Alipotea huyo anataka kurudi mjini na hamna wa kukurudisha zaidi ya Diamond. Hamuwezi kukaa bila kumsema huyu kijana mchapakazi Diamond please mumpumzishe hamuoni hata aibu wala vibaya ndio maana mungu anamsaidia sababu yeye hana muda na mtu.
Tatizo apo mafahar wawili walikutana ndomana walishindwana apo inabidi umsikilize anavyotaka BCS anajua anachotaka hataki kupelekwa kama huna uvumilivu huwez ndio kuwa nae..kwamana iyo daimond anapenda uwe chini yake ukitoa mapembe tu Chali chini
uyo kaongea ukweli ndomana mnamshambulia....ila kimoyo moyo mnajua...ukifanya kazi na dai ujue wewe ni mshiriki tu mambo hupangwa na yeye...so mbaya ila msikatae ukweli
Mtu mwenyewe sauti tu nzuri kuliko ya mke wangu unaelewa nini sasa kwake akatafute cha kufanya asitafute kuingia mjini kupitia simba na hatuna muda wakuskiza biti zakizamani askize bitu ya zombi
mbona munajuzima data aceni music muzuri uwongeye sky homornize n vany boy ndo wana music wanawujuwa music Sasa week yote iliyo Isha ilikuwa mwambino Sasa tunasubiri mu post show ya ureno ya mwambino tuweni wa kweli bado mwambino aceni kumupa sifa zamudomo Sasa mbona hamuja post tunayitaji mu post show nilijuwa hamuwezi ku post duu 😅
Anaongea kweli ningumu kufanya kazi na msanii kama huyo Nika vile mtu kwenda kwa mamantilie alafu wewe ndio utake kupika badala ya mamantilie Ua unapanda basi alafu unachagulia gia namba gani dereva kuendesha
Kwani haujuwi unayo haki yakuambia dereva wa daladala apunguze mwendo? Unayo haki ya kuambia dereva wa daladala afuate sheria za barabarani ikiwa ana zi vunja ?
@@svt3 Sijasema dereva ana vunja sheria za barabarani pia ana haki ya kukwambia usipande gari lake kama haufati matakwa yake Point nikwamba kila mtu anayo haki ya kusema na kufanya anacho ona kwake ni sahihi bila kuvunja sheria za nchi wala kumuumiza mtu Na ndicho alicho kifanya uyo producer Sasa kama wewe unafanya kazi na mtu na haupendezwi na kitu anacho kifanya alafu unakaa kimya basi ujue una jisaliti na kujidhilumu nafsi yako.
Tatizo sisi wabongo tuna ushabiki uliyopitiliza sana yaaan yaweza kuwa Bob anaongea ukweli kuhusu Diamond ila sasa hao mashabiki watavyomzonga aliyemsema vibaya Diamond huu ulimbukeni sijui utaisha lini? Kama mtu anazingua inabidi achanwe tuu ila masuala ya kuziba makosa yake hii ijakawa sawa yaaan mara nyingi sana kama kuna habari zinazohusihana na Diamond kama ni mbaya utaona mashabiki watavyoenda kumtetea ili hali kweli kile kitu yeye amefanya lakini kutokana na nguvu ya mashabiki zake basi anaonekana hana hatia
Mashabiki wengi wa Diamond n washamba na walimbukeni wako kama manyumbu wanafuata mkumbo Bob maneke anaelezea alicho experience alipokuwa akifanya kazi na daimond na kwamba hawezi fanyanae tena kazi Nikitu ambacho wasanii na maproducer wengine wanaogopa kuongea juu ya mondi