Тёмный

Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016 

Ikulu Tanzania
Подписаться 281 тыс.
Просмотров 408 тыс.
50% 1

Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016

Опубликовано:

 

14 май 2016

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 209   
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 2 года назад
Huyu mbabe wa dunia aliyesimamia nywele za wazungu bila maji akazawadiwa kifo ndio rais pekee aliyenifanya nihifadhi hotuba zake zaidi ya mia NNE nikajifunza yakwamba "kiongozi mwenye msimamo duniani asipokuwa mzungu ni dikteta"
@gabylove4602
@gabylove4602 Год назад
Umesema kweli baba
@amonphilip5902
@amonphilip5902 5 месяцев назад
Trueeee
@user-sh3tr8cm1v
@user-sh3tr8cm1v 4 месяца назад
Uyu wazungu na wasaliti baina yetu, walimmaliza...
@charlesmillinga992
@charlesmillinga992 3 месяца назад
Hakika kaka
@user-sn1ke4su9n
@user-sn1ke4su9n Месяц назад
P0a ​@@gabylove4602
@bennie7239
@bennie7239 Год назад
Taarifa za habari zilikuwa za moto sanaaa; Rais alikuwa mchapakazi..
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 2 года назад
Tunaomba kujua huyu mama kama yupo hai..hii siku alijiskiaje...half hapa bado walikuwa hawajamjua vizuri mwendazake...shenzi sana hawa....na uskute hii hali imejirudia sasa hv...huyu baba mungu amuhifadhi huko aliko...kilikuwa chumaaaa
@majumbatv1116
@majumbatv1116 2 года назад
Ameshafariki alikua anakaa tabata mke wa jjjj marangu
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 2 года назад
@@majumbatv1116 mungu amlaze mahali pema na tunamuombea kwa mungu amsamahe dhambi zake... Mungu amrehem.
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 Год назад
Alifàriki kwa kuumwa? Au kwa kihoro cha tukio hili?
@MuchomaMucomani
@MuchomaMucomani Год назад
Shida ya African ni wa africa tu ! 😢😢😢 RIP BAba najia uchungu kila siku , na misi mutanzania so sad 😢
@edwardnamakonde156
@edwardnamakonde156 Год назад
Ni mafisadi tu wanaweza kutuambia kuwa huyu alfuwa hafai kabisa.
@flova7022
@flova7022 Год назад
Jaman Kuna wanawake Wana adabu mkono tu na goti kuchuchumia daah l wish all now days girls be like these mamas
@starworldengineering9523
@starworldengineering9523 2 года назад
Duh magu mungu akulaze maali pema
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 2 года назад
Mungu akupe pumziko la Amani
@user-uq2mo7mw2l
@user-uq2mo7mw2l 4 месяца назад
Naasikiliza 3/2024 kama angekuwa hai huyu mtu hadi leo tz ingekuwa mbali sana
@frenziangella6676
@frenziangella6676 Год назад
Siwezi kumlaumu MUNGU ila kila jambo linamakusudi yake lakini tunaumia sana
@eliakimyesse6086
@eliakimyesse6086 2 года назад
Lala pema peponi kamanda,
@jumahassan273
@jumahassan273 Год назад
Mungu bado yupo nasi tutapata tu rais mwengine atakuwa kama wew baba ila kwa sasa atuna kiongoz wa kuendesha kazi zako ila yupo aliyekalia kiti tu na kula kuku na mrija
@mialanomangobo9356
@mialanomangobo9356 2 года назад
Poleni kumpoteza jembe huyo Hona ukaguzi wake sehemu nyeti
@robertchuri3222
@robertchuri3222 Год назад
Lala salama mjomba magu yote maisha tu tumeshindwa kukutumia mungu ameamua kukubeba lala salama
@jumaakida5951
@jumaakida5951 2 года назад
Huyu alikuwa rais mfuatiliaji!! Hakika amepita sijui kwamiaka yaribuni kama atapatikana mtu kama huyu muadilifu na mzalendo
@fakiinajummwe9972
@fakiinajummwe9972 2 года назад
Atotokea Kwa kizazi hiki
@mpabwas5916
@mpabwas5916 Год назад
Mungu hutoa kwa namna inavyompendeza tusubiri Maamuzi ya Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema
@rosemongi5273
@rosemongi5273 Год назад
Mpaka sasa bado ningali na maumivu ninapo tizama kazi zako baba pumzika kwa amani,mwenyezi mungu tukumbuke tena tunakuomba ameeen
@hashimally
@hashimally Год назад
Musa shegh dar
@kelvinmugini6793
@kelvinmugini6793 2 года назад
genious
@stevenmundi3142
@stevenmundi3142 Год назад
Akitokea rais mwenye kujua vitu kama magu mniite mbwa niko lape👉 nimekaa
@user-sh3tr8cm1v
@user-sh3tr8cm1v 4 месяца назад
Haha, yani wewe
@FadhilMsuku
@FadhilMsuku 11 дней назад
Philip mpango Palamagamba John kabudi Paul makonda
@johnmichire7809
@johnmichire7809 10 месяцев назад
Huyu rais ana akili sana,yaani arrival and departure passengers wanaweza tumia scanning machine moja
@richardmalley68
@richardmalley68 2 года назад
Endelea kupumzika kwa amani mwamba na shujaa wa Afrika
@ndikumanaismail5419
@ndikumanaismail5419 6 месяцев назад
Allah akuhifadhi mzeh wetu
@evancykashaga6576
@evancykashaga6576 2 года назад
Daaa uyu jaaaaa niatareee sana pumzika kwa amani jembe
@emmanuelntalima1717
@emmanuelntalima1717 2 года назад
Huge Loss of a true Hero..😔🤨😪
@anastaziabenedict7775
@anastaziabenedict7775 Год назад
Mrrtþtttþ¾eedèŕrŕŕrŕe
@emmanuelsitayo1977
@emmanuelsitayo1977 Год назад
Hivi ndivyo mambo ya nchi yetu yalivyo. Inasikitisha mno. Hakuna anayesema ukweli, taaluma haitumiki na haku dhana ya uwajibikaji kabisa
@safarirockerz2781
@safarirockerz2781 Год назад
R I P DADY.. you’ll always be in our hearts..
@azadiunatishamumyloveungab6614
bba ahsante kwa kazi
@edmundbarongo8649
@edmundbarongo8649 Год назад
Great Loss, Mungu utulinde.
@issayasosolo6033
@issayasosolo6033 Год назад
Kwa Nini tusiendelee kukumbuka Kazi ya Magu yatupasa, Ukiwa mwizi hata majibu yako nayo yatakuwa Ni ya wizi tu, Majibu yamekuwa sifuri kabisa pumbavu zao!
@zainabubalama8869
@zainabubalama8869 2 года назад
Huyu mwamba alikuwa chuma
@kingmwaxoh6420
@kingmwaxoh6420 2 года назад
chuma hasaa
@daudpaulo2867
@daudpaulo2867 Год назад
Rais Wa Dunia JPM pumzika kwa Amani
@chidiomari.65
@chidiomari.65 Год назад
My President forever R.I.P Baba
@stanslausbereghe3819
@stanslausbereghe3819 Год назад
Kweli baba, nchi yetu na wananchi wetu tunaibiwa, hivi kwann watanzania dhambi yetu ni kubwa? Hali ni mbaya Tanzania yetu. Pumzika kwa amani. Mungu akuondolee adhabu ya mauti.
@usetobe.1067
@usetobe.1067 Год назад
One in a million..Rest easy Buldoza
@user-ct4jp1ux1z
@user-ct4jp1ux1z 4 месяца назад
RIP JPM we really miss you. Mambo haya unaweza kuta yamerudi tena!!!
@motivational_leader
@motivational_leader Год назад
Nakukumbuka sana magu 😢
@ishipalemypasco2567
@ishipalemypasco2567 2 года назад
Sema ukweli 😂😂😂😂👍👍👍
@fredythomas1848
@fredythomas1848 2 года назад
R.i.p jpm🙏🙏
@deswaggz6185
@deswaggz6185 2 года назад
Nimerudia mara mbili mbili, kila nikimuangalia mama dah n aibu
@tillionsmon6131
@tillionsmon6131 2 года назад
Tutakukumbuka babaetu,Pumzika kwa AMANI baba.
@clementmusa7799
@clementmusa7799 Год назад
Mungu acha aitwe Mungu
@tatutumbi4640
@tatutumbi4640 Год назад
Pumzika kwa Amani Baba. Umetimiza wajibu wako. RIP. 😭
@bonfaceomuhande6332
@bonfaceomuhande6332 7 месяцев назад
That's management indeed.everyone must be accountable for his docket
@ishipalemypasco2567
@ishipalemypasco2567 2 года назад
Hilo lizee la nyuma mbona kama museveni wa uganda
@jairosjulius3466
@jairosjulius3466 Год назад
Ahahaha mwenyewe nikajua museven
@mpabwas5916
@mpabwas5916 Год назад
Tumepoteza chapakazi na mfuatiliaji mzuri
@alexmpoke2610
@alexmpoke2610 2 года назад
Duuh huyu mwamba huyu!RIP.Tunapoongoza watu lazima kuwashirikisha staff wote kuanzia ngazi ya chini.Sasa hivi Domestic pia wanakagua Daresalaam wakati wa kufika
@huguetteomari3198
@huguetteomari3198 2 года назад
Kwa kweli Kuna watu mungu aliwapa hakili ya kuhongoza lchi na kufatilia kweli kweli, pumzika kwa Amani aliekuwa Rais mkamilifu mwenye busara ndefu,
@huguetteomari3198
@huguetteomari3198 2 года назад
Kila siku nikiona video ya ayati mangufuli huwa na humiaka kwenye rohoo Sana ,
@sisye1
@sisye1 2 года назад
Kama drama vile.. Sema ukweli
@Joseph-lu4yj
@Joseph-lu4yj 4 месяца назад
Ahsante Jpm hata maisha yangu yamebadilika kwa misimamo yangu niliyo copy kutoka kwako
@mfarijikibinga9281
@mfarijikibinga9281 2 года назад
daah, RIP JPM
@fedrickmaganga2693
@fedrickmaganga2693 2 года назад
Good job
@papangoda229
@papangoda229 2 года назад
Ulinidanganya sindio
@anthonynjoroge968
@anthonynjoroge968 4 месяца назад
😢Rest well ....Your Excellency Dr John makufuli ,u were a no nonsense leader,
@fadhilimbilinyi274
@fadhilimbilinyi274 8 лет назад
Ifikie hatua sehemu nyeti zijulikanike pia na wakuu wa mikoa kumsaidia rais, kama isingekuwa kusafiri na ndege maana yake hiyo ingekuwa njia ya panya...Tanzania tuamke hadi viongozi wa chini sio mpaka mawaziri au wakuu wa mikoa...na ni vyema kuthibitisha kwa uhakiki...mpaka rais afanye haya...lol...inaweza kuchukua muda mrefu kukua kiuchumi kwa mwenendo wa kumtegemea rais, viva rais na uwe na afya njema siku zote za uongozi wako...
@user-wg1hw5kj2o
@user-wg1hw5kj2o 5 месяцев назад
14:23 MR PRESIDENT YUKO NA QUESTIONING MIND 😎😎
@isayakiyeyeu6295
@isayakiyeyeu6295 Год назад
Tutakukumbuka milele😭😭😭😭
@waswajumbe1075
@waswajumbe1075 Год назад
Magufuli rip 😭😭 ulikuwa rais Wa nguvu
@user-vn9yi3dj4q
@user-vn9yi3dj4q 8 месяцев назад
Mungu amrehemu jpm, ndio maana walimmaliza kwa kutenda ukweli jamani
@LengaiSaruni
@LengaiSaruni 6 месяцев назад
Baba umejitaidi Sana ila mungu kakupenda said
@bizzosela6186
@bizzosela6186 2 года назад
😭😭😭R.I.P
@basitv2299
@basitv2299 Год назад
We miss u baba
@chrissamani7921
@chrissamani7921 Год назад
Mising you so much my przdt😭
@tedroyc9897
@tedroyc9897 Год назад
You went too soon ,Much love from Rwanda
@nsanzetito1453
@nsanzetito1453 Год назад
Kasim atafanya kazi badae
@paulkarani559
@paulkarani559 9 месяцев назад
4:16 mhudumu wa uwanja 'Ni arrivals'...4:19 Rais maghufuli 'Arrival!kwa hivyo unataka kusema staffs wote huwa ni arrival'?😆😂😅,..Rais maghufuli ulikuwa kiongozi wa pekee sana,endelea kupumzika kwa amani 😢🙏🙏
@ntegrity277
@ntegrity277 Год назад
Kwani hyo mwanamke ni WA Nini? Kuna watanzania smart kuliko huyo Muongo
@Hbk206
@Hbk206 26 дней назад
We miss you
@user-zd7iw3my3y
@user-zd7iw3my3y 10 месяцев назад
😢😢 r.i.p Jpm
@rehemashabaniameen
@rehemashabaniameen 11 месяцев назад
Ndomana madawa yalikua mengi sana nchi
@user-wg1hw5kj2o
@user-wg1hw5kj2o 5 месяцев назад
Mwaka mmoja bado ni mgeni 😂😂😂😂😂😂😂 7:00
@jumahassan273
@jumahassan273 Год назад
Mwamba uyo
@fidelislugusi5361
@fidelislugusi5361 Год назад
Tumekumiss sana dah😭😭😭😭
@eriminahchai8489
@eriminahchai8489 Год назад
Kazi safi sana makofuli
@PrissilaHussein-og3cg
@PrissilaHussein-og3cg 10 месяцев назад
Huyu mama Muongo da watanzania kwel tubadilikeni
@saidsalum4602
@saidsalum4602 Год назад
Tutakukumbuka baba
@FaridaIbrahim-ym6jy
@FaridaIbrahim-ym6jy 4 месяца назад
Rest in peace
@kelvinmugini6793
@kelvinmugini6793 2 года назад
ni yeyeeeeeeeeeee
@patrickmarwa5024
@patrickmarwa5024 Год назад
Kuna mambo unapo angalia naona kama na angalia tamthilia hapa
@richardtungaraza7509
@richardtungaraza7509 2 года назад
Huyu mwamba dah
@thabitabas7539
@thabitabas7539 2 года назад
r i p magu mis you
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Год назад
Duh.... yaani ni watendaji wa serikali ni Mtihani sana, sehemu kama hii ulinzi wa kitoto namna hiyo..!..duh
@flova7022
@flova7022 Год назад
RIP Baba daah
@FilbertKalembe-fy4oq
@FilbertKalembe-fy4oq Год назад
Mpaka arepot pot kweli inchi hii ndomana masikini hatufanikiwa wiz mtupu
@FilbertKalembe-fy4oq
@FilbertKalembe-fy4oq Год назад
Elimu siyo uelewa haya majitu sijui vyeti vya kugushi
@nuruabasi5503
@nuruabasi5503 2 года назад
😭😭😭
@lutahmwesi8525
@lutahmwesi8525 Год назад
😭😭😭 Daaaaah!!rest in peace.
@frankmwinuka6298
@frankmwinuka6298 Год назад
Kweli mjomba huyu alikuwa na maswali kama tacknic
@manigajr5127
@manigajr5127 Год назад
Huyu wiki mbili huyu mwez huyu miez m3 ila hiiiii bongo nyoso
@omarybakari1681
@omarybakari1681 Год назад
Wabongo waongo sana
@emmanuelhema186
@emmanuelhema186 Год назад
Machozi yamenitoka baada ya kumsikiliza Mwamba wetu aliyetangulia mbele za haki
@pascalntandu1217
@pascalntandu1217 Год назад
R.I.P daddy;hii nchi watu wetu uaminifu hakuna;kwa mfano kwa bahati mbaya nikawa raisi wa hii nchi mtatafuta pa kwenda wajinga wajinga wote.
@priscamrekoni3451
@priscamrekoni3451 11 месяцев назад
😅😅😅 eti utafagia wote 😅
@FabriceKihanga-de7rp
@FabriceKihanga-de7rp Месяц назад
Jembe 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@halunimnenwa5224
@halunimnenwa5224 Год назад
Kwahiyo awo asubuhi wanaamka wanaoga wanajiandaa wanaenda kazini kumbe mashine zenyewe hazifanyi kazi
@ipyanamwangonda5286
@ipyanamwangonda5286 7 месяцев назад
Alikuwa baba wakuyipenda inchi yake
@lameckkasuga2270
@lameckkasuga2270 Год назад
Magufuli 🙏
@emarrgeorge8536
@emarrgeorge8536 Год назад
Baba 🇹🇿🙏
@its_momanyi
@its_momanyi Год назад
When the public is rotten, there won't be civilization in a country. I still can't believe this great is no more. R. I. P Daktari
@denistarange5580
@denistarange5580 2 года назад
Dah
@alirashid4887
@alirashid4887 Год назад
BABA HAKUNA KAMA WW 😭
@bienvenukichambaomar5067
@bienvenukichambaomar5067 5 месяцев назад
Sijaona kweli😅...Congo 🇨🇩 tumpate wapii?
@frankmwinuka6298
@frankmwinuka6298 Год назад
Chuma hicho tutakukumbuka baba yetu
@gedionngetich6678
@gedionngetich6678 Год назад
Rip
@expert5898
@expert5898 2 года назад
Ulikuwa n uozo Ila!!!
@evanstum5032
@evanstum5032 Год назад
RIP baba
@adrianbrown3586
@adrianbrown3586 5 месяцев назад
I.will always remember you
Далее
Ziara ya Rais Magufuli kwenye Bandari ya Dar es salaam
5:57
🤯️ Vini Jr. ✖️ Brahim 🤯
00:13
Просмотров 3,1 млн
Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa
16:08
Просмотров 107 тыс.
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
🤯️ Vini Jr. ✖️ Brahim 🤯
00:13
Просмотров 3,1 млн