Alorney Axa Hi karibu uone wimbo wangu mpya hapa ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-mHqRjmenCMI.html Enjoy na usisahau kusubscribe .ahsante 🙏🏻
I like Rostam, and what i like the most is that these guys already knew of the outcomes from what they did , they know the art of artists in their industry. Its like an inteupreneur who comes into project knowing all the calculated risks and everything. So what is happening now its not something that will threaten them, they already knew this will come . So Big up big brothers. Thats my level of seeing this.
KING CHIKUNDE Hi karibu uone wimbo wangu mpya hapa ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-mHqRjmenCMI.html Enjoy na usisahau kusubscribe .ahsante 🙏🏻
SELLAH TV Hi karibu uone wimbo wangu mpya hapa ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-mHqRjmenCMI.html Enjoy na usisahau kusubscribe .ahsante 🙏🏻
Jmdadila TV online Hi karibu uone wimbo wangu mpya hapa ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-mHqRjmenCMI.html Enjoy na usisahau kusubscribe .ahsante 🙏🏻
Yaaani nyinyi RoSTaM wabishi na dakika moja mtu angeruusiwa kuingia kwenye nyoyo zenu basi angetoka na vifurushi vya ukweli woote ila inakuwa inposible. Nawakubali sn100%
hawa jamaa wajanja sana wanvojibu maswal kana kwamba hawajawagusa wasanii flan hivi but kiukwel sababu kwenye hyo interview wanasema kwamba wametaja wasanii, wanasiasa na mpira ila hapo wanvojibu wanaweka siasa nying sana but ukijaribu kusikiliza vizur watu wanaowahisi kwenye hyo mistari ndio hao hao....but hyo ni sanaa ambayo inakuwa na majibu meng
Jambo ambalo nilikua nikirifikilia mda mrefu sana kua wakitoa nyimbo rostam na nay ltakuaje nilikua naisbr sana leo lmetimia big up sana kaka zangu 👍👍👍👍👍👍
Roma stamina nawakubali kinyama ila fanyeni mpango ney ajiunge na Rostam ingekua bomba kinomanoma na ingekua bonge la shoo ama mtoe kizazi kingne ingetisha kinoma noma mzee
Nikimuangalia Roma ni mtu makini sana, yani ana akili na upeo mkubwa sana, watu wa hivi huwa ni wachache sana, i love you Roma hakyanani 😜 msalimie mama Ivan
Big up Millard ila mm akil yngu inaniambia kuwa hawakujiongelea wao walimuongelea king kiba Roma alipojibu tupotupo tu ila cyo kma zamani na ukiangalia kiba na mke hawapo km zamani Roma akamuuliza stamina mbona wife cmuoni nyumban na ukiangalia mke wa kiba hayupo nyumban stamina akajib kausha man cna majibu deal done ukiangalia kiba kapta mtto na mke kwa hyo deal done
Bro hii n team hatari akili mingi umbo ndogo hutawaeza hip-hop iko wide man bona watu wajishuku n pia bongo flava ngoma mingi pia ziko somehow kaa kijiwe nogwa bona hawaingilii uko,,#Rostam forever representing 254 nagoja show county 001 msa