Тёмный

RAIS SAMIA AMSHANGAA MWEKEZAJI MCHINA AKICHAPA KISWAHILI SAFI | TUTACHAPA KAZI HAPA USIKU NA MCHANA 

RAI TV
Подписаться 96 тыс.
Просмотров 33 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 70   
@barakambasile2651
@barakambasile2651 3 месяца назад
Asante jpm kukitangaza klswahili
@Kim19onlinetv
@Kim19onlinetv 2 месяца назад
Hahaha kiswahili lilijulikana kabla ya magufuli
@abdulrahmanally1412
@abdulrahmanally1412 2 месяца назад
Acha ufala, kiswahili kimezungumzwa before the deceased
@Mumewangu
@Mumewangu 2 месяца назад
@@Kim19onlinetv huyo chizi magufuli kaingiaje apo
@JamesJastin-bg1rx
@JamesJastin-bg1rx 2 месяца назад
Magufuli mwenyew kiswahili hajui anaongea kiswahili Cha kisukuma
@azzaalhabsi1505
@azzaalhabsi1505 2 месяца назад
Mchina umejitahidi kuzungumza kiswahili. mashaallah.
@ELIZABETH-uz6dv
@ELIZABETH-uz6dv 2 месяца назад
Me too I'm speaking Chinese ❤❤❤❤from 🇨🇳 kwa sasa ila nimezaliwa Tanzania 🇹🇿
@IssaAbushehe
@IssaAbushehe 2 месяца назад
Good
@khamiskhamis9947
@khamiskhamis9947 2 месяца назад
Really???
@emanuermbata8745
@emanuermbata8745 2 месяца назад
Vizuri, ila kunanafasi ilikwepo bomba la mafuta walitaka m2 jama ww
@ayoubbenta4499
@ayoubbenta4499 2 месяца назад
Hi china,asante sana kwa kukuza ,kuendeleza,kusimamia na kuongea kiswahili hongera sana hongereni sana watu wa china’watanzania na east africa, na africa kwa ujumla tunawaomba tukikuze kiswahili
@saidkipalo4427
@saidkipalo4427 3 месяца назад
Safi Sana Mama Samia ooyeee 🙌
@josephmathayo5139
@josephmathayo5139 2 месяца назад
Hongera kwako Muwekezaji toka China
@mathiasmichael9915
@mathiasmichael9915 3 месяца назад
Asante mama Samia Asante Sanaa DK. JP Magufuri
@allyhasani3750
@allyhasani3750 2 месяца назад
Magufuriii
@shaban6644
@shaban6644 3 месяца назад
Mchina Yuko Vizuri, Hongera Mama.
@meshacksabuni7541
@meshacksabuni7541 3 месяца назад
Kweli wenzetu wako serious na mambo yao. Mbali na matamushi yake kuathiriwa kidogo na lugha ya kichina, sarufi yake iko vizuri.
@enosFrank-r8f
@enosFrank-r8f 3 месяца назад
Hongera sn dada
@allywilson4155
@allywilson4155 3 месяца назад
Yupo vizuri sana
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 3 месяца назад
Safi sana,sasa nasi tujifunze kuwa Kiswahili kinapendwa ,China na Japani wanaongea luga zao lakini unasikia raha sana kusikia wageni kama hawa wakiongea ruga ❤❤❤❤
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 2 месяца назад
Lugha na sio ruga au luga hapana ni lugha.
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 3 месяца назад
Umejitahidi kwakweli 😅❤
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 2 месяца назад
Hongera.. shunshaaaa
@kavakurejeanBaptist-nk7jz
@kavakurejeanBaptist-nk7jz 2 месяца назад
Safi sana
@alexolelaba6118
@alexolelaba6118 2 месяца назад
Waoo congratulations
@Halphan-cw3de
@Halphan-cw3de 3 месяца назад
Huyu mchina anafurahisha na kiswahili chake😂
@MkonoZacharia
@MkonoZacharia 3 месяца назад
Uko vizuri mchina safi sana tuko pamoja
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 3 месяца назад
Tizama wenzetu wanavopenda lugha yetu lkn ss tunakidharau kiswahili
@Mumewangu
@Mumewangu 2 месяца назад
Ana jambo lake tu analitaka. Pia kwao ukienda utazungumza lugha gani
@adamhashim3352
@adamhashim3352 2 месяца назад
Halafu ss tukikosea kiswahili tunachekana
@isaacvtv547
@isaacvtv547 3 месяца назад
Ukute kuna mtanzania hawezi kuisoma hata lugha yake. Ila natambuwa si wote wamepata bahati ya kupita primary school.
@dotolinos3750
@dotolinos3750 2 месяца назад
wanao msifia wote bumbavu zenu. Mrundi akiongea Kiswahili namuna hiyo mnamcheka.
@TinasheBeture
@TinasheBeture 2 месяца назад
Tres bien madame ❤❤❤❤
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 3 месяца назад
Tupende Watoto Wetu kuongea..Kiswahili lugha zingine ni Ziada tu..tusijivunie watoto wetu kuongea lugha za kigeni.
@BJMKANGALA1
@BJMKANGALA1 3 месяца назад
Halafu baadhi ya watanzania hawapendi kiswahili! Bila sababu ya msingi mzungumzaji anachanganya kiswahili na lugha ya kiingereza hasa wachambuzi wa habari kwa dhana kwamba kwa kufanya "ulimbukeni" huo wataonekana wameelimika sana! Kwa bahati mbaya mpaka viongozi wetu wakuu nao ni mchanganyo wa lugha. Majuzi kati nimemsikia kiongozi mmoja wa enzi hizo akisema "kiongozi wako wa juu akikosea basi wewe wa chini haraka sana unamkava" akimaanisha neno la kiingereza "cover" Nikachoka kabisa! Watanzania tuipe thamani lugha yetu ya kiswahili. Wahenga wamesema kipende chako na mdharau kwao ni mtumwa!
@LiisaMaisha-is1hi
@LiisaMaisha-is1hi 3 месяца назад
Umesema ukweli inanikera mtu akichanganya kingereza na kiswahili.tuvunie lugha yetu inayotuanganisha watanzania wote.
@BJMKANGALA1
@BJMKANGALA1 3 месяца назад
@@LiisaMaisha-is1hi asante Mkuu tusaidiane kupaza sauti kupigania lugha yetu ya kiswahili itumike kiufasaha kama kiunganishi cha Taifa. Mimi na wewe na yule tukiungana tunaweza kuwabadilisha tabia hawa "matapeli" wa lugha!
@hajihassan5433
@hajihassan5433 3 месяца назад
​@BJMKANGALA1 Ni kweli lakini na hao wanaojiita Wataalam wa Kiswahili wanatuharibia lugha hii mfano" Komputa" kuita kidadavuzi mpakato. Kwangu mimi bora hao wanaochanganya na Kiingereza. Kiswahili kwao ni pwani hasa Zanzibar.Kila mtu kutaka eti awe mtaalam wa Kiswahili wanakiharibu sana.
@Malata_francis
@Malata_francis 3 месяца назад
Mmh
@jacksonmbonea7411
@jacksonmbonea7411 3 месяца назад
Safi sana😢
@HappnessYohanaRohongo
@HappnessYohanaRohongo 3 месяца назад
❤❤🎉🎉
@barakamanga5502
@barakamanga5502 3 месяца назад
Safisana mchina
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 3 месяца назад
🇹🇿🇹🇿🌹👏
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 2 месяца назад
Tumpe ubarozi wa kiswahili pale Ubungo kwenye kituo Cha uwekezaji
@Mumewangu
@Mumewangu 2 месяца назад
Kachina ana kasura kazuri sana hasa kajicho chake
@ELIZABETH-uz6dv
@ELIZABETH-uz6dv 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂haya sasa
@Mumewangu
@Mumewangu 2 месяца назад
Tanzania yote wanaozungumza kiswahili ni asilimia 45 tu. Lugha ilobakia niza makabila. Sasa kwa nini tusizungumze kishwahi sote
@smstore5535
@smstore5535 3 месяца назад
😂❤
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 3 месяца назад
We don't need chains lnvestor in Tanzania why chains are selfish want to seal everything in Africa not even giving Africa technology to lnvested at list Africa benefits even machine of creat spoon or stick of clean teeth chains can't creat here in Africa chaina want to hold every single thing in Africa disappointed our africa leader asepty such move tunaimia sana ktk mataifa yetu ya kiafrica mpaka nchiti za kiberiti machine itoke china viberiti vitoke china miti yetu wenyewe aibu toileti papar machine china Sasa hii ni aibu kwa mataifa yetu ya kiafrica jee lini Wana sayansi wetu watskwenda kuongeza ujuzi wao ktk nchi zilizoendelea waje kuwa Creator ktk mataifa yetu ya kiafrica km vile lran
@johnshayo9635
@johnshayo9635 3 месяца назад
Tusipende sifa sana
@yohanemwitumba3711
@yohanemwitumba3711 2 месяца назад
Awa wawekezaji wote wamejua wakija hapa Tanzania wakiongea kiswahili tuu mnawapa kipaumbele kwahiyo wanakuja na propaganda za kiswahili Ili msaini nikataba Yao 😂😂😂😂😂
@yohanemwitumba3711
@yohanemwitumba3711 2 месяца назад
Mnashanga kiswahili wanakuja tuu kutuibia ao
@MatelakaMk
@MatelakaMk 2 месяца назад
Vp huyo mchina kaolewa
@ELIZABETH-uz6dv
@ELIZABETH-uz6dv 2 месяца назад
😂😂😂😂😂ndio ameolewa anamtoto mmoja tena wakiume mimi namfahamu nipo huku 🇨🇳
@kavakurejeanBaptist-nk7jz
@kavakurejeanBaptist-nk7jz 2 месяца назад
😂,😂😂😂😂
@KoleYasini
@KoleYasini 3 месяца назад
Kumbe anasoma
@hajihassan5433
@hajihassan5433 3 месяца назад
Na wewe tukikuandikia Kichina utasoma?
@baloz8974
@baloz8974 3 месяца назад
Akili zako haziko sawa ,kila hotuba ya kikao baina ya wawekezaji na serikali lazima iandikwe
@allymnyenye8109
@allymnyenye8109 2 месяца назад
Achana na kenge huyo​@@hajihassan5433
@jjjhhb4300
@jjjhhb4300 3 месяца назад
😂
@suleimanikirassahassan9711
@suleimanikirassahassan9711 3 месяца назад
Kiswahili gani wakati ameandikiwa anasoma
@hajihassan5433
@hajihassan5433 3 месяца назад
Na wewe tukikuandikia kwa Kichina utaweza kutusomea? Usiwe mgumu kutoa pongezi!
@baloz8974
@baloz8974 3 месяца назад
😂😂😂​@@hajihassan5433 swali zuri
@baloz8974
@baloz8974 3 месяца назад
Hotuba zote watu huandikiwa ijulikane ni nini agenda ya kikao. Sasa wawashwa wapi .?
@isaacvtv547
@isaacvtv547 3 месяца назад
Hivi wakikuandika ki china usome kama yeye utaweza?
@kidatokassim7616
@kidatokassim7616 2 месяца назад
Ukiandikiwa kichina utaweza 😂😂
@Malata_francis
@Malata_francis 3 месяца назад
Mmh
Далее
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Просмотров 4,7 млн
🎙Пою РЕТРО Песни💃
3:05:57
Просмотров 1,3 млн
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
Viral Video of a Man's Crazy Job Interview
16:02
Просмотров 1,1 млн
Noam Chomsky - Why Does the U.S. Support Israel?
7:41