 yatakua makubwa kama mtamuuza chama alf mbaya zaidi akachukuliwa na wapinzani(yanga) kama trending zinavyoelezea uko mitandaoni itakua noma sanaaa yan simba ndo itakua aina tena uwezo wakukijenga kikosi kam wakimuuza uyo tripple C mwamba wa rusaka
@user-lp5bp7lt5x
@user-lp5bp7lt5x 12 часов назад
Tumeumia sana washabiki wa simba
@OmariNgori
@OmariNgori 10 часов назад
Kwajili ya chama gonga like zako
@JohnErnest-x5i
@JohnErnest-x5i День назад
Kuondoka kwa chama aimanishi simba imekufa chama sio sc chama ni mfanya biashara tu kweli twampenda lakini kumpenda kwetu tusije jutia uyo kisha kuwa snichi kwasasa
@estermoshi7518
@estermoshi7518 11 часов назад
Chama hawez kwenda
@IddyAmir-gq1jr
@IddyAmir-gq1jr 2 дня назад
Maneno mengi yanini ongea fact
@FotunataPhilimon
@FotunataPhilimon День назад
IPO siku tutakukosa semaji,,naona ni kama unaifundisha management Nini ifanye juu ya chama,,,,in short chama amekuumiza kiasi Cha kutamani umfate utopoloni.
@mromalais900
@mromalais900 День назад
Maelezo mengi ya nn....kama anaenda mwacheni...muda mwingine semaji wajishusha Hadhi...zidi ya wale wanayo ipoteza Simba ambao niviongozi.
@user-np2fz3zf7i
@user-np2fz3zf7i 2 дня назад
Simba hamna kitu
@AmosLushonisha
@AmosLushonisha 2 дня назад
Ww una kitu ..😂
@MakoyeYohana
@MakoyeYohana 2 дня назад
yup au hayup
@user-xu7tn3bl8h
@user-xu7tn3bl8h День назад
Hata wew hatukutaki
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 День назад
Tunataka solution
@emmanueljohn7253
@emmanueljohn7253 День назад
Let him go
@user-xu7tn3bl8h
@user-xu7tn3bl8h День назад
Ahmedy wew nitapeli Kama Hao vingozi Kwanza toka uje Simba unagundu mbwa wewe
@patridabernard9148
@patridabernard9148 День назад
Kwani wewe unaongelea nini wakati mshaumia tayari chefuuuu
@MuhsinJuma-wo2bg
@MuhsinJuma-wo2bg День назад
Ww niambie ya kueleweka kwani ss haujui chawa hem achana ujinga timu ime potea na bado mnaendelea kuacha wachezaji muhimu kumama zenu
@user-kx3ir1ty4l
@user-kx3ir1ty4l День назад
Hawo viongozi ndiyo wanaotualibia timu
@abudalaabdumalik9362
@abudalaabdumalik9362 День назад
Aka kajamaaaa vip kaaa ivo watu wapite nae
@user-kx3ir1ty4l
@user-kx3ir1ty4l День назад
Nampenfa chama na asiondoke simba
@PiliKassim-ox4qp
@PiliKassim-ox4qp День назад
Mwache aende bhana nini kumpambapambaa mbwa uyooo
@AveriniDenisi
@AveriniDenisi День назад
Powh tumesikia yombo zako
@user-tq1to8yn6m
@user-tq1to8yn6m День назад
Simba n taasisi kama anashida mwacheni aende zake
@user-dh5xq3ot2o
@user-dh5xq3ot2o День назад
3:55 😂
@tasamtv
@tasamtv 2 дня назад
Aliondoka okwi akiwa top scholar hata yeye ikbd apewe thanks
@ShadidaSaidi-bs5os
@ShadidaSaidi-bs5os 2 дня назад
Ww yanga acha ujinga
@ShadidaSaidi-bs5os
@ShadidaSaidi-bs5os 2 дня назад
Wew ukimtoa cham utamleta nan kama cham
@tasamtv
@tasamtv 2 дня назад
Sasa kama mtu hataki utamlazimisha 😱😱😱
@alphoncealmack9240
@alphoncealmack9240 День назад
Simba😂😂😂😂😂😂wana msemaj muongo sn aisee anawaona kama mambugila hiv wasiojielewa😂😂😂
@Abuu-gs1yi
@Abuu-gs1yi День назад
Ulikuwa unawandaa kisaikolojia
@MeliusAdloph
@MeliusAdloph День назад
Mwache aende kama ameamua kwenda!!
@user-rj3cd2lh8w
@user-rj3cd2lh8w 2 дня назад
MAKOLO KISEBU SEBU NA KIROHO PAPO NYINYI HAMUNA UJANJA KWA CHAMA IPO SIKU ATAWASHIKA HADI VIJAMB.......😂😂😂😂😂😂
@DesderiusPeter-ld7mm
@DesderiusPeter-ld7mm День назад
Msemaji wa hovyo kabisa
@RaziaCharleskopa
@RaziaCharleskopa 13 часов назад
atakama Ahmed ally useme nini atutapata wakuziba pengo Ra xhama kumbuka wariondoka kina firi wakara kina jobe akaondoka bareke akaja Fred wamefanya nn zidi ya ao
@FikriniBakar
@FikriniBakar 2 дня назад
Chama asitoke itakuwa balaa jingine
@athumaniabdi4122
@athumaniabdi4122 День назад
Mpira umeanza kupenda lini kaka, all in all mpira ni biashara bro,
@YusuphuJumanne-s5c
@YusuphuJumanne-s5c 2 дня назад
Aondoke tuu anatusumbua 5:08 😊
@barakacharles6027
@barakacharles6027 2 дня назад
Mmmh
@JonasMaundu
@JonasMaundu День назад
Tulia upokee tarifa sahihi
@ShannyFedrick
@ShannyFedrick 9 часов назад
Muachen aende chama lakn Simba Bado inamhitaj
@johnbidya119
@johnbidya119 День назад
Kwa kheri chama karibu aziz ki..
@Mhappy5
@Mhappy5 День назад
Amka amka😅😅😅
@johnbidya119
@johnbidya119 День назад
@@Mhappy5 hawajajua bado
@AllyShaban-ms7ot
@AllyShaban-ms7ot День назад
Aende
@MussaFadhil-ef7rs
@MussaFadhil-ef7rs 2 дня назад
Nmekua kwa kwanza naomben like😂😂😂
@allyahmed3726
@allyahmed3726 День назад
Mashabiki hawa ndio wanatuangusha kuskiliza siasa za huyu jamaa simba inapotea
@user-bl6rd4pq4k
@user-bl6rd4pq4k День назад
Kweli kabisa anaongea sana aaaah! Mpaka anakera
@KuruthumKhalaf
@KuruthumKhalaf День назад
achaujinga elaamna
@user-fg9pz6xl5q
@user-fg9pz6xl5q День назад
Sasa we kichwa Unga hujatoa majibu hivyo hapo umebwabwaja tu
@babuumaeda7671
@babuumaeda7671 День назад
Fanya kazi zingine sio USEMAJI maana una SIASA nying unasifia halafu hayupo SIMBA 😢 yaani achatu kaziiiiii hufai. Asiekuwa kwako halafu unasifiaiiaaaa 😢😢😅😅😅😅
@AlexrobertGasperly
@AlexrobertGasperly День назад
Sasa kosa Lake nini?
@user-kl6uj2dh9y
@user-kl6uj2dh9y День назад
Nendakwenyepoiti2
@AnthonKitindi-zg4dp
@AnthonKitindi-zg4dp День назад
Daah Yani kama wamtongoza dem
@user-bl6rd4pq4k
@user-bl6rd4pq4k День назад
Si ndiyo hapo
@EzekiaMyila
@EzekiaMyila 9 часов назад
Ally maneno hayatakiwi acha eende
@locksterabdon
@locksterabdon День назад
Chama kaishasaiv tuwe wakwel mashabi wasmba
@ummusajdalayaa4305
@ummusajdalayaa4305 День назад
Exactly wamwache aende zake tu
@user-dh5xq3ot2o
@user-dh5xq3ot2o День назад
ay bwan
@samwelwiston7972
@samwelwiston7972 День назад
Akafie mbele huyo chama
@YonaAgustino
@YonaAgustino День назад
Chama mtu nanusu
@Edger-bn2mt
@Edger-bn2mt День назад
Aende hatmtaki
@JonasMaundu
@JonasMaundu День назад
Mnatumalizia bando
@YusuphuJumanne-s5c
@YusuphuJumanne-s5c 2 дня назад
Aondoke tuu anatusumbua
@gregorygodfrey1688
@gregorygodfrey1688 День назад
Wanasimba wote tufanye kum unfollow huyu jamaa anakuaga. Na akili za hovyo uku promote vitu tofauti na ilivo
@nicodemuswidambe5132
@nicodemuswidambe5132 2 дня назад
Wewe mbona unatoa ngonjera mpuuzi tu!
@MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh
@MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh 19 часов назад
Chama abak kibud abak
@philemonnestory4239
@philemonnestory4239 2 дня назад
Ahamed ally acha mboyoyo acha ujinga
@Greatest9141
@Greatest9141 2 дня назад
😂😂😂
@Ndenza
@Ndenza 2 дня назад
Yupo kazn kwake😂😂😂😂
@user-pi7gk7nj4s
@user-pi7gk7nj4s 2 дня назад
Wewe fanya yako yatakusaidia
@boxdad
@boxdad День назад
Wanaku uuuuu
@AttiyeShaame
@AttiyeShaame День назад
​@@Ndenza❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤a23a❤31a❤31❤1❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤3111111❤w1w❤131❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤31a❤w3❤1a❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤w1❤à❤❤❤❤🎉🐏❤
@athumaniabdi4122
@athumaniabdi4122 День назад
Mm hata sijamuelewa @Ahmedally
@user-wj7bu6hx5y
@user-wj7bu6hx5y День назад
Ongea kama mwanaume shoga 1 weeee sauti kama ya zuchuuu
@NeemaValentina
@NeemaValentina День назад
Polojo nying ww nimwanasiasa huend direct
@user-kn1yw2oq3o
@user-kn1yw2oq3o 2 дня назад
una comment utumbo na hujala ,👇👇👇👇
@AnnaPaul-n6r
@AnnaPaul-n6r День назад
Kazi mnayoo wazee
@Tchidymbanga
@Tchidymbanga 2 дня назад
😂😂😂
@mbarakasijaona7638
@mbarakasijaona7638 2 дня назад
Duh 😂😂😂😂😂😂😂
@methodpeter1323
@methodpeter1323 2 дня назад
harafu viongozi Wa Simba tambueni Yanga walishajua chama kaisha, hivyo wanajifanya kumtaka ili tuendelee Na mpira wake Wa kutokukimbia aendeeeeeeeeeee
@Shaziri-or4xn
@Shaziri-or4xn День назад
Huo ugonjwa
@clemermkanda
@clemermkanda 2 дня назад
Sasa mbn hatima sijaisikia🥱
@MaxCharles-wj5dg
@MaxCharles-wj5dg День назад
yanga hatuabudu mizeee sisii nyie umieni na magarasa yenu mwakaa huu tunapiga 10
@CholoMwamba
@CholoMwamba День назад
Amujipya ynga vikoba
@YusuphuJumanne-s5c
@YusuphuJumanne-s5c 2 дня назад
Yupo hayupo
@SundayMjeda-y1m
@SundayMjeda-y1m День назад
Abaki 🙏
@Greatest9141
@Greatest9141 2 дня назад
Kawaacha uyoo 😂😂
@user-mo3oq2iv4c
@user-mo3oq2iv4c 2 дня назад
Acha siasa funguka
@AnnaPaul-n6r
@AnnaPaul-n6r День назад
Hahahaha
@paulzacharia5897
@paulzacharia5897 2 дня назад
Ngonjera hizi jaman
@NemesMasawe
@NemesMasawe 2 дня назад
Aondokee tyuu anajisikiaa sanaaa
@IbraMwakipesile
@IbraMwakipesile 2 дня назад
Apa tushajua chama anasepa
@hadijarashid8425
@hadijarashid8425 День назад
😢chama abaki tu
@methodpeter1323
@methodpeter1323 2 дня назад
analinga kama Demu
@berinaladslaus8792
@berinaladslaus8792 2 дня назад
Wanaokoment ujinga ni Wana yanga hao Utoporo mtupu
@methodpeter1323
@methodpeter1323 2 дня назад
chama ndio niniiiiii? aendeeeee
@nicodemuswidambe5132
@nicodemuswidambe5132 2 дня назад
Mnampa kichwa mlambeni miguu wajinga nyie!
@ShadidaSaidi-bs5os
@ShadidaSaidi-bs5os 2 дня назад
Wew yang
@ShadidaSaidi-bs5os
@ShadidaSaidi-bs5os 2 дня назад
Chama fund
@DanielidaudyliganyaDanielidaud
Tulia wewe
@JohnErnest-x5i
@JohnErnest-x5i День назад
Kuondoka kwa chama aimanishi simba imekufa chama sio sc chama ni mfanya biashara tu kweli twampenda lakini kumpenda kwetu tusije jutia uyo kisha kuwa snichi kwasasa
@YusuphuJumanne-s5c
@YusuphuJumanne-s5c 2 дня назад
Aondoke tuu anatusumbua
@user-lp5rp3mt5e
@user-lp5rp3mt5e 2 дня назад
😂😂😂
@JohnErnest-x5i
@JohnErnest-x5i День назад
Kuondoka kwa chama aimanishi simba imekufa chama sio sc chama ni mfanya biashara tu kweli twampenda lakini kumpenda kwetu tusije jutia uyo kisha kuwa snichi kwasasa
@JohnErnest-x5i
@JohnErnest-x5i День назад
Kuondoka kwa chama aimanishi simba imekufa chama sio sc chama ni mfanya biashara tu kweli twampenda lakini kumpenda kwetu tusije jutia uyo kisha kuwa snichi kwasasa
@JohnErnest-x5i
@JohnErnest-x5i День назад
Kuondoka kwa chama aimanishi simba imekufa chama sio sc chama ni mfanya biashara tu kweli twampenda lakini kumpenda kwetu tusije jutia uyo kisha kuwa snichi kwasasa
Далее
Kids of Players Wonderful Moments ❤️
0:20
Просмотров 51 млн