Тёмный
No video :(

ROMA: "BAKHRESA MWENYEWE HANA BAUNSA, NATAMANI NIMNASE VIBAO, FID Q, BAUNSA ANALINDA NINI?" - PT 2 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 115 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 183   
@bosskubwa2727
@bosskubwa2727 4 года назад
Hawa jamaa yaani kwa interview zote wanaongea sense sana, kama unakubaliana na mimi gonga like toka KENYA
@mohamedmlundi5637
@mohamedmlundi5637 4 года назад
Stamina unaznguaga interview sijui kwann...hujibugi maswali vizur........mambo ya no comment ya wanawake ayoo acha umama
@Zanzibar_quiztv
@Zanzibar_quiztv 4 года назад
Muddy show ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-E2iUxMvJbEc.html
@ambaranguathuman4446
@ambaranguathuman4446 4 года назад
Nyie watu hatar sana yani mtu akijifanya kuwafuatilia atakula mweleka hongeren sana mko active sana big up nyingiiii
@martinngwembe9903
@martinngwembe9903 4 года назад
Roma na stamina kunakitu nataka niwajuze nynyi niwasanii wakubwa sana na mnauwezo wa kuandaa show na mkapga pesa ila sijui mnakwama wapi yaan naona kamamnarud nyuma hv tena roma umesoma hvyo jarbu kufanya music business na usifanye kama unatafuta tu ela ya mboga tu no usifanye hvyo
@mathiusthomas3074
@mathiusthomas3074 4 года назад
Unauhakika hawapigi show?
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 4 года назад
Safi sana, Artist anatakiwa kuwa makini kujibu maswali pindi aulizwapo media, sio kukurupuka na kujibujibu sio vizuri. Of course Rostam mpo vizuri pia ktk uwasilishaji wenu ujumbe kwa Jamaa yenu inayo wazunguka, so binafsi nawaombea kwa Jah awatangulie katika kazi zenu mzitumazo kwa Hadhira.
@user-ii4ul8dg1x
@user-ii4ul8dg1x Год назад
Braza hawa jamaa n zaidi ya genius yani unatamani uzidi kuwackiliza muda wote wakiwaga kwa interview..
@aganomgata8680
@aganomgata8680 Год назад
Nmewaelewa sanaaaa mazeeeee 👍
@BiornProductions
@BiornProductions 4 года назад
Millardayo unachagua sana aina ya watu wa kuwapa interviews na kuwa support na hili umelifanya kwa kipindi kirefu sana. Binafsi nakubali na kuheshimu kwa ukubwa ulionao kwenye industry ya media but in professionalism huwa sikusomi kivile sababu umechagua upande haupo balanced. Wapo wasanii wengineo pia wanahitaji uwepo wako wape nafasi pia kiroho safi. Kuna mtu anaitwa Lillommy pale times anafanya kazi na wasanii karibu wote wa Tz..yaani yupo very balanced na hana ukubwa ulionao 🙏 ukweli umuweka mtu huru Sorry kama nitakukwaza.
@samoy5481
@samoy5481 4 года назад
Asa jaman mnataka mabaunsa tusipate riziki??!!! Ifikie mahara tupeane mchongo tu jaman maana ata sisi mabaunsa tunasaka hella kwahiyo sio poa kupondea ajira. Baada ya mziki/baunsa kuna maisha mengine yanafata.
@geofreymsengi9971
@geofreymsengi9971 4 года назад
Kweli bhana
@Zanzibar_quiztv
@Zanzibar_quiztv 4 года назад
Sam ßoy ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-E2iUxMvJbEc.html
@machdizzo6519
@machdizzo6519 4 года назад
Sam ßoy hakumaanisha kama wasiwepo but uonekane utouti kat ya fulan na fulan
@BiornProductions
@BiornProductions 4 года назад
Binafsi nimekuelewa mno mwisho wa siku baunsa nayo ni kazi lazima wapate riziki
@salimmkambila3542
@salimmkambila3542 4 года назад
Amini
@abamotv532
@abamotv532 4 года назад
tulokuwa tukisubir kwa hamu naomba like
@Zanzibar_quiztv
@Zanzibar_quiztv 4 года назад
Abamo Tv ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-E2iUxMvJbEc.html
@oscarkaingu4559
@oscarkaingu4559 4 года назад
Mwanaume kujiamini baunsa si ni mwanadamu Kama wwe usiamini mwanadamu mwenzako weee👉👉👉
@amosdaniel5907
@amosdaniel5907 4 года назад
Napendaga sana Interview za Roma!!
@sumaussi7764
@sumaussi7764 4 года назад
Nakukubali sana kaka Milad Ayo
@bosslilyg4390
@bosslilyg4390 4 года назад
Jamani Roma....me i love you so much wallah
@humphreyharold9501
@humphreyharold9501 4 года назад
Nyie mnazingua watu tunapeana michongo ayo majungu tu ata ao baunsaa niwatu mtu kuwa na baunsa wengii usijajii xana kimpango wake na wew kua na wengi alafu pia msifananishe watu
@katarinawilliam9960
@katarinawilliam9960 4 года назад
Bhareksa ana cha moto anatembea nacho haitaji baunsa.Wasanii mnajilinda na vibaka waporaji wa mikufu yenu .Kama weee huna ,huitaji baunsa.Wanini????Hata kiatu cha maana huna.
@alijuma6502
@alijuma6502 4 года назад
Jamani kua namabaunsa. Nimoja ya ajira. Hao baunsa wote walikua mtaani hawana ajira. Sasa dimond kawa mbunifu. Na ameacha ubinafsi wakula pekeake. Kawaita anawalipa hapo tatizo liko wapi. Wabongo mbona hamna jema..lakin pia ni usalama kwake. Kumbuken pia wasani wanakufaka wakati mwingine kwakukosa msaada wakiulinzi..mfano albat mangwea. Steven kanumba..nakuna bondia anaitwa tomac mashali. Nawengine wengi tu. Shida yawabongo mnasahau kwaharaka sana. Waacheni baunsa nao wapate ajira jaman
@maidafrancis45
@maidafrancis45 4 года назад
Hahaa Roma umejieleza vzr sana
@oxtinho159
@oxtinho159 4 года назад
Hahahahhaha BAKHRESA MWENYEWE HANA BAUNSA hahahahah
@oxtinho159
@oxtinho159 4 года назад
@@platnumzlyrics9928 Mtu anotekwa unamjua auuu
@frankmaria6717
@frankmaria6717 4 года назад
Bakhressa ushamuona kwenye mikusanyiko ya watu,wafanyakazi wake tu wengi hawamjui kwa sura Mabaunsa wanafanyakazi wanalipwa mishahara wanaendesha familia zao Kuna nyie mnaimba kuna wanaocheza shoo kuna wanaokusanya mapato getini kuna wanaobeba vyombo nk au Roma zote unafanya mwenyewe?
@mahmoudkhamis8638
@mahmoudkhamis8638 4 года назад
Humjuw ww ni mtu kawaida sana Bakhresa anatoa airport kawaida to peke yake hanaa makuuu tafuta jengne lakn c Bakhresa
@frankmaria6717
@frankmaria6717 4 года назад
@@mahmoudkhamis8638 ni kawaida sana? Umetumia bando lako vibaya
@mahmoudkhamis8638
@mahmoudkhamis8638 4 года назад
@@frankmaria6717ni sawa ila angalia vzr utumikaj wao ni sahihi au maana me naona km fation to kwa waliowachukua Angalia na kiundan zaid usieke ni ushabik kaka wakat ata ww umgelua stej iyo usingefanya
@frankmaria6717
@frankmaria6717 4 года назад
Hakuna mahali nimezungumzia ushabiki kwenye andiko langu, Kuna watu wanatushangaa tunavyoweka bando kwenye simu wanatamani hizo pesa wangepewa wanunue unga wa ugali kwamba tunatumia pesa vibaya Ni sawa na kijana anapambana anatafuta pesa yake anatumia kwa starehe zake hasaidiwi na mtu kuwalipa hao walinzi sisi tunatukanana na kukashifiana mitandaoni Ni mtazamo wangu pesa zinatafutwa na mtafutaji akizipata namna ya kutumia mradi havunji sheria ni haki yake,
@amindadi24
@amindadi24 4 года назад
Nimeipenda hii interview iko very entertained
@simulizi2632
@simulizi2632 4 года назад
kuwa na bodyguard mara nyingine ni kuiweka brand yako iwe expensive na vilevile una protection as huwezi jua nani mbaya nani mzuri. Ila bodyguard 10 au zaidi ya wa5 duh hapo sasa utata
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 4 года назад
I like that, good opnion..
@camposomsasani3894
@camposomsasani3894 4 года назад
jamaa mm siwaelewi kabisa wanaimba hiphop au taarabu maana mambo yao kama waimba taarabu atamziki wao sasaiv umbea ndio mwingi wanakwama wapi hawa
@theodorycharles6384
@theodorycharles6384 4 года назад
Haunaucho elewa mjinga hawezi kuelewa vituvixuri ila kwanyimbo zamatusi ndomnaxielewa wabongo
@brendaulomi6482
@brendaulomi6482 4 года назад
Imbaa wew achaa ushambaa wew wanaimbaa Vilvyopo kwenyee jamnii Kama unaqaskilza wnasem hipop ni mazngiraa yaliyopo Achaa kulurupukaa wew
@stevemwakisimba5986
@stevemwakisimba5986 4 года назад
Roma acha bangi mnavyozidi kuwasema watu wenye mabaunsa mnajitengenezea uwadui na hao watu maana wanapata ajira tosha mkisema bakharesa yeye ni utashi wake!nyie hamna pesa zakuwalipa!
@henrysobrill386
@henrysobrill386 4 года назад
Stev we fala eti hana pesa maviii kweli ww
@laizersikoyan4157
@laizersikoyan4157 4 года назад
Rostam nawapenda sana
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 4 года назад
Mm nashangaa eti konde boy baunsa 8 na diamond baunsa 12 eheeee kweli balaaa
@binomarkheir3367
@binomarkheir3367 4 года назад
Nyie wabanapua tulieni tu hao Rostam balaa pendeni hao hao wakata viuno wenu kina diamond Rayvan
@abdallahkitwana8471
@abdallahkitwana8471 4 года назад
Maneno ya mkosaji hayo...mawazo finyu Kabisa... popularity ya bakharesa tofaut na hao wasanii Daimond,Harmonize nk. Mkifikia level Yao mtaelewa.
@mussamussa9174
@mussamussa9174 4 года назад
Acha upumbavu ww
@abdallahkitwana8471
@abdallahkitwana8471 4 года назад
@@mussamussa9174 jenga hoja kijana
@japhetkavishe2347
@japhetkavishe2347 4 года назад
Et popularity kwahiyo diamond ni popular kuliko bakhresa 😂😂
@abdallahkitwana8471
@abdallahkitwana8471 4 года назад
@@japhetkavishe2347 bila shaka kama ukijua maana ya popularity...leo hii bakharesa atembee nan anaemjua na kumzonga? Bakhera ana pesa kuliko Daimond ila diamond ana fans'base kubwa kuliko bakharesa...ukibisha bisha
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 4 года назад
Abdallah kitwana, unaelewa🙏🙏
@Kobe_254
@Kobe_254 4 года назад
Stamina kama konyagi ilishika mid interview, kwanza baada ya kuulizwa ya ndoma.. kaka kama alishikwa depression... tafathali bro Roma acha dogo home ukienda interview asije jiwekea kamba shingoni ateleze tumsahau bure... izo dude zicome come despite all
@jaydon3361
@jaydon3361 4 года назад
Sasa wew Roma utamlipa nin baunsa Kama wew mwenyewe unatembelea gar la million 3
@Mwalimu_seleman
@Mwalimu_seleman 4 года назад
Son P kwani gharama ya kumlipa baunsa ni tsh ngapi???
@juliusjulius2080
@juliusjulius2080 4 года назад
Afu hao baunsa wanaingiza ela kuliko nyie mnaedhulumiwa na clouds
@hightechofficial255
@hightechofficial255 4 года назад
Unaumwa kweli
@juliusjulius2080
@juliusjulius2080 4 года назад
Mr Edjing Mix Official exactly mrembo mm naumwa kweli
@hightechofficial255
@hightechofficial255 4 года назад
@@juliusjulius2080 poa Mama
@theodorycharles6384
@theodorycharles6384 4 года назад
Harafu mboma wabongo wengi hamjielewi wanazurumiwaje umeenda wakakuxurum mbona hamnaga hofu ya mungu kazi kusema watu
@ikombebusisi9017
@ikombebusisi9017 4 года назад
Bakhresa anavaaa ndara na shati LA mtba suruali kauka nkuvaee hana Pete wala chochotr cha samani ...alindwee nn ila usijidanganye kubwa halindwii analindwaa jaribu uone....kumbka Mo.
@hassansalum5362
@hassansalum5362 4 года назад
Ayo mambo ya bounsa mbwembwe tuu na kukuza brand
@geofreymsengi9971
@geofreymsengi9971 4 года назад
Kuwa na bodgadi Ni Pesa ile waache vijana watanue Ni Wakat wao
@ziadasalumu1176
@ziadasalumu1176 4 года назад
Si hivyo tu pia ni moja ya ajira kwa wale Baunsa sababu wanalipwa nao wanapata riziki au wanataka wale jamaa wakakabe tuache ukuda ni ajira moja wapo vijana wanajipatia we huna uwezo wa kufanya hayo piga kimya roma
@geofreymsengi9971
@geofreymsengi9971 4 года назад
@@ziadasalumu1176 kweli mtaalamu hyo Ni ajira inatambulika na wamepata mafunzo ya ziada
@denisngalo3555
@denisngalo3555 4 года назад
Watu atali sana ROSTAM
@SLTN4503
@SLTN4503 4 года назад
Yani hawa jamaa diamond anawasumbua sana..wanateseka sana na wanakosa gis watamtaja wanaona bora wazungumzie habar za mabaunsa..
@pacifiquerema2347
@pacifiquerema2347 4 года назад
Awa bidamu wawili nawapenda sana
@ikizakubuntuf2591
@ikizakubuntuf2591 Год назад
nice audience I like it lakin tuna kumiss kinoma bro
@alibulush6200
@alibulush6200 4 года назад
Roma nakubalii sanaa unaongeya pont
@abdulparesh4899
@abdulparesh4899 4 года назад
Wanangu mm nawakabali sana
@donatusswai1574
@donatusswai1574 4 года назад
Hahahhahaha nimecheka hatari
@wilfredmbussa4930
@wilfredmbussa4930 4 года назад
Wabongo bhana kwani mnateseka mtu akiweka bodyguards? Inaonesha nyie ni wabinafsi wa maendeleo maana hao bodyguards wanaolipwa na wao wanafamilia zao na kazi yao ni hiyo.. Mlitaka hao bodyguards wale kwenu
@gamc773
@gamc773 4 года назад
Sasa wewe una banusa alafu unaendesha gari ulisha ona puffy dady anaendesha gari
@georgemwidima3851
@georgemwidima3851 4 года назад
Kama biashara yako ni kuuza maandazi hauhitaji BodyGuard. Sisi tunaita Bodyguard ninyi mnaita Baunsa kwa lugha yenu. Lakini kwa mwanasiasa, mcheza sinema, mwanamuziki ushindani na maadui ni wengi kuliko wafanyabiashara wa kawaida. Hata hivyo Baunsa si kwa ajili ya kulinda fedha za wafanyabiashara bali mwili wa watu maarufu.
@salomemphela878
@salomemphela878 4 года назад
Roma nimekuelewa unajua kujielezea #ualimubadoumekujaakwenyedamu#
@isayakilangi8200
@isayakilangi8200 4 года назад
Mmmh stamina hueleweki kaka nakukubali ila apo umezingua
@dhungu_one4331
@dhungu_one4331 4 года назад
tumapenda tusikie mziki ukiongea na si maisha ya wanamziki anae fanya vizuli apogezwe
@arnoldmbuya1579
@arnoldmbuya1579 4 года назад
Roma anatafuna BIg G interview nzima.. Usivae Earphones aise..
@sulendidu1838
@sulendidu1838 4 года назад
Roma unajitetea hatari
@kitolano1
@kitolano1 4 года назад
Guys don’t be so stupid, Bill gate does not have baunsa but 50 cent does. There is richness and famous, Tanzanien don’t understand it. Don’t hate someone who has Baunsa, it part of creating works. That why you America there is a lot of jobs and Africa always suffer
@singanomichael6818
@singanomichael6818 4 года назад
that z correct!! Roma hana akili
@japhetkavishe2347
@japhetkavishe2347 4 года назад
So you mean 50 cent is famous than bill gates??!
@raymondcyprian168
@raymondcyprian168 4 года назад
uwepo wa mabaunsa pia ni fursa ya ajira.. wananyanyua vyuma wakale wapi?
@hassansawasawa1941
@hassansawasawa1941 4 года назад
Roma anamchimba stamina iliaseme ilabado jamaa kakomaa kweny pwent yk
@rajabramadhan1508
@rajabramadhan1508 4 года назад
Maneno ya mkosaji
@gadsonmanchester475
@gadsonmanchester475 4 года назад
ivi kuna malaia hawapendi muziki
@chobastian-chobo5759
@chobastian-chobo5759 4 года назад
Imekuaje stamina ametoa siri za ndoa yake sasahv sasa, kweli maisha yanaenda kasi
@athumanyusuph1099
@athumanyusuph1099 4 года назад
ujanja ukizidi sana mwishowe huwa ujinga
@mubofuthegreat4955
@mubofuthegreat4955 4 года назад
Stamina umeboa kwenye interview bro
@henrysobrill386
@henrysobrill386 4 года назад
Bx kajibu ww ayo maswali
@hasanjuma1111
@hasanjuma1111 4 года назад
@@henrysobrill386 roma mshamba stamina kuna ubaya gani kutembea na mabaunsa amnaga vitu vya samani
@tanzaniamycountry9308
@tanzaniamycountry9308 4 года назад
Pamoja @roma
@kdloon2030
@kdloon2030 4 года назад
Upo sahihi stamina,mambo yako ya ndoa usiyajadili mitandaoni.Wabongo sijui twakwama wapi,yaani private life twaidhihirisha na hao hao tena baadae wanaanza tena kukucheka.
@alexmsemwa9130
@alexmsemwa9130 4 года назад
Muna mambo ya kike sana wivu mtupu.
@tajikiller5021
@tajikiller5021 4 года назад
Alex Msemwa awana hela awo
@mohamedfogo8820
@mohamedfogo8820 4 года назад
Acheni wivu Mziki wenu haulipi Mtabaki kuambiwa Dah!!! Nyie wakali lkn mfukoni njaa.show moja tu mpaka fiesta
@nestoryjackson5516
@nestoryjackson5516 4 года назад
Stamina hueleweki kaka
@dastunluswaga5182
@dastunluswaga5182 4 года назад
Ungekuwa na ulinzi kile kipindi wangesaidia....C unaona sasa Mo anaulinzi baada ya lile sakata..
@paulbinezekiel8225
@paulbinezekiel8225 4 года назад
Hawa jamaa wanajielewaga sanaa
@platnumzlyrics9928
@platnumzlyrics9928 4 года назад
Noma na wakati Roma kaliwa tigo
@silverman6930
@silverman6930 4 года назад
Instead of talking about serious issues
@jumjumanderson9715
@jumjumanderson9715 4 года назад
What do u mean?
@silverman6930
@silverman6930 4 года назад
maundu andersonjum what do I mean ,? Are you for really ? Or daft ? 🤔🤔🤔
@jaypili7837
@jaypili7837 4 года назад
mbona umeludia kupost hii interview
@gabrielmugabo9223
@gabrielmugabo9223 4 года назад
Hajarudia,hii ni part two
@itongwamtebwa7255
@itongwamtebwa7255 4 года назад
Upo sahii
@lugembelucas6674
@lugembelucas6674 4 года назад
Hii ni interview tofaut
@mangalilikilawe6788
@mangalilikilawe6788 4 года назад
Roma mshamba kama kweli kaongea hayo maneno yalio andikwa hapo , mana siwezi kuangalia intview za wakuda
@kubrymtutala1736
@kubrymtutala1736 4 года назад
Hujaangalia ila umecoment nani mjinga,
@joshuamweta6551
@joshuamweta6551 4 года назад
Roma kitambo sana aseh very mature majamaa
@damianmachilutv1167
@damianmachilutv1167 4 года назад
Majungu tu na wivu,
@iddyprod3187
@iddyprod3187 4 года назад
Wenzenu wamening'iniza Prado tatu shingoni nyie mabaunsa mna nini?
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 4 года назад
iddy prod hahahahaaa kabisa ndugu yangu iddy prid watu wamehifadhi hela shingoni sasa wewe hata Pete ya laki huna
@allynanyundo2020
@allynanyundo2020 4 года назад
Milaid ongeza kamera tuwaonewote
@cavonboyblogger1995
@cavonboyblogger1995 4 года назад
ALLY NANYUNDO 😂😂
@Burner_Acc
@Burner_Acc 4 года назад
Roma unaongea sana
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 4 года назад
Si ulitekwa wewe mbona hukuongea tena kuhusu ile ishu
@kachaladouble8593
@kachaladouble8593 4 года назад
Muogope mungu hao wasenge wanatumia mabaunsa wanataka tu.kiki nakuogopwa wakiti sio mungu
@juliusjulius2080
@juliusjulius2080 4 года назад
Majungu meeengiii
@mbotwambotwa8136
@mbotwambotwa8136 4 года назад
Ukweli bila baunsa huwezi kufanya show naikaisha salama kwa sababu shabiki wapo wa damu kwa mhusika pia maaduwi
@alijuma6502
@alijuma6502 4 года назад
Hamna hela nyie rostam. Hamkeni wcb imekuja kuwaamsha. Badiliken
@itongwamtebwa7255
@itongwamtebwa7255 4 года назад
Hacha ujinga umesha kuwa kijana
@alijuma6502
@alijuma6502 4 года назад
@@itongwamtebwa7255 wanazingua. Wenzao wanatoa ajira. Baunsa wanaenda chooni. Tatizo wasani wabongo wabinafsi sana. Ndio mana mond anawanyoosha. Na wcb media ndio itawaonyesha njia media zakubaniabania wasani
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 4 года назад
Sio kweli, wcb wamekuja kuwaamsha! Mmh! It's true coz Rastam is the strongly songs but wcb is the softly songs, so this is different music.
@alijuma6502
@alijuma6502 4 года назад
@@issackchalahani1235hata chid benzi. Dudu baya nawasani wengi tuu. Wana nyimbo nzuri sana. Zaidi za hao wakina rostam. Lakini wanaelewa na wameheshim nawanakubali kama WCB imeleta mabadiliko makubwa..hapa tatizo sio uzuli wanyimbo hapa tunazungumzia biashara yamusic kwa ujumla
@brendaulomi6482
@brendaulomi6482 4 года назад
Achaa upuuuziii wew Unamlinganisha wcb na Rostaminaa Achaa ukoroo
@mariyamdotto2245
@mariyamdotto2245 4 года назад
Napenda Roma akicheka jamani
@salmashaban2373
@salmashaban2373 Год назад
Kitu najuwaga nikukupenda tu Roma ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@hassanjomaa2313
@hassanjomaa2313 4 года назад
Kama wewe roma ulivo tekwa si ulitolewa marinda au unataka tutagaze yaliyo kukuta kwa watu wasio julikana
@idrissajuma1187
@idrissajuma1187 4 года назад
Lifestyle....
@chuggabeatmurderstreetfree2685
@chuggabeatmurderstreetfree2685 4 года назад
HUYU JAMAA #ROMA BAADA YA KUTEKWA sijui walimfanya nini... Karudi hajui kingine zaidi ya kuimba tarabu.
@stanleygeorge6638
@stanleygeorge6638 4 года назад
Rostamu ujinga ujinga tu
@kazungusostenes6422
@kazungusostenes6422 4 года назад
Stanley George kaka muko vizuri xna
@fubanjenjele521
@fubanjenjele521 4 года назад
Entertainments kweny industry Nawaelewa jamaa
@davidmlyuka9398
@davidmlyuka9398 4 года назад
kijiwe nogwa...
@thebestplatformz8282
@thebestplatformz8282 4 года назад
Sasa bakharesa hana pesa lkn hana mashabik wa kumfuta futa mtaan
@andersonchibule4761
@andersonchibule4761 4 года назад
Interview ni zaidi ya kijiwe nongwa
@juliusjulius2080
@juliusjulius2080 4 года назад
Wanasema km hauna hela unaona mwenye hela anatumia hela zake vibaya
@kondegangfans7368
@kondegangfans7368 4 года назад
💥 uno to the world
@stopper4141
@stopper4141 4 года назад
I don't surport msanii kua na bodyguards kibao ila pia tukiangalia positive side wamecreat jobs to alot of bouncers mtaani so big up.
@kazungusostenes6422
@kazungusostenes6422 4 года назад
woo
@mataamiry6720
@mataamiry6720 4 года назад
Awa ni maskini sana wakifedha kwaiyo wapunguze taarabu
@theodorycharles6384
@theodorycharles6384 4 года назад
Wewe tajili sana unaonaje kibanxi kilichoko kwenye jicho la mwenxako wakati boliti lililopo ndan ya jicho lako
@endruwguzula5993
@endruwguzula5993 4 года назад
wewe wzazi wako wananini?
@witneymathy4058
@witneymathy4058 4 года назад
Ila Rostam wanatumia akili ktk kujibu maswali na ktk show zao ni za kibabe
@erickndunguru357
@erickndunguru357 4 года назад
acha umbea mtoto wa kiume.......itakusaidia nini hata ukijua?
@godfreysebastian2260
@godfreysebastian2260 4 года назад
stamina nae
@erickmushi4952
@erickmushi4952 4 года назад
hahahaa.
@emmanuellucas
@emmanuellucas 4 года назад
Roma nimekuelewa jomba uko deep jiniaz Dingili
@justinakaronge5270
@justinakaronge5270 4 года назад
Roma Mkatoliki jina lake halisi Ni Nani?
@yahyaally364ally2
@yahyaally364ally2 4 года назад
Ibrahimu mussa
@lukakuboyraiswafuon3496
@lukakuboyraiswafuon3496 4 года назад
Washambba sana nyie
@salehekapama9842
@salehekapama9842 4 года назад
Km nyie hamna uwezo kausheni tu
@alexkweka1374
@alexkweka1374 4 года назад
Ila stamina kibuyu sana unauliza swali na yy anauliza swali
@faisalwaafrica7478
@faisalwaafrica7478 4 года назад
Wacha usenge roma wasomal una maanisha wote ni magaidi sio futa kauli yako pumbav
@singanomichael6818
@singanomichael6818 4 года назад
sio kwamba eti roma hataki mabaunsa, atawalipa nini??? wenzio wana uwezo na wanayoyafanya broo..!! Wake up!!!
@makulazomorice3766
@makulazomorice3766 4 года назад
Sasa roma ww una gar moja tena passo unadhan hao baunsa unawapata wap
@makulazomorice3766
@makulazomorice3766 4 года назад
@Abubakar Omary shida ni kwamba roma anaongea kinafiki anasahau kama alishawai kutekwa ila kama angekuwa na mabaunsa labda angesaidiwa kabla
@makulazomorice3766
@makulazomorice3766 4 года назад
@Abubakar Omary harafu huyo roma anaongea kuwalenga kund fulan haelew kama halingani nao
@frankgervas357
@frankgervas357 4 года назад
Hamna era nyie wachawi tu
@frankgervas357
@frankgervas357 4 года назад
Mashariti ya maganga mmeyakosea mziki wenu majungu itanviw zenu majungu wanangojera haoooooo ngwea ashawambia kuna wengine kwenye gem ndo kifupi wameshapotea ushaambiwa usiyaguse maji kama hujui kuogelea sa cheki Mnavyo tapatapa hawana pakutokea kutwa kumdisi pultinumuz simba na kumroga asiekuroga utafisilika tu
Далее
BREAKING NEWS: Roma Mkatoliki asimulia walivyotekwa
50:28
Mkasi - S02E03 with Steven Kanumba
26:51
Просмотров 1,3 млн
ROMA : MKE WANGU ANAAMSHA SANA!
8:48
Просмотров 707 тыс.