Mwenzetu wapo mbili xna hii radar inafanya kazi ya ulinzi kwa kutoa taalifa ya mashambulizi ya Adi ktk vikosi vyake,uwezo wa kubaini tukio niumbali wa klm,150 manake vikosi vya Urusi vitakua salama Musa wote kwa mashambulizi ya kushtukiza
Utailipua wewe na Nani?! Hii sio timu ya mpira eti wewe ni shabiki unajiweka kwenye utendaji kabisa. NATO wamepeleka silaha wakaziita game changer yaani funga kazi lakini mwishowr wamezirudisha kwa sababu Warusi wanazimaliza. Wewe inaonekana hujui hata unachosema. Hii sio match ya Yanga na Dodoma jiji.
Pengine huyo ni mtoto wa darasa la nne amechukuwa simu ya dada yake na kuandika comment Hajui kama hii vita urusi anapigana na nato pamoja na kiranja marekani ukreni ni kama uwanja wa Mpira Hivi hata haya mamisaada yote bado husomi picha kwamba urusi anapigana na na nani???
alikuwa wapi toka mwanzo uongo mwingi vita imekushinda Kila siku unabondwa niaibu kujiita Taifa kubwa halafu unapigwa na taifa dogo Kama ukreini SASA us utaiwezea wapi
Wewe fala kweli kama angekuwa ni Ukraine mwenyewe anapigana na urusi ungekuta vita vimeisha siku nyingi lkn taifa moja linapigana na mataifa 30 wapi na wapi kuweni na akili nyie mashabiki wa mashoga.
Nato wanapigana na urusi wakitumia jina la Ukraine ili tuu kuidhalilisha urusi ionekane si lolote na nyie mashabiki machoko msiokuwa na ufahamu mnapumbazwa akili na hawa wafiraji.