FULL FIGHT: MWAKINYO ALIVYOMKANDA 'TKO' PATRICK ALLOTEY WA GHANA RAUNDI YA TATU, ATETEA UBINGWA WBO! BONDIA Hassan Mwakinyo amefanikiwa kuutetea ubingwa wake wa 'WBO' kwa kumkanda Patrick Allotey 'TKO' Raundi ya Tatu.
Mwakinyo kwakua huna kinyume na mtu ndio maana ALLAH anakufanikishia mambo yako na kupitia juhudi na jitiaha zako za usiku na mchana pamoja na hujma nyingi za wanadamu hata wale wanaojifanya kuwa karibu nawe. Hongera ndugu yangu.
PAMBANO LA MCHONGO HAMNA KITU HAPO.. ATA MAJAJI HAKUNA WALA MPINZANI AJATOKEA KWENYE UTAMBULISHO ..WA USHINDI WALA KUHOJIWA KUNA KITU HAKIPO SAWA KBS .ATA MPUUMBAVU WA MWISHO ANAONA WAZI KUNA KITU NYUMA YA PAZIA.MCHONGO KILA KONA NDIO MAANA HAUTUSOGEI MBELE
Serikali yetu ijaribu kufuatilia kwa nini Mwakinyo anapitia magumu mengi. Nani yupo nyuma ya matatizo haya? Huu upuuzi hatuutaki. Mwakinyo anawakilisha Taifa siyo yy tu; Ifike mahali athaminiwe kama Mtanzania kiuhalisia inaudhi sana
Watu wanatengeneza matokeo sisi tuna furahi hakuna ukweli hapo pambano linachezwa kama mazoezi huu mchezo unaharibiwa bila kujua hatuoni tena mapambano ya kitoto hayo
Hongera sana brother...Sina neno kwako Afu MUNGU amekupa Hekima ya kujibu maswali kiufasaha napenda kwakweli..Tunakuombea tunao kupenda LAZIMA SIKU MOJA DUNIA ITAJUA
Kwaiy mume amua kwend kulichea zea kichocholon ss tume keah kwa jili en mun tuonyesh matipwi mulio pang nyny daaah kwel tanzania anal lipang m2 ndio linal kua
Aache dhalau atafikia mbal ndoman juz walimfanyia kusudi maan alichofanyiw yeye akijawah kutikea apa tz amepunguz mashabiki maan mtu akiskia mwakinyo anapigan ankauwa na mashak anaweza kuingia shoti tu
Mbona kama ngumi niza mchongo! Unaweza kumpiga Harmonize kweli! ngumi wanazopigana akina maywether na kina Anthony Joshua sio hizo, pambana na Harmonize au twaha kiduku,, huyo bondia uulipigsna naye ni mwepesi sana yasni😮😮
Hongera sana Mkwakinyo lakini waandaaji waliandaa bila kufuata standard za kimataifa , yaani watu wadiscuss round ya ngapi ndiyo wanasema round, hata wameshindwa kuweka vibao vya round kuonyesha. Ngumu nzuri sana lakini uandaaji mbaya sana