Na ww jitahidi kurekebisha kiswahili chako,,,jalibu na malekebisho ndio kiswahili cha wapi??kwenye biblia wanasema kabla hujatoa kibanzi kwenye jicho la mwenzako anza kwanza kutoa kibanzi kwenye jicho lako
Hujawa msaniii mkubwa ww harmonize, wakushindana na Diamond pambana na size yako kwa diamond amekuzidi umri,pesa,na mziki pamoja nakuiwakilisha tz kimataifa ww baki kuipamba serikali tu labda.