Roma na stamina kunakitu nataka niwajuze nynyi niwasanii wakubwa sana na mnauwezo wa kuandaa show na mkapga pesa ila sijui mnakwama wapi yaan naona kamamnarud nyuma hv tena roma umesoma hvyo jarbu kufanya music business na usifanye kama unatafuta tu ela ya mboga tu no usifanye hvyo
Safi sana, Artist anatakiwa kuwa makini kujibu maswali pindi aulizwapo media, sio kukurupuka na kujibujibu sio vizuri. Of course Rostam mpo vizuri pia ktk uwasilishaji wenu ujumbe kwa Jamaa yenu inayo wazunguka, so binafsi nawaombea kwa Jah awatangulie katika kazi zenu mzitumazo kwa Hadhira.
Millardayo unachagua sana aina ya watu wa kuwapa interviews na kuwa support na hili umelifanya kwa kipindi kirefu sana. Binafsi nakubali na kuheshimu kwa ukubwa ulionao kwenye industry ya media but in professionalism huwa sikusomi kivile sababu umechagua upande haupo balanced. Wapo wasanii wengineo pia wanahitaji uwepo wako wape nafasi pia kiroho safi. Kuna mtu anaitwa Lillommy pale times anafanya kazi na wasanii karibu wote wa Tz..yaani yupo very balanced na hana ukubwa ulionao 🙏 ukweli umuweka mtu huru Sorry kama nitakukwaza.
Asa jaman mnataka mabaunsa tusipate riziki??!!! Ifikie mahara tupeane mchongo tu jaman maana ata sisi mabaunsa tunasaka hella kwahiyo sio poa kupondea ajira. Baada ya mziki/baunsa kuna maisha mengine yanafata.
Nyie mnazingua watu tunapeana michongo ayo majungu tu ata ao baunsaa niwatu mtu kuwa na baunsa wengii usijajii xana kimpango wake na wew kua na wengi alafu pia msifananishe watu
Bhareksa ana cha moto anatembea nacho haitaji baunsa.Wasanii mnajilinda na vibaka waporaji wa mikufu yenu .Kama weee huna ,huitaji baunsa.Wanini????Hata kiatu cha maana huna.
Jamani kua namabaunsa. Nimoja ya ajira. Hao baunsa wote walikua mtaani hawana ajira. Sasa dimond kawa mbunifu. Na ameacha ubinafsi wakula pekeake. Kawaita anawalipa hapo tatizo liko wapi. Wabongo mbona hamna jema..lakin pia ni usalama kwake. Kumbuken pia wasani wanakufaka wakati mwingine kwakukosa msaada wakiulinzi..mfano albat mangwea. Steven kanumba..nakuna bondia anaitwa tomac mashali. Nawengine wengi tu. Shida yawabongo mnasahau kwaharaka sana. Waacheni baunsa nao wapate ajira jaman
Bakhressa ushamuona kwenye mikusanyiko ya watu,wafanyakazi wake tu wengi hawamjui kwa sura Mabaunsa wanafanyakazi wanalipwa mishahara wanaendesha familia zao Kuna nyie mnaimba kuna wanaocheza shoo kuna wanaokusanya mapato getini kuna wanaobeba vyombo nk au Roma zote unafanya mwenyewe?
@@frankmaria6717ni sawa ila angalia vzr utumikaj wao ni sahihi au maana me naona km fation to kwa waliowachukua Angalia na kiundan zaid usieke ni ushabik kaka wakat ata ww umgelua stej iyo usingefanya
Hakuna mahali nimezungumzia ushabiki kwenye andiko langu, Kuna watu wanatushangaa tunavyoweka bando kwenye simu wanatamani hizo pesa wangepewa wanunue unga wa ugali kwamba tunatumia pesa vibaya Ni sawa na kijana anapambana anatafuta pesa yake anatumia kwa starehe zake hasaidiwi na mtu kuwalipa hao walinzi sisi tunatukanana na kukashifiana mitandaoni Ni mtazamo wangu pesa zinatafutwa na mtafutaji akizipata namna ya kutumia mradi havunji sheria ni haki yake,
kuwa na bodyguard mara nyingine ni kuiweka brand yako iwe expensive na vilevile una protection as huwezi jua nani mbaya nani mzuri. Ila bodyguard 10 au zaidi ya wa5 duh hapo sasa utata
Roma acha bangi mnavyozidi kuwasema watu wenye mabaunsa mnajitengenezea uwadui na hao watu maana wanapata ajira tosha mkisema bakharesa yeye ni utashi wake!nyie hamna pesa zakuwalipa!
@@japhetkavishe2347 bila shaka kama ukijua maana ya popularity...leo hii bakharesa atembee nan anaemjua na kumzonga? Bakhera ana pesa kuliko Daimond ila diamond ana fans'base kubwa kuliko bakharesa...ukibisha bisha
Stamina kama konyagi ilishika mid interview, kwanza baada ya kuulizwa ya ndoma.. kaka kama alishikwa depression... tafathali bro Roma acha dogo home ukienda interview asije jiwekea kamba shingoni ateleze tumsahau bure... izo dude zicome come despite all
Bakhresa anavaaa ndara na shati LA mtba suruali kauka nkuvaee hana Pete wala chochotr cha samani ...alindwee nn ila usijidanganye kubwa halindwii analindwaa jaribu uone....kumbka Mo.
Si hivyo tu pia ni moja ya ajira kwa wale Baunsa sababu wanalipwa nao wanapata riziki au wanataka wale jamaa wakakabe tuache ukuda ni ajira moja wapo vijana wanajipatia we huna uwezo wa kufanya hayo piga kimya roma
Wabongo bhana kwani mnateseka mtu akiweka bodyguards? Inaonesha nyie ni wabinafsi wa maendeleo maana hao bodyguards wanaolipwa na wao wanafamilia zao na kazi yao ni hiyo.. Mlitaka hao bodyguards wale kwenu
Kama biashara yako ni kuuza maandazi hauhitaji BodyGuard. Sisi tunaita Bodyguard ninyi mnaita Baunsa kwa lugha yenu. Lakini kwa mwanasiasa, mcheza sinema, mwanamuziki ushindani na maadui ni wengi kuliko wafanyabiashara wa kawaida. Hata hivyo Baunsa si kwa ajili ya kulinda fedha za wafanyabiashara bali mwili wa watu maarufu.
Guys don’t be so stupid, Bill gate does not have baunsa but 50 cent does. There is richness and famous, Tanzanien don’t understand it. Don’t hate someone who has Baunsa, it part of creating works. That why you America there is a lot of jobs and Africa always suffer
Upo sahihi stamina,mambo yako ya ndoa usiyajadili mitandaoni.Wabongo sijui twakwama wapi,yaani private life twaidhihirisha na hao hao tena baadae wanaanza tena kukucheka.
@@itongwamtebwa7255 wanazingua. Wenzao wanatoa ajira. Baunsa wanaenda chooni. Tatizo wasani wabongo wabinafsi sana. Ndio mana mond anawanyoosha. Na wcb media ndio itawaonyesha njia media zakubaniabania wasani
@@issackchalahani1235hata chid benzi. Dudu baya nawasani wengi tuu. Wana nyimbo nzuri sana. Zaidi za hao wakina rostam. Lakini wanaelewa na wameheshim nawanakubali kama WCB imeleta mabadiliko makubwa..hapa tatizo sio uzuli wanyimbo hapa tunazungumzia biashara yamusic kwa ujumla
Mashariti ya maganga mmeyakosea mziki wenu majungu itanviw zenu majungu wanangojera haoooooo ngwea ashawambia kuna wengine kwenye gem ndo kifupi wameshapotea ushaambiwa usiyaguse maji kama hujui kuogelea sa cheki Mnavyo tapatapa hawana pakutokea kutwa kumdisi pultinumuz simba na kumroga asiekuroga utafisilika tu