Hv mama samia uliwaza nini kuturudishia bro makonda..ukwel kabisa kupitia makonda umepata kupendwa hata ww mwenyewe ukituletea watu wenye hofu ya mungu hata taifa unaloliongoza litampendeza MUNGU kwakwel japo misukosuko ni mingi ila tutacmama tu imara
Huyu jamaa tunafanana misimamo kuhusu utamaduni wa mwafrika ila kuna kuna busara na uchunguzi kwa sababu hatuko utawala wa Nyerere,kila kitu kiko wazi kupitia technology uongozi ni wito,mimi nashangaa viongozi wengi wa taifa wanakimbilia fedha ,kuna kifo,namkubali huyu jamaa kupinga ushoga afrika ila mambo mengine anahitaji mafunzo ya kiutawala zaidi......
Sasa kama wanapeana namba za Siri, hizo walizorudisha zimetoka wapi?na alivyosikia yupo kwa makonda amempigia simu asiongee kwa nini? Kama watu wanaibiana wenyewe?