Тёмный
No video :(

RAIS MAGUFULI AMGEUZIA KIBAO MKE WAKE NA KUMSHUSHA KWENYE GARI, AMPA NENO HADHARANI 

Uhondo TV
Подписаться 599 тыс.
Просмотров 429 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 123   
@josephmsabila3229
@josephmsabila3229 8 месяцев назад
Kama ulikuwa unamkubali DK magufuli gonga like hapa
@oscarkasalile9367
@oscarkasalile9367 5 лет назад
Kamaliza Bundles kwa kufuatilia hotuba zako Nipo tayari nilale na njaa lakini Nijue kwa kila siku unaongea nini. Tulichelewa kupata Rais kama wewe. Najua wewe ni zawadi kutoka kwa mungu Mungu akulinde.
@mourinhonyamkekwa3568
@mourinhonyamkekwa3568 8 месяцев назад
Comment yako nimesoma zaidi ya mara tatu alikua zawadi kutoka kwa mungu 😢
@emmanuelellymwakyusa2900
@emmanuelellymwakyusa2900 6 месяцев назад
una akili saaana mpwa JPM alale pema
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 5 месяцев назад
Daah pole sana
@user-vv6pr4bj8p
@user-vv6pr4bj8p Месяц назад
Tanzanian failed to protect this kind man
@AarahatibuHatibu
@AarahatibuHatibu 13 дней назад
​@@mourinhonyamkekwa3568😢😢😢sana tu
@emmanuelellymwakyusa2900
@emmanuelellymwakyusa2900 6 месяцев назад
missing you BABA haya mambo yalitupa UNDANI na UWAZI wa mambo ya WAJIBU na HAKI 😢😢😢😌😌😌🇹🇿
@stevek8318
@stevek8318 5 лет назад
I'm addicted to watching this man from kenya. Wa! Ndume huyu mh. Rais
@user-vz7fc3vn9p
@user-vz7fc3vn9p 8 месяцев назад
Mimi mkenya lakini namlilia hayati raisi John pombe Magufuli. JEMBE kweli. Pumzika Kwa amani.
@masunga.m.nimloddar9819
@masunga.m.nimloddar9819 5 лет назад
magufulification big up father the best one in the world🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@thobiasmosha60
@thobiasmosha60 5 лет назад
Rais huyu Mungu ambariki sana.
@user-bc5kt8hh6n
@user-bc5kt8hh6n 8 месяцев назад
Hakika watanzania hatutapata kiongoz kama JPM tuzidi kumuombea alale salama😭😭😭😭
@SamwelJoseph-yk3cw
@SamwelJoseph-yk3cw 7 месяцев назад
Tutampata tuu
@luciasospeter6897
@luciasospeter6897 5 месяцев назад
Tuombe Mungu .kwenye stoo yake naamini anao wazuri atatupa
@RizikiRiziki-bp6dx
@RizikiRiziki-bp6dx 3 месяца назад
​@@luciasospeter6897Amen
@princesstaes5483
@princesstaes5483 7 месяцев назад
Nimelia mnooooo😭😭😭😭😭😭we miss you daddy😢
@user-dh4iz7yb8h
@user-dh4iz7yb8h 7 месяцев назад
Bado tunakupenda mungu ailaze rohoyako mahal pema pepon
@user-bl2yf8ef4t
@user-bl2yf8ef4t 6 месяцев назад
Laisi mwenye hakili ndomaana uchumi ulipanda alikua na hakilii❤
@user-nj1jd6zy8e
@user-nj1jd6zy8e 5 лет назад
Mungu akuhifadhi Rais wetu
@HusseinNyongaa
@HusseinNyongaa 8 месяцев назад
Allah ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi
@user-mq1sd8xx8w
@user-mq1sd8xx8w 4 дня назад
Asante pumzika Kwa amani
@user-he2pk6io4d
@user-he2pk6io4d Месяц назад
Vizuri havidumu 😢😢😢😢😢❤ baba pumzika kwa amani 2024 /7/9
@CleverGalaton-tz
@CleverGalaton-tz 3 дня назад
We Miss you Dady
@gorgonusshayo920
@gorgonusshayo920 6 месяцев назад
Maguful huwez kumfananisha kimaendeleo na mtu yeyote . wengn wapuuz tuu
@josephnchunga3019
@josephnchunga3019 5 лет назад
Najivunia kuwa na rais mwenye maono
@benjaminjackson8567
@benjaminjackson8567 8 месяцев назад
Hata Mimi ningechangia laki 5 maaana ni kwa maendeleo ya Taifa letu uzalendo kwanza, RIP John
@mgasa_tz5527
@mgasa_tz5527 Месяц назад
Daah!! Hakika hatuto pata raisi kama huyu tena 😔😔🙌
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 12 дней назад
Am a kenyan ila huyu Rais aliniliza sanaa😢😢😢 rest wel mh magufuli
@ClementinakapewaLihepali-pg5lo
@ClementinakapewaLihepali-pg5lo 9 месяцев назад
Baba tunakukumbuka tunalia kwa uzslendo wako Mungu akuangszie nuru ya USO wake
@sahiamohamed9172
@sahiamohamed9172 5 лет назад
Siku zote hizo ulikua wapi mzee pole sana kwa kazi nzito unayoifanya wanaokupinga niwale ambao wamekosa myanya ya upigaji lkn wala usishtuke coz bado ni wachache ktk nchi yetu na hawana nafasi
@Satier47
@Satier47 8 месяцев назад
Lala salama mzee ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@name-or9ll
@name-or9ll 5 лет назад
hapa kazi tuu
@katabaroonlinetv9688
@katabaroonlinetv9688 8 месяцев назад
Dah sikumpa Kura lakini naijutia Kura yangu Bora ningempa tu
@nuurinkluge7584
@nuurinkluge7584 5 лет назад
🤣🤣👍🙏magufuli his are very good Präsident..anajua hizo watu zinapata lushwa kwaleo zakomeshwa pesa yote yatoka 💝
@allysanya8346
@allysanya8346 8 месяцев назад
Uzidi kuendelea kupumzka kwa Amani mpendwa wetu wa muda wote
@enockmaige8936
@enockmaige8936 4 месяца назад
Dady I miss you
@getrudankole7445
@getrudankole7445 7 месяцев назад
Bado unaishi moyoni mwangu😢😢😢😢😢😢😢😢 JPM
@user-wq7pk2xy7n
@user-wq7pk2xy7n 2 месяца назад
Ndio rais pekee wa kujivunia.ana upeo wa maendeleo.pumzika baba
@davidojuok1608
@davidojuok1608 8 месяцев назад
Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi
@emmanuellkfightforjusticea2474
@emmanuellkfightforjusticea2474 9 месяцев назад
R I P uncle Mumagu
@LugazoSaid
@LugazoSaid 4 дня назад
Kweli alijua kutiq moyo
@marymgimwa
@marymgimwa 3 месяца назад
Nakupenda❤🎉 yaani
@user-pd9cl2xl7e
@user-pd9cl2xl7e 8 месяцев назад
Très bien
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 6 месяцев назад
😢😢😢 Tanzania nchi yangu
@neemabenedictor8211
@neemabenedictor8211 2 месяца назад
Aiseee umetuweza baba🙌
@SalumMapande-uk8md
@SalumMapande-uk8md Месяц назад
Lkn magu eti musifikili sijaoa yaraab mpumzishe kpnz cha maskin na wanyonge
@yonakantu6577
@yonakantu6577 5 лет назад
Uras mzuri sanaa
@noelbryson7840
@noelbryson7840 5 лет назад
Yona Kantu Kwanin Yona 🤩🤩
@naibei_Tv
@naibei_Tv 7 месяцев назад
Ruto anaambia moses kuria aty milioni moja na kuria amesema 10k 😅😅😅😅
@naibei_Tv
@naibei_Tv 7 месяцев назад
Hii pressure haiko kenya 🇰🇪 mmekaliwa Tanzania
@user-zv5dg1bq3p
@user-zv5dg1bq3p 7 месяцев назад
Miami ni mukindi nikukumbush baba wawanyonge nalia Mungu nakuomba umulaze kwaamani Raisi ayati magufuli tunakukumbuka😭😭😭😭😭
@masumbukoclement4582
@masumbukoclement4582 2 месяца назад
Tumekukumbuka Baba Magufuri Pumuzika Kwa Mani😢
@JolotaErastoJuma
@JolotaErastoJuma 15 дней назад
HIVI MUNGU ALIMTOA ILI TUJIFUNZE AU IKOJE
@user-ko7pv1fh7d
@user-ko7pv1fh7d 8 месяцев назад
Hakika mungu Akutunze uko uliko baba twakulilia bado daddy 😭😭
@user-kp5jy5fy8y
@user-kp5jy5fy8y 11 месяцев назад
😮jamani
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 9 месяцев назад
😭😭😭😭😭😭
@bennie7239
@bennie7239 Месяц назад
Next Magufulificationilists notes tunazo tuendelee kula pindi....😎✍🏽
@vanessajames2192
@vanessajames2192 5 месяцев назад
I miss you JPM
@bushbabytz
@bushbabytz 8 месяцев назад
Inauma natokea kumpenda huyu magufuli baada ya kufa jamani😢
@PaschalMbuzi
@PaschalMbuzi 8 месяцев назад
😅
@vanessajames2192
@vanessajames2192 5 месяцев назад
😂😂sasa kwann umechelewa kumpenda
@janethpPoul
@janethpPoul 27 дней назад
Pumzika kwa Aman baba
@JamalDaudlulyeho
@JamalDaudlulyeho 3 месяца назад
Hakuna Kama uncle magu
@user-ot3cg8lb4l
@user-ot3cg8lb4l 10 месяцев назад
Hakuna kama Magu😢😢😢😢😢😢😢
@user-mh9zr8bf6s
@user-mh9zr8bf6s 5 месяцев назад
Tutakukumbuka kwer. Baba yetu hakuna mwingine ira tumuombee makonda kwabadae aje aombe kura awe rahis
@user-ru6gm2cc5n
@user-ru6gm2cc5n 5 месяцев назад
Mzee aacheni akumbukwe tu kwa mengi aliyoyafanya
@KasboyKasmos-md2us
@KasboyKasmos-md2us 7 месяцев назад
😰😰😰mungu akurehemu huko ulipo baba
@johannesmaloda8209
@johannesmaloda8209 5 лет назад
Wananchi tunamuelewa...wapigaji mtaelewa tu
@percysaid5974
@percysaid5974 8 месяцев назад
Hakuna wakufananishwa na Magufuli
@AbuuKiumwa
@AbuuKiumwa Месяц назад
Dahhhh
@user-gf9ej9nd8m
@user-gf9ej9nd8m 8 месяцев назад
Pumzika kwa amani ❤❤❤❤
@user-en8tj4yz6n
@user-en8tj4yz6n 5 месяцев назад
Yan tumepoteza mtu muhim sana mungu kwann lakini?
@aminamwivita7690
@aminamwivita7690 4 месяца назад
Continue rest in peace
@user-jm1kg4lu7b
@user-jm1kg4lu7b 11 месяцев назад
Cha upole mama kipenzi chetu. Maumivu. Ni makubwa roho inauma sana
@user-yq1fd6ok7e
@user-yq1fd6ok7e 7 месяцев назад
Ndo inavyotakiwa baba sema tu cku hiz toka umeondoka duuuuu. Ila pumzika kwa amani maana siku hizi toka ulivotutoka imekuwa............
@user-yq1fd6ok7e
@user-yq1fd6ok7e 7 месяцев назад
Ndo inavyotakiwa baba ulifanya kazi mpaka nikupenda lkn ulivyoondoa baba mambo........
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 5 месяцев назад
Rais kama huyu atoke wapi rest in dear brother
@LydiaMartine-pm4mw
@LydiaMartine-pm4mw 4 месяца назад
Alekumsalam😅😅😅😅 nmecheka kwel
@charlesnzwalla3001
@charlesnzwalla3001 Год назад
BABA 😢😢
@rehmadamian8020
@rehmadamian8020 5 лет назад
Duh ukiwa na Rais ujipange tu maana hapa kazi tuu
@yusuphndavanje5192
@yusuphndavanje5192 4 месяца назад
Tumemiss sana haya mambo ila ndo basi tena
@pollylazmartins9690
@pollylazmartins9690 5 месяцев назад
Mcheshi mno prezzo
@samwelpaschal9527
@samwelpaschal9527 5 лет назад
Hadi mke duh
@mbugamatulanya2149
@mbugamatulanya2149 8 месяцев назад
Lala xalama baba 🙌 😂😂
@Itarusii
@Itarusii 5 лет назад
Eti nazitoa hapa hapa!😥😥
@BabygirlDadiyo
@BabygirlDadiyo 26 дней назад
😢😢😢
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 6 месяцев назад
Mie huwa inaniuma sana nilitamani uwepo
@user-yq1fd6ok7e
@user-yq1fd6ok7e 7 месяцев назад
Ndo inavyotakiwa baba sema tu cku hiz toka umeondoka duuuuu. Ila pumzika kwa amani maana siku hizi toka ulivotutoka imekuwa............ 5:23 🎉
@user-yr5zg5mq5c
@user-yr5zg5mq5c 7 месяцев назад
Matokeo kidato cha nne 3:19
@user-yq1fd6ok7e
@user-yq1fd6ok7e 7 месяцев назад
Ndo inavyotakiwa baba sema tu cku hiz toka umeondoka duuuuu. Ila pumzika kwa amani maana siku hizi toka ulivotutoka imekuwa............ 5:23
@gamingbanana9792
@gamingbanana9792 5 лет назад
Magufuli gelezai kwimba mwanza
@user-hh8sc7lu8q
@user-hh8sc7lu8q 6 месяцев назад
Kipenzi cha watanzania
@rukiamadati336
@rukiamadati336 8 месяцев назад
Mmh Sina hata chakusema
@PriscaJohn-z8v
@PriscaJohn-z8v 24 дня назад
Makonda
@user-jm1kg4lu7b
@user-jm1kg4lu7b 11 месяцев назад
Kipenzi chetu rais nimekukumbuka sana machozi Yamejaa
@user-kw5tj2bz6g
@user-kw5tj2bz6g 8 месяцев назад
Makin
@salehemkomwa4400
@salehemkomwa4400 5 лет назад
piga kazi haswaaa kama selikali yako ulivyoahidi ila Kilosa mifugo yatusumbua sanna wanalisha mashamba Yetu maksudi mkoa WA morogoro tunaumizwa
@alfredinacharles6243
@alfredinacharles6243 3 месяца назад
Endelea kupumzika kwa amani baba
@jahabdallah1829
@jahabdallah1829 5 лет назад
Mimi m south Africa jah hundred thousand rand cash I have it lit now where can send please tomorrow we love you makufuli ninakuja uko morongoro kungombea cheo chochote kile kenye kuwatengenezea wana inchi maisha mazuri kwa watanzania wezetu kwasababu raisi wetu mapema kabisa kampeni tunapita bira jasho mabari amkeni mnayoyataka mnayapata kanali umesiki mjomba sasa tufanyaje kuusu mabaria wote to support makufuli wanaoishi south Africa wote Johannesburg pritoria Portethabert witbank Cape town Durban east London free state wote Richard bay tunaona fanya kazi baba wakimbie kama Sisi walivyo tukimbiza kukumbilia inchi za watu kwa siasa zao kwa manufa yao na watoto zao makufuri awee oyee 👍👏👏
@zainabkizenga8118
@zainabkizenga8118 5 лет назад
Waooooo
@zullaicamatola3431
@zullaicamatola3431 5 лет назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Raaaha sana wachangishe hao
@charlesnzwalla3001
@charlesnzwalla3001 Год назад
Baba
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 6 месяцев назад
Msifikiri sijaoa.
@NakuYona-kn6us
@NakuYona-kn6us 4 месяца назад
Mh Rip
@alize-nm6jw
@alize-nm6jw 10 месяцев назад
Rip
@EmanuelMwandete-tm9jn
@EmanuelMwandete-tm9jn 8 месяцев назад
No no
@djkellyb5539
@djkellyb5539 6 месяцев назад
Kiswahili sanf
@Hashim-tp2ti
@Hashim-tp2ti 5 лет назад
Ni kick hzo
@happynesssamwel2917
@happynesssamwel2917 6 месяцев назад
Bora Kiki zinazofanya kazi Kuliko Kiki za mabango nchi nzima Zisizofanya kazi
@johnmartin1705
@johnmartin1705 5 месяцев назад
Ni wachache
@husseinswalehe3837
@husseinswalehe3837 6 месяцев назад
Hakuna kama wewe hata tokea
@twikaleomary5801
@twikaleomary5801 8 месяцев назад
😂😂😂😂
@ShabaniNanyanga-ch3uz
@ShabaniNanyanga-ch3uz 9 месяцев назад
P
Далее
Почему-то хочется плакать
00:17
Просмотров 500 тыс.
The Trump campaign, upended
27:44
Просмотров 10 тыс.