KAZI nzuri❤ lakini mbona mwachelewesha hiyo ya siku moja kabla ya ndoa yangu jamani nimengoja Hadi karibu kukataa tamaa jamani kaka Kevin vipi nangoja tafadhali from 🇰🇪🇰🇪 6:50
Kwa Nini da Vick umekuwa Na roho mbaya ivi sikutaki tena kbs nilikuwa nakupenda sana da Vick kwa ukarimu wako kumbe una roho mbaya sijapenda kWa kweli 😢😢😢
Ni rahisi sana jamani kuongea na bubu na kiziwi kwa sababu me ni mkalimani wa lugha za alama hiyo lugha raha sana donta mmenifurahisha sàna nitawatafutia mashabiki wengi wadau wa lugha ya alama bomba sana. 🎉🎉🎉🎉🎉🎉