Tuliipenda wenyewe tupambane na hali yetu Ni sawa na mpishi yuko jikon , chakula kiko tayar ila hafikish mezan ukiuliza tatizo ni nn eti hata yeye mwenyew hajui Kumbe mkuu wa nyumba amefunga mlango Hiyo ndiyo Cement Nondo Mabati Mafuta ya kula Hii ndiyo nchi ya uchumi wa kati